Тёмный
No video :(

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 97 тыс.
50% 1

KWENYE EXCLUSIVE za IMELDA MTEMA ndani ya Global TV amepiga storo na Lisa Jua Kali mrembo anayefanya poa sana kwenye tamthiliya ya Jua Kali....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 154   
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Ambao bado tupo na neema ya kuwa na wazazi duniani tujitahidi kuwafanyia wema pole sana dada
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Kwakweli
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Год назад
Kweli kbs
@user-kp3su2zu7r
@user-kp3su2zu7r Год назад
Kabisaaa maana ambao hatuna wazazi acha kabisaa inaumaa
@rehemaaman4685
@rehemaaman4685 Год назад
Ameeen kwell tulio na wazazi tuwapenda Eva wewe ni bint unayejielewa Mungu akutunze na akupe umri mrefu na wenye mafanikio
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 9 месяцев назад
Naenda kukufollow evaaaaaa😄😄😄😄 kumbe in person uko charming Hivi 😂😂😂🥰🥰🥰🥰
@mohdsolutions6952
@mohdsolutions6952 Год назад
Tangu nimeanza kumuona kwenye jua kali nikaanza kumpenda, Mungu amtie nguvu
@RestutaKelvin-jm4uw
@RestutaKelvin-jm4uw Год назад
Kwenye haya maisha kila unachokiishi kuna mwingine nae anaishi, yaniiii umeni inspire sana nipambane
@mariamsamwel2750
@mariamsamwel2750 Год назад
Wasichna watoke wajitume life n ngumu but lazima tupambane kma watoto wakike mungu atatubarikii amen 🙏
@angellwehela4303
@angellwehela4303 Год назад
Sahihi
@msalice4451
@msalice4451 Год назад
Pole Eva Kwa kufiwa na mama MAPENZI ya mama ni matamu sana❤❤❤❤❤❤❤
@sospeterurassa9894
@sospeterurassa9894 11 месяцев назад
Hongera Eva,yaani hayo uluiopitia kwa ndugu zako ndio daraja lako Mungu alilotumia kufika ulipo, Wapende sana na uwasaidie kwa furaha,
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c Год назад
Hongera mate wangu, Mungu amekupa alichokihitaji kukifanya, maisha siku zote nikupitia mapito ili upate cha kusimulia.
@user-zb6qu7og4n
@user-zb6qu7og4n Год назад
Uyu alikua anakaa singida sehemu gani nakasoma shule gani
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c Год назад
Nimesoma nae Gumanga secondary, Wilaya ya Mkalama.
@user-zb6qu7og4n
@user-zb6qu7og4n Год назад
Haaaa asante nilijua Town
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c Год назад
@@user-zb6qu7og4n Hapana my
@irenebwire
@irenebwire Год назад
Nampenda bure lissa🥰🥰🥰🥰😍
@danielmsuya720
@danielmsuya720 6 месяцев назад
Pole sana Lissa, kwakumpiteza Mama. Mungu amekuandalia mazuri sana. Barikiwa Mpendwa.
@KissaMwaibila-xp7io
@KissaMwaibila-xp7io 14 дней назад
Samehe dear watu wanapita ktk mitihani sanaaa,pole sanaaa
@MeriMari-ol3ii
@MeriMari-ol3ii Год назад
Pole sana Lisa kwa kumpoteza mama
@Mjuni3
@Mjuni3 7 месяцев назад
Una akiri sana, nimekupenda nakuona kama ndugu yangu
@janerosenjonyoli576
@janerosenjonyoli576 Год назад
Napenda unavojbu maswal yan unajibu vizur,polee kwa yaliyokukuta n maisha tu
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Pole sana wengine bado tunashida tu allah atupe riziki
@samiramawby1257
@samiramawby1257 10 месяцев назад
Hongera tulioishakutana na hiyo hali tunakuelewa congratulation umetuwakilisha wengi japo wengine na misaada tumewapa watesi wetu na kuwajengea ila bado wanatufatilia kuturoga hadi tunatamani kupaa tuishi mawinguni ambapo hawatafika ili hata watushukuru siyo kutuumiza
@lovenessmackline6606
@lovenessmackline6606 Год назад
Nampenda uyu mdada❤❤❤
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 3 месяца назад
Mungu akubariki kila iitwapo Leo 🙏
@lucyjoseph3335
@lucyjoseph3335 Год назад
Pole kumbe umepitia maisha magumu ivo jaman lakn ndugu zako wanaonekana wanamaisha mazur tu pale singida
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 9 месяцев назад
Napenda unavocheka mwaya😂😂😂😂😂😂
@JoyceKidoti-um3kt
@JoyceKidoti-um3kt 10 месяцев назад
mungu akulinde sikuzote my dear pia unaigiza vizuri
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Pole sana eva ndo maisha tulopitia sitamani niishi kwa mtu hata kwenda kusalimiya
@MshananeyMshananey
@MshananeyMshananey Год назад
Yaani Maryam umeongea kama Mimi sitaki mazoea na Ndugu kabisa
@MshananeyMshananey
@MshananeyMshananey Год назад
Yaani Maryam umeongea kama Mimi sitaki mazoea na Ndugu kabisa
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 Год назад
Pole sana ndio maisha yalivyo
@mmn7480
@mmn7480 Год назад
I love you sister imelda
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Nakupenda sana Asia
@olgakayihura3254
@olgakayihura3254 5 месяцев назад
Love you sweetheart ❤ unamoyo muzuri mama 😘
@SelemanMuhamed-ir5zl
@SelemanMuhamed-ir5zl Год назад
Eva ethan wa morogoro anakusalimia. Anakupenda sana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Aise hii story imeniliza sna i wish siku na mimi nipate chansi ya kuojiwa dada maana Niko na mengi sana mnooo ila ndio ivyo 😢😢😢😢
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 Год назад
Tutakuoji 2050 kwaiyo kaa kwa kutulia na ayo matatizo yako
@hamidahamadi
@hamidahamadi Год назад
​@@homesaickofficial7407 hahahahah et 2050 wallah unavituko wewe
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Год назад
​@@homesaickofficial7407 😂😂😂
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Год назад
Unatakiwa uishi na watu mbona wewe watu walikaa na wewe hukumbuki hiro kuwa na shukrani
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Pole huyu sababu ni msanii mkabizi Mungu omba yataisha Mungu wetu ni mwema
@shirondungu4412
@shirondungu4412 Год назад
Eva you are my favorite. Bigup dear .. u are a strong woman n l like your parsonality
@shafiamustafa7856
@shafiamustafa7856 Год назад
Yaan huyu dada story yake ni kama yangu kbsaa jaman wadada tunaweza tuache kukata tamaa
@angelamarlow4834
@angelamarlow4834 Год назад
Km mimi tu jpo mimi bado sina kwangu ila iyo history yangu kbs
@fadhilasalimsalimshoo-hf3ju
Yani wote aisee kama mimi nyie ety🥺🥺🥺
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Ombeni Mungu Mungu wetu ni mwema tupieni matatizo yote kwakwe atachelewa lakin atajibu usichoke
@GerardEmanuel
@GerardEmanuel 2 месяца назад
I like it Eva or lisa pambana sana na Mungu hata kufanyia wepesi ili utoboe kimaisha dada maana sote tunapita hapo kwenye so hard
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 Год назад
Pole sana,
@sandrine6562
@sandrine6562 7 месяцев назад
Mahi namupenda Sanna
@ashahassan2120
@ashahassan2120 Год назад
Pole niwengi tumepitia magnum mm nakuelewa sana
@jazmelgar
@jazmelgar 2 месяца назад
Nakupenda sana eva wangu
@mashakhamiss6598
@mashakhamiss6598 Год назад
Sina tofauti na Eva nimejikuta nalia sana nataman Mama yng ningekuwa nae na kumfanyia mengi mazuri,ila mm hadi Baba nimempoteza yaan dah! 😭😭😭
@totobigi274
@totobigi274 Год назад
Mimi sina wote na ndugu kunitenda.ninacho shukuru mungu ni upendo wake ,mume wangu na wanangu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Год назад
Polen Sana jmn wapendwa woote mliofiwa na wazazi wenu safar y kwetu sote 😭🙏
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Год назад
Pole
@akbaslismh9874
@akbaslismh9874 Год назад
Poleni sana😢
@annethsongwe6063
@annethsongwe6063 10 месяцев назад
Ni km Mimi na Mungu ni mwema hajawahi niacha
@MarthaCosmas-dk9cq
@MarthaCosmas-dk9cq Год назад
Nakupenda lisa
@user-de5kv4pt3t
@user-de5kv4pt3t 7 месяцев назад
That's happened to me but I thanks God know I own my house
@annethycyprian3520
@annethycyprian3520 Год назад
Daah maisha yangu kbsa😭
@ginzerakitojo
@ginzerakitojo Год назад
Nakupenda
@solangebagal149
@solangebagal149 Год назад
Aki hii interview nikama tu ana niongeoea mimi nilicho pitia ,ingawa mm mama yupo,Ila Mungu nimwaminifu
@wowwow494
@wowwow494 Год назад
Una takiw kushkur kwanz Mungu kila siku arafu Ramata atakuw mtutu wapili wakushkur
@rachelbathromew6223
@rachelbathromew6223 Год назад
Dada Eva anaongea point sana
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Год назад
Leo MTANGAZAJI umependeza ndo mara yangu ya kwanza kukuona umependeza hongera
@esterstaphord5184
@esterstaphord5184 Год назад
😂😂😂😂aise
@zulfayusra8747
@zulfayusra8747 Год назад
Mmh😂😂
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Ahahahaha!
