Тёмный

AWESO AKASIRIKA VIBAYA, AMBANANISHA VIKALI AFISA UGAVI DAWASA - "KWANINI UMENIDANGANYA? WE NI NANI?" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@edwardasumwisye3010
@edwardasumwisye3010 2 месяца назад
Mtaani hakuna kazi, limtu linapata kazi halafu linaleta utoto... Na hao wapo wengine sana kwenye taasisi za umma... Hongera Sana Mheshimiwa Aweso
@LatifaRamadhani-zj9mk
@LatifaRamadhani-zj9mk 2 месяца назад
Eti limtu
@Piscesblair
@Piscesblair 2 месяца назад
Kama Mawaziri wote wangefanya kazi zao namna hii, utendaji wa kazi kimazoea ungekoma na tabia ya watendaji kuandika taarifa za uongo zinge koma kabisa katika utendaji wa watumishi wa umma. Hongera sana Mheshimiwa.
@ElardMrina-ok1rh
@ElardMrina-ok1rh 2 месяца назад
mheshimiwa kuna watendaji ambao sisi ambao hatuna nyadhifa tunawadi upeo na utendaji pia,,,,,,😂😂😂😂😂
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 3 месяца назад
Mungu akupe maisha marefu hakikisha watu wote tunapata maji
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 3 месяца назад
Toa taarifa huko na domo lako kimelegea / zito km uji wa mapande 😂😂tumbua upes 😂😂
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 месяца назад
😂😂😂
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 месяца назад
Viongozi wote wa Tz nzima eleweni tu kinachoirudisha nchi nyuma kimaendeleo ni hili neno kulindana, kubweteka, na kutokuwa mzalendo, woga, uvivu, na kunafkiana, ifike mahali muache hayo, fanyeni kazi ya kulijenga taifa.
@karloladislaus45
@karloladislaus45 2 месяца назад
Wana danganya au wanakosa nafasi ya kujieleza??.....Fikiria mahakamani tungekua tuna pelekeshwa hivyo..nani angesema ametendewa haki??
@josephngwega7398
@josephngwega7398 2 месяца назад
Wanadanganya mkuu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 месяца назад
Sasa hapa ndio mtaona kuwa watu wanapofuatiliwa na kuchukuliwa hatu hawaonewi, ni WAZEMBE , na hawana UTUMISHI kwa watu bali kwa MATUMBO yao na VIKUNDI vyao vya kula RUSHWA
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад
Asante kiongozi wapeleke mchaka mchaka ,ndivyo inavyo takiwa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 месяца назад
Mtu yupo kazini ila hana hata document moja ya kazi anayo fanya 😂
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 2 месяца назад
Ili waibe
@naomipieter4627
@naomipieter4627 2 месяца назад
Wanaturundikia bili tu😢
@ommydesigner
@ommydesigner 2 месяца назад
Eti achana na mkuu ila aweso Mungu akulinde bro nakuona mbali sana kwa uadilifu wako.
