Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 52 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: MWANAHERI ATAMBA - ''NAANZAJE KUACHIKA na UZURI WOTE HUU? MTOTO WANGU ANA MAMA WAWILI''
#MWANAHERI #MWANAHERI #MWANAHERI #MWANAHERI
#EXCLUSIVE #EXCLUSIVE #EXCLUSIVE #EXCLUSIVE
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Развлечения

Опубликовано:

 

19 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 104   
@globaltv_online
@globaltv_online 11 месяцев назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 11 месяцев назад
Ila dada imelda wewe n muandishi bwanaa upo vzur sijawahi kuboeka kwenye mahojiano yako😍
@faidhacute
@faidhacute 11 месяцев назад
Ila kama ni kimakonde aisee unakipatia sana mwanaheri aisee hongera
@sharifasumbe1190
@sharifasumbe1190 11 месяцев назад
Mashaallah,m/mung akuepushe na husda za wanadam ♥️♥️♥️
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад
Mashallah, kataka kufanana na Rihama.
@stellamwasha1409
@stellamwasha1409 11 месяцев назад
Niliona hivo hivo
@zahidakhalfan7435
@zahidakhalfan7435 8 месяцев назад
Mashallah! She is so humble and grateful, i like her ❤. May God bless her Much
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 11 месяцев назад
Na mpenda sana madam simba 🎉🎉ana juwa kuvyaa huyu 💃mwanaher
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 11 месяцев назад
Mashaalah mtoto ni furaha sans
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 11 месяцев назад
🤣🤣🤣 mbona ANVESESARIIIIII ila Imelda unatutia aibu wenzio jamani khaaaa 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🙌🙌
@jescajulius8023
@jescajulius8023 11 месяцев назад
Binafs sijaona Zawadi au kitu vizuri zaid ya mtoto wangu
@angelrichard899
@angelrichard899 11 месяцев назад
Nimekupenda sana mwana heri NIMEJIFUNZA KITU KUTOKA KWAKWOO....
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 11 месяцев назад
Amefanana na wathailand sura
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id 11 месяцев назад
Filter zinasaidia xaan kumbe unakitambiiii
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 11 месяцев назад
Ndoa inapangwa na ALLAH hongera sana
@mahdiakite1833
@mahdiakite1833 11 месяцев назад
Mashallah
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 11 месяцев назад
USIOMBE MTOTO TU OMBA MTOTO MWEMA
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 11 месяцев назад
Dada ni mcute mashallah ❤
@user-oe8nv2tw7w
@user-oe8nv2tw7w 11 месяцев назад
My schoooool of shanghaaaaniiiii l will neeeever for get youuuuu
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 11 месяцев назад
Asantee da mwanakheri naomba kazi😢
@duasufiani2782
@duasufiani2782 11 месяцев назад
Ongela mwaya
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 11 месяцев назад
Mmefanana Hadi raha
@user-fd2ut2py7f
@user-fd2ut2py7f 11 месяцев назад
Nakupenda my
@user-mo3kr6re8e
@user-mo3kr6re8e 5 месяцев назад
Kabisa
@pamzoscar
@pamzoscar 11 месяцев назад
I love her so much she never disappoint us.
@naswiheart5687
@naswiheart5687 10 месяцев назад
Yaani nimekupenda maana umeonyesha kujielewa
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 11 месяцев назад
Allahumma Amiin 🤲
@zayumar2955
@zayumar2955 11 месяцев назад
Masha Allah ❤❤❤ le Madame simbaa love you baby ❤❤❤❤
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 11 месяцев назад
Wow mashallah Fatma wajina wangu Allah akukuzie kitoto chako
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 месяцев назад
Jiamin mama enjoy enjoy
@dayana5513story
@dayana5513story 11 месяцев назад
Ukweli ndoa ni watu wawili mwanamke mara nyingi akitaka ndoa isiendelee kuwepo itavunjika mwanamke utaachwaje
@happylynguya3464
@happylynguya3464 11 месяцев назад
Anaongea kwa hekima, umkute yupo kimadam Simba sasa 😀😀😀utajua hujui.
@bamurangepeace9567
@bamurangepeace9567 11 месяцев назад
Never say Never
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 11 месяцев назад
Kweli anajuwa sana madam simba Hila vitimbi vyake balaa 😂😂😂
@jescajulius8023
@jescajulius8023 11 месяцев назад
Dada usijimalize,hamna anayeingia kwa ndoa ili aachane
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 11 месяцев назад
Mwanamke kujiamini. Heheee!
@aggiemarley5742
@aggiemarley5742 11 месяцев назад
Mbona Anivesesary lkn ndugu mwandishi?
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 11 месяцев назад
Mashaallh kujiamini raha mungu awabariki
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 11 месяцев назад
Team vibonge na timu vifupi madam Simba kwenye ubora wake
@faidhacute
@faidhacute 11 месяцев назад
Nlikuwa najiuliza mwanaheri mbona anajiaamini hivi kumbe ana kiglass pembeni
@KATEMBO682
@KATEMBO682 10 месяцев назад
Kiglasi cha kamnyweso au?! Sijaelewa!!!
@sund2553
@sund2553 11 месяцев назад
Imelda punguza mikon hiyo duuu
@AminaFabzoo-tn6bc
@AminaFabzoo-tn6bc 7 месяцев назад
Umezariwa mtwara, umesoma elimu ya msingi shangani na familia yako ipo leluwe. Unakataa vipi kimakonde baada ya kusema ni chakwenu ndomaan unaweza kuongea
@franciscakija1702
@franciscakija1702 11 месяцев назад
Ila maadam simba umetuulia "hujambo nini" wetu 😘
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh 11 месяцев назад
Kabisa kaua afuu mbea balaa anagombanisha aunty' zai na namama Ana
@janethjonas1700
@janethjonas1700 11 месяцев назад
Yule mkongo kumbe ulimuacha?? Afadhali
@user-oy9ol3mu9x
@user-oy9ol3mu9x 11 месяцев назад
Muache uhasidi wengine mpe hakiyake nimrembo
@vickytorry100
@vickytorry100 9 месяцев назад
Mkorogo nao unatamba nao🤣kwa kweli sura nzito
@mmn7480
@mmn7480 11 месяцев назад
Mfyuuuuuuuuuuuu eti mzuri tumbo kama fuko la zibara
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 11 месяцев назад
Watu wa fupi sisi ni wabishi kinoma😂😂
@eli-shammaaloyce6133
@eli-shammaaloyce6133 11 месяцев назад
Nitabia yako
@jazillamfalla3675
@jazillamfalla3675 11 месяцев назад
Tupo Dodoma tunazipatajee?
@RandB_Channel
@RandB_Channel 11 месяцев назад
Kamuuwa bibi Anna ww . Sasa mbona picha mbili zaharusi? Kisha iti hawujaacha . Ni mme moja wala niwatu mbili tofahuti??
@bintmwadarashi5177
@bintmwadarashi5177 11 месяцев назад
Angalia vzur mume n uyo uyo
@RandB_Channel
@RandB_Channel 11 месяцев назад
@@bintmwadarashi5177 ok sura kabadirika unaweza zani eti niwana umme 2
@happylynguya3464
@happylynguya3464 11 месяцев назад
@@RandB_Channel Hata mimi nilijua ni wawili tofauti.
@ZainaMasoud-ty9qv
@ZainaMasoud-ty9qv 11 месяцев назад
Si aseme ukwli kua anaish na mwaume mungne na nidaktari! Tena wanaish pika pakua, Anaficha nn sasa kuachana si kitu ch kawaida
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 9 месяцев назад
Mmmh. .
@user-rd3jp4kq2n
@user-rd3jp4kq2n 11 месяцев назад
Jamani kafanana na riyama
@anetmsuya4934
@anetmsuya4934 11 месяцев назад
So tuseme hajawahi kuachika amezaliwa akaolewa au hana ex mwenzetu mxuuu
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 11 месяцев назад
Mamdogo umefanana na mtoto wako
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 11 месяцев назад
Muongo mkubwa wewe c umeshaachikaga muda mrefu unaishi na baba epty mumeo alishakuacha.acha kupotosha jamiii
@ZainaMasoud-ty9qv
@ZainaMasoud-ty9qv 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂kivumbi leoooo😂😂😂 aseme ukweli au tumsaidie kusema ??? Kwann amfiche baba iptisam lkn😂😂😂
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 11 месяцев назад
Hovyooo mashavu kama panya buku.muonekano huo kwiooo
@shyakaeric2444
@shyakaeric2444 11 месяцев назад
Kwa uzuri gani masikini na mishavu kama anapuliza moto.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 11 месяцев назад
Mhhhhh mtihani ulitaka aseme vp mkosowee munguu au
@magejuliani5293
@magejuliani5293 11 месяцев назад
Ha ha haaaa
@monnahamour9892
@monnahamour9892 11 месяцев назад
wivu utakuua😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 месяцев назад
Hee sio uzuri ndoa kipo anachokiona wewe hukijui wazuri wa sura wapo wengi hawajawahi kuolewa kutwa kuvunja nazi
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 месяцев назад
Kumekucha comment za waja mhhh😂
@babrahmaryam5942
@babrahmaryam5942 11 месяцев назад
Muongo shoga siyo kwamba hupost,umeachwa kwa skendo ya usagaji weww na rayuu,na juna jipya unaishi kijichi kwa mama sima umefulia😂😂😂
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 11 месяцев назад
Mmh we 😢
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id 11 месяцев назад
Eeh kumbe😳😳😳
@shamsahasan2748
@shamsahasan2748 11 месяцев назад
Kumbe unamjua😂😂😂😂😂 lete vitu mwaya
@moshendinda1950
@moshendinda1950 11 месяцев назад
Mh! Kweli 😢
@SalamaAkilimali-ly3bu
@SalamaAkilimali-ly3bu 11 месяцев назад
Mmh
@neemaduduma9046
@neemaduduma9046 11 месяцев назад
Ushauri wa ngozi na urembo karibuni sana kwenye page yangu
Далее
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн
Only you are left😭I beg you to do this🙏❓
00:19
HII NDIO SABABU YA SHILOLE KUMUACHA ROMY
5:03
Просмотров 1,1 тыс.
STAA HUYU WA BONGO MOVIE ATOA SOMO ZITO
3:37
Просмотров 9 тыс.