Тёмный

EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 270 тыс.
50% 1

EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo..
Miongoni mwa watangazaji wa mpira wenye mbwembwe zaidi nchini ni pamoja na Baraka Mpenja, ambaye akiwa anatangaza mpira basi utatamani usiishe aendelee kutangaza tu...
Global TV imemtafuta Baraka Mpenja, na kuzungumza nae alianzia wapi kufanya kazi hiyo mpaka hapa alipo sasa..
#BarakaMpenja
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Опубликовано:

 

13 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 205   
@user-ue7oj5xr8e
@user-ue7oj5xr8e 3 месяца назад
good boy
@ibrahimgyunda3548
@ibrahimgyunda3548 2 года назад
Umejaliwa
@boscojumanne2374
@boscojumanne2374 3 года назад
Uko vizuri baraka mpenja
@sitivuchahe
@sitivuchahe Год назад
nakukubali san
@peterseveline8776
@peterseveline8776 2 года назад
Mkuu we sio mchezo big up kwako.
@asnatishaha3442
@asnatishaha3442 Год назад
Mapenzi
@stevendaudi2226
@stevendaudi2226 4 года назад
Ax
@juliuskiganza2072
@juliuskiganza2072 3 года назад
Mbona hiyo mpenja tv siipati?
@kadiriyusuph2444
@kadiriyusuph2444 3 года назад
Mpenja fundi
@meddy0812
@meddy0812 4 года назад
Baraka Mpenja anazingua kitu kimoja tu na najiuliza Sana kwanini yeye utangazaji wake ni MKAPA STADIUM au UHURU STADIUM tu!?? Atangaze na Nje ya mkoa sio game za DSM tu.
@meshackyudi9487
@meshackyudi9487 4 года назад
Baraka mpenja sauti ya radi.upo juu Sana anko.lets say keep it up
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 10 месяцев назад
Anawapenda? Is this guy ok? I can’t believe sometimes hawa mastaa wa bongo. Admiring and loving are 2 different things!
@yangasimba9408
@yangasimba9408 4 года назад
Nakukubali xana Baraka
@AmperiusAhima
@AmperiusAhima Год назад
Sauti ya radio mwamba wa lumarila doze doze
@hamzarumela1784
@hamzarumela1784 5 лет назад
Baraka unajua bhana, big up Sana mzee
@mgojalehao698
@mgojalehao698 4 года назад
Baraka mpenja ni
@barakamagesa4973
@barakamagesa4973 4 года назад
Ww unaatari xana nakukubali xana Mpenja kazi unaiweza
@athumaniwazirisengoli4321
@athumaniwazirisengoli4321 4 года назад
Bi up brother
@kulwamigo9127
@kulwamigo9127 5 лет назад
Hongera sana kijana,umejaaliwa kipaji...huwa napata mzuka sana unapokuwa unatangaza.
@saidmbiro2365
@saidmbiro2365 5 лет назад
Hongera sana mpenja!wengi hawasemi ukweli kuhusu MAISHA yao walikotoka!Congratulate!!!!
@chataboetz2600
@chataboetz2600 5 лет назад
kama umeona MPEnja kachangamka kuliko anayemuhoji gonga like twende sawa
@mustaphamvungi838
@mustaphamvungi838 4 года назад
Namkubali sn huyu jamaa, katika utangazaji wke.
@khamiskwionya9759
@khamiskwionya9759 4 года назад
Ok
@khamiskwionya9759
@khamiskwionya9759 4 года назад
Namkubali baraka mpenja
@barakajimy356
@barakajimy356 4 года назад
Show mzeeeeeeeee
@haibasalehe3568
@haibasalehe3568 5 лет назад
Utamsikia Asallaam alleykum watz Wenu barak mpenja
@abedinegomgeni6932
@abedinegomgeni6932 4 года назад
Daaa no nouma
@deograciousmaganiko3917
@deograciousmaganiko3917 5 лет назад
Baraka Mpenja sauti ya rad!!!!you are good guy keep it up!!!!!!
@jumakatanga7438
@jumakatanga7438 4 года назад
Morrison.. Ndevu za Caranteen..
