Duuuh nimeumia sana kumuona mzee anaumwa pole sana baba mwenyezi Mungu atakuponya na mungu mpe mama nguvu ya kuhudumia na kaka Dami pia ubarikiwe sana.
Mwenyeenzi Mungu ampe nafuu amuondolee maradhi yanayomsibu, apate nafuu na kisha apone kabisa. Mungu muweza wa kila kitu, InshaaA'aalah atamponya. Nimemfahamu kwa karibu Mzee Kikii mwaka 1979. Kidume, mzee Sugu ameshikwa kweli kweli, pole sana sana.
Kwa uluma ya Mungu akamponye mzee wetu king kiki , Poleni familia kwa kuhuguza Mungu awatie nguvu mzidi kushirikiana ktk kumuhuguza mzee wetu nawafunika kwa damu ya YESU ya thamani🙏🙏🙏🙏
Siku yajua haya. Pole sana Mama. Mimi nishabik mkubwa wa mzee Kikii. Mimi ni mKenya, kutoka Mkoa wa Nyanza hapo kitambo, leo ni county ya Siaya, mojawapo ya county mengine. Mungu ampe kheri mzee, apate afueni.
Ooh pole sana babu King kiki! Nakupenda sana.siku nimekuona break point umetoka lunch nilifurahi sana.Nawewe pia ukafurahi kama vile unatujua.Mungu akufanyie wepesi upone haraka.Nakupenda sana babu❤
Pole Sana Baba yangu king kiki Mzee wa kitambaa cheupe Mungu akuponye mzee Wangu pia Dada nimekupenda Sana unahekima na busara Mungu akutie nguvu Mzee atapona kwa jina la Yesu Kristo tunamuombea
Nimependa hekima za huyu mama jaman nkiwa mkubwa Nataka kuwa kama wewe,Mungu ninmwema atamponya kupitia imani yako unafuraha sana barikiwe na Mungu akutie nguvu🙏
Tukiwaambia watu utawala wa mikoa unatugawa zaidi majimbo yanatuweka pamoja! Mijitu haielewi!! Inajua itapoteza nafasi zao za madaraka!! Poleni wanafamila!! Mungu atawasaidieni!!
mahari inabidi atoe baba yangu kha what a love story jamani asanteni kwa kushare I wish ningekuwa mke mwema mwenye uvumilivu na upendo wa dhati awwwww mke mwema anatoka kwa Mungu
Pole Baba Tunakuombea kipenzi chetu Mungu aguse kila matibabu yanayo kuja juu yako,na kurudisha ile AFYA inayotufanya sisi sote tutabasamu kwa kuja kusikia tena sauti yako bila mikwaruzo .Ameen (Amina)
mzee kwa kweli bora urudi wa mola wako wa haki na dini ya haki kuliko kubakia huko uliko ili Mungu akusamehe na uingie peponi kwani dini ya kisiilamu ndio dini pekeye itakayoweza kukuokowa na moto na adhabu ya akhera kwani hata yeso nae vile vile alikuwa na dini hiyo hiyo ya kiislam na wewe kama unashaka angalia ndani ya bible utaona ingawaje hao wachungani hawakuelezi ukweli
Hii tabia ya kuchangia watu waliokula ujana wao kama hakuna kesho inaudhi sana.Hivi kwamfano baada ya miaka 15 ijayo.Nasib Abdul aje na kikapu cha michango tumchangie,wakati mida hii anaspend zaidi ya mamilioni.Namkumbuka King Kiki alikuwa anapiga kumbi za starehe kama kunduchi n.k...Hakukumbuka kuweka AKIBA?...AU kuinvest???
Akiba kwa Mtanzania ni uwekezaji kwenye Elimu ya watoto km alifanikiwa kusomesha watoto wake aliwekeza,hawa wanamuziki wa zamani hasa wa bendi walikuwa hawana utajiri wowote sana sana umaarufu tu
Hongera sana mama endelelea kumuuguza mumeo mungu atakusimamia ...kwa kizazi cha sasa angeshakimbiwa .hongera ..mimi naitwa Simon shemeji yake marehem somboko