Тёмный

AC ya Gari/Ni kweli AC inakula mafuta ya gari yako 

ITV Tanzania
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 11 тыс.
50% 1

#MezaHuru

Развлечения

Опубликовано:

 

27 фев 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 19 дней назад
Mzungu alivyopiga mahesabu yake kua gari itaenda 1liter kwa 10km alishajumlisha yote hayo ni kuhangaika tu ,,hata kama itakula mafuta mfano co kama vile watu wanavyochukulia
@nicholousmukono7244
@nicholousmukono7244 2 года назад
Fundi unapungua sana ktk ufaham juu ya AC ya gari; gari halitumii tu umeme, kumbuka compressor ina magnetor ambayo husabanisha uzito wa mzunguko wa engine (inabeba), ndiyo maana kuna magari mengine yana engine ya pembeni kwaajiri ya matumizi ya AC 😜
@Kadangaa4896
@Kadangaa4896 2 года назад
Hata nimi nimemshangaa Sana huyu fundi anasahau kwamba magnetor ambayo huongeza uzito kwenye mzunguko wa engine, sijui umeme upi unazungusha compressor?
@hudsson75
@hudsson75 2 года назад
Huyu jamaa ni fundi wa A/C wa mwembeni, na si mtaalamu wa A/C. Kwanza A/C compressor ya gari inaendeshwa na engine ya gari na si umeme. Engine na compressor vinaunganishwa na belt japo compressor na belt vinakuwa vimetenganishwa na clutch ya umeme iliyo ndani, na unapowasha A/C ndio unakuwa umeunganisha clutch na ndio ac inafanya kazi. Kuhusu ulaji wa mafuta ni kweli ukiwasha ac ulaji wa mafuta unaongezeka coz ukiwasha ac unakuwa umeiongezea mzigo engine na hivyo ulaji wa mafuta unaongezeka. Mambo mengi kapuyanga.
@langatjosphat3530
@langatjosphat3530 2 года назад
Continuu..that was educative even though your swahili is atimes diffucult to comprehend
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 Год назад
Huyu fundi si mwelewi.Unapongeza mzigo kwenye injini consumption ya mafuta inakuwaje ni ile ile?ITV hamjaleta mekaniks wa kweli.
@andrewmziray2233
@andrewmziray2233 2 года назад
Huyu fundi sijamuelewa kabisa
@jimmymakwega3872
@jimmymakwega3872 2 года назад
Kuna uhusiano fundi, kumbuka ukiwasha ac na compressor iki-engage utasikia mlio wa engine unabadilika, why? Kwasababu you have just loaded that engine.....watu wanachokosea ni kwamba kabla hujaanza kutumia ac, kwanza kabisa engine yako inatakiwa iwe kwenye condition nzuri I mean healthy engine. Engine inatakiwa iwe na afya nzuri, vitu kama oil change, tune-up, air cleaner you don't consider....hilo gari litakula mafuta kama mlevi...hivyo kuna uhusiano kati ya ac na engine kula mafuta
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 3 года назад
Huyo mama yuko sawa kabisa! aircondition haisababishi consumption kupanda!
@duplex4367
@duplex4367 3 года назад
Sio kweri kuna tofauti kati ya consumption ukiwasha ac na ikiwa ac ipo off lakini tofauti iko ukiwasha ac km gari iko parking haitembei coz ukiwasha ac gari inajipandisha silencer ikipanda silencer maana yake mafuta yanaenda zaidi kuliko ikiwa normal so kiufupi consumption inatofauti ila ni mdogo sn huyo fundi sijui wamemtoa wapi hawezi hata kujielezea
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 19 дней назад
Ni kuhangaika tu ,,hakuna lolote watu wanalishana mentality za kipumbavu,,,ulaji mm naona ni ule ule tu
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 19 дней назад
​@@duplex4367hakuna lolote kaka ni mahangaiko tu,,,,mahesabu yashapigwa mfano gari itaenda 1liter kwa 11km hayo yote yashajimuishwa acheni kuhangaika wabongo😂😂😂😂😂
@vonlettowmwashinani554
@vonlettowmwashinani554 Год назад
Hapa kwa fundi hapajakaa sawa kidogo 🚶🚶🚶
@ernestanthony5673
@ernestanthony5673 Год назад
Kama haiongezi matumizi ya mafuta, mbona ukiwasha AC mlio wa ingini unabadilika kama vile umeongeza mzigo?
@frankmushi4846
@frankmushi4846 3 года назад
Jaribu kumpa nafasi fundi zaid kuelezea coz tunaitaj ufafanunuz wakitaalam zaid.... Madam anaelezea km sis tunavyojua mtaan....
@duplex4367
@duplex4367 3 года назад
Huyo madam anaelezea kiusahihi kuliko fundi hamna sehemu wameandika ukiwasha gari isubili dakika 5
@eliaskhamis1546
@eliaskhamis1546 3 года назад
Hii noma
Далее
USAFIRI WAKO:FAIDA NA UMUHIMU WA WHEEL ALLIGNMENT
29:20
ШОКОЛАДКА МИСТЕРА БИСТА
00:44
Просмотров 798 тыс.
Is it impossible to cut off so much?💀🍗
00:14
Просмотров 3,9 млн
[RU] Winline EPIC Standoff 2 Major | Group Stage - Day 1
8:42:47
Mhafamu CLEOPATRA, Malkia mrembo aliyeitikisa MISRI
19:33
KIPINDI MAALUMU CHA UFUGAJI WA KUKU WENYE TIJA
39:24
Просмотров 1,6 тыс.
MAPISHI BAGIA ZA DENGU
19:04
Просмотров 295 тыс.
ITV-MIZENGWE   UJANJA MWINGI
15:48
Просмотров 288 тыс.
THABITI AISAMBARATISHA JAHAZI MODERN TAARABU
33:24
Просмотров 55 тыс.
JINSI YA KUPIKA PIZZA -KISWAHILI
13:01
Просмотров 528 тыс.
And how are they not embarrassed?
0:19
Просмотров 18 млн
Самый милый крокодил
0:17
Просмотров 3,4 млн