Ninachokiona hapo ni kwamba DAWASA hawana utaratibu mzuri, wao wameweka kipaumbele kwenye kukata maji kwa wasiolipa. DAWASA ni taasisi ambayo inahitaji customer care ya hali ya juu, wajifunze basi hata kwa Tanesco, tanesco ukiwapigia simu kwamba umeme umekatika wanashughulikia na wanakupigia simu wakati mwingine kujua kama tatizo limeshatatuliwa. Sasa DAWASA mtu unaenda halafu wao wanakupatia namba ya fundi kwamba umpigie mwenyewe wao hawamwambii kitu. Hili si tatizo aisee