@jumakatanga7438
@jumakatanga7438 4 года назад
Shikalo Yanga Wanakutaka Kenya Wanakutaka kakaa.. Lilikua Bonge LA Goal LA Aidan
@amosmashauri7680
@amosmashauri7680 4 года назад
Namwelewa sana jamaa
@stewartjohn5338
@stewartjohn5338 4 года назад
Mpenja kama Kinyambe
@antonkomba4025
@antonkomba4025 5 лет назад
Nakukubali sana
@ommybroun1128
@ommybroun1128 5 лет назад
daaaah kiukwel mm nakupenda san kaka mpenja yan
@paskaliibrahimu8062
@paskaliibrahimu8062 2 года назад
Komaa na hiyo nafac kaka utupe burudan
@mohamedrashid6010
@mohamedrashid6010 4 года назад
Kweli
@evelinerichard7631
@evelinerichard7631 5 лет назад
kaza boot mpenja nafasi hiyo inanyemelewa komaa hapa mjini bana Azam patamu. Good job
@shabanimiyumbaniki9376
@shabanimiyumbaniki9376 4 года назад
Mkn baraka mpenja
@samusonsamwel2567
@samusonsamwel2567 4 года назад
Macho yako yanaona kama yangu goli gani ilo
@baisertz4855
@baisertz4855 5 лет назад
Mi namkubali sana uyu jamaa baraka mpenja hongera bro
@mkombauchale3097
@mkombauchale3097 5 лет назад
yes sauti ya radi
@adamjuma4261
@adamjuma4261 4 года назад
Safi sana mkuu hongera sana. Wewe ukiwa unatangaza basi mimi namkumbuka ezekiel mwalongo mungu marehemu hakika unakipaji mkuu
@victormwakapelo6046
@victormwakapelo6046 4 года назад
Bhanyambalaaaa ebu tulike hapa
@norberththobias228
@norberththobias228 4 года назад
Namba moja bongo
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 4 года назад
Yaaan hayo mahojiano bas watyu watahusisha 👎 Usimba na Yanga
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 5 лет назад
Yupo simba
@haduniidd1386
@haduniidd1386 5 лет назад
Simba. uyo
@dhulhijjabilali143
@dhulhijjabilali143 4 года назад
Kwani kuwa simba tatizo
@hamadkombo9999
@hamadkombo9999 4 года назад
Umeeleweka ndugu asiekuelewa xi mzalendo
@mwanakwaotv4940
@mwanakwaotv4940 4 года назад
Hongera mpenja
@zaituniintiaz8431
@zaituniintiaz8431 5 лет назад
Nataka mechi zote atangaze mpenja kiswahili chake kinakupa furaha sana uchoki kusikiliza
@laulentjoseph2771
@laulentjoseph2771 3 года назад
Upo vizur sana tu
@amosimengele2396
@amosimengele2396 4 года назад
Saaaaaan mzee kwtu isuto
@josephdaud592
@josephdaud592 4 года назад
aiseee unapo mpamba makobo bich najisikaa raha sana
@hassanhussen734
@hassanhussen734 4 года назад
Yan mpenja saut yak unafany mpira unoge mpenj ww ni shida
@michaelkafimbi8370
@michaelkafimbi8370 5 лет назад
hujawahi kuniangusha toka nianze kukufatilia ,,,
@jelistakasochela8992
@jelistakasochela8992 4 года назад
Good mate,umesahau tokea shule ulipenda kutangaza misosi
@charlesmanhe8012
@charlesmanhe8012 4 года назад
Safi sana mpenja uko vizuri
@eduashimsulaji2864
@eduashimsulaji2864 5 лет назад
unajuwa sana kaka
@hezronsolomon4714
@hezronsolomon4714 4 года назад
Unaweza sana broooo mungu kakuteu kutupa rahaaaa
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 5 лет назад
Korea ya Kusini na Japan. Siyo Korea ya Kaskazini
@ezekielpatrick8188
@ezekielpatrick8188 4 года назад
Edward Alex Mkwelele i
@emanuelfocus2353
@emanuelfocus2353 4 года назад
Good you heard that mistake and corrected
@ashelyabel3008
@ashelyabel3008 5 лет назад
Hugo jamaa ndie kanifanya niwe nafuatilia mpira kwa utangazaji wake mashuhuri
@nasrythedone1315
@nasrythedone1315 5 лет назад
Leo naombeni lk zangu nimekuwa wa kwanza
@yohanashawala9148
@yohanashawala9148 4 года назад
Safii
@abedinegoelias9616
@abedinegoelias9616 5 лет назад
Napitia kanuni za FIFA hiv magoli kama haya yanaruhusiwa kweli chama? Yemweyemwe......! Duu...! Ile cku bas tu kwakweli
@linajames6648
@linajames6648 5 лет назад
Hivi MAULID WA kitenge yupo wapi?
