Тёмный
No video :(

EBM na JOYCE K NURSE wakutana kuongelea maisha ya Canada na USA 

EBM SWAHILI
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

Maisha ya Canada na USA kwa wahamiaji yapoje? Unawezaje kuanza na kufanikiwa?
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce / @joyceknursecanada nyingine / @crucialsnapshots na / @joycekcanadacontentcr...
#maishayaughaibuni #visacanada #marekani

Опубликовано:

 

9 авг 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 154   
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 года назад
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce ru-vid.com/show-UC_Px-SuCUz3oc4S4wYv88Fw nyingine ru-vid.com/show-UCPy5p9_boEuOqmghFkwIAxg na ru-vid.com/show-UC-aXFT8of9rPzXj5yGOeByA
@nzigiyimpainnocent8738
@nzigiyimpainnocent8738 2 года назад
Already subscribed
@OmmysniperTV3839
@OmmysniperTV3839 2 года назад
EBM for life
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 года назад
Ongera kaka ebm kwa kutupigania tuulizie kazi za usafi zile kama da Joyce anavyowasaport watu kwenye channel yake
@sheeba8334
@sheeba8334 2 года назад
Love your contents...much love from Nairobi Kenya East part of Africa
@joycekcanadacontentcreator
@joycekcanadacontentcreator 2 года назад
Asante sana mheshimiwa for supporting me nashukuru sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Huku kwa comment kuna mwenye anasema wewe ni mwizi ulimuibia 5 000 dollars. Kuja ujitetee.
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 года назад
Dada Joyce nimekua flowers wako kwa ajili ya Mr' EBM Mungu awapeni roho hiyo hyo mzidi kutuchanua sisi ndugu zenu tulio na ndoto za kutaka Kuja huko ughaibuni kiukweli Naimani hatutakuja wote ila kwa hiki mnacho kifanya kuna watu wengi watakuja hata kama sio huko hata nnchi zingine za ughaibuni kwa ajili ya hii hamasa mnayotupatia
@Gachibravo3974
@Gachibravo3974 2 года назад
Thanks
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
@@damariszuckschwert9489 mwenye anasema alimuibia ni muongo juu Joyce hachukuangi pesa
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 2 года назад
Joyce nifanyeje ili niweze fika canada?...Na vipi kuhusu kazi za huko ni mpaka uwe umesoma sana au hata class 7 inatosha?🤔😂
@hellenndinda4806
@hellenndinda4806 2 года назад
Shukran Sana Joyce na Kaka nawapa heko Kwa kazi yenu nzuri mola awajalie siha njema Mimi nina imani siku moja nitapata fursa yakuaje na kuchapa kazi huko
@visaarena
@visaarena 2 года назад
You are so genuine people. God reward you for free mentorship
@sofi_1940
@sofi_1940 2 года назад
Dada Joyce nipatie kazi hukoo,, please maisha ni magumu sanaa😢
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 Год назад
Good news Nahitaji kufanya masters Canada Nakmba mawasiliano jamani ya Joyce na Ernest iliwemk emails zenu Nitashukuru Sana
@Kobe_254
@Kobe_254 2 года назад
Niko mwaka wa sita Marekani, ukweli ni hamna inchi duniani utapewa vya bure.. ila, inchi za ughaibuni ata kama maisha ya upweke (culture shock) angalau uko na tumaini la kazi, ila kama maisha yanakupekeka vyema Africa, usiuze ng’ombe zako na kiwanja eti unaleta mke na watoto marekani- pia usikuje marekani kama umri umekuzidi, eti miaka 55 .. ughaibuni yataka vijana, miaka 40 na chini ambao WANAANGAIKA AFRICA.. narudia, sio wote..
@paulirungu9013
@paulirungu9013 Год назад
Ni kweli kabisa
@shakuryoung2547
@shakuryoung2547 2 года назад
Ebm nakubali sana TU mola akuzidishie wepesi zaidi
@amaliweston3963
@amaliweston3963 2 года назад
So it's easy to get permanent residency in Canada. Never knew that. Australia and America must be bff. I know people in Australia, who have lived here for more than 10 years and don't have PR. It make life very expensive and stressful.
@user-pt4cn1tr5b
@user-pt4cn1tr5b Год назад
Habari mnayotupatia inasaidia sana.Mnatusaidia wale tuko na hamu na maono.Tony Anampiu-Thika,Kenya
@bushtopsfurnitureinteriors9257
@bushtopsfurnitureinteriors9257 7 месяцев назад
Was very educative one day al come to MISSURI
@jacksonodhiambo3307
@jacksonodhiambo3307 2 года назад
Joyce May God bless 🙏🙏🙏🙏 mama
@janethngowi8783
@janethngowi8783 9 месяцев назад
Dada Joyce na Ebm mnazidi kunisaidia kuelewa vizuri sana kuhusu Canada inabidi nikutafute sana Ebm unisaidie kukamilisha ndoto zangu siku moja nifike huko aliko dada Joyce
@Emily-ck5eu
@Emily-ck5eu 2 года назад
Great people, great souls. May you be blessed always!
@user-pf1pf6cy6s
@user-pf1pf6cy6s Год назад
Joys tafutia mtoto wangu job plz
@franciskamunya5064
@franciskamunya5064 2 года назад
Twajivunia ndugu na Dada kutoka eastAfrica. Twajivunia kwa kutuelimisha vilivyo. Big up.
@alicenyaembu5689
@alicenyaembu5689 2 года назад
Ontario Oakville nko chojo. Nice to see you guys
@christophernikata8254
@christophernikata8254 2 года назад
Nimeipenda sana hii interview, it was so nice. Thanks Mr. EBM endelea kutupa dondo zaid.
@user-os9tq8ld2l
@user-os9tq8ld2l 7 месяцев назад
Thank you for your information may god blessed you all
@user-uc8wd7dg7b
@user-uc8wd7dg7b 11 месяцев назад
Nimependa kama naagalia news flani ivi mko vizuri nimewafwata kurasa zenu
@lovenessrichard1169
@lovenessrichard1169 Год назад
Hongera sana dada Joyce, nipatie kazi huko jamani,aisha magumu sana my love dada
@davidmaina4379
@davidmaina4379 2 года назад
Asante sana Joyce na mgeni EBM mazungumzo mazuri kweli
@johnmungai4206
@johnmungai4206 2 года назад
Nawapata vizuri .nauliza baada ya kupata utapataje mtu wa kukuhost na huna mtu America
@amaliweston3963
@amaliweston3963 2 года назад
Me too dear i understand you, l can't leave Australia and go to leave in Tanzania. My kids won't come with me. Tanzania just holidays. I just have to accept it.
@FreeGod368
@FreeGod368 2 года назад
Ebm Mungu akueke
@OmmysniperTV3839
@OmmysniperTV3839 2 года назад
EBM for life♥️♥️♥️
@amourhemed4343
@amourhemed4343 2 года назад
Your character is more important than your comfort. The Almighty is not going to give you more if you have not learned how to be content; how to count your blessings. Contentment means your accept His Decree.
@visaarena
@visaarena 2 года назад
Nawapata vizuri sana
@samuelbahati7976
@samuelbahati7976 2 года назад
EBM Hongera nakuomba number yako Mungu akulinde maisha yako yote daima Ameen
@masalutz4608
@masalutz4608 Год назад
Asante sana kwshabari zenu
@peterndambuki-wg1fg
@peterndambuki-wg1fg Год назад
Let me know how I can process my self to Canada madam Joyce because haujaguzia the process want to be a truck driver
@robertmwangi1835
@robertmwangi1835 2 года назад
Hakuna Nziii🤣 I really love you Guys ,very healthy insight waaahh it's like tuko Canada already,the experience is WOW...
@evanstweve7720
@evanstweve7720 2 года назад
kwa kweli wewe bro EBM, upewe ulinzi maalum ili kukutunza myda mrefu
@sellesaadhiambo2316
@sellesaadhiambo2316 Год назад
Thank you Joyce for this information. This is great! Now, Joyce, what is the starting point?
