Ndiomana kwenye saikolojia ( psychology ) inatuambia kwanza tuweze kujisaidia sisi wenyewe ndio tunawasaidie wengine, pili tujifunze kusema hapana kwenye mambo ambayo hatuyawezi, tatu tuwaonyeshe watu kwamba hata sisi tunakosa na tunapaswa kusaidiwa tusiwaonyeshe watu kwamba tunajitoshekeza.
Loh! Yananikuta Sana haya uliyozungumzia. NATAMANI NEXT TIME UTUSAIDIE KUJUA MBINU ZA KUTUMA ILI TUSIWE WAHANGA NA KUTOISHI KUSUDI LA MUNGU KUPITIA CHANGAMOTO HIZI. UBARIKIWE SANA, MUNGU ANAZUNGUMZA NAMI KUPITIA WEWE🙏🙏🙏
ndio kilichonikuta na ninamshukuru Mungu namaliza mkataba niangalie maisha kwa njia nyingine maana bosi mwenye uwezo mdogo ni tatizo kubwa sana kwenye mazingira ya kazi, shukrani sana Joel umenisaidia kuweza kumudu maamuzi haya
Ahsante MWALIMU...Asilimia Kubwa ya Somo Hili ni MIMI. Kazini ni Changamoto... MUNGU Amekuwa Ananisimamia. Kubwa: Masomo Yako Yamekuwa Yakinisaidia Sana Kusimama Imara na Kusonga Mbele.
Uwezo mkubwa unaweza kuwa mtego usipoutumia kwa busara. Kujikuta unatumika sana bila faida ni moja ya hasara kubwa ambazo hatuzitambui mapema. Asante Joel kwa kutukumbusha umuhimu wa kuwekeza kwenye malengo yetu na kuhakikisha kwamba tunatumia uwezo wetu kwa manufaa ya kweli.
Kweli kabisa brother Joel upo sahii hasa hiyo point ya mwisho ya kuonekana " kiburi" na pia kuombaomba misaada huo mda huna maana mda mwingi mtu utumia kufikilia maisha yake pengine baada ya miaka 5-10-20 mbele maisha yatakuwaje ..etc
Kaka hii hali imekuwa ikinitesa kwa maisha yangu yote, ,shidani kwamba Mungu ametupa karama, na ni kweli siyo kwamba tunajidai bali ndivyo tulivyo. Endelea kutufungu minyororo.
Kweli hapa mimi najishugulisha na ufugaji wa nguruwe kwa maana ya kibiashara napia ninandoto ya kuwa mfanya biashara lakini baba hataki nifuge nguruwe na hataki nifanye biashara anachotaka niwe mkulima na mfugaji wa ng'ombe na mimi ndoto yangu ni kuwa mfanya biashara na anataka kila jambo nitakalo taka kufanya nimwambie alifanyie yeye maamuzi
Kaka Joel mimi kwanzia kwenye familia hadi kwenye kazi , vikwazo vingi , kwenye kazi narundikiwa majukuku na ikitokea mistake huwa nasemwa mimi na hata nifanye vp haionekani , kwa kwanza napewa kingine , lakin wenzangu wanasaidiwa wanapunguziwa majukumu yaan na hawajali wala nini, kwanza sifikirii kuhusu kazi napoamka ndo napoanzia lakin mmmh nikitafakari kunawakati nataman kuacha kazi.