Тёмный

Part 2: Nani Anayesema Ukweli Juu Ya Kifo Cha Moringe Sokoine? Hii Hapa Historia Yake Mwanzo Mwisho 

Charles Kombe
Подписаться 155 тыс.
Просмотров 262 тыс.
50% 1

#HomeOfUntoldStories
Tazama hapa Part 1 ya historia ya Moringe Sokoine 👇🏼👇🏼 • Nani Anayesema Ukweli ...
Whether you’re into recent discoveries, true stories or unusual trends there’s something for everyone!
You can expect all that and more coming at you in top-quality videos that are coming in every single day. If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, then join a community of 89 thousand and growing! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here on the home of untold stories!
Join the world's largest community of good and curious people! 😉
For brand, partnership enquires: charleskombetz@gmail.com

Опубликовано:

 

11 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 213   
@alexkayombo2725
@alexkayombo2725 Месяц назад
Tumuombee sana ndugu yetu Makonda viongozi wa aina yake wanauawa sana 😢
@resgoldphilays1800
@resgoldphilays1800 9 месяцев назад
Sokoine na Magufuli walikufa kwa sababu ya Kufatilia uujumu uchumi.... Na wote hawa walikufa kwenye hawamu zao za pili
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 7 месяцев назад
KWANINI NYERERE HAKURUHUSU UCHUNGUZI UFANYIKE WAKATI ALIKUWA POWERFUL 😮😮😮🤔🤔🤔😢
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 8 месяцев назад
Tuseme kifo Cha sokoine kilipangwa au hakikupangwa Mungu ndio Anajua lkn lililo wazi kwetu sokoine alikufa na washukiwa kupanga au kutopanga kifo chake walio wengi kama si wote walikufa kifo kibaya,Cha aibu na mateso ya muda mrefu. Ubaya au uzuri wa mtu hulipwa hapa hapa duniani. RIP sokoine.
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 9 месяцев назад
Nimependa sana hii Story! Hata sisi tuliozaliwa miaka ya 90+ tumeelewa.... Story hii haitofautiani sana na kilichotokea kwa J.P.M
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 6 месяцев назад
Nikweli ,historia imejirudia
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 8 месяцев назад
Good boy never ever angekuwa hai mpaka sasa wamasai wangekuwa mbali sana very smart jamaa alikuwa ujasusi mbaya sana ndio unawamaliza watu wengi duniani kwa matakwa ya watu wachache
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Год назад
Waliomuua nao walikufa/watakufa na hakika watajibu kwa Mungu
@dbarrik4108
@dbarrik4108 Год назад
Hongera sana ndugu. tuletee Historia ya Osca Kambona
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 Год назад
KWANINI SISI AFRICA KIONGOZI AKIWA NA MSIMAMO MWISHO WAKE UNAKUWA MBAYA😢😢😢.WAAFRICA TUWE SIRIAZI MUNGU UTUMIAGA WATU HILI KUSAIDIA 😢😢, NI MUHIMU KUWASAPOTI VIONGOZI KAMA HAO❤
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 Год назад
shida ni kwamba wazungu wametushikia akili ila siku tutakapoanza kutumia za kwetu tutaacha kuwaua viongozi wa namna hii, maana Kila msema kweli katika nchi hii au Africa huwa adui wa nchi amin usiamini ndivyo ilivyo!
@jemamhagama4978
@jemamhagama4978 Год назад
Wapiga madili! Watu wanashindwa kupiga madili lipoti ya CAG siumesikia.
@felixsanga
@felixsanga 10 месяцев назад
In one of my comment nilisema "Msituue"Tutafutieni Kijiji tunaweza kuwa msaada au hazina baadaye.Sokoiine ,Kolimba,Mtikila na Mimi nimetafutwa but I am alive.Devils are killing prophets,Dogs are killing Gods to mask truth!