@SAIDOMARI-gq4ss
@SAIDOMARI-gq4ss 3 месяца назад
Kaka nakufatilia sana
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 4 месяца назад
Uyu dada ndio wale watu wa kamati roho mbaya unawazungumzia Kila siku
@julietnyawira107
@julietnyawira107 Год назад
Thankyou Joyce you are so true
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 года назад
Safi sana asanteni kwa kutupa elimu
@sylvainkajaju9911
@sylvainkajaju9911 2 года назад
Jambons kakEbm mimi nakufata nikiwa Congo 🇨🇩 nita cheza ou dv loterry iyi mwaka
@aminadube7162
@aminadube7162 Год назад
Naona mgeni greetings Joy mungu awabariki sana
@ericabaga9738
@ericabaga9738 2 года назад
Hongera sana kaka kwa kazi safi unaoifanya
@drallan6879
@drallan6879 2 года назад
Hi Joyce proud of you
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 года назад
Nimekuelewa brother
@carolinemuthoni119
@carolinemuthoni119 2 года назад
You are my favorites joyce
@javajava3461
@javajava3461 Год назад
Asante
@nemesjosephat5612
@nemesjosephat5612 2 года назад
Yani nyiee mungu awajalie
@aminadube7162
@aminadube7162 Год назад
Hy joy Natamani Kuja Canada sana
@apple9711
@apple9711 2 года назад
My brother.God bless you
@davidhurumadogosongs6624
@davidhurumadogosongs6624 2 года назад
Alana sister Joyce wapo waongea Kiswahili hapo Canada
@SAIDOMARI-gq4ss
@SAIDOMARI-gq4ss 3 месяца назад
Da
@muhammedjuma8966
@muhammedjuma8966 Год назад
Madam Joyce habari yako naomba msada wa kuja uko nakufuatilia sana
@morogoromedia
@morogoromedia Год назад
Mama tunashkuru kwa elimu yako
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Год назад
Kaka naomba unitafutie kazi uko
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 года назад
Nahitaji kz hata ya kufangia balabala nk tayari jmn
@meshackngome2270
@meshackngome2270 2 года назад
Tuambie njia za ku appy
@julietnyawira107
@julietnyawira107 Год назад
How do you cope with the cold
@monalisarichy3889
@monalisarichy3889 2 года назад
Naomba kupata information kuhusu immigrant dentistry in Canada or US
@fredyjhosephkapesula7267
@fredyjhosephkapesula7267 Год назад
Hello Joyce Mimi ni Truck driver napenda Sana kuja huko Canada kutafuta maisha nifanyaje ili niweze kufika ?
@theodoreconstantine2565
@theodoreconstantine2565 2 года назад
Nawapata kutoka Tanzania
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 2 года назад
Hao wanapoteza muda ughaibuni huko kazi zote nzuri na nafasi nzuri zenye kipato kikubwa ni wazungu white Africans watumwa wa wazungu kufanya kazi za usafi, viwandani kubeba maboksi maisha expensive gharama usave chochoteee maisha ya kawaida tu Africa maisha mazuri ukikomaaa nafasi nzuri zipo na kazi nzuri hatuna ubaguzi wote ni Africans na mafanikio ni makubwa Nyumbani kenya Tanzania ndio mafanikio na maisha mazuri tunaona wasaniii wana maendeleo wananunua magari ya kifahari wanajenga majumba na wanafungua biashara kubwa tu
@layiandjagacomedy3240
@layiandjagacomedy3240 2 года назад
Huna lolote wewe hiyo ni wivutu huku kila mtu ana maisha yake ,kazi nikazitu si tunaripwa mushahara unafikiri tuna tumikia bure vitu vya utumwa viliisha tangu zamani huku kuna kila aina yakazi hichaguwi wewe ni nani uwe mwa Africa kazi yoyote unapata inionekana wewe umekosa maneno ya kuandika maisha yetu ya huku hayakuhusu achana namaisha yetu sisi hatuko watumwa kuwa na adabu watu wengine hamjui kusema
@zuwenasinde1292
@zuwenasinde1292 Год назад
Acha kukatisha watu tamaa uwe na hekima katika kunena
@YOUTUBE-KE
@YOUTUBE-KE 2 года назад
Nivipi mtu anavyoeza kuenda Canada bila masomo?
@RehemaMwinyi-xs9bx
@RehemaMwinyi-xs9bx 3 месяца назад
He. Llazima uongee kiinnggereza?
@janeoseko4177
@janeoseko4177 11 месяцев назад
Tunaenda website Gani Kwa apply.
