Тёмный

Historia ya EDWIN MTEI Gavana wa BOT Aliyetofautiana na NYERERE Masharti ya IMF 

Charles Kombe
Подписаться 184 тыс.
Просмотров 98 тыс.
50% 1

#HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #EdwinMtei #mbowe
Hii hapa historia ya Edwin Mtei, Genius kutoka Marangu, Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, Baba Mkwe wa Freeman Mbowe na Mhasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema.
________________________________________________________________________
MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
For brand and partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@ClaveryKaboyele
@ClaveryKaboyele 3 месяца назад
Nimezaliwa 1960. Nimefurahi na historia hii. Naamini labda pia ma-bus ya MTEI EXPRES ni ya yeye. Nimeishi pia Arusha sana. Big up Mzee Mtei.
@SanchoHamisi
@SanchoHamisi 3 месяца назад
Mzee alikuwa makini sana.Upinzani ulishashika nchi siku nyingi,Sema wanaoongoza kwa sasa wanatumia nguvu tuu.
@jumannehassan242
@jumannehassan242 3 месяца назад
Sawa kabisa alikuwa vizuri sana tuige mwendo huo
@r14kgroup68
@r14kgroup68 10 месяцев назад
Mwlm fikra zake.ziishi
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 месяца назад
Nyerere bhana alikua mbabe sana
@makibadatela7865
@makibadatela7865 Год назад
Tabia ya Kupeleka watoto shule kwenye mkoa tofauti na mkoa aliozaliwa kumbe ili anzishwa na Mkoloni Mwingereza! Ukweli usipindwe.
@JoelMuro-dr1sf
@JoelMuro-dr1sf 3 месяца назад
Ni nzuri sana hy historia
@EmmaMwaituka
@EmmaMwaituka Год назад
Ni kazi sana watanzania kuwa sawa yaani sisi huwa tuna amini nyerere alikuwa hakosei wakati sivyo
@kasiisomi1821
@kasiisomi1821 Год назад
alafu niujinga tumejazwa na tumejaaa alafu hata ile marekani yenye miaka 200 tanguuhuru na bado kuna maraisi wanakoseaa
@AmbakweteMwakalugirao
@AmbakweteMwakalugirao Год назад
Kwani kukataa masharti ya IMF Nyerere alikosea??? Hakuna Mchumi Mzalendo anayeweza kukubali sharti la kushusha thamani ya sarafu ya Nchi. Mtei hakujua lengo la IMF. Kwani IMF na WORD BANK unajua ni za nani??? Mtei alielewa MAELEZO ya IMF ila hakujua LENGO lao, wakati MWL alijua lengo lao. Vivyo hata kina Msuya waliotupoteza baadae kwa kukubali.
@kasiisomi1821
@kasiisomi1821 Год назад
@@AmbakweteMwakalugirao hakuna mwanasiasa mkweli hapa duniani tangu iumbwee
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 3 месяца назад
Msimamo wa mwl ulikuwa sawa kukataa mashart ya IMF but mwinyi alipokubali mashart ya wazungu na kushusha thamani ya fedha yetu.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Nyerere alikosea ndio
@Saltary
@Saltary 3 месяца назад
Alikuwa sahihi kwani lazima tubadlike ili twende na wakati kama tunataka maendeleo.
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 Год назад
Hongera Mtei, Hongera Mbowe, Hongera Lilian
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Год назад
Edwin mtei hongera
@seifomar8297
@seifomar8297 3 месяца назад
Alikosea sana na pia hakumshauri rais vizuri
@danielnangela2195
@danielnangela2195 6 месяцев назад
So splendid.
@charleskombe
@charleskombe 5 месяцев назад
Thank you so much!
@sarahjames2287
@sarahjames2287 Год назад
Ni kweli Edwin Mtei very smart
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 Год назад
Mtei alikuwa sahihi
@kingsleymanyama5150
@kingsleymanyama5150 3 месяца назад
Mwalimu alikuwa na maamuzi ya kizalendo sana
@njoostudio_
@njoostudio_ Год назад
Sawa Kaka Tupo Nyuma Yako Teacher
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Nashkuru sana kwa maoni yako. Tunayathamini sana!
@macmillanmakawia1542
@macmillanmakawia1542 3 месяца назад
Kwakuwa ni mtaalam,Kwa mawazo yake alikuwa sahihi,pamoja na kuwa Mwalim nae alikuwa sahihi,kwani alikuwa na uchungu na umaskini WA watu wake
@AlbertEinstein-n5o
@AlbertEinstein-n5o 3 месяца назад
Aiseeeeeee
@daudysanga8492
@daudysanga8492 Год назад
Ndio katufikisha hapa
@islambarafaa-y2h
@islambarafaa-y2h Год назад
Bila kumsahau muingereza Mr Brown
@JafetiMrema
@JafetiMrema 3 месяца назад
Amen
@thomasmsamikikowe2485
@thomasmsamikikowe2485 3 месяца назад
Assah kumbe mbowe anasimamia mawazo ya mkewe, na ndio maana hoja yoyote ya kubadili mwenyekiti haiwezi kufua dafu.UDHAIFU MKUBWA WA CHAMA MASKINI
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 3 месяца назад
Hayo mawazo mfu.
@romanilyimo
@romanilyimo 3 месяца назад
We mwenyewe unaongozwa na mkeo akili yako ndogo hiyo.
@johnmosha9590
@johnmosha9590 Год назад
Mtey tunakupongeza kwa kuamua kujiepusha na TANU NA CCM.MUNGU ATUKUZWE SANA KWA AJILI YAKO
@DisimassMassawe
@DisimassMassawe 3 месяца назад
Kweli hyu mzee ni noma
@AnthonyManga-ve5sm
@AnthonyManga-ve5sm 11 месяцев назад
Sio leo
@emmanuelymeresta-si4ur
@emmanuelymeresta-si4ur Год назад
Tatizo la wandishi wa habari mnaandika kichwa Cha habar tofauti na simuliz
@barakaleader1550
@barakaleader1550 Год назад
Wapo viongozi wengi tu ni watoto wa mchepuko
@DUL69
@DUL69 Год назад
Yaani wewe Ndugu katika Mambo Muhimu yaliyoelezwa juu ya Huyu Kiongozi umeliona hilo Tu🤣🤣🤣
@dickmlimuka9073
@dickmlimuka9073 3 месяца назад
😅😅😅😅 27:54 😅😅😅😅😅😅😮😮😅😮😮😮😮😮😮😅😅😮😅😅
@ObedOsward-z7x
@ObedOsward-z7x 25 дней назад
Obed mtei mwamba
@ramadhankhamis1926
@ramadhankhamis1926 3 месяца назад
Mambo kama haya ni muhimu kutokewa na iko siku mambo yatabdilika
@CosmasiMwangamba
@CosmasiMwangamba 11 дней назад
Sasa hyo historia ndyo takwa la watanzania,kumbe inaangaliwa Ukanda nchi ni yawatanzania mikoa 25na zaid
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 3 месяца назад
Mwl alikuwa kiboko
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 3 месяца назад
Hakina shaka upinzani kushika dola inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati mwafaka. Tz tunahitaji mapinduzi kuwe na mawazo mapya wananch tnahitaji kupata amani maisha ni magumu sana yanatuchanganya hasa pale ambapo inaugua huna uwezo wa lupata dawa kisha hata chakula chenyewe ni shida kutokana kila kitu bei juu. Tunajiuliza hivi itatokea siku moja nchi hii ikabadilika ma kutambua watu wa hali ya chini? Watu wa jali ya chini Tanzania ndiyo wengi zaidi na ndio tunaoteseka na kukata tamaa.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
miaka hii hawajipunguzi..badala yake hata wake za marais wanadai wapewe pesa na iongezwe huku nchi bado tuna safari ndefu
@MzeeMkoloni
@MzeeMkoloni 4 месяца назад
Mtei hakuwa sahihi kwani thamani ya pesa yetu ingeporomoka mno
@goodluckngowi8661
@goodluckngowi8661 3 месяца назад
Hakukosea
@jumambaruku5684
@jumambaruku5684 3 месяца назад
Mtei alikua hajakosea
@christinainnocent3184
@christinainnocent3184 Год назад
Nwandushi unakosea miaka unayotahabhchinilikua Tanganyika sio Tanzania
@christinainnocent3184
@christinainnocent3184 Год назад