@brunoh_bx
@brunoh_bx 7 месяцев назад
Sio Africa tu ni duniani kote ipo hivyo, fuatilia hata kifo cha John Kennedy na Abraham Lincolin waliokuwa marais wa Marekani
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 месяцев назад
Tena hakai muda mfrefu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 11 месяцев назад
Mtangazaji safi sana,tuletee na mambo mengine❤❤❤🙏🙏🙏
@charleskombe
@charleskombe 11 месяцев назад
Shukran na barikiwa sana kwa kufuatilia Amina
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Год назад
Siku moja ukweli wote utawekwa wazi wakati ambao wahusika wote watakuwa makaburini wakivuna matunda ya uovu wao milele hadi Kiyama Sokoine alisimamia haki inayokubalika hata mbele ya Mungu muumba na mjuzi wa siri zote. Tulishuhudia uadilifu wake usio na mfano hapa nchini. Hata mavazi anamiliki jozi 3 tu.!!! Wamasai Wana Asili ya uaminifu.
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 Год назад
Wallahi Allah Subhana Wataalah ndio hakimu wa haki. Na huko tutayatambua.n
@peterlukali9649
@peterlukali9649 Год назад
Asante Sana Kwa kutukumbusha
@msafiri2946
@msafiri2946 9 месяцев назад
Upo vizuri umenikumbusha history nyingi.
@amosmuhagachi8867
@amosmuhagachi8867 Год назад
It was great leader and a hero in Tanzania
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 7 месяцев назад
REST IN HEAVEN SOKOINE NA WALIOKUUA NAO WAMESHASEPA KUZIMU NA WENGINE WANASUBIRIA KWENDA KUZIMU BORA YA WEWE UNAYEKUMBUKWA KWA MEMA HAPA DUNIANI 😢😢😢
@rashidimataka1027
@rashidimataka1027 5 месяцев назад
sokoine hakuna kama huyu na aitatokea mwingingine
@miriambendera9938
@miriambendera9938 10 месяцев назад
Vizur havidumu. Inna lillah wainnalillah rajoun
@josephngassa7073
@josephngassa7073 7 месяцев назад
Sokoni alikuwa mzalendo wa kweli nilimuona Kwa macho yangu nikisoma darasa la pili mwaka 1983 Bariadi Shinyanga akitoa hotuba nzuri kuhusu kilimo Cha mtama Selena ili kujikinga na njaa alikuwa kiongozi shupavu na mzalendo wa kweli watu kama hawa kuwapata niadimu sana kuishi kwako ni mda mfupi sana r I p moringe sokoine
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 Год назад
Eti watu wazuri hawafi si ndivyo baadhi ya viongozi wetu wanavyosema labda hawafi Rip Sokoine Rip Magu
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Nashangaaa kwakweli.
@user-rr8cc2nw6i
@user-rr8cc2nw6i 9 месяцев назад
Hatari sana
@eliamkamba4325
@eliamkamba4325 Год назад
Nikiangalia taifa letu lilivyochezewa, na kusikiliza historia ya mtu mchapakazi na na mzalendo kama sokoine kuuwa kwa ajali ya kupanga nimelia Sana.
@MichaelStewart-cl3fo
@MichaelStewart-cl3fo 8 месяцев назад
Kwan huyo tuu. Huko serikalini kumejaa ftna, chuki na roho ya kwann. Ukiwaza mchapakaz hata boss anakuchukiaa
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 10 месяцев назад
Ufisadi ni. Mbaya sana
@user-fi6fi4qm8m
@user-fi6fi4qm8m 9 месяцев назад
Wote walio husika kuondoa nafsi ya sokoine kipenzi cha watanzania mungu amewaadhibu na ataendelea kuwaadhibu,
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Год назад
Kazi nzuri sana kaka, tuletee simulizi ya kina ya kifo maisha na kifo cha Mwl Nyerere
@salimali-rr5gp
@salimali-rr5gp Год назад
Tuletee kifo cha kolimba
@Lutengano-uj3hu
@Lutengano-uj3hu 6 месяцев назад
Miujiza ya Mungu
@selinapius7607
@selinapius7607 Год назад
Mungu amewaweka hakiba wote waliowezesha kifo cha Sokoine katika moto usiozimika.
@ezralugakila
@ezralugakila Год назад
Ewe Mungu wetu linusuru taifa letu kutokana na maadui wanaowaua watetezi wetu.
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 7 месяцев назад
Inauma sana
@user-lb9ww8wb8j
@user-lb9ww8wb8j 10 месяцев назад
Vizuri havidumu. Pumzika Kwa amani
@arafahhh5574
@arafahhh5574 10 месяцев назад
Hadi leo anainiuma kiongozi huyu nahisi kama kadhulumiwa roho yake jana tu RIP WAZIRI MORINGE
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 месяцев назад
you deserve my subscription broo. Salute👍👍
@charleskombe
@charleskombe 4 месяца назад
Salute bro. Thank you for watching!
@salvatoryNestory
@salvatoryNestory 10 месяцев назад
Napenda kupata historia ya RAIS wa pili wa zanziba Abdul Jumbe. Asante.
@NuruMalika
@NuruMalika 5 месяцев назад
Mungu Awaweke peponi ndungu wazili mkuu wenyezimu Awape wepesi ishaalha
@victorcephas3618
@victorcephas3618 17 дней назад
History inaonesha aliandaliwa ndege asafiri nayo akagoma maana ingetunguliwa, alipotaka gari akatengenezewa ajali ya gari akatoka salama akatumiwa soja mmoja kummaliza na risasi ili kifo chake kiwe cha ajali, hata risasi haikumuua wamasai wakapiga ramli wakaona ndugu yao bado hajafa ikaonekana kuwa ni soo akaminywa akamalizwa kabisa R.I.P Sokoine.
@r14kgroup68
@r14kgroup68 7 месяцев назад
Hii historia inaumiza sana kwa watu wanaoua ndoto za jah
@NuruMalika
@NuruMalika 5 месяцев назад
Sana nawepesi
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 10 месяцев назад
Reapit it so that thouse Tanzania yang ganeretion can understand how we know our nation
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 месяца назад
Waliofanya njama hiyo nao wamekwisha tangulia mbele ya haki. Hapa duniani sisi wote ni wapita njia tu! Sokoine umeacha legacy kwenye nchi hii kama alivyoacha legacy muasisi wa nchi yetu Mwalimu Nyerere.
@user-iw2rw3xn1w
@user-iw2rw3xn1w 7 месяцев назад
Mungu.amlaze.mahari.pema.peponi.amina
@kyaro5945
@kyaro5945 6 месяцев назад
Utuletee na taarifa ya kifo cha Br. Gen. Kombe
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Год назад
Ongera sana mtangazaji,leo wote wako wapi?mungu analipa hapa hapa dunian.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 10 месяцев назад
Kama kunawaliomuua huyu mwamba ,azidishiwe adhabu mara 10
@anuarykisege1741
@anuarykisege1741 9 месяцев назад
Malipo ni hapa hapa dunian
@anuarykisege1741
@anuarykisege1741 9 месяцев назад
Malipo ni hapa hapa dunian
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Год назад
Azimio la Arusha ilikuwa Dhulma kubwa Sana kwa watu wengi. What goes around comes around.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 Год назад
Hakuna nchi inayoendelea bial kujito muhanga. na haukan muafrika anayefaidika kwa kufuata sera ziliachwa na wazungu! mabadiliko ni lazima yatokee! nyie wengine ni kenge tu kama Lissu.
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Год назад
@@josephgomalo41 Dhulma haizai,mtu wangu
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 10 месяцев назад
​@@samuelmuthui4699hakika kabisa
@miriambendera9938
@miriambendera9938 10 месяцев назад
Mwaka 1984 ingawa nilikua mdogo lkn kiliniuma mno nilikua ktk folen dukan tukisubir sukar
@mustafampande173
@mustafampande173 3 месяца назад
poleee
@kondosaid216
@kondosaid216 Год назад
Kumbe hii style ya kuua viongozi ilianza mda mrefu sio kwa Magufuli tu😭😭😭
@betitympeleta9697
@betitympeleta9697 10 месяцев назад
so sad
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 10 месяцев назад
CCM kaka hawapendi watu wanaopinga rushwa toka asubuh.....Mwalimu alikataa team nyingi tu za uchunguzi kutoka nje ya nchi.....hapo ndipo palipoleta mashaka why Mwalimu anakataa hilo suala..