@theresiambunga4353
@theresiambunga4353 2 месяца назад
Safi sana waziri
@matridasambali6432
@matridasambali6432 2 месяца назад
Safi sana hawa vijana wanafuata nyao za magufuli wakina makonda vizuri sana tunasema nyumba bila msingi haiwezekani na msingi wao alikua rais magufuli
@josephminja7953
@josephminja7953 2 месяца назад
Kuna wakati uongo hugoma😢
@josephngwega7398
@josephngwega7398 2 месяца назад
Hivi kwnn mpaka mfuatiliwe kiasi hiki wakati wizara imetoa pesa jamani si aibu hii,Kaka Aweso puruwa wote hao
@ibba8082
@ibba8082 3 месяца назад
Huyu Jamaa Kichwani Amejaza Majina ya Wafumu(Waganga Wa Jadi).Uwezo Wakufanya kazi HamnaMazingahombwe tu Ndo Amejaza Kihunoni !!!😂
@kitovasaidi6753
@kitovasaidi6753 3 месяца назад
Hivi hizo akili matope kwa Nini asiseme ukweli tu
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 3 месяца назад
Ila wallah' nasema na allah shahidi, mtambue kwakila masonononeko ya kila mwananchi kwa chochote kile.... Ndani ya nchi yaje wallah viongozi hamtokua na salama yeyote' nyinyi binafsi pamoja na familia zenu, nawale wote wanaofanya kusudi na hali yakua wanajua kua hii ni dhima' Allah awalaani , awape maradhi ambayo hayana tiba wallah binafsi roho yangu inaniuma sana.... Kutwa wananchi tunaumia na nafsi zetu kila siku ya mungu......😢
@MichaelKilinga
@MichaelKilinga 3 месяца назад
Kuna watu wanapata kazi mpaka unajiuliza walipataje kazi wallah
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 месяца назад
Wanapea kwa ndugu usione hivo
@LatifaRamadhani-zj9mk
@LatifaRamadhani-zj9mk 2 месяца назад
Nakukubali kuliko wazili yeyote
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 месяца назад
Bado linabisha halina aibu
@zaitunihussein
@zaitunihussein 3 месяца назад
Safi sana kiongozi. Watu wa maji wanatutapeli sana. Nenda jimbo la Bumbuli
@godfreymwandara
@godfreymwandara 3 месяца назад
Duh hatari
@jimmymushi2357
@jimmymushi2357 3 месяца назад
Mambo ya estimation au sio ?
@frankiemasese2901
@frankiemasese2901 2 месяца назад
Sasa mtumishi wa umma huna taarifa ya kazi ofisini kwako 😊😊😊 huu ni uzembe mkubwa
@wemacs
@wemacs 3 месяца назад
3:22 aah mkuu naomba unisamehe😂 hii bhana jamaa kamzunguuusha Waziri kumbe anapiga hesabu, mpaka zinagoma ndo anastuka😂
@BallBrainersYT
@BallBrainersYT 2 месяца назад
Tunailaumu serikali kumbe wenzetu wenyewe ndio wanaotukwamisha. Hawana uadilifu kwenye kazi zao
@OlotuOlotu-i1y
@OlotuOlotu-i1y 2 месяца назад
Sasa huyu kaajiriwaje au kapewa na mama yake hiyo nafasi du inashamgaza sana tunalaumu serikali kumbe wameajiriwa mabwege tu
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 2 месяца назад
Safi sana bana hao wanatuangusha sana
@OCHUMASIHI
@OCHUMASIHI 3 месяца назад
Aisee hii nchi.imeoza kila mahali bac ukiwafata ofcn kwao ww raia wakaiwa walivyokuwa na zarau mbwa hao
@RahelMdou
@RahelMdou 2 месяца назад
😂😂
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 месяца назад
Ni mishetani hiyo ona hata mavazi yao mjoto wote lakini wanavaa mihoods na ukiona mijitu inakuchezea kama kitenesi basi juwa kabisaa hata huyo waziri hajitambui huo ndio ukweli mbona JPM ilikuwa papo kwa papo na kuna ile mijituz flani flani eti hakizabinaadamu kwa mishetani kama hayo hayajitokezi ila ukiligusa shoga au sagaji utayaona kwenye tv 📺 mpaka mishipa ya shingo na OMO kama zote 😭😭 RIP mzee baba Magufuli
@mwamvuamagongo8163
@mwamvuamagongo8163 3 месяца назад
Njoo Sinza madukani mwezi watatu sasa bila maji safi
@Electri-ambi
@Electri-ambi 3 месяца назад
Hapo aweso nje ya kamera alitaka hata kumpiga kibao lakini ameona kama kiongozi angeharibu
@augustinodaniel5574
@augustinodaniel5574 3 месяца назад
Sako kwa bako ndo hii
@JOVICTORY2020
@JOVICTORY2020 3 месяца назад
hiii inch tatizo watanzania tunao aminiwa na serikli hatuko srious hivi mtu kama huyu mimi na mchapa makofi , kwa upumbavu huu ata laumiwa Rais ?
