Mungu,anijalie nema nakunisame wakati wowote alipo,ongea Nami nasikufahamu,nasikutii kwa sauti ya Mungu,naombausamaa .naMungu anifundishe,kusikia,nakufahamu sautiyake
Hakika mutumishi Mungu akuongezeye Zaidi uko mtumishi wa Mungu kweli kweli,Kati yawatumishi ninaofwatilia kwenye RU-vid Wewe ndo unasoma bíblia saana,unaomba saana ❤
Asante MUNGU wa BWANA YESU KRISTO kwakua unazidi kutete udumahii ya Vuka Yordani, kiukweli washindanao na BWANA watapondwa kabisa. Asante pia kwa neno hili lawakati ambalo umetupa katika matamko yaleo, nimekusikia BWANA, nipe sautiyako yako ndanimwangu milele eee YESU KRISTO.