Wataendelea hivyo hivyo kukaa kwenye viyoyozi magorofani wakizembea wakipuuza na wakitoa lugha za dharau na kebehi fukuzeni hao wote wanaofanya kazi kwa mazoea vijana wengu wamemaliza vyuo vikuu hawana kazi nyinyi munawabembeleza tu.Watawashika matako mwisho.Fukuza wote waje wapya wakijua wenzao wamefukuzwa kwa sababu gani nchi hii itaendelelea.Fukuza.