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 месяца назад
Usishangae kuona wapinzani au wanasheria uchwara kuona hatua hizi zinazochukuliwa kwenye ziara kama hizi ni uonevu....lkn kiukweli kabisa watendaji wengi wanapewa nafasi lkn hawajali wananchi Bali ni WAO na MATUMBO yao
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 3 месяца назад
Wee nae huna akili mtu afanye kazi vizuri upinzani wapinge tena ccm wanaofanya kazi ni wachache Jerry silaa​ makonda aweso@@ismailmasoud6001
@naturelle1097
@naturelle1097 2 месяца назад
Hio subira nani anayo mara upelekwe huku mara kule
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 2 месяца назад
Akitoka hapo anaenda kwa mganga
@MonicaBenitomwalongo
@MonicaBenitomwalongo 3 месяца назад
Yani dawasa nitatizo niwazembe sana na nimajeuli sana
@costakihuru4937
@costakihuru4937 3 месяца назад
Ukweli humweka mtu huru.😂
@Zenny89
@Zenny89 3 месяца назад
Na Waziri mwenyewe anatakiwa kujiuzulu…Kwani amekuwa waziri wa Maji Muda gani?
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 месяца назад
Hiyo ndio tafsiri ya SAKO KWA BAKO
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 2 месяца назад
Kumbe ndo maana maji hayatoki na mimvua yote ile ....nilikuwa nashangaa how comes maji hayatoki na mvua zmenyesha na serikali imetoa mabilioni kwenye bajet kumbe kuna wafelishaji huku down.
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 2 месяца назад
Aibu naona mimi
@Kiburudisho
@Kiburudisho 3 месяца назад
Yaani kuna wafanyakazi nchi hii wameajiriwa wanakula mshahara wa serikali ambao unatokana na kodi ya wananchi lakini hawajui kabisa majukumu yao
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад
Adi watoke mapovu, ndiovyo inavyo takiwa
@mbwanaabdallah8525
@mbwanaabdallah8525 2 месяца назад
Tumepeka maombi mapinga wananchi 50 kutoka mwezi wa kwanza 2024
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 месяца назад
Miji ikipangwa vizuri hakutakuwa na shida
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 3 месяца назад
ukisikia bampa tu bampa ndo hiyo duuh
@jafarimnaro704
@jafarimnaro704 3 месяца назад
Kweli mwana Bampa tu bampa
@naturelle1097
@naturelle1097 2 месяца назад
😂😂😂😂haruki mtu
@kallystjonathan2377
@kallystjonathan2377 2 месяца назад
Hiyo ni sura halisi ya Idara na wizara zote za nchi hii
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
Aweso anafukuza ma-engineer alafu anaweka watu wake kisha wanakula hela ya wizara yake..nimeambiwa na mtu wa ndani kabisa...Aweso yeye ni kuzunguka tuu mikoani lakini maji hayatokii..Aweso you can do better than this sir...com'on now
@aminamollel-y2p
@aminamollel-y2p 2 месяца назад
Kijana chapa kazi Mama amekuwamini
@YahyaMbega
@YahyaMbega 2 месяца назад
Anakudanga huyo ndio wenye maboza hao eakupa sihasa
@RAMADHANAllykibanga
@RAMADHANAllykibanga 3 месяца назад
Kulachuma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 месяца назад
Hizo taarifa unazoziona ni kwa wakati wa Magufuli. Nidham ya kazi tuliiona.
