Тёмный
No video :(

AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 2 месяца назад
Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 2 месяца назад
Wanyooshe
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 2 месяца назад
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@RoydaspityKobero-jq9cm
@RoydaspityKobero-jq9cm 2 месяца назад
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga3875
@perepetuasenga3875 2 месяца назад
Duuh yaani ni aibu mno
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 2 месяца назад
Safi waziri
@claverymayango8288
@claverymayango8288 2 месяца назад
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
@2003hintay
@2003hintay Месяц назад
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
@naturelle1097
@naturelle1097 2 месяца назад
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 2 месяца назад
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@mvullamanase
@mvullamanase 2 месяца назад
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib9146
@saidkhatib9146 2 месяца назад
😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 2 месяца назад
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@PeterZakaria-c7i
@PeterZakaria-c7i 2 месяца назад
Njoo nakahama
@nujakaluhende9428
@nujakaluhende9428 2 месяца назад
Umepiga kwenye
@lanezboy7016
@lanezboy7016 2 месяца назад
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
@Soudbako
@Soudbako 2 месяца назад
😅😅😅😅
@germanasondoka9057
@germanasondoka9057 2 месяца назад
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@user-hm9ir7yz4z
@user-hm9ir7yz4z 2 месяца назад
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@user-jl5zh6qi2w
@user-jl5zh6qi2w 2 месяца назад
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@UdakuKingdom
@UdakuKingdom 2 месяца назад
😢😢😢😢
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
kosa sio lake kaonewa
@careemissa2502
@careemissa2502 2 месяца назад
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 месяца назад
Tumbua
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 2 месяца назад
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 2 месяца назад
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@pastorygeorge3062
@pastorygeorge3062 2 месяца назад
Huyo anaonekana hawezi kazi
@user-rh9bo3kh2g
@user-rh9bo3kh2g 2 месяца назад
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@Zaburi-
@Zaburi- 2 месяца назад
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution7166
@proisolution7166 2 месяца назад
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
@SamiriHassan-dp9kn
@SamiriHassan-dp9kn 2 месяца назад
Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi
Далее
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн