Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana.. Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?
Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya Kama unapenda mzki sikiliza miziki