@Barnabasmahindi
@Barnabasmahindi 10 месяцев назад
🎉🎉​@@betitympeleta9697
@LumolaSteven
@LumolaSteven 8 месяцев назад
Na hao Viongozi wenyewe pia wanaua.
@issabilali3539
@issabilali3539 8 месяцев назад
Taifa letu linalaana ya kuuwa viongozi wazuri.
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
Hata Nyerere anajua kila kitu sizan kama alikua hajui
@mtitually5860
@mtitually5860 4 месяца назад
Aisee tumetoka mbali sana
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 6 месяцев назад
Dhuruma kwa watu WENYE haki ni laana kubwa. Historia ya Sokoine Kila ninapoisikiliza Huwa inanihuzunisha sana.
@user-le9vs2uv2z
@user-le9vs2uv2z 10 месяцев назад
Nimejifunza upigaji mali za umma zilianza mapema, meli iliuzwa mil.60 du hatari
@dadimaalim943
@dadimaalim943 7 месяцев назад
Nmerizika sna n simulizi hii mayo inaonekana kua na ukweli mwingi ndani yake
@user-ib2xh8li7j
@user-ib2xh8li7j 9 месяцев назад
Uko vzr let simulizi inayohusisha harakati za Marehemu shekh Abedi Amani Karume tangu kupigania Mapinduzi ZANZIBAR Hadi kifo chake kwa kuuwawa kwa kupigwa risasi wkt akihutubia nani anayehisiwa
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 Год назад
Sanaa,nakumbuka nilinunua nguo duka la rtc nikaziuza Tena ili kununua chakula ,
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Год назад
Kwa sisi wazee tulioishi enzi hizo, tunashukuru Sana ufafanuzi wako maana ilikuwa ni kitendawili kwa miaka mingi sana. Kweli viongozi wazalendo hawadumu duniani kote. Hiyo ndiyo maana ya dunia. Tuliondoka kwenda masomoni huko lndonesia mwaka huo na wenyeji wetu tulioongozana nao toka hapa hawakuamini kuwa alikufa kwa ajali.
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Nashkuru mzee wangu kwa kufuatilia na kwa maoni yako.
@gregorynyanda8141
@gregorynyanda8141 Год назад
Tuletee taarifa kuhusu kifo cha Gen kombe
@joramnkya6756
@joramnkya6756 9 месяцев назад
Llll lol l
@aronpaul2331
@aronpaul2331 Год назад
Duuu ila inchii hiii noma sana 😢😢😢😢
@neatnessmwanga8653
@neatnessmwanga8653 10 месяцев назад
Inaumaaaaaa!
@user-bp1lf3dp1l
@user-bp1lf3dp1l Год назад
Afraka tumepewa Lana kwananza Wana uchu wamadaraka mm naona walikatisha maisha yake
@josephturuthi1183
@josephturuthi1183 10 месяцев назад
😭😭😭 Waafrika na mamlaka katika serikali.
@oswaldsambaya4422
@oswaldsambaya4422 8 месяцев назад
Tunamkumbuka sana marehemu Edward Sokoine K4, 1983 Same S S
@irovyairovya2333
@irovyairovya2333 Год назад
Kumbe ivi vifo vya utata vilianza zamani eenh?
@aniseth14cyprian80
@aniseth14cyprian80 10 месяцев назад
Kumbee Hii Tabia ya kuua Viongozii wanao tetea WANANCHI wa Hali ya Chini Ilianza zamani. Mungu awasamehee Wauajii
@AugustinManirakiza-hl2tg
@AugustinManirakiza-hl2tg 9 месяцев назад
Ndugu mwandishi wa matokio ya kisiasa,jina langu nnaitwa Austin nikiishi Souther Africa,nakuomba utujuze kilicho mtowa waziri wa zamani wa mambo yandani muheshmiwa Augustin Aliatinga Mrema ,adi kuasisi chama chake NCCR mageuzi.
