Mr EBM viombo viako viko sawa kapisa mnaongea na huyu Dada kama mko pamoja yani shwari endelea na Huo moyo wa kutuelimisha utulete wageni wengi mungu akupe maisha marefu sana❤❤❤❤
Kingine nimejiunga na app yako lkn changamoto imekuja ktk kulipia kutokana na mazingira niliyo nayo hivo km kunanjia nyingine ya kuwez kulipia hasa kwa tanzania nasihuku niko ungenifahamisha tafadhali nasijajua unalipia kila unapotak kuingia kuchat au iliuweze kuwa mwana chama utaniwia radhi km kunapahali akutakuwa saw Shukran mung akulipe kwa niayako
Habari, My name is Raymond, and I’m part of the DICOTA team. The convention is still in the works - but, so far, the plan is to have it within the last week of September (this year), and it will most likely be held in Austin, Texas. More in-depth details will come out in the next few months as planning advances. Hope to see you there, if you decide to attend. Karibu sana!
Kaka mkubwa nakupenda kwaajili allha naakuongoze ktk kila atua inshaallah kila mlicho kizungumz kipo sahihi kbc lkn hapo kweny swala zima la passport mmegusa sehem ndipo maan ndio kiini chasafar zot zannje ya nchi lkn pia ndio sehem ngumu kwa nnchi yetu maswali nimeng yakukuban kuliko vigezo vya msing kwahali hiyo imesababisha wasichan wengi kuwa na passport zisizo na umri wao sahihi ili wapate kirahisi kunavingi san juu ya passport nilazima wakubali kubadiri mifumo yao watu wawe huru kupat haki hiyo