Sorry. Narudia mwandishi miaka unayotaja kabla ya uhuru nchi ilikua Tanganyika ilikua haijaungana na Zanzibar unakosea kusema Tanzania
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 3 месяца назад
Vipi kuhusu Kigoma Ali Malima aliyeteuliwa na Mwalimu kusimamia uchumi miaka ya 1982
@giztony2009
@giztony2009 8 месяцев назад
Huyu mzee anafanana na binti yke ambaye ni mke wa mboye
@JafetiMrema
@JafetiMrema 3 месяца назад
Mwalimu, alikuwasahihi
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 Год назад
Kumbe michepuko haijaanza leo
@AtumuMwenda-nu8zp
@AtumuMwenda-nu8zp Год назад
Umesema alienda kusoma uganda mbona hujaeleza alichokisomea makelele
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 3 месяца назад
Alisomea Uchumi na Historia.
@NsajigwaStaphord
@NsajigwaStaphord Год назад
Ndio vyama vya upinzani ipo siku vitaongoza nchi.vikijitambua.kwa kuwa vyama vyote ni mali ya watanzania.ndio maana mtei alipeleka katiba ya chama hicho kwa mwl nyerere ili ipate baraka zake na mwl nyerere akabariki.lakini kujiuzulu nafasi ya ugavana lilikuwa pigo kwatu kama nchi.bado alihitajika kusaidia nchi.
@MzeeMkoloni
@MzeeMkoloni 4 месяца назад
Msimamo ni kitu muhimu sana ktk maisha
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 9 месяцев назад
Alie tuyumbisha sisi wa Tanzania ni Mwinyi
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 3 месяца назад
Mungu akusamehe nchi kapewa mwinyi tayari watu wanavaa magunia na chakula hamna hata kilo ya Dona unaipata kwa foleni.Nchi haina Akiba hata mia na imejaa madeni.Mzee mwinyi baba wa Democrasia na Neema.
@selemanimshana3320
@selemanimshana3320 3 месяца назад
Je ilikuaje kuhusu AMf
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 Год назад
🎉🎉🎉🎉
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 Год назад
Marehemu Mzee Balali kasoma Howard University, na sio Harvard University.
@samwela.kasamalo2113
@samwela.kasamalo2113 Месяц назад
Kwani inatamkwaje?
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 Месяц назад
@@samwela.kasamalo2113 Howard ni chuo kingine tofauti sana na Harvard.
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 Год назад
Angalieni hiyo Channel ya Charles Kombe , kama ni kweli mwenyewe ameanza kuhubiri ukabila na matukio mengi ya zamani yanayo chochea CHUKI.
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Sio vibaya ukasoma historia. Walioisoma wanajua ukweli wa hii. Chuki ni mbaya! Asante kwa kufuatilia
@remigimtenga7608
@remigimtenga7608 Год назад
@@charleskombe wanaoumizwa na simulizi zako watajua wenyewe.Piga kazi kaka hakuna chuki hapo.
@Marjeby
@Marjeby Год назад
Bro mwaka 1957 Makelele University haikuwa inatoa shahada ilikuwa ni Diploma tena ni diploma in Agriculture and Diploma in Education research yangu inaniambia hivyoo
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Shukran kwa kufuatilia. Lakini kwa mujibu wa Historia ni kwamba mwaka 1949 *Makerere* sio "Makelele" ilikuwa chuo kishiriki cha Chuo Kikuu cha London ambapo kilitoa shahada ya kwanza ya ngazi ya Chuo kikuu na baadae mwaka 1963 Makerere ikawa sehemu ya Chuo Kikuu cha Afrika Masharini pamoja na Campus za Dar na Nairobi. Nadhani utazame vyema Research yako.
