Тёмный

MBUZI WAMEPANGIWA CHUMBA NYUMBANI ANAPOISHI ZAI WA KIJIWE NONGWA | WANALIPIWA NA KODI 

ZamaradiTV
Подписаться 242 тыс.
Просмотров 115 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

7 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 304   
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama 8 месяцев назад
Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 8 месяцев назад
Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.
@user-cl9hg3uc8e
@user-cl9hg3uc8e 8 месяцев назад
Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 6 месяцев назад
Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.
@btylove1870
@btylove1870 8 месяцев назад
Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 8 месяцев назад
Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 месяцев назад
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 8 месяцев назад
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
@user-lt3iz5kb8v
@user-lt3iz5kb8v 8 месяцев назад
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 8 месяцев назад
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
@user-qc9xt4dp1i
@user-qc9xt4dp1i 8 месяцев назад
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 8 месяцев назад
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
@aminasalim8708
@aminasalim8708 8 месяцев назад
Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂
@hawasaid7151
@hawasaid7151 8 месяцев назад
Kabisaaa yan😂😂
@aminasalim8708
@aminasalim8708 8 месяцев назад
@@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 месяцев назад
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
@aminasalim8708
@aminasalim8708 8 месяцев назад
@@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 8 месяцев назад
​@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 8 месяцев назад
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
@nasraniko-mr2lv
@nasraniko-mr2lv 8 месяцев назад
Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 8 месяцев назад
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 7 месяцев назад
Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 7 месяцев назад
Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa Basi ataa maji
@vero57
@vero57 8 месяцев назад
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
@jahsjjsj583
@jahsjjsj583 7 месяцев назад
Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .
@valenakomba9218
@valenakomba9218 8 месяцев назад
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
@nayfatsalim7828
@nayfatsalim7828 7 месяцев назад
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
@3Dshoez
@3Dshoez 7 месяцев назад
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
@aishachuma9
@aishachuma9 8 месяцев назад
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 8 месяцев назад
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 8 месяцев назад
Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani
@faridapandu7579
@faridapandu7579 8 месяцев назад
❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah
@Thebaddest255
@Thebaddest255 8 месяцев назад
Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 8 месяцев назад
Alishazaa kwenye pazia alikuanayo
@user-tm5ns8hu6q
@user-tm5ns8hu6q 8 месяцев назад
Nampenda sana daazai anachekesha sana
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 8 месяцев назад
Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣
@JoyAgbiano-wr5cz
@JoyAgbiano-wr5cz 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@mwanjinzara8009
@mwanjinzara8009 8 месяцев назад
Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 8 месяцев назад
Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa
@annamwanyilu7020
@annamwanyilu7020 8 месяцев назад
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
@nenengopoos5476
@nenengopoos5476 8 месяцев назад
Mashaalah zai anaishi uhalisia
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 8 месяцев назад
Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@husseynomar9523
@husseynomar9523 5 месяцев назад
Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
@user-bg9cr4pn2p
@user-bg9cr4pn2p 8 месяцев назад
Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss
@mwanashoogobo1785
@mwanashoogobo1785 7 месяцев назад
Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪
@user-sb2sb8ri6t
@user-sb2sb8ri6t 8 месяцев назад
Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂
@edinachami4318
@edinachami4318 7 месяцев назад
My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 8 месяцев назад
Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂
@alodiadiocless3546
@alodiadiocless3546 8 месяцев назад
Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 8 месяцев назад
Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂
@user-vx1pw5dq7k
@user-vx1pw5dq7k 8 месяцев назад
Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh
@user-ri4bm8ly3c
@user-ri4bm8ly3c 8 месяцев назад
Mob lov from Kenya ❤❤
@shanihussein7615
@shanihussein7615 8 месяцев назад
Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi
@user-bg9cr4pn2p
@user-bg9cr4pn2p 8 месяцев назад
MashaAllah dazai umejipanga
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 8 месяцев назад
Huyu dada hatar 😂😂
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 8 месяцев назад
Duh mpka room😂😂hatari Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂
@yourthebest4544
@yourthebest4544 8 месяцев назад
😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana
@faridapandu7579
@faridapandu7579 8 месяцев назад
😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai
@user-dn5mq3fw5s
@user-dn5mq3fw5s 8 месяцев назад
Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤
@Kalthoom-ru3mq
@Kalthoom-ru3mq 8 месяцев назад
Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 4 месяца назад
Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata
@user-yy5tm4mx4o
@user-yy5tm4mx4o 8 месяцев назад
Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!
@rachelmasunga4989
@rachelmasunga4989 5 месяцев назад
😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅
@rachelmasunga4989
@rachelmasunga4989 5 месяцев назад
Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani
@dijahmbinyo7301
@dijahmbinyo7301 8 месяцев назад
Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”
@siphifahashimu9723
@siphifahashimu9723 8 месяцев назад
Msafi mashaalah❤❤
@Zainab_salat
@Zainab_salat 8 месяцев назад
Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂
@Nailaty564
@Nailaty564 5 месяцев назад
Wawooo chumba kizuri hongera zai
@sarahkundy9411
@sarahkundy9411 8 месяцев назад
Daaah zai 😂😂😂😂
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 5 месяцев назад
Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani
@HarunAyoub
@HarunAyoub 5 месяцев назад
Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti
@lovenessoscar4102
@lovenessoscar4102 7 месяцев назад
Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 месяцев назад
😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤
@kibibimlaula2526
@kibibimlaula2526 8 месяцев назад
😂😂😂ila zai khaaa
@user-lq7kv7sx3t
@user-lq7kv7sx3t 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂 dah.! Hichokipgo kwakweli
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv 8 месяцев назад
Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 5 месяцев назад
Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa
@halimasalehe1731
@halimasalehe1731 8 месяцев назад
Zai kama zai walah penda Sana🤣🤣🤣🤣🤣
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 8 месяцев назад
Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai
@minafadhil3837
@minafadhil3837 8 месяцев назад
Ni kwel
@asyamohammed5091
@asyamohammed5091 8 месяцев назад
Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 8 месяцев назад
Mashallah da zai umejiweza jaman
@Lexerjoh
@Lexerjoh 7 месяцев назад
she is so real i love her💌💌💌
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 8 месяцев назад
ILA SALEH MMBEA UWIIIIIII
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo 8 месяцев назад
Zai love you 🎉❤❤
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 8 месяцев назад
Nimekupenda
@3Dshoez
@3Dshoez 7 месяцев назад
Gigy money njoo uone watu wanaishi maisha wanayo yaweza
@sikudhanimoshi6967
@sikudhanimoshi6967 8 месяцев назад
Mashallah zai mm sina ata kitanda
@JanethJoshua-rs1ze
@JanethJoshua-rs1ze 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 ila zai nakupenda
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 месяцев назад
Mzee wavibwato zai unajitaidi kujipambania
@user-dl3ep1ow3y
@user-dl3ep1ow3y 6 месяцев назад
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@scolasticanalle9105
@scolasticanalle9105 8 месяцев назад
😁😁😁😁😁zai you made my day
@dottohami
@dottohami 8 месяцев назад
Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰
@faridapandu7579
@faridapandu7579 8 месяцев назад
Mungu akuzidishie kila la heri dazai umejipanga my
@QueenGabriel-ys7eh
@QueenGabriel-ys7eh 8 месяцев назад
Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 8 месяцев назад
Hongera sana
@swaibahhassan5056
@swaibahhassan5056 8 месяцев назад
😂😂😂 Ila zai🙌🏼
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 8 месяцев назад
Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama
@RakaPk
@RakaPk 6 месяцев назад
😂😂😂😂🎉
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 7 месяцев назад
Mashaallah zai Msafi kwakweli
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 7 месяцев назад
Masha allaah hongera zai
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂
@naturelle1097
@naturelle1097 8 месяцев назад
Nice!
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 8 месяцев назад
Ila maisha ya uswahilini mazuri ila yana ugumu wake aaaiisee😅
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 8 месяцев назад
Pazuri sana Zai hongera
@annievibes8794
@annievibes8794 7 месяцев назад
Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa
@fridaminja7191
@fridaminja7191 5 месяцев назад
😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana
@everlyne8595
@everlyne8595 8 месяцев назад
😂😂😂😂et wamemchota nyayo
@BeatriceKaizary-jr1kf
@BeatriceKaizary-jr1kf 8 месяцев назад
Dada yupo vizuri sana
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 8 месяцев назад
Maishs ya simple sana lsmata among uyu dada tumuone mjua kali
@mamachris6811
@mamachris6811 8 месяцев назад
Zai nimegundua mzuka unapanda ukiwa kijiweni 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅
@ashurasaid7204
@ashurasaid7204 8 месяцев назад
😂😂😂kweli alivoinuka kijiwe nongwa alivoingia dukan na mzuka umepotea
@mamachris6811
@mamachris6811 8 месяцев назад
@@ashurasaid7204 hata nyumbani haikuwa hivyo 😁😁
@aminachappa8677
@aminachappa8677 7 месяцев назад
❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu
@Mtizii
@Mtizii 7 месяцев назад
Wanaume wasio na kazi kindu chaliiii wanazimia ikifika jioni daah 😂😂😂
@asialimira1460
@asialimira1460 7 месяцев назад
Ila Zai eti wanaume wasio na kazi wanadondoka🤣🤣🤣
@joycekalago532
@joycekalago532 6 месяцев назад
Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊
@RakaPk
@RakaPk 6 месяцев назад
😂😂😂😂🎉
Далее
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
Просмотров 5 млн
Они нас подслушивают😁
0:52
Просмотров 2,7 млн