Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 52 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: MWANAHERI ATAMBA - ''NAANZAJE KUACHIKA na UZURI WOTE HUU? MTOTO WANGU ANA MAMA WAWILI''
#MWANAHERI #MWANAHERI #MWANAHERI #MWANAHERI
#EXCLUSIVE #EXCLUSIVE #EXCLUSIVE #EXCLUSIVE
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Развлечения

Опубликовано:

 

19 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 104   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Год назад
Ila dada imelda wewe n muandishi bwanaa upo vzur sijawahi kuboeka kwenye mahojiano yako😍
@zahidakhalfan7435
@zahidakhalfan7435 9 месяцев назад
Mashallah! She is so humble and grateful, i like her ❤. May God bless her Much
@faidhacute
@faidhacute Год назад
Ila kama ni kimakonde aisee unakipatia sana mwanaheri aisee hongera
@sharifasumbe1190
@sharifasumbe1190 Год назад
Mashaallah,m/mung akuepushe na husda za wanadam ♥️♥️♥️
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
🤣🤣🤣 mbona ANVESESARIIIIII ila Imelda unatutia aibu wenzio jamani khaaaa 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🙌🙌
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Mashallah, kataka kufanana na Rihama.
@stellamwasha1409
@stellamwasha1409 Год назад
Niliona hivo hivo
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Binafs sijaona Zawadi au kitu vizuri zaid ya mtoto wangu
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id Год назад
Filter zinasaidia xaan kumbe unakitambiiii
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 Год назад
USIOMBE MTOTO TU OMBA MTOTO MWEMA
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Na mpenda sana madam simba 🎉🎉ana juwa kuvyaa huyu 💃mwanaher
@mahdiakite1833
@mahdiakite1833 Год назад
Mashallah
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Anaongea kwa hekima, umkute yupo kimadam Simba sasa 😀😀😀utajua hujui.
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 Год назад
Amefanana na wathailand sura
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Mashaalah mtoto ni furaha sans
@angelrichard899
@angelrichard899 Год назад
Nimekupenda sana mwana heri NIMEJIFUNZA KITU KUTOKA KWAKWOO....
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
Allahumma Amiin 🤲
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Ukweli ndoa ni watu wawili mwanamke mara nyingi akitaka ndoa isiendelee kuwepo itavunjika mwanamke utaachwaje
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Год назад
Ndoa inapangwa na ALLAH hongera sana
@user-oe8nv2tw7w
@user-oe8nv2tw7w Год назад
My schoooool of shanghaaaaniiiii l will neeeever for get youuuuu
@naswiheart5687
@naswiheart5687 11 месяцев назад
Yaani nimekupenda maana umeonyesha kujielewa
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Dada ni mcute mashallah ❤
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 Год назад
Asantee da mwanakheri naomba kazi😢
@user-fd2ut2py7f
@user-fd2ut2py7f Год назад
Nakupenda my
@duasufiani2782
@duasufiani2782 Год назад
Ongela mwaya
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 Год назад
Mmefanana Hadi raha
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Dada usijimalize,hamna anayeingia kwa ndoa ili aachane
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Jiamin mama enjoy enjoy
@zayumar2955
@zayumar2955 Год назад
Masha Allah ❤❤❤ le Madame simbaa love you baby ❤❤❤❤
@user-mo3kr6re8e
@user-mo3kr6re8e 6 месяцев назад
Kabisa
@pamzoscar
@pamzoscar Год назад
I love her so much she never disappoint us.
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 Год назад
Kweli anajuwa sana madam simba Hila vitimbi vyake balaa 😂😂😂
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 Год назад
Wow mashallah Fatma wajina wangu Allah akukuzie kitoto chako
@aggiemarley5742
@aggiemarley5742 Год назад
Mbona Anivesesary lkn ndugu mwandishi?
@bamurangepeace9567
@bamurangepeace9567 Год назад
Never say Never
@faidhacute
@faidhacute Год назад
Nlikuwa najiuliza mwanaheri mbona anajiaamini hivi kumbe ana kiglass pembeni
@KATEMBO682
@KATEMBO682 11 месяцев назад
Kiglasi cha kamnyweso au?! Sijaelewa!!!
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mashaallh kujiamini raha mungu awabariki
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Год назад