@christinainnocent3184
@christinainnocent3184 Год назад
Makerere university sio Makelele. Sahihisho
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Год назад
Ni kweli Tena ilikuwa ni college na sio university
@Rhobimdenish
@Rhobimdenish 5 месяцев назад
Sio makelele ni makarere
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 11 месяцев назад
Nina amini kabisa upinzani tena CHADEMA itashika dola pasipo shaka na hivi karibuni 2024 na 2025 ni muda wa CHADEMA kukamata dola hadi raha kwa kila Mtanzania.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 3 месяца назад
Utasubiri sana
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 3 месяца назад
Kwa Mungu yawezekana
@ClaraKongo
@ClaraKongo 2 месяца назад
Kumbe
@honomaria7279
@honomaria7279 3 месяца назад
Hakuna maendeleo bila mabadiliko
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
👊✌️👍。
@phedsonmwambete7813
@phedsonmwambete7813 2 месяца назад
Alikuwa mwamba wa uchumi na maono
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Год назад
Kweli kabisa iko ck moja isiyokuwa na jina upinzani itaonginza nchi hii naamini pacent mia
@josephkabelege1622
@josephkabelege1622 3 месяца назад
sawa lakini siyo cdm
@Marjeby
@Marjeby Год назад
Kileruu aliuwawa akiwa mkuu wa mkoa wa Iringa kwa kupigwa risasi na mwananchi mmoja akiitwa bwana Said na baadae kuichukua maiti katika buti ya gari yake na kuipeleka kituo cha polisi yeye mwenyewe.
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Shukran kwa kufuatilia na kwa maoni. Tunashukuru na tunathamini mchango wako.
@WaleedKhaleed-w3x
@WaleedKhaleed-w3x Год назад
😂 alikutana na jembe la kinyalu
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri Год назад
Dk kleruu aliuwawa na mkulima maarufu wa iringa said mwamwindi
@emmanuelymeresta-si4ur
@emmanuelymeresta-si4ur Год назад
Said alikuwa mkatili sana
@modduwaziry9482
@modduwaziry9482 Год назад
Kleruu ndio alikuwa katili
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 9 месяцев назад
Kipindi cha mwanangu soma uje utusaidie wazazi wako
@johnkimaro3588
@johnkimaro3588 3 месяца назад
Sina la kusema zaidi ya kuwa hii ni akili kubwa
@EdgarJoseph-s8g
@EdgarJoseph-s8g Год назад
Michepuko inafaida
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 9 месяцев назад
Mtei ni mtu muhimu bali vita vya kagera vilikuwa nivita vyakujitakia kwani Obote alikuwa ni Rafki wa Nyerere kwahy alikuwa nachuki na Idd kwa .......... Leo nyerere anatakiwa kuwa St Nyerere 😂😂😂😂
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 6 месяцев назад
Umuhimu wa Mtei ni upi?? Unaweza kutueleza 7bu zilizomfanya Mtei asishiriki vuguvugu la kudai uhuru wa Tanganyika, licha ya kurejea nchini (kutoka Makerere College) mwaka 1959, badala ya kukimbilia Kenya. (kumbuka alirudi nchini 1964)?? Unazifahamu 7bu zilizopelekea Tz kuingia vitani dhadi ya Iddi Amin au unabwabwaja tu??
@PauloChacha-mg3ck
@PauloChacha-mg3ck 17 дней назад
Hujui kitu nyamaza
@mustafampande173
@mustafampande173 6 месяцев назад
ulipsema kutimua vumbi umenkumbusha O level ndo msemo tulokuwa tunautumia shule 😂😂
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Год назад
Huwezi kubisha kila kitu mwalimu alikua mbishi na kuamini ana kiamini hatakