Polisi mjichunguze haiwezekani kila siku ninyi ndio mnageuka first suspect na lawama zote kwenu. Raia watakuja kuchoka na kuja kuwafanyieni kitu mkastaajabu.. kimya kingi kina mshindo
Hivi hawa watu tukiamua tufunge na kusali wiki tu kwenye hii nchi hawa wanaojionà wataishi duniani milele wanadhani watapita ata wiki hawa kweli,??????😢😢😢😢😢
Hawa polisi hawawezi hata siku moja kuacha ujinga huu, serikali pia inahusika sana ktk haya mauaji ya raia, hili limekua ni tatizo kubwa sana ktk hii nchi. Askari wamepewa nguvu kubwa sana na pia hawaogopi kwakua hakuna hatua zozote zinazochukuliwa. Ilikua inahitajika serikali kutoa adhabu ya kifo kwa askari yoyote atakayehusika na mauaji ya raia ya namna hii. Hata mhalifu ana haki zake, wewe umeshamtuhumu na umeshamtia hatiani na umeshamuu hapo hapo hii ndio nini sasa?
Sio wote jamani kuna polisi ambao hawakustahili kuwa polisi wastaarabu hawana kelele na mtu polisi wengi wenyematukio mabaya ni wale waliotokea kwenye familia masikini ndio malimbukeni wa Maisha na sifa Tele wanaoma ndio wamefika wanaibeba dunia na ukichungza majina siyo Yao hawajasoma vyeti vya majirani zao wameingia navyo chuo mbwa HAO wangesoma wasingefanya huo ujinga kituo kizima shida hapo masikini hao
😥😥😭😭😭😢😢😥dah ira nyinyi polisi jameni kuweni nauruma nawatu kunamaisha baada yakazi mbona kira siku munatuachia wajane jameni acheni kukatisha uai watu jameni maripo niapa apa tuniani
mahakama tu ndio ndio inatoa hukumu na kutafsiri sheria ata kama mtuhumia alikua kaua nyie polisi hamna haki ya kutafsiri sheri kitendo cha kumpiga mtuhumiwa adi kupoteza maisha icho ni kinyume cha sheria na mnapaswa kuwajibika hao ni wananchi maskini sana na hawana tofauti na nyie.
Vijana wanapunguzwa sana yani kila kona ni vilio tu huo siyo huungwana jukumu la polis ni kukamata mtuhumiwa na na kuiachia mahakama ishugulike nae tukienda kwa mwenendo huu mtawamaliza vijana
Kwan limbu alivyokamatwa alikuwa na siraha? Hata kama ni muuaji walishindwa kumfikisha mahakamani Ili Sheria ichukue mkondo? Amka kifikra wewe siyo mtoto
@@neemajames7814 ndugu yangu hakuna haki hapa chini ya jua tena kwa maaskari mwenye kukutendea haki ni Mungu tu yaani hawa maaskari wanadhurumu sana nafsi za watu bila sababu za msingi na wakiona maji yamefika shingoni unabambikwa ujambazi na upanya rodi kuna chakujitetea hapo ndugu
Hii ndiyo serikali mnayoichagua yaani ya ccm, hata manaibu waziri, wakuu wa wilaya, wakuu mkoa, huwaweka raia vizuizini, kuwatisha, kudhulumu nk. Lkn serikali iko kimyaaaa. RC Chala aliwatukana wazee wa dar na kuwatisha nini kilifanyika, kimyaaaa! OK
Huu ujasili wa kufanya mambo kinyume nasheria iliyotungwa mtaacha lini mana mpaka rais huwa anawasisitiza msimamie haki za wananchi but mnafanya mnachojiskia nyinyi Sasa kwanamna hii me naona nivema jwtz wasimamie majukumu Kama hayo kuliko kuwa na jeshi linaloshindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo
Li serikali libovu na mambo yake ni mabovu kwani kwa Magufuli haya mliyaona ? Polis walishika adabu sababu mkuu wa nchi alikuwa makini sasa hivyo kabisa
Ndio ktk utawala pekee maiti zilikua zinaokotwa kwenye fukwe za bahari dar es salaam kama samaki🤔 Ulijua bado mtoto kipindi kile au!? Hakuna mtu anafurahia uhuni huu wa polisi wetu lakini usitukane serikali nzima kwa chuki zako binafsi.
Vifo vikigeukia kwenu msishangae raia mnafkir nyie ni miti au magogo ote tuna damu haya tumieni hzo sale za nch kwa kuuuwa haya vita mnaitafta wenyewe haya ngoja tuone
Kwaiyo siku hizi waharifu awapeleke jera polisi munawauwa je kama yy akufanya Ayo mauaji alisingiziwa nanyie amjachunguza munamuua mtuhumiwa sasa Aki Iko wapi Tz kuna siku itageuka Burundi na Rwanda watu watachoka kuonewa
Jamani kikubwa Asikari wawe makini Kama mtuhumiwa Hana siraha ya kujihami haina haja kumuuwa Wala kumzuru maana mkimtia mbaloni ushahidi na upelelezi kwa kumhoji mtabaini ukweli wake kumbukeni na mjuwe kuwa nanyi hamtaishi milele mtakufa
Police wa Tanzania ndo wamekua wenyewe ndo majaji na wenyewe ndo mahakama na kutoa hukumu sijui mahakama zinafanya kaz gani kwa sasa mana polis wakikamata mwizi ni wanahukum wenyewe wanaua😢 hii ndo Tanzania ya sasa
Yaan wangepatikana wananchi pendwa kama kina Hamza.Naamin tungemalizana nao kabisa hawa waovu.Kama utakufa ukiwa unatetea chako hata MUNGU anakuwa radhi nawe.
Police ni matatizo mimi paka sasa ni kilema wa sikio na hao asikali niliwapeleka kwa mkuu wa wilaya mpaka takukuru ila wao kama viongozi wanalindani halafu selikali itambie wizi mkubwa na majambazi wanatokea vituo vya police yani mi nafikili hii inche mngekabizi jeshi la wanainchi jw hawa polisi waludi kuwa raia tu maana ni wezi na ni majambazi wakuu
Sikuhizi maasikari hawafati Sheria wapotu kuazibu watu kikubwa tutafteni dawa maana ukisema ushitakiane nao unapoteza mdatu kikubwa dawa waliishiriki kumpiga nao wamfuate hata Kama alikua na makosa Sheria s ipo asa mnamuua atatumikiaje azabu yake
Polisi msipobadilika mkaendelea kuwatesa wananchi bila sababu ipo siku mtakuja sababuaha vita kubwa kati ya polisi na raia, wito wangu au ushauri wangu watendeeni wananchi matendo mazuri wananchi kama nanyi mnavyotendewa wema kwenye kulipwa mshahara, Tambueni mshahara mnaolipwa ni jasho la watanzania
Hivi hawa polisi ndo wanavyofundishwa wafanye hivyo kwa raia? Kama sivyo mkuu wa wilaya husika anafanya nini? Mkuu wa kituo anafanya nini? Wote wanaangalia wanaona sawa tuu raia akinyanyaswa.
Ili jeshi letu lapolisi inatakiwa lifanyiwe malekebisho lamekua kama jeshi la makabulu wakati soteniwatanzania ninimaana yakudai uhulu maana atamkolini ajafanya Mambo kama ayo
Mnachunguza nn wakati polisi wamempiga? Kwan Kama aliua halafu akatoroka adhabu yake ni polisi kumpiga mpaka kumuua? Hapo mhalifu ni Nan? Polisi wakamatwe wafunguliwe mashitaka ya mauaji kwa sababu Hakuna uthibitisho wa mahakama uliosema Limbu aliua acheni kukwepesha ukweli kwa kusingizia vipimo wakati wauaji wanajulikana
Sasa we swebe mkuu wa police ndio tuseme kama mtuhumiwa ameuwa na nyie police ndio mjichukulie sheria mikononi mumuuwe kijana wa watu wenda alikuwa hana hatia.sasa mahakama zipo kwa ajili gani?basi fungeni mahakama zote nyie police muwe mnahukumu.mmekuwa kama wanyama kazi zenu sasa nikuuwa raia hovyo.nchi hii imekuwa haina haki.