MashaAllah..!Allah akuhifadhi mwalimu wetu.Nakumbuka ktk uongozi wa Rais Kikwete,kulitokea mkutano wakimataifa uliofanyika ktk Hotel iliyokuwa ikiitwa WhiteSand Hotel,walifurahia mapokezi na huduma waliyoipata kutoka Tanzania😢😢
basi tanzania inataka iwe kama ulaya. Hapa uingereza huwezi kusema chochote kuhusu mashoga. Wao ndio kwanza wanasikilizwa na mpaka wanfundisha watoto wadogi ushoga shuleni
Baba uposahihi sana !! Kuna ambao wanataka kuacha lkn wanakosa misaada wa namna Gani ya kujitoa hivyo bila kuungana mkono tukapinga jinsi ya kudhibit huku litanaweza kuwa gumu
Mii lawama yangu kubwa ninaielekeza kwa serikali, serikali inaonekana inamasilahi na suala hili sio siri.. Selikali kama chombo cha mamlaka imekaa kimya ikiona hili suala nilakawaida kabisa..
Alisema dada wataifa aka Mange Kimambi namnukuu: Dr. Saamiya suluhu ni shoga .. kama nikweli basi naomba awachane na tabiya kama iyo .. asije akatuangamiza sisi wanainchi
Sule ni jamaa mmoja mjnja sana baada ya kuona watu wamemponda sana kwenye ushirikina kuhusu pete na majini akakosa sapoti basi kaamua asemee kuhusu ushoga ila ni NI 1 USHOGA HAUFAI KABISA 2 UACHE USHIRIKINA HAIFAI KABISA MAMBO YA PETE NI MAKOSA