Hua kuna watu wanakera ,unapotaka kutoa habari kuhusu mtu muhimu kwa Taifa na Africa kwa ujumla hakikisha una data za maana,za kutosha na za ukweli na sio kubumba bumba tu ,mwacheni Af mabeyo ni mtu mkubwa sana mwenye heshima zote , MUNGU ampe maisha marefu yenye amani tele mwamba wa Africa
Jwtz Toka lini ikawa jeshi la kujenga taifa acheni kukukurupuka kwenye kuapdates story Ili kupata views bhana pitieni kazi kabla yakupost msitupotoshe wengine tunajitambua.
Data mala nyingine huwa zinapotea ama kusahaulika so kwetu Tunahesabu kama "kosa " Hivyo kama haujaskia hicho kikosi Basi Ujue hajapitia ama kimesahaulika
@@FridayMwassa Waislam ndio walio fanya ukoloni(colonialism), Waislam ndio waliowaletea UKIMWI(AIDS Violence), waislam ndio waliowaletea ushoga(ni moja ya njia za mpango wa uzani walizowaletea wazungu), waislam ndio waliofanya biashara ya utumwa(The triangle trade/African slave trade). Waislam ndio waliouwa watu Afrika kusini? Shida yenu mkisikia waarabu tu mnakimbilia waislam! Dini za KALE kabla ya uislam pale arabuni; za Kisemiti, Ukristo, Uyahudi, Mandaeism, na Zoroastrianism. Ukristo uliongzeka hapo baada ya kuanzishwa na wazungu na baada ya kukinzana na ile Mila aliyoachiwa Nabii Abraham, ndipo mkaletewa chuma kuwakumbusha kuwa hizo mlizonazo sio njia sahihi! Sema wazungu wamekuwa na vita za kiuchumi toka enzi, leo Israel anafanya ugaidi lakini bado mnasema taifa teule! Kuna taifa teule linaruhusiwa kuuwa?