Thank you for continuing to stay close to this channel!
If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories! Please subscribe because untold stories are on the ground!
To Support this Channel: Mobile Money/Airtel: +255 782100209
Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.
Yakumbukwe mazuri ya Titi. Mwl hakupenda mtu awe mjuaji zaidi yake, wala apendwe na watu zaidi yake, wala kuona mtu anaendelea. Alitaka kuzunguukwa na masikini na wanaomkubalia kila kitu. Viongozi wengi wana tabia kama hii. Walioshiriki ktk kupigania uhuru Nyerere aliwatupa, wakafa hawajulikani,akawaweka watu wake
Nimejifunza tuwena upendo duniani ni mapitio,pamoja machifu yao yote majigambo wote hawapo duniani.Pendo na kusameheana kwa kila jambo nikitu chema hapa duniani.
Pia polisi wanahitaji elimu. Polisi waliotajwa hapo ni wa vyeo vya chini sana. Elimu elimu, na tena elimu. Na sisi wananchi tunahitaji elimu ya Sheria ili tuweze kuelewana na vyombo vya dola.
Nyerere laanatullah ndiye kafanya mpaka sasa maendeleo yawe hafifu nchin Tanzania jamaa mbaya sana ana roho mbaya kweli kwel Allah ampe adhabu mpaka kufufuliwa
Serikali inahusika moja kwa moja kwasababu, kama.gari ilikamatwa na kuachiliwa kwann waje waitafute tena moshi ??? Pili hao polisi kwann walifyatua risasi kwa kumlenga sehemu za kifuani badala ya kumjeruhi ??? Huo ni uongo wa serikali inavyoonekana serikali ilishakuwa na nia ya kumuua na wakaamua kununua gari iliyofanana na gari ya marehemu ili waweze kuwa na sababu ya kujitetea !!! We know it was political assassination
Kwa hilo nyerere Alikosea sana kutaifisha nyumba za Huyo mama, alimkatili sana , Hakufikiria na yeye alijiona mungu,kwa sababu kiongozi mzuri huwa anakubali kukosolewa, Pamoja na kwamba nyerere alikua na Mazuri yake ,Hapo alikosea sana 😢😢😢,mungu amlaze mahali pema Bibi titi mohamed ,ni mengi ameyafanya mazuri
Na ili ujue kuwa ulikuwa ni mpango wafungwa wote wawil waliohukumiwa kifo walikuja kuachiwa kwa msamaha wa raisi kikwete... Mungu anajua ya siri na ya dhahir na anahukumu juu ya hayo yote...
Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako