Kama Mawaziri wote wangefanya kazi zao namna hii, utendaji wa kazi kimazoea ungekoma na tabia ya watendaji kuandika taarifa za uongo zinge koma kabisa katika utendaji wa watumishi wa umma. Hongera sana Mheshimiwa.
Viongozi wote wa Tz nzima eleweni tu kinachoirudisha nchi nyuma kimaendeleo ni hili neno kulindana, kubweteka, na kutokuwa mzalendo, woga, uvivu, na kunafkiana, ifike mahali muache hayo, fanyeni kazi ya kulijenga taifa.
Sasa hapa ndio mtaona kuwa watu wanapofuatiliwa na kuchukuliwa hatu hawaonewi, ni WAZEMBE , na hawana UTUMISHI kwa watu bali kwa MATUMBO yao na VIKUNDI vyao vya kula RUSHWA
Ila wallah' nasema na allah shahidi, mtambue kwakila masonononeko ya kila mwananchi kwa chochote kile.... Ndani ya nchi yaje wallah viongozi hamtokua na salama yeyote' nyinyi binafsi pamoja na familia zenu, nawale wote wanaofanya kusudi na hali yakua wanajua kua hii ni dhima' Allah awalaani , awape maradhi ambayo hayana tiba wallah binafsi roho yangu inaniuma sana.... Kutwa wananchi tunaumia na nafsi zetu kila siku ya mungu......😢
Ni mishetani hiyo ona hata mavazi yao mjoto wote lakini wanavaa mihoods na ukiona mijitu inakuchezea kama kitenesi basi juwa kabisaa hata huyo waziri hajitambui huo ndio ukweli mbona JPM ilikuwa papo kwa papo na kuna ile mijituz flani flani eti hakizabinaadamu kwa mishetani kama hayo hayajitokezi ila ukiligusa shoga au sagaji utayaona kwenye tv 📺 mpaka mishipa ya shingo na OMO kama zote 😭😭 RIP mzee baba Magufuli
Usishangae kuona wapinzani au wanasheria uchwara kuona hatua hizi zinazochukuliwa kwenye ziara kama hizi ni uonevu....lkn kiukweli kabisa watendaji wengi wanapewa nafasi lkn hawajali wananchi Bali ni WAO na MATUMBO yao
Kumbe ndo maana maji hayatoki na mimvua yote ile ....nilikuwa nashangaa how comes maji hayatoki na mvua zmenyesha na serikali imetoa mabilioni kwenye bajet kumbe kuna wafelishaji huku down.
Aweso anafukuza ma-engineer alafu anaweka watu wake kisha wanakula hela ya wizara yake..nimeambiwa na mtu wa ndani kabisa...Aweso yeye ni kuzunguka tuu mikoani lakini maji hayatokii..Aweso you can do better than this sir...com'on now
Hii shida inaonyesha kwamba watu wa serekalini wamezoea kufanya kazi kwa mazoea na sio kwa weledi, mijitu inabweteka tu , hakuna anaewafatilia , wao wanapewa magari, dereva, mafuta, mlinzi, vocha, posho, nk, alafu kumbe hata hawawajibiki ipasavyo, wanyonyaji wakuu wa Serekalini na kula kodi za maskini . Inauma sana.