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂Jaman
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Год назад
Sikuizi anapendeza tu
@user-gc4wk7ze3u
@user-gc4wk7ze3u 4 месяца назад
Nimekukubal sana eva natamani sana nifikie ulipo
@user-rv7zt6tj3d
@user-rv7zt6tj3d Год назад
Trauma inamsumbua sana lbd kwavile maisha aliyopitia ndio yanamfany awe lonely, strong na anajiahid kuish kwa aman alone ana traum anahitaji mtu au mume atakaye tak plac ajihis normal.. maisha ndio yalivyo up and down tusikate tamaa na kuwa na subr.
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Maskini masenga c amuoe tu
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 Год назад
Basi iyo trauma hata mm naona inanisumbua
@omarykitua3843
@omarykitua3843 Год назад
Yan mpk machoz yamenitoka 😢😢😢mung aendelee kukujaalia zaid na zaid ufanikiwe mpk wale walokutenga wakupigie magot uku wanalia kukuomba msamah
@monicaneema7305
@monicaneema7305 Год назад
Usimsahau baba mdogo na mama mdogo pia .wamekutoa mbali
@Ebben-hm8gw
@Ebben-hm8gw Год назад
Lisa pole
@milkaboaz1244
@milkaboaz1244 Год назад
Dah akuna kitu kinauma kama kufukuzwa ndo maisha mdogo wangu
@user-cr3ln9ex9k
@user-cr3ln9ex9k 9 месяцев назад
Da pole mwaya Kwa uloyapitia ndio maisha
@Fatma-qi9yc
@Fatma-qi9yc Месяц назад
@zainabukilumbi5061
@zainabukilumbi5061 10 месяцев назад
pole hata mm natamanigi angekuwepo mama kwa sasa nngekuwa nmpatia kile nikipatacho
@olicej7837
@olicej7837 Год назад
Upo Safi my dia ila shida ni wigi 😀😀😀😀😀Yaani linakukera na mimi pia linanikera unavojikuna kila muda😃😃😃😃😃😃
@anithabahimana-hp8en
@anithabahimana-hp8en Год назад
Pore sana eva
@RadioSmk
@RadioSmk Год назад
Nakupenda saaana
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Pole Eva
@samiramawby1257
@samiramawby1257 10 месяцев назад
Usije kuthubutu kumpokea mtesi wako make haji kwa kitu kimoja bali anakuja pia kukurudisha nyuma ili uendelee kuwa wa chini na wakucheke kama kawaida
@MuuSaid
@MuuSaid 5 месяцев назад
waooohoo
@AlphoKag-jm5ib
@AlphoKag-jm5ib 14 дней назад
Mbone kama maisha ya eva alisi n'a juakali Lina match
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k Год назад
Mi siko single ila niko2 mwenyewe😢😢😂😂😂
@AnithaSwedisintia-jy5nk
@AnithaSwedisintia-jy5nk Год назад
Mmmmm nipesiri
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k Год назад
@@AnithaSwedisintia-jy5nk 🤣🤣🤣eva ndivo kajibu hukuskia😁😁a2pe jib sahh
@annamnyazi8206
@annamnyazi8206 2 месяца назад
❤❤❤❤❤
@roqayaro9439
@roqayaro9439 Год назад
INALILAH WAINA RAJIRUN ATA MIMI NIMEMPOTEZA MAMA SIKIA KAMA UNAPATA LIDHIKI MTOLEE SADAKA MAMA YAKO MUOMBEE DUA INAMFIKIA NAKUKUBALI UPANDE WA KUINGIZA
@Official83640
@Official83640 Год назад
Kwahy Seleman Masenga mmebwagana au 😮😮😮
@Jijuw
@Jijuw Год назад
Zamani
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Год назад
Pole
@NyandwiAntoinette-nj2si
@NyandwiAntoinette-nj2si 10 месяцев назад
Pole dada Eva Ila napenda msimamowako nakujua usamaniwa mama
@mariamnur1036
@mariamnur1036 Год назад
Ni mtu kua n Akili Tu nakujua unatka nn kwnye maisha....mbona utafurai duniani
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj Год назад
Pambana mdogo mungu Yuko pmj nawe
@praisesteven7774
@praisesteven7774 Год назад
imagine uyo ndugu anasikiaaa hii interview aisee cjui ana feel vp jmn tuache roho mbayaaa no body know tomorrow ndio maan naumiaaa saan mtu akimsemaaaa mtu ambae yupo kwetu 😖😖😖yaan mim sipnd manyanyasoooooo
@jojo-ne3oy
@jojo-ne3oy Год назад
🙏🙏🙏
@user-yw9yo9qp2j
@user-yw9yo9qp2j 7 месяцев назад
Mambo
@FatmaLaurent-ik3or
@FatmaLaurent-ik3or Год назад
Love you baby
@judithminja6386
@judithminja6386 Год назад
Yan hii story ni mm kabisa sema tu sijatajirika ad sasa
@mariamcrispo8296
@mariamcrispo8296 Год назад
Nikiangaliaga mahojiano ya hivo lazima nilie maana najua mwenyewe yalotokea
@avitaasimwe1800
@avitaasimwe1800 Год назад
Story za hivi ukisikiliza unalia halafu unaongeza machozi ya matatizo yako machozi yanaongezeka zaidi acha tu haya maisha daaaah😢😢😢😢 kila mtu akipewa nafasi ajieleze hapa unaweza ukasema ya kwako yana afadhali
@mariamcrispo8296
@mariamcrispo8296 Год назад
@@avitaasimwe1800 moyo unaumia sana
@avitaasimwe1800
@avitaasimwe1800 Год назад
@@mariamcrispo8296 Kuna mengi tunapitia hasa hasa sisi wanawake acha kabisa
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Pole sanaaa😢sio wewe pekeyako😢Mungu ataenderea kutupa ujasiri wakuenderea kusikiliza,lengo tufarijike baada yakuona tatizo lako nidogo, kuriko la mtu mwingine🙏
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Pole sanaa,sio siri nimeshindwa kuvumilia 😭😭😭😭😭
@sakinahamis6443
@sakinahamis6443 Год назад
Piga kazi mdogowangu
@PendoZacharia-ss1sd
@PendoZacharia-ss1sd Год назад
Kiukweli umepitia mengi Ila pambana ndugu yangu
@furahaakilei7336
@furahaakilei7336 9 месяцев назад
Dada uko kama mimi
@user-cn4eo4ku5e
@user-cn4eo4ku5e Год назад
❤❤🤝👍
@prettygirl9733
@prettygirl9733 Год назад
Sakina
@NajmaNassoro-jg8oo
@NajmaNassoro-jg8oo Год назад
Dah mama akifa akuna tena zaidi yke
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Год назад
Eva juakali, aka lissa wa rapcha
@jacklinemahende1007
@jacklinemahende1007 Год назад
Jmn kukaa kwa ndugu achen ni shida
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Год назад
Nani kaona eva wigi linamkera
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 Год назад
Amezoea kukaa kipara
@centrinenyukuri9076
@centrinenyukuri9076 Год назад
♥️♥️♥️😭
@user-wx4zd5ch9e
@user-wx4zd5ch9e Год назад
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@sisifaty9183
@sisifaty9183 Год назад
Unanikumbusha mengi mwanangu
@richardgabriel8345
@richardgabriel8345 Год назад
Pole shoga yangu ila mi natamani kua muigizaji cjui nifanyaje hua napenda sana😂
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Eva 😂😂
@rosemarenga832
@rosemarenga832 Год назад
Pol San jmn ❤❤❤
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 9 месяцев назад
Huyu muongo
@nangasukitoy9024
@nangasukitoy9024 Год назад
Nakukumbuka vizur kipindi Cha tuition UKOMBOZI
@aishahezron7474
@aishahezron7474 Год назад
Pole eva
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Tuone basi mazingira 🙄
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Год назад
😂😂😂😂😂
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
😂😂😂😂😂😂🤦
@olicej7837
@olicej7837 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ani nimecheka
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Год назад
Mazingira si ndio hayo yanaoneka Rafiki?
@praisesteven7774
@praisesteven7774 Год назад
mahangaikooo gan sema kudangaaaa 🤣🤣🤣🤣
@tausishabani263
@tausishabani263 Год назад
Hata Kama kudanga siana pata lizki we hapo unandugu wangapi wanadanga nahawana chochote hata chumba hawana mxxxxm
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Daaaa 🙆Ongera kwaujasiri wakuropoka ivyo❌hira nakusisitiza usisaau kumuombea hiri awe kama wewe🙏
@shafiamustafa7856
@shafiamustafa7856 Год назад
Wivu unakusumbua huna lolote
@MshananeyMshananey
@MshananeyMshananey Год назад
Alikuwa anamdangia Babako Mbwa wewe Punguza makasiriko mtoto wa kiume ...wivu tuuu
@jacqueli18
@jacqueli18 Год назад
Umejitaidi ku coment ila unajisikiaje ku coment pumba alafu unajichekesha
@BupeNdagile-c2f
@BupeNdagile-c2f 2 дня назад
Naomb namb yako ya WhatsApp
@BupeNdagile-c2f
@BupeNdagile-c2f 2 дня назад
Naomb namb ya WhatsApp
@user-ko6cx3lm2v
@user-ko6cx3lm2v 6 месяцев назад
❤❤❤❤
Далее
when you have plan B 😂
00:11
Просмотров 5 млн