ABEID KARUME: RAIS ALIYEUAWA AKIWA MADARAKANI, JE WALIOMUUA WALITAKA NINI KWAKE?
Aprili 7, 1972; Luteni Hamoud Mohammed Hamoud wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na wenzake wanadaiwa kumuua kwa kumpiga risasi, Rais wa Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Abeid Amani Karume.
Swali la kujiuliza waliomuua Karume walitaka nini kwake?
Luteni Hamoud ambaye ndiye anayepiga risasi ‘uaji’ (the fatal bullet) pamoja na Kapteni Ahmada Mohamed, Koplo mmoja wa jeshi ambaye jina lake halijulikani na raia mmoja aitwaye Ali Khatibu Chwaya nao waliuawa kwenye mapambano ya silaha nje ya tukio eneo la Kisiwandui, Zanzibar.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
26 авг 2024