@miriamkakwezi7309
@miriamkakwezi7309 Год назад
Ulaya ni ulaya tu.. mbona kwenda uko mnatutoza pesa kuja huko.. fanyeni bure basi kutusaidia
@agnesmaina9662
@agnesmaina9662 2 года назад
Good souls 👍👍👍
@aishasaid9110
@aishasaid9110 2 года назад
nina cousn yangu anaishi canada nimeongea nae anifanyie mpango kanigomea mwisho ananiambia canada maisha ni magumu nyumba ghali sna kukodi kazi hamna kupata kazi ni shida sna na hamna mishahara wallah nimechoka ananiambia hasa kma mie nlokua sijasoma mpaka kiivo nimeishia la 7 ni tabu kupata kazi wanao pata kazi ni wenye elimu sio kma mie
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
@Aisha njoo saudi huku peza zako hupunguzi hata kama ni kidogo kwangu ni mingi nko 3yers saudi nashukuru MUNGU.
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 2 года назад
@@sophiamakani6133 mmh saudi wanatoa watu figo huko!
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 года назад
@@sophiamakani6133 uko saudia ni kz za ndani au ije tuambizane jmn watu tuko na shida
@babyelephant5098
@babyelephant5098 2 года назад
Kama utaweza kufanya video kuhusu mambo ya Taxes za Canada itakuwa poa sana maan mimi naishi USA as an RN nimepata job offer Canada lakini naogopa kuhamia Canda coz nimesikia wanalipa taxes mingi sana. Kama unaweza fanya kuuliza ili tupate clarifications pls.
@violetmamy3498
@violetmamy3498 2 года назад
Please Joyce how can I communicate with you,I need your help,I was Saudi for 3yrs but hua natamani saana kukuja Canada .
@ChikoMathias
@ChikoMathias 6 месяцев назад
Nataka nipate namb yako ili tuongee natamani nifike huko
@davidkitinya4818
@davidkitinya4818 2 года назад
Kwa msaada zaidi nahitaji what's up namba.
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
Ubaya hawapeanangi number
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 года назад
Yeah bro 😍😍😍
@apostlesiza
@apostlesiza 2 года назад
Mimi pia nilirudi tz nilikuwa uk nasoma for 3yrs now toka nirudi ni 10yers but Sasa najutia why aikupanga kukaa uko coa system ya Africa imenishinda now nataka Rudi tena lazima nirudi nimejifunza somo
@Kobe_254
@Kobe_254 2 года назад
Ulikua umesomea nini na ni nini ilikua ngumu kuingiana na system za Africa
@apostlesiza
@apostlesiza 2 года назад
Maisha ya London Yani ulaya yako moja kwa moja hayani longolongo Kama Africa Sasa kutokana na iyo naona aipawezi ngoja nirudi tu uko so mlipokuwa mnaongea hapo juu no kweli kabisa watu tunaenda hatujui tunataka Nini na tunadanganyani eti kurudi tz kiolela olela tu so Mimi nimejifunza kupitia elimu yenu emb mnayotoa RU-vid so sitafanya makosa hayo tena
@Mazoea
@Mazoea 2 года назад
Dada Joyce ni mkenya
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 2 года назад
Nimependa mazungumzo yenu please namba no zenu za whatsap
@dorcasloy7935
@dorcasloy7935 2 года назад
Waohhhhh
@drallan6879
@drallan6879 2 года назад
Be hosted by Kenyan it's pleasure
@faithnyabuto7446
@faithnyabuto7446 2 года назад
How can I get the house maid job
@muhozacaleb4897
@muhozacaleb4897 2 года назад
Dada Joyce sasa hiyo town ndogo unapoishi amo yaitwa aje?
@reginalewiston72
@reginalewiston72 Год назад
Na hakuna inzi nimecheka 🤓
@agnesndinda6484
@agnesndinda6484 2 года назад
Nimekwama hapo kwa hakuna inzi,,😄😄😄
@bensonculture2947
@bensonculture2947 2 года назад
😂😂😂eti alikuja kutembeaa!!!?, Si una hela yakoo?..... Kweli Marekani sio mchezo
@Kobe_254
@Kobe_254 2 года назад
Hapo ni kweli, marekani hawakubembelezi..
@Mazoea
@Mazoea 2 года назад
EBM please Naomba uorodheshe majimbo ambayo ni raisi kimaisha kuishi Nipo Marekani Jimbo la Baltimore Maisha uku magumu sana..