Mwanamke kujiamini. Heheee!
@sund2553
@sund2553 Год назад
Imelda punguza mikon hiyo duuu
@AminaFabzoo-tn6bc
@AminaFabzoo-tn6bc 8 месяцев назад
Umezariwa mtwara, umesoma elimu ya msingi shangani na familia yako ipo leluwe. Unakataa vipi kimakonde baada ya kusema ni chakwenu ndomaan unaweza kuongea
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Год назад
Team vibonge na timu vifupi madam Simba kwenye ubora wake
@user-oy9ol3mu9x
@user-oy9ol3mu9x 11 месяцев назад
Muache uhasidi wengine mpe hakiyake nimrembo
@vickytorry100
@vickytorry100 9 месяцев назад
Mkorogo nao unatamba nao🤣kwa kweli sura nzito
@franciscakija1702
@franciscakija1702 Год назад
Ila maadam simba umetuulia "hujambo nini" wetu 😘
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh Год назад
Kabisa kaua afuu mbea balaa anagombanisha aunty' zai na namama Ana
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Год назад
Yule mkongo kumbe ulimuacha?? Afadhali
@ZainaMasoud-ty9qv
@ZainaMasoud-ty9qv 11 месяцев назад
Si aseme ukwli kua anaish na mwaume mungne na nidaktari! Tena wanaish pika pakua, Anaficha nn sasa kuachana si kitu ch kawaida
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 9 месяцев назад
Mmmh. .
@anetmsuya4934
@anetmsuya4934 Год назад
So tuseme hajawahi kuachika amezaliwa akaolewa au hana ex mwenzetu mxuuu
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
Kamuuwa bibi Anna ww . Sasa mbona picha mbili zaharusi? Kisha iti hawujaacha . Ni mme moja wala niwatu mbili tofahuti??
@bintmwadarashi5177
@bintmwadarashi5177 Год назад
Angalia vzur mume n uyo uyo
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
@@bintmwadarashi5177 ok sura kabadirika unaweza zani eti niwana umme 2
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
@@RandB_Channel Hata mimi nilijua ni wawili tofauti.
@mmn7480
@mmn7480 Год назад
Mfyuuuuuuuuuuuu eti mzuri tumbo kama fuko la zibara
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Год назад
Watu wa fupi sisi ni wabishi kinoma😂😂
@eli-shammaaloyce6133
@eli-shammaaloyce6133 11 месяцев назад
Nitabia yako
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Год назад
Muongo mkubwa wewe c umeshaachikaga muda mrefu unaishi na baba epty mumeo alishakuacha.acha kupotosha jamiii
@ZainaMasoud-ty9qv
@ZainaMasoud-ty9qv 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂kivumbi leoooo😂😂😂 aseme ukweli au tumsaidie kusema ??? Kwann amfiche baba iptisam lkn😂😂😂
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 Год назад
Mamdogo umefanana na mtoto wako
@jazillamfalla3675
@jazillamfalla3675 Год назад
Tupo Dodoma tunazipatajee?
@user-rd3jp4kq2n
@user-rd3jp4kq2n Год назад
Jamani kafanana na riyama
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Год назад
Hovyooo mashavu kama panya buku.muonekano huo kwiooo
@babrahmaryam5942
@babrahmaryam5942 Год назад
Muongo shoga siyo kwamba hupost,umeachwa kwa skendo ya usagaji weww na rayuu,na juna jipya unaishi kijichi kwa mama sima umefulia😂😂😂
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Год назад
Mmh we 😢
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id Год назад
Eeh kumbe😳😳😳
@shamsahasan2748
@shamsahasan2748 Год назад
Kumbe unamjua😂😂😂😂😂 lete vitu mwaya
@moshendinda1950
@moshendinda1950 Год назад
Mh! Kweli 😢
@SalamaAkilimali-ly3bu
@SalamaAkilimali-ly3bu Год назад
Mmh
@shyakaeric2444
@shyakaeric2444 Год назад
Kwa uzuri gani masikini na mishavu kama anapuliza moto.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
Mhhhhh mtihani ulitaka aseme vp mkosowee munguu au
@magejuliani5293
@magejuliani5293 Год назад
Ha ha haaaa
@monnahamour9892
@monnahamour9892 Год назад
wivu utakuua😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Hee sio uzuri ndoa kipo anachokiona wewe hukijui wazuri wa sura wapo wengi hawajawahi kuolewa kutwa kuvunja nazi
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Kumekucha comment za waja mhhh😂
@neemaduduma9046
@neemaduduma9046 Год назад
Ushauri wa ngozi na urembo karibuni sana kwenye page yangu
Далее
Beautiful sport😍
00:20
Просмотров 309 тыс.
D3 BMW XM LABEL Король.
31:52
Просмотров 797 тыс.
Cook with Wema Sepetu - S07E03 Niffer
8:04
Просмотров 74 тыс.
NAWATAKA WOTE
9:13
Просмотров 306 тыс.
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 2,9 млн