Тёмный
No video :(

MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 154 тыс.
50% 1

MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 221   
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 6 месяцев назад
Makonda take care na Mungu akulipe
@MrishoMalango
@MrishoMalango 6 месяцев назад
Mungu akulinde sana kiongoz wetu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 6 месяцев назад
Mkurugenzi maua yako🌼🌼🌹💐🌺🥀🌹
@aminielyusufu4351
@aminielyusufu4351 7 месяцев назад
Kaka MUNGU wetu wa Isaka, Ibrahim & Yakobo akulinde Mhe. Makonda. Una kazi kubwa mbele kaka yangu. Mungu akulinde tu
@LovelyEarth-yn2hb
@LovelyEarth-yn2hb 7 месяцев назад
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo 6 месяцев назад
Mungu amlinde wasimuue maana Hawa watu nao ni shida. Walimuua magu sembuse
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 7 месяцев назад
Hongera mkurugenz na Mnec aongezewe nguvu Ccm inogile
@user-dl5mh8vl1u
@user-dl5mh8vl1u 6 месяцев назад
Hongera sana Mkurugenzi 💪
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 7 месяцев назад
Pongezi sana kwa kuweka maisha rehani
@casseverria4625
@casseverria4625 7 месяцев назад
Alafu Nay wa Mitego akiimba mwamuburuza BASATA mwamfungia nyimbo zake😅😅😅😅😅
@awadhally1052
@awadhally1052 6 месяцев назад
Kwel kabisaa yana muonea tuu majitu yana tuibia sana
@DeusKileo
@DeusKileo 6 месяцев назад
Yawezekana wale ney alowaimba ndo wanamsweka ndan wakishirikiana na basata
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 7 месяцев назад
Sasa hizi mambo kama hujaonana na makonda ndio basi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 7 месяцев назад
Ziara za Mhe. Makonda zinadhihirisha kuwa Watanzania wana shida kuliko maelezo. Wako wapi viongozi RC,DC nk?
@johnmamilo1326
@johnmamilo1326 6 месяцев назад
Nimefurahi sana kuona ujasiri wa mwalimu wangu wa chuo @Chaurembo. Mungu akulinde sana
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 5 месяцев назад
Anajiamini Hadi raha
@user-wu2du6jy5c
@user-wu2du6jy5c 6 месяцев назад
Makonda wew nikiongozi tuko nyuma yako mungu akufanyie wepesi
@saidimketo6708
@saidimketo6708 7 месяцев назад
Makonda ww kweli mtoto wa maskini unajua shida za watanzani kwenye hiyo serikali yako kama mtawajibika kama unavyofanya ww mtalaishia kazi mama kabisa masikini mama anapambana lkn kuna viongozi ni majizi kupita kiasi daah😢😢😢
@SebaMbilinyi
@SebaMbilinyi 2 месяца назад
J
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 7 месяцев назад
Mkurugenzi hongera sana kweli unauwezo makubwa umeonesha usomi wako hakika hiyo halimashauri Ina mtu hata tingisha kichwa umetema cheche nimependa ujasiri wako
@rynerlinuma8484
@rynerlinuma8484 7 месяцев назад
Ni kweli kaonesha ujasiri...lakini je, yote alosema ni sahihi? Ukiwa huidai wewe Halmashauri au Serikali unawezaona ni sawa tu. Imagine mtu kakopa nondo tani 25...then mtu halipwi. Unaambiwa kiurahisi tu kuanzia 01.07.2024. Ujue hiyo sio exact maana hadi pesa iletwe. Na pesa haziletwi hiyo tarehe..ifikie mwezi October vifungu ndio vinafunguliwa...mtu kasupply Oct. 2023. Huu ni uhovyo
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 6 месяцев назад
Makonda nimeona Magufuli wapili mungu akubariki kaka yangu, from Congo 🇨🇩 to Sweden 🇸🇪.
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 6 месяцев назад
Hii filamu Haitaisha kwakweli Makonda starring Na Mkanda wakuendelea Mpaka kieleweke! Fuatilia tu mikanda hii haimaliziki.
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Месяц назад
Mashallah kazi nzuri muheshimiwa ❤ kusafisha ufisadi. Hivi kufanya uadilifu ni kazi ngumu? ogopeni Mungu.
@user-me3dy9zk7e
@user-me3dy9zk7e 6 месяцев назад
Mkurugenzi huyo mshikirieni yuko vizuri sana pia
@adamjosephkatigizu19
@adamjosephkatigizu19 7 месяцев назад
Ee, Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi we Paul Makonda zidi ya maadui wasimzuru
@flavianfrank6256
@flavianfrank6256 6 месяцев назад
Ukweli mungu atuhurumie sana
@user-dl5mh8vl1u
@user-dl5mh8vl1u 6 месяцев назад
Baada ya maelezo ya Mkurugenzi kelele zote chaliiiii,proud of you Chaulembo
@batilda4920
@batilda4920 7 месяцев назад
viongozi wanakula Hela sana mama anajitaidi sna kutoa pesa kuleta maendeleo lkn viongozi wanapiga ela Kodi zetu hizo wanakula.
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 7 месяцев назад
SAMIA kasema kula kwa urefu wa kamba yake
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 месяцев назад
​@@benjaminmiselya2622HAJA MAANISHA UIBE JUWA KISWAHILI VIZURI HUWEZI KUWA MKUU WA WILAYA NA KUTAKA MAISHA KAMA YA MKUU WA MKOWA HIYO NDIO MAANA YAKE.
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 7 месяцев назад
Hao viongozi wamewekwa na nani? Na huyo anaeambiwa matatizo hayo ni nani? Miaka ya uchaguzi hii, tutaona mengi.
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 6 месяцев назад
Makonda Mungu akulinde jamani
@josephmkami
@josephmkami 6 месяцев назад
Hongera Mkurugenzi kwa majibu na kwa kujiamini
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 месяцев назад
Yani wanawanyanyasa sn wafanyabiashara
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 Месяц назад
Makonda oyeeeeee M/mungu akusimamie Kila atua unayo piga 🌹
@rehemahussein3307
@rehemahussein3307 7 месяцев назад
Hongera sana DED Msomi hakika unaweza
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 7 месяцев назад
Nimekupenda Sana dadangu macho manne
@MSOMBAAlon-gh3ps
@MSOMBAAlon-gh3ps 7 месяцев назад
Mheshimiwa makonda umeyaona hayo madudu ni tabu sana wananchi tunatekeseka sana .
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 6 месяцев назад
Mkurugenzi safi sana
@rajabusaimon7662
@rajabusaimon7662 7 месяцев назад
Makonda ukimaliza ziala kaa na chama chako waambie kumaliza haya matatizo viongozi wote wa mkoa wachaguliwe na wananchi sio kuteuwa mtu ambae hajui uchungu wa eneo husika
@gatuna6
@gatuna6 7 месяцев назад
Makonda kila ukiona mtuhumiwa amepatikana na maskosa unamwachisha kazi. Hadharani aondoke hadharani. Hapo ndipo tutakapo komesha wa hujumu uchumi. Wa Tanzania.
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 7 месяцев назад
Facts facts ukweli kabisa
@koletakilasa5988
@koletakilasa5988 7 месяцев назад
Makonda umenipa imani yakuishi barikiwa sanaaaa ila baba ninashida namtaji
@UfahamuwaKristo
@UfahamuwaKristo 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t 3 месяца назад
😅😅
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 7 месяцев назад
Huyu Mkurugenzi dada Chaurembo ni hodari mno na anafaa kuongoza Idara kubwa zaidi kwani ni mfuatiliaji mzuri sana na ni mzalendo.
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 7 месяцев назад
Ila anaposema ataanza kulipa mwezi wa Saba akumbuke mikataba ina kipengele Cha RIBA kwa malipo yaliyocheleweshwa. Ninashauri akae na hao wafanyabiashara wakubaliane ili kusogeza muda Hadi huko mwezi wa Saba vinginevyo riba itahusika.
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 6 месяцев назад
Yaani yuko vizuri maa shaa Allaah na mtu mwengine anaitwa Subira mgalu yaani Kuna wadada wapo vizuri kiuongozi
@NestoryMwezimpya-bc7th
@NestoryMwezimpya-bc7th 7 месяцев назад
Makonda tutaendelea kumuombea mungu atakulinda na kukupa afia njema Ili uendelee kufanya kazi ya kutusaidia watanzania lakini tunaoma mwenyezi mungu ampe laisi moyo wa kuendelea kukupa sapoti kubwa zaidi na viongozi wa ccm waendelee kuku kapani mungu akubaliki sana
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 7 месяцев назад
Mkulungenzi upo vizuri
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 6 месяцев назад
Huyu kiumbe ana khatar anaitwa Mariam khatibu chaurembo maa Shaa Allaah ana moyo mwema huyu kiumbe namfahamu vizuri
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 7 месяцев назад
Mkurugenzi yuko vizur sana ila hao wengine mtihani
@edwinogega267
@edwinogega267 7 месяцев назад
How i wish things were working this way in Kenya...we could have gone far by far lakini ZAKAYO RUTO NAYE NI NANI. MUNGU SAIDIA KENYA 🇰🇪
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 6 месяцев назад
Hahahaha
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@jasiriintertainer4600
@jasiriintertainer4600 6 месяцев назад
Zakayo bado anasumbuana na mahakama,anataka wafwate yote yake hata kama ni mbaya
@musiomiemmanuel2418
@musiomiemmanuel2418 6 месяцев назад
Utaambiwa wacha kukuja kwa mkutano wa rais kupiga kelele 😂
@user-wy9bm8sh3n
@user-wy9bm8sh3n 7 месяцев назад
Nice
@shabaniramadhani8891
@shabaniramadhani8891 7 месяцев назад
Mwamba ana mizimu ya Magufuli
@jamalimussa4928
@jamalimussa4928 7 месяцев назад
😂😂
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 7 месяцев назад
Nafuu makonda umekiri uzito wa mzigo we ni mwanaume kweli na mwazi
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 7 месяцев назад
Piga kazi makonda utembee usikae chini tena inuka nao mwanzo mwisho
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 7 месяцев назад
Mkurugenzi yuko vizur
@salumuhassani590
@salumuhassani590 6 месяцев назад
Huyu DED katokea wilaya yetu ya Nanyumbu ingawa hapa alikua mkuu wa wilaya, kiukweli huyu mama yupo vizuri saana, alibadilishiwa majukumu kutoka kua mkuu wa wilaya na kwenda kua mkurugenzi kiukweli tulimpenda saana kiongozi wetu
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 7 месяцев назад
Ukiwa na DED msomi na anajiamini kama huyu, hadi raha
@neemanziku5403
@neemanziku5403 7 месяцев назад
Yan viongoz wore wangekuwa kama mh Makonda nchi ingekuwa na adabu sana
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 7 месяцев назад
Waumbue hivyo hivyo nchi iko icu
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@DiniMwambashi
@DiniMwambashi 7 месяцев назад
Kaka fanya kazi pamoja sana
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 7 месяцев назад
Wanajua kuvaa kaunda suti hawa wakurugenzi jamani lkn wanamuaibisha mama yetu samia.
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 2 месяца назад
Dada chaurembo ❤
@Charleslsk
@Charleslsk 6 месяцев назад
I believe in you makonda❤❤❤❤
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 месяцев назад
Miaka yote uyu mwamba alikuwa wapi
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 7 месяцев назад
Walikificha kipaj chake Sasa kimeibuka hadharan, japo anayalisk maisha yake!
@user-qg1wf8he7u
@user-qg1wf8he7u 4 месяца назад
Watu engine wanaishi kwe nye mingogo ya wt muheshimiwa pasua majipu
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 6 месяцев назад
Mmmhhh haya
@user-qg1wf8he7u
@user-qg1wf8he7u 4 месяца назад
Wt anapewa madalaka kwa faida yao
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 7 месяцев назад
Kosa walilolifanya ni kuniteua Mimi kuwa mwenez❤
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 6 месяцев назад
Hakika umeonaeee😂😂😂😂
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 6 месяцев назад
Sasa mtu anafanya kosa la wizi unamuhamishia idara nyingine😮 kweli hii ni sawa😮
@siliviamushi4119
@siliviamushi4119 3 месяца назад
Ajamani hawa watu wanawaonea sanaa wanyenge jmn
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 месяцев назад
Makonda anahudumia wananchi ipaswavyo Nchi inajengwa na wananchi ni bora sana anavyofanya mheshimiwa makonda kushirikiana na wananchi kutatuwa kero amerithi mbinu mbadala wa kupambana na UFISADI 🇹🇿
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 7 месяцев назад
Kuwa waziri mkuu tuwanyooshe
@user-yc1tm4hp4n
@user-yc1tm4hp4n 5 месяцев назад
Watumishi wa aina hiyo ndio wanaofanya CCM yetu ama serikali yetu wananchi waichukie.
@SmilingHot-AirBalloons-em3mb
@SmilingHot-AirBalloons-em3mb 6 месяцев назад
Makonda noma sanaa!
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 месяцев назад
Mafisadi watamchukia sana Makonda wapo tayari kumuuwa ili waendelee Ufisadi kama walivyomuuwa a JPM😭🇹🇿
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 7 месяцев назад
Hapo ndio napata picha Kuna wale ambao wasijuwa kuongea sijui wanaishi vipi ? Pesa Yako umekopa umefanya Biashara halafu hulipwi
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 6 месяцев назад
Yaani
@tintz3157
@tintz3157 7 месяцев назад
Piga kazi baba Keegan wewe ni Raisi ajaye awamu ya Nane (8) Mungu akulinde
@RogerMsaky-de3gi
@RogerMsaky-de3gi 7 месяцев назад
Nimegundua wananchi wanaichukia serikali kwa mambo ya kipuuz Kama haya
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 6 месяцев назад
Sababu ya watendaji wabovu
@susananyasani6526
@susananyasani6526 6 месяцев назад
Kuachicha Mtu kazi au kumfukuza kazi je watoto wa hizo Familia watakula nini ? Oni langu nikuwaonya Wananchi kufanya kazi kwa uaminifu asante
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 7 месяцев назад
Mama wambiye viongozi wote waje kwenye mkutano ya makonda wajibu utaona tanzania itakwenda tuu watanzania niwengi waliyo nyuma yako viongozi wachache
@sponsertv5039
@sponsertv5039 6 месяцев назад
Mh Dr Samia Suruh hasan, endapo ikatokea wakamuua mh makonda naomba uniteue mimi tuone kama na mm wataniweza.
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@susananyasani6526
@susananyasani6526 6 месяцев назад
Super mamusi mazuri kutok kwa Mheshimiwa Makonda
@kibwetere1418
@kibwetere1418 7 месяцев назад
Kwakweli huyu jamaa anasaidia sana!!
@user-le7lh1ou2d
@user-le7lh1ou2d 7 месяцев назад
HONGERA SANA RAIS SAMIA KUMCHAGUA MAKONDA
@user-bn2dz9fu5i
@user-bn2dz9fu5i 6 месяцев назад
Nyeti
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d 5 месяцев назад
Wanatakiwa wote wawe kama makonda maana yupo arusha tu
@kristopapaapaulo811
@kristopapaapaulo811 6 месяцев назад
Hii imeenda😂😂😂😂😂
@bugybuster5788
@bugybuster5788 7 месяцев назад
MUNGU akubarik makonda
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 6 месяцев назад
Makonda mungu akubariki 🤲 hii nchi hata sie wanawake hatufai unatetea madudu😅😅
@valenakomba7686
@valenakomba7686 7 месяцев назад
HIVI HIZI COMPUTER ZOOOOTE ZINAZONUNULIWA KWENYE MAOFISI ZIBAFANYA KAZI GANI?. MNAHAKIKI NINI NA KUMBUKUMBU ZOTE ZINAHIVAZIWA KWENYE COMPUTER? . HIVI MBONA MKO HIVI?
@doreenshangarai6941
@doreenshangarai6941 7 месяцев назад
Na kweli
@user-jt1eb6bm9g
@user-jt1eb6bm9g 7 месяцев назад
Haya ni maajabu ya Dunia yafaa yaingie kwenye Genes book😢 hiyo shule inayojengwa kwa bilioni nne ni Kijiji au! Wananchi wanakatwa Kodi tena kwa kwamba shingoni, Kuna watu nchi hii kwenye jamii Wana matatizo ya hatari; kama Afya, Elimu nk. Kuna shule za msingi huko vijijini utadhani ni mabanda ya kufugia nguruwe kwa jinsi yalivyochakaa: kama Kuna anayebisha aende shule ya msingi kombo mkoani Kilimanjaro pale kibosho mtaona😮 Leo hii watu wanapewa bilioni nne na wanasema hazitoshi. Waziri wa Elimu atembelee shule za msingi za vijijini mkoani Kilimanjaro aone maajabu ya Dunia
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 6 месяцев назад
Hyo bilion me hata mi sikubali, shule moja ya msingi mi milioni 328 tu inaisha madarasa 9
@user-ji6fu9lo2g
@user-ji6fu9lo2g 7 месяцев назад
Makonda umejua kuwaonyesha
@titusrobert5890
@titusrobert5890 7 месяцев назад
Makonda anafahamu mengi
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 6 месяцев назад
Yaani ni washenzi tu na Wana roho mbaya sana
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 6 месяцев назад
Duh ! ! Mama Tz, wanakusaliti kwa kukutafuna ili ufe kabisa?
@Alfredmusa24
@Alfredmusa24 6 месяцев назад
Mkoa gani
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw 6 месяцев назад
Yani makonda anajua sana shida za watanzania wengine mnafanya nini kama hapa pesa zinatumika ovyo na viongoz wapo likn wapo tuu kimya sasa MAKONDA akifanya kweli binge msione wivu kaa kimyaa
@edinachami4318
@edinachami4318 6 месяцев назад
Me huwa naskia raha ziara yamakonda kuliko ya raisi na makamu wake
@sositenesssabuni2480
@sositenesssabuni2480 7 месяцев назад
Ndio maana mafundi wengi hua hatupendi kuifanya kazi zao sababu malipo ndio kama hivyo Bora kufanya kazi kwa mchina.
@leilabuisha9976
@leilabuisha9976 7 месяцев назад
Fukuza wote hao ni wezi
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад
Wakuu wa wilaya na mikoa waondolewe tu makonda anatosha
@EdwardMasai
@EdwardMasai 5 месяцев назад
Safisanamakondo kwa kutumia mafisadi
@robatigodfrey4847
@robatigodfrey4847 4 месяца назад
kiukweli watu wanatamanikiwa na viongozi wa namna hii viongozi wanao tetea kero za wananchi kwanamna hii...makonda wewe niongozi viongozi wengine wanaitajika kijifunza kwa utendaji wa namna hii
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 месяца назад
Bilioni nne ni gorofa la nchi gani ?
@EdwardMasai
@EdwardMasai 5 месяцев назад
Arudishwe makondo ccm uenezi atumbue wanaonyanyasa wanyonge
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 месяца назад
Mnachambua ni mchele huo?
@user-me3dy9zk7e
@user-me3dy9zk7e 6 месяцев назад
Makonda unaupiga mwingu. Ila mmmm...! Unahitaji ulinzi
@user-fu6rl3dp5x
@user-fu6rl3dp5x 7 месяцев назад
Mahakama zifutwe /Makonda anatosha
@judicalosika7642
@judicalosika7642 6 месяцев назад
🤣🤣🤣
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 7 месяцев назад
Hakuna ulaji wa hela kama ulivyo mawilayani, wanapiga hela kama juu😂😂 Sio Tunduma tu ni wilaya zote
@dingadinga6674
@dingadinga6674 7 месяцев назад
Hiii imeenda
@hanifamziray277
@hanifamziray277 7 месяцев назад
Eti imeendaaahyoooooo😅
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 7 месяцев назад
Daaa piga kazi baba
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw 6 месяцев назад
Kama hapa jaman huu mgogolo unamfikia MAKONDAA unataka kusema wabunge na mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hawapooooo?jib ni uzembe tuu piga chini wote mpaka wanakela mno
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 5 месяцев назад
Wakupiga chini NI Samia au Nani maana NIKIKUMBUKA magufuli alikuwa anafuatilia ziara km hizi ikitokea kaona madudu jion kwenye habari unakuta katengua uteuzi
Далее
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн