Yaani umeonyesha uhalisia wa maisha yako hongera sana mwene angekuwa msanii mwingine angeazima nyumba Kali ahojiwe huyu katuonyesha mpka choo maisha yake ya uswahilini kabisaa hongera sana mwene 👏👏
Hio sio tabia nzuri waandishi kinacho wafanya mchokonoe hadi uvunguni ni kitu gani hasaa wanawake huwa kuna vitu vya siri na hata chooni kurekodi sio vizuri kabisa
Ukiridhiks na maisha yako yalivyo mradi sio ya kukudhalilisha hata ukila mwatabna mkabli shemsi utanenepa tu. Raha mwanadamu kuishi kwa majaliwa yako hatuwrzi kuwa sawa soote. Raha huyu dada karidhika na anabidii ya maisha yake ndio maana anafuraa na akizi kuridhika atapasuka. Ni afadhali atafute mume apate vitimbwivvya wanaume akonde.
Nilichogundua ni kuwa watanzania wengi tuna wivu uliopitilizaa, hapa mwene kaonyesha maisha yake ya uswazi watu wanamsifia lakini angeonyesha kajumba kaliko changamka watu hapa mate yangewatoka mdomoni na kumuita fake 😅, tubadilike jaman mtu aki fake maisha au akiisha ya uhalisia ni yeye maisha yake jamaniii wewe hayakuhusu
Nilijua ni mimi tuu nimeliona hili, eti mtu akionesha maisha ya hali ya chini watu wanafurahia hatari na kujifanya eti ooooh unaishi real life lkn akionesha anauwezo anaambiwa anafake life Tanzania hapana kwa kweli