Da mtu bila woga anasema anampenda Sana mtu fulan kwa kuwa ni maarufu watakusaidia nn kesho yako Akhera ,,mpende mtume Muhammad SAW, Issa bin Mariam ,Mussa aleh sallaam mwisho wa siku utakuwa nao kesho Akhera ,,umarufu wa binadam unaishia dunian
Inalilillah wa inalilillah rajuuhn ni wale wale ,,Unawajua mapapa ww,, Allah atunusuru tuwe na mwisho mwema ,,tuletee historia za waja wema mbona wako wengi tu ,,wanamziki watakusaidia nn kesho Akhera ?
DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album
Fally ipupa is the king and they call him Michael Jackson of Africa and I hope people who listen to this never compare him with diamond,David,they call him king 👑
Acha zako wewe, Droite Chemine ilitolewa na Fally baada ya kuondoka QL. Ndio maana Koffi akatoa dis track ya Diabolos. Fanya utafiti kwanza, siku hizi kuna mtandao
Ninge penda ni mukosoe commenter mwenzangu hapa jini hilo nikosa kabisa ,ikipenda kumukosowa mutangazaji tumia busara nahekima kwani huu nimtandao bwana tfl rekebisha asante sana
@@ndevundavo7798 wote baadhi yamaelezo wamepatia nabaadhi yamaelezo wamekosea nimiaka 25 nikiwanao mtaa mmoja witwao monflorie(monflori) Kinshasa ndipo anapoishi koffi na ndipo alipokuwa akiishi Fally kipindi akiwa ktk kundi lakoffi litwalo quartier latin (kartie laten)
Namkubali sana huyu jamaa hasa ngoma zake za bakandnja na original ,ila tatizo letu wabongo ni mtu akiwa na mafanikio hawachelewi kusema ni Freemason tuache unafiki.
Yaaaaaaan watanzania ujuaji bhana ndo tumezid, w mtu unakosoa tu Tena kwa maneno mabaya duh, msiwavunje mioyo watu wanao jua vitu na kuona nivizur washeee nasis ambao atujui, sas nyie mwenzenu katoa nyie mnatoa povu sa mlitaka akae nayo Kama nyie, Kwa taarifa yenu mim kanisimlia nimesikiliza na nimemuelewa ko nyie Kama mnayenu mtakoma, brooo tuandalie na nyingine tena
Wala si story nzuri, au tuseme story nzuri ila haina mghani yaani msimuliaji.Kwani story huanza na kuzaliwa lini wapi wazazi ni wa kinanani baadaye mengine yanaendelea.
There is no need of seeking reviews by spreading lies. Haitakusaidia mwanangu. Cheap journalism is for idiots. So wacha Fally atuimbie. Kama hauridhishwi na maisha yake enda ukamwambie pekee yako.
Wewe bwege kabisa unaongea upuhuzi, stop nonsense nani alikwambia Faly alitowa album yake yakwanza akiwa bado yuko QL? Hata kufanya utafiti unashindwa, danganya wajinga wenzako. Wasani gani: Koffi, Werrason, JB, Act.... kwa mziki wa congo alie kubali Artist wake atowe Album wakati bado yupo under management yako? Unajuwa kilicho tokea wakina: Feregola, Bil cliton, and Mlopwe. Kwa Werrason? Wewe bwege tuu unaongea vitu huyui and una post in social media, rubbish tumia akili achakutumia makamasi our generation uwezi leta upuhuzi kama huu
@@ruthugerard7679 🤣🤣🤣 Kaka kunawatu wanashobokea social media hawajui zumun au maana ya media, ila mtu akishiba ugali dagaa basi hata kufikiria au kufanya utafiti wajambo mtu anapost na kuzungumuza ujinga tuu
We jamaa muongo sana. Olivia mke wa 50¢? $50mil ni trillions za kitanzania? Droit chemin imetoka 2006? Fally's networth ni $50mil? Wazazi wake wako hai na wanaishi Kinshasa? Charles ni mojawapo ya majina ya Koffi Olomide? Na mengine mengi umedanganya. Aisee, unapoteza credibility kabisa
Wewe umbwa kabisa ,shoga ni wewe,tafuta pesa acha wivu,I love rhumba for free,Frontline ikiwa na Fally na Ferre ,the list is endless,have respect for people you don't know,stupid!
DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album