@bijalnicomeds3926
@bijalnicomeds3926 2 года назад
Upo Maryland, hapo maisha cyo magumu.ila ni expensive..panahitji pesa mingi
@berthatz
@berthatz 2 года назад
Njoo Columbus OH…Kazi nyingi maisha cyo juu kama huko MA..
@hildapaul5422
@hildapaul5422 2 года назад
@@berthatz Texas je maisha yako vipo
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 года назад
@@bijalnicomeds3926 Nilidhani hiyo expensive ndio ugumu wenyewe unapokuja?
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 года назад
@@berthatz jmn muliyoko uko twaomba mutusaidie twahitaji kz Elimu dalasa la 7 km inapatikana hata kz ya kufangia balabala mm niko tayari
@hellenndinda4806
@hellenndinda4806 2 года назад
Hivi naomba ikiwa mwaweza nipa namba zenu za what's up?
@kitisyarealestate
@kitisyarealestate Год назад
yaani mi ndio nataka niamie kabisa na kwenda mbinguni niondokee uko
@johnsilomba902
@johnsilomba902 2 года назад
Sasa Na Nikija Huko Na Pesa Zangu Like $500,000 Nataka Kuja Kukaa Huko Na Kufanya Biashara Huko Hapo Vipi ????
@da2jamhuri418
@da2jamhuri418 2 года назад
EBM kiongozi tafdhari niangalizie Kazi popote pale ambapo wewe utakapoona panafaa kutengeneza maisha.
@kabete1099
@kabete1099 2 года назад
Nakuja ughaibuni ata kama ni kwa miguu, huku wamechagua ruto, no future here
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
@Kabete toka huko kabisa kimbia mbio uje huku ughaibuni hata ss tuko huku hadi kieleweke 😄 🤣 😂
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 года назад
Suscachwan au ebm tupe spelling
@joycekcanadacontentcreator
@joycekcanadacontentcreator 2 года назад
Saskatchewan
@adrinenduta286
@adrinenduta286 2 года назад
Joyce in mwizi.... awaiting judgment
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 года назад
@@adrinenduta286 my God why are saying that to your fellow kenyan? Mwizi wa nini? Explain
@adrinenduta286
@adrinenduta286 2 года назад
@@KADALAtv255 she conned me. 5 000 dollars
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
@@KADALAtv255 Ai?? Tope story...kulienda aje??
@zawadix9574
@zawadix9574 2 года назад
Huko USA watoto wana bebe bunduki kama chocolate bora nife bongo Marshall ah
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Hujaalikwa wala..,wee kaa huko kunakokufaa
@zawadix9574
@zawadix9574 2 года назад
@@damariszuckschwert9489 niende ku safisha wazungu Wana shida ndio Wana waza kuenda huko ku safisha viombo!!!!
@Kabi_47
@Kabi_47 2 года назад
@@zawadix9574 why uwaze kusafisha wazungu!?? Kwani we hujasomaaaa!?????
@zawadix9574
@zawadix9574 2 года назад
@@Kabi_47 ume skia video zake ata kama una PhD ukingia asa bila qualifications zao una Anza maisha ya chini sana na hu toboi!!!! Mimi na uncle wangu miaka 25 Yuko huko sithani ata Rudi nyumbani marafiki yake wote wame toboa!!!!! Nyumbani ni nyumbani
@Kabi_47
@Kabi_47 2 года назад
@@zawadix9574Binafsi @@zawadix9574 fani iliyonibeba hapa mjini canada ni UDEREVA msingi ukiingia kiwanja njooo na fani kwanzaaa muulize mtu unayemjua akuambie dereva wa bus la abiria mshahara anaolipwaaaa halaf uliza na msomi mwenye phd au degreee nchi za wenzetu mtu mwenye fani analipwa pesa nyingi kuliko mwenye elimu kubwaaa ✌🏿✌🏿✌🏿 anko yako kurud hawez kwa life la hukooo tena marekaniiiiiii😁😁😁😁😁😁
@DoeMaburi
@DoeMaburi 11 месяцев назад
Dada abari vp naomba namba Yako ya Whatsapp
Далее
RAHA NA KARAHA ZA KUOA UGHAIBUNI
1:15:26
Просмотров 21 тыс.