@allymtolya7579
@allymtolya7579 4 года назад
upo vizur
@jumamnyoka6931
@jumamnyoka6931 4 года назад
nakubali brother
@lailatyabdallah1723
@lailatyabdallah1723 5 лет назад
Namkubali Sana huyu jamaa
@hamadigolla6138
@hamadigolla6138 4 года назад
We nihatar baraka mpenja
@ommytv9424
@ommytv9424 3 года назад
Mpenja wewe ni yanga hahahaaaaaaaaaa sema ukwer wako
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 5 лет назад
Goal limelia mbu mbuu Kama ngoma ya daku
@geofreysimkoko856
@geofreysimkoko856 4 года назад
Unajibu vizuri kaka
@amanikuntamya9698
@amanikuntamya9698 4 года назад
Daaaa wewe brother unakipaji kama Mimi pia nakupenda sana unapo toa maneno yako ya kitaaa goli la kwanza ni tamu tamu
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 5 лет назад
Huyu Mpenja anafanana flani ivi na Hamad Ndikumana marehemu mume wa Uwoya
@amosmahona433
@amosmahona433 4 года назад
Hahaaha hahahaah Namimi nijaribu Wayaaaa wayaaaa goli la mwisho ni tamu Kama mlendaaaa
@salmaramadhan5386
@salmaramadhan5386 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@faymaulid7850
@faymaulid7850 4 года назад
Nakuelewa sana kaka ile mechi ya Simba na Nkana
@hamisjuma4175
@hamisjuma4175 5 лет назад
good kaka
@patrickmadiwa3845
@patrickmadiwa3845 5 лет назад
daah , nilijua huyu jamaa ni bonge la mtu kumbe ni piriton kama Mimi!!! , dah Hongera braza
@shingongomuzimani8712
@shingongomuzimani8712 5 лет назад
Nimekuelewa sana baraka penja kwa utangazaji wako
@abrahamvictor1125
@abrahamvictor1125 5 лет назад
Ha ha et piriton
@issabosco3531
@issabosco3531 5 лет назад
Akitangaza2 unajua mpira utamu wake, upo vizur sana big up
@jafariufukuufuku5641
@jafariufukuufuku5641 5 лет назад
pamoja mpenja nakuerewa sana kaka
@jumamhando4546
@jumamhando4546 5 лет назад
Wanao xemaa huy jamaa yanga naomben like zen hap
@masingijaabdallah5676
@masingijaabdallah5676 4 года назад
Huyujamn
@yahyashabani2960
@yahyashabani2960 3 года назад
Kaka mpenja nakukubali unahamacxha xna maxhabiki kwenye Gome unajitambua xna bro
@yahyashabani2960
@yahyashabani2960 3 года назад
Upo vzr
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 5 лет назад
Mtangazaj WA mpira mweny vionjo rukuki, Hivi macho yake yanaona km mimi
@trebajmagambo2956
@trebajmagambo2956 3 года назад
Baraka mpenja Nimoja ya watangazaji Duniani ninaempenda kuliko Mtangazaji mwingine yeyote Duniahii
@exaverykapiry1811
@exaverykapiry1811 4 года назад
Mpenja we noooooama saaana kama Ezekielly Malongo vile
@hajihisen9649
@hajihisen9649 4 года назад
Kweli Mpenjaweninoma maanaulimuulizachama chamaanataka kufanyann na akakupajibu
@kyambarungwe4453
@kyambarungwe4453 5 лет назад
nakubary mpenja
@evaristgamba4204
@evaristgamba4204 5 лет назад
mpenja nakukubari sana bro....uwa najaribu kwa Saut ya juu kurudia kile ulichokitamka....najua we ni msimbaz hahah....
@saadaabdullah9981
@saadaabdullah9981 4 года назад
Mpenja pamoja
@mikatejunior1362
@mikatejunior1362 4 года назад
Bao la Morrison kuifunga simba ulitangaza vema sana
@dechaggagirl1614
@dechaggagirl1614 4 года назад
Aseee mtangazaji mahiri
@alvinwanzagi7797
@alvinwanzagi7797 4 года назад
Sawa dogo lakini wewe ni mashabiki wa simba
@mwakyusahealthylifestyle4621
@mwakyusahealthylifestyle4621 4 года назад
Fei totooooooo kiungo fundi
@boazjoseph2175
@boazjoseph2175 5 лет назад
Good interview 😂
@linajames6648
@linajames6648 5 лет назад
Yaani Mpenja hua nakukubaligi sana
@jaydendavian4410
@jaydendavian4410 3 года назад
I know I'm kind of randomly asking but do anyone know of a good place to watch new series online?
@tristanjustice1071
@tristanjustice1071 3 года назад
@Jayden Davian Flixportal xD
@jaydendavian4410
@jaydendavian4410 3 года назад
@Tristan Justice Thanks, I went there and it seems like a nice service =) I really appreciate it !
@tristanjustice1071
@tristanjustice1071 3 года назад
@Jayden Davian no problem xD
@wazidimahenge2811
@wazidimahenge2811 5 лет назад
Safi sana Baraka mpenja Mwanafunzi wetu wa Isuto secondary wilaya ya mbeya mkoani mbeya
@victorjunior2073
@victorjunior2073 5 лет назад
Wazidi Mahenge isuto ya umalila?
@wazidimahenge2811
@wazidimahenge2811 5 лет назад
Victor Junior yes umalila kiongozi
@victorjunior2073
@victorjunior2073 5 лет назад
Daah nilisoma itundu hapo those days
@wazidimahenge2811
@wazidimahenge2811 5 лет назад
Victor Junior hongera sanaa
@al-bsaidykhalef6897
@al-bsaidykhalef6897 5 лет назад
Hahaha ivi macho yako yanaona kama mimi?
@saadaabdullah9981
@saadaabdullah9981 4 года назад
Mwewemwe
@stijenkategemikono3592
@stijenkategemikono3592 4 года назад
Baraka ni moto wa kuotea mbali bigap sana Mpenjaaa.
@davidkatigulajr2212
@davidkatigulajr2212 5 лет назад
mpenja buuaana noumaa sana
@bujiiclassic1964
@bujiiclassic1964 5 лет назад
Mpenja mtanzania na mtangazaji anaongoza kwa kupendwa na watu
@lucysamsoni2598
@lucysamsoni2598 3 года назад
Swali la technique sana kuhusu wachezaji uwapendao ko unaweza kuwataja kumbe Simba wengi alafu tunajua sana we simbaaaaaa
@khasianussamson6227
@khasianussamson6227 4 года назад
Kuna kitu nimejifunza na namna ya kuwachukulia watangazaji nisamehe sana mpenja
@guccij3549
@guccij3549 5 лет назад
😀m2 makn
@allyk5947
@allyk5947 4 года назад
P moenja nakubar
@allyk5947
@allyk5947 4 года назад
Nakubar mpenja
@juliethkigalamtima4671
@juliethkigalamtima4671 5 лет назад
Kwa kweli unajua
@dacotamvuyekule4737
@dacotamvuyekule4737 5 лет назад
Unajua sana broo
@maulidhamad3731
@maulidhamad3731 5 лет назад
Ilikua Sina time ya kuangalia mpora was bongo ila jamaa amenishawishi kwa utangazaji wake, sante mpenja
@zahorkhalifa9138
@zahorkhalifa9138 4 года назад
Huyu ni simba dam dam
@mohamedydady2871
@mohamedydady2871 4 года назад
We ni yanga damu haina ubishi maana kila ukiongea lazima utaje timu ya wananchi mpenja wapo wapo watangazaji mpira wanaonyesha mapenzi ya wazi kama enock bwigane, hadi anapoozesha mpira ,
@gervaswenceslaus6158
@gervaswenceslaus6158 5 лет назад
Ukumsikiliza kwa makini baada kuhojiwa huyu ni YANGA! Gonga like kama umemshtukia
@juniorbenito709
@juniorbenito709 5 лет назад
Mina.mweelewa baraka ila hapo kwnye yanga sina uhakika
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 лет назад
Mimi ndio mpenja Mimi simba damu usipate tabu
@isackernest7740
@isackernest7740 5 лет назад
Yani ukiwa unatagaza ww ata kama tim yang imefugwa unafariji sana
@baloonmedics163
@baloonmedics163 5 лет назад
Wewe nakufananisha na marehemu Hassan Mkumba na Dominic Chilambo hao ndio size yako dogo sauti safi, vionjo makini kabisa. Hongera sana ongeza bidii. Ukiweza tafuta CD za Hassan mkumba utanielewa.
@bakarimaogo6812
@bakarimaogo6812 4 года назад
Unajuwa hata juma ngamea hakufkii kaka mpenja
@nasrampochi5463
@nasrampochi5463 4 года назад
Sema nimekugundua kuwa ww ni mshabiki mwenangu wale wale wapolini
@barakajimy356
@barakajimy356 4 года назад
Nakukubal mpenja ata usingesomea uko kaz mwenyez mung alikujalia kipaj icho
@rashidmughairy6456
@rashidmughairy6456 5 лет назад
Aah.. ila mkamia alikua mnazi wa simba shahri dhahiri
@yesetarimo921
@yesetarimo921 5 лет назад
kaza kiongoz tunakukubali sana
@jimmy24276
@jimmy24276 4 года назад
Kuna jamaa flan anajiita zungu yule mtangazaji wa mechi za Corona na tz 😜😜 naye yuko vzr apewe nafas
@innocentsalim9303
@innocentsalim9303 5 лет назад
ww n mashine mwanangu PGA kaz
Далее
A small kitten was dumped #cat #kitten #cutecat
00:41
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Просмотров 55 млн
Батя всех бургеров на 7000 ккал!
00:55
Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
6:24
Просмотров 10 млн
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
Просмотров 554 тыс.
A small kitten was dumped #cat #kitten #cutecat
00:41