NDO KUONYESHA SERIOUSNESS HUKO. HAO MADEREVA WALIKUA WANAONGEA NA UPANDE GANI WA MPAKA? MH. RC KWA HILI UPO KIDIPLOMASIA VZURI SANA lkn MH. RC HAKUNA HAJA KUPIMA WATU WAKO JAPO MPAKANI?
Mnataka mwambiwe siku ya kufunguliwa mpaka toeni takwimu mtu mzima unaelewa wamemanisha nini maana maamuzi ya kuto tangaza wagonjwa Tanzania mmewapa hofu mzambia awezi kukuonyeshea kua hakutaki ila vitendo mnatuasili na wengne sasa bora idadi muendelee kutaja alafu msiweke lockdown
Kuweni wa kweli wa takwim za vifo pamoja na walioasirika ili tutowe wasiwasi na nyinyi. Sio watu wanakufa na mnawazika usiku bila ya kutoa takwim, sisi majirani wenu tuwaruhusu muingiye nchini kwetu kirahisi tu mje kutuletea magonjwa na kutuambukiza. haiwezekani.