@NanaMaembe
@NanaMaembe 3 месяца назад
YANI LIJITU LIMEAMINIWA NA RAIS LISIMAMIE MAJI ILI WANAINCH WAPATE MAJI..... LAKINI LENYEWE LINALETA OUNGO MUONGO TU
@ghotmedia
@ghotmedia 2 месяца назад
Huyo jamaa ningemzaba vibao adi masikio yazibe😂
@AmaniKwanza
@AmaniKwanza 2 месяца назад
Jamaa mdomo umekuwa mrefu kama chupi iliokatika mpira kazi uongo na uzembe vilaza wakubwa hawa
@naturelle1097
@naturelle1097 2 месяца назад
Such workers can give you a heart attack ...hata ofisi anayofanyia kazi kasahau😢
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 2 месяца назад
Wamcheki hajajikojolea huyu jamaa kweli
@YahyaMbega
@YahyaMbega 2 месяца назад
Kama wanakudanya sisi wanatujibu ww subiri pinga makofu huyo unambembereza shemeji yako huyo
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 месяца назад
Dah ndugu yangu huyo noma sana
@fredymike3494
@fredymike3494 3 месяца назад
Aweso ukiona kura za jimbo kwako hazitokitoshaa nipo hapa nije nikupigie na mimi we ni jembe kuna majimbo yamebarikiwa watu bhn
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 2 месяца назад
Hadi aibu,mnakaa ofisini mpaka mnasahau majukumu yenu
@moriscollins4494
@moriscollins4494 3 месяца назад
Arusha jiji la kitalii maji hakuna na mradi mkubwa wa billion 500 upo mkuu upitie na huku
@YahyaMbega
@YahyaMbega 2 месяца назад
Wanakupotezea muda hao wanafanya mazoea
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 3 месяца назад
Wazir mkuu ajae Natabiri
@samolamsille3928
@samolamsille3928 2 месяца назад
Kumeanza kuchangamka
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 месяца назад
MUESHIMIWA HAWA WANAFANYA KAZI KWA MAZOEA MI MWEZI WA TATU NIMELIPIA MAJI NA SIJAYAPATA
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 2 месяца назад
Kimeumana
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 месяца назад
Hii shida inaonyesha kwamba watu wa serekalini wamezoea kufanya kazi kwa mazoea na sio kwa weledi, mijitu inabweteka tu , hakuna anaewafatilia , wao wanapewa magari, dereva, mafuta, mlinzi, vocha, posho, nk, alafu kumbe hata hawawajibiki ipasavyo, wanyonyaji wakuu wa Serekalini na kula kodi za maskini . Inauma sana.
@josephminja7953
@josephminja7953 2 месяца назад
Kuna watu wasomi mtaani nahawana kazi ( fukuza hao mkuu
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 2 месяца назад
Jama huwa wanafanya kazi kwa mazoea sana
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 2 месяца назад
Njoo na huku busweru na butindo atuna maji
@OCHUMASIHI
@OCHUMASIHI 3 месяца назад
Cheche 😂😂😂😂😂😂
@mbwanaabdallah8525
@mbwanaabdallah8525 2 месяца назад
Jamani aweso tukumbuke na sisi wakazi wa kidimu kibaha
@WilsonWela
@WilsonWela 3 месяца назад
Kero zamaji naumeme haziwezi kuisha unalioa pesa kupata maji au unememe inakua shughuri
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 месяца назад
Kiri kosa wewe huna aibu wewe.
@YahyaMbega
@YahyaMbega 2 месяца назад
Mpige gumi mnyange akiri kwanza mpumbavu huyo
@gwamakajohn7122
@gwamakajohn7122 3 месяца назад
Viongoz wangekuwa ivi yn
@davisnitu890
@davisnitu890 3 месяца назад
Njoo sowasa uku kuna madudu kibao mkuu.
@nadiaamisha2958
@nadiaamisha2958 3 месяца назад
Mfumo wa JPM hadi raha 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@RehemaMagoire
@RehemaMagoire 3 месяца назад
Ndio urithi aliouacha Jpm Kwa wanasiasa
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 3 месяца назад
Mm sielewi ivi ayo mambo yenu mkifanya out of camera yatakua hayaendi au n siasa za kijinga
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 3 месяца назад
Ni Bora tuwaone waone aibu
Далее
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 526 тыс.