@HermanKinyaiya
@HermanKinyaiya Год назад
Sokoine,hakufa,pale,alipopata ajali,alikimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro,kifo,ndiyo kilimkuta Hospitali.
@user-yy2fn1xf1l
@user-yy2fn1xf1l 6 месяцев назад
awanaga maarifa mengne awo mashetani ya ccm. mungu ailaze pema roho yake peponi
@andrewassey5108
@andrewassey5108 6 месяцев назад
Aliyemuua waziri mkuu anahukumiwa miaka mitata mama wa vipande vya nyama anahukumiwa miaka 22. Mahakama za tz 🎉
@user-oi5tw3gt5l
@user-oi5tw3gt5l 10 месяцев назад
Ujue mungu wa Ajabu Yako wp mnayo kimbizana nayo Kwa tamaa !!
@joycemosha1898
@joycemosha1898 Год назад
Sokoine alikuwa anapendwa sana na jeshi kwa kuwa hakuwa kariba sana mheshiwa alikwa anapenda kuangalia mbele ujamaa hakuupeda
@ulomirodrick255
@ulomirodrick255 7 месяцев назад
Kwa kweli alikuwa mpiganaji wa kweli
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Год назад
Niwe mkweli niliumizwa Sana na Kifo Cha Sokoine ...Yaani Hizi sisa na uchu wa Madaraka aseee
@royalahmed7024
@royalahmed7024 13 дней назад
Nakumbuka nilikuwa mjamzito wa miezi minane lkn jinsi nilivyokuwa nampenda huyu kiongozi mahiri nilienda kumuaga na foleni ilikuwa kubwa sn.
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
Mbna walikataza team ya mercedes benz kufanya uchunguzi Nyerere alihusika kila kitu uzur waliofanya ivyo walikufa
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 10 месяцев назад
Ni kweli kabisaa
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 7 месяцев назад
Kuna kitabu niliwahi kusoma kinaitwa “Who says the truth in Tanzania “ kilichoandikwa na Ndimara Tegambwage! Kimeeleza mengi juu ya kifo cha Sokoine!
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 10 месяцев назад
Kumbe magufuli walikuwepo tangu zamani ,Mungu ibariki Africa,tunahitaji Magufulification of africa
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 9 месяцев назад
KUMFANANISHA E. SOKOINE NA MAGUFULI NI KUTOMTENDEA HAKI KABISA E. SOKOINE TUWE WAMINIFU MUNGU ANATUONA!!! NINAWEZA KUKUBALIA NA MTU ATAKAYE MFANANISHA E. SOKOINE NA MWAL. NYERERE HAWA WATU WAWILI WALIKUWA WAMINIFU SANA JUU YA MALI YA UMA, WALIKUWA MASIKINI HAWA KUJILIMBIKIZIA MALI!!! HAWAKUWA WATOA WALA WALA RUSHWA, HAWA KUWA WAVUNJA KATIBA YA NCHI(WALIIHESHIMU VIAPO VYAO, HAWAKUDHULUMU MTU HAWAKUJIPENDELEA KWA KUJENGA VIWANJA VYA NDEGE VIKUBWA KWAO N.K NAJUWA WAJINGA WANAOONA NI SAWA TU KUJENGA UWANJÀ WA MABILIONI UKIWA HAUNÀ TIJA KWA UCHUMI WA NCHI LEO HII UPO UPO TU!!! YAKO MENGI TU YA HIVYO NI AIBU HATA KUYÀTAJA!!! IKO SIKU YATAFUNULIWA WAZI!!! KAMWE USIKUBALI MAENDELEO YOYOTE YANAYOFANYWA KWA NJIA ISIYOMPENDEZA MUNGU, MUNGU ANAPENDEZWA NA MAENDELEO YA KIDOGO KIDOGO LAKINI KWA NJIA YA HAKI.
@sharifahmed7346
@sharifahmed7346 10 месяцев назад
Kwa heri Moringe !!!!
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 10 месяцев назад
😢😢😢😢😢
@Selemani-ks3jk
@Selemani-ks3jk 9 месяцев назад
Hakika kweli alikua kiongozi mahili sana japokua mimi sikuku mkuta
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Год назад
Hata MAGUFULI amesimamia haki wamemuuwa MUNGU atawalipa
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 Год назад
Kama nae hakuua au kusababisha kifo kwa Mungu ataishi kwa raha huko,ila km nae aliua na kusababisha vifo ,nae atateswa mno
@benoseaone
@benoseaone Год назад
Anayesema Moringe Sokoine alikufa, anakuwa yuko sahihi zaidi lakini anayetafuta nani alihusika na kifo chake, anakosea sana. Mungu alitoa na mungu alitwaa jina Lake lihimidiwe
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 Год назад
Mmmh ukikuwa utajua ndugu yngu
@neemasolomon1541
@neemasolomon1541 Год назад
Kwahiyo watu wafe tu bila kuangalia kisababishi
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Ila wewe kwanza naona hujawai kufiwa, ndiomana unaongea makorokocho.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 6 месяцев назад
​@@happylynguya3464ndioooo hajawahi
@bernardmwanjotile6647
@bernardmwanjotile6647 Год назад
Mi nafikiri hata wao wameshakufa bila kuwa waziri mkuu.
@user-hv6up6fj9m
@user-hv6up6fj9m 10 месяцев назад
Mungu mkubwa there is a day
@PaulMbezi-ck2th
@PaulMbezi-ck2th 10 месяцев назад
Sikiliza wimbo wa patrick balisidya,Duniani hakuna wema,uone jinsi viongozi wa kiafrika walookuwa wema walivyo uwawa
@SamoraSanga-ox9rv
@SamoraSanga-ox9rv 10 месяцев назад
Katika maisha popote unapoishi usipende kuwa mkweli sana jamii huwa haitaki!!!!!
@MichaelStewart-cl3fo
@MichaelStewart-cl3fo 8 месяцев назад
Ftna, chuki na roho ya kwann ndo tunazo jua sisi watz
@illomowerner7690
@illomowerner7690 7 месяцев назад
Nimekuelewa kamanda Sanga, ulichokipost ni Ukweli mtupu japo Kuna watu watakupinga
@illomowerner7690
@illomowerner7690 7 месяцев назад
Mimi natoka Makete, vipi ndugu Sanga, wewe una asili pia ya huku ukingani?
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 5 месяцев назад
Hii issue haingii akilini kwamba eti alifariki kwa ajali. Hii inaonyesha kulikuwa na mpango kazi
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 месяца назад
Nakumbuka miaka hiyo wahindi na matajiri mjini Dar walitupa pesa barabarani.
@modestalois2535
@modestalois2535 8 месяцев назад
Hizo ni stori tu,Mwl kama mkuu wa Nchi alichukua hatua gani😢😢😢,ingependeza zaidi kama uchunguzi huru ungefanyika hata leo.😢😢😢siamini!!?
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 7 месяцев назад
Mwalimu alihusika ndo maana uchunguzi ulizimwa mpaka kaburi liliwekewa ulinzi mkali kwa miaka
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 месяцев назад
Huyu walimuua mre mre ndani ya gari huyo alio mgonga amekuja kumalizia tu tu ila uziri wake kila mtu atakufa ...na washatangalia teali
@zulfajuma8394
@zulfajuma8394 6 месяцев назад
😢😢😢😢😢😢😢
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 месяца назад
Huyo Waziri Mkuu niyo aliyemleta Lowasa Ccm kumtoa umasaini
@PendoshirimaEmanuel-zh3fw
@PendoshirimaEmanuel-zh3fw 7 месяцев назад
Edward moringe sokoine pumzika kwa Aman
@miriambendera9938
@miriambendera9938 10 месяцев назад
Tunashukur kwa historia ndefu tuletee ya mh. Magufuli rais wa wanyonge
@charleskombe
@charleskombe 10 месяцев назад
Shukran kwa kufuatilia Miriam. Nitafanya hivyo!
@user-bp3xk7bn9l
@user-bp3xk7bn9l 9 месяцев назад
Wema hàwana maishà ukiona kiongozi wa afríka anaishi muda mréfu jua si mtetezi wa kwelikweli wa wanyonge' mf lumumba, samora, ngwabi,jpm,tom mboya,😮😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 месяцев назад
👊👍✌.
@kinanaomar
@kinanaomar 10 месяцев назад
Nani aliye mla kichwa sokoine
@BonifaceTatuga
@BonifaceTatuga 10 месяцев назад
Tanzania tuna hazina ya viongozi shupavu Ila Kuna wahujumu uchumi ndiyo wanawaua
@BarakababaRama
@BarakababaRama 10 месяцев назад
Hii ajali ni mipango ya binaadamu sio mungu
@elkanangosha9588
@elkanangosha9588 11 месяцев назад
Radiator video ya kifo hicho
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 месяца назад
Huyo Waziri Sokoine alikuwa kama hayati Magufuli na wema hawaishi lazima wauwawe Mungu walszei mahali pemaprponi
@user-ey5gu5tl4j
@user-ey5gu5tl4j 6 месяцев назад
Ni mipango ya mungu
@staronline302
@staronline302 Год назад
Duh kumbe mwaka 84 simu zilishafika Tanzania
@muhundaramadhani5057
@muhundaramadhani5057 Год назад
Za mezani
@leonardclaudio
@leonardclaudio Год назад
Simu za waya unatandazwa kama zilivyo nyaya za umeme
@joeileh5127
@joeileh5127 Год назад
Ndiyo mbaka tv Ila nyelele alikuwa mjanja anatumia yeye kupata taarifa arafu anawadanganya watu hanaota😁😁😁😁 kafanya mbaka leo Tanzania inaamini doto😅😅Ila nyelele kiboko
@andrew29468
@andrew29468 9 месяцев назад
Ni za wire,za mezani Zilishakuwepo
@user-ul6fi5hl7h
@user-ul6fi5hl7h 7 месяцев назад
😭😭😭😢yaaaan imeniuma sana na nimeipwlenda sn hi story
@charleskombe
@charleskombe 7 месяцев назад
Pole na asante sana kwa kufuatilia
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Kumbe mambo yake yalikuwa kama ya baba Magufuli jamani, na yeye alikuwa anapiga simu live na wanachi wanasikia.
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 месяцев назад
Nawaza combination ya Kambona ,sokoine ,na Mwamba Magufuli Mungu alitugea hawa watu kama zawadi lakin hawakudumu Kambona na sokoine wameondoka kwa hila anaedaiwa baba wa taifa baba wa taifa ni Oscar kambona....
@zayumar2955
@zayumar2955 9 месяцев назад
Ama kweliWema hawadumu kiukwel 😢😢💔 nakumbuka tulivyokuwa primary kunawimbo tulikuaga tunaimba moja ya mstar wake ulikua unasema NINGELIKUWA NA ROHO MBILI NINGEMUOKOA SOKOINEE😢😢💔 Nilikua hata sijui hata historia yake vizur leo ndio nmeielewa vyema 😭😭😭 kwann waafrica tunakua wajinga ivyo jmniiiiiiiiii kwann hatuna uzalendo? Kwann tunatawaliwa mpaka leo tutaamka lini? Eeh Mungu wape umri mrefu wazalendo woteee wa Africa na uwapumzishe wale wote waliotangulia mbele za haki🤲🤲
@AyubuLetayo-ni5mo
@AyubuLetayo-ni5mo 7 месяцев назад
Duh inasikitisha sanaaaaa
@zayumar2955
@zayumar2955 7 месяцев назад
@@AyubuLetayo-ni5mo 😢😢😢
@AyubuLetayo-ni5mo
@AyubuLetayo-ni5mo 7 месяцев назад
@@zayumar2955 Ila hatuna budi yakusema MUNGU azdi kutupigania atunusuru kwa mengi tunayopitia
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад
Walikuwa vichaa kupanga kuja kufanya uchunguzi kwenye nchi zawatu bila kuombwa na wenyewe
Далее
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Просмотров 422 тыс.
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 536 тыс.
The Hardest Challenge!
00:37
Просмотров 4,6 млн
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 536 тыс.