Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.
Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr
Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana
Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?
Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa
Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.
Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.
Ddah bora kuuza mandazi na so siasa angalia Kenya chanzo siasa kumbuka Libya mzee Gaddafi kapotea chanzo siasa yani ndomaana saa zinginne mzee wawatu dah yote aty aonekane anafanya kazi ati Mungu akakuulize madawa yakulevya kakosa maswali Dah siasa bora kula nakujisaidia oumzika kwa aman Mzee Yusuf
Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.
Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.
kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde
Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia
Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma
Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.
nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu
dah hatareee sanaaaa...swala la NGADA NI HATAREEE ....KILA LA KHERI BUT ALLAH ATAKUPIGANIA NA KUKULINDA....WANAFANYA KUFURU ZA PESA KUMBE BEHIND THE SCENE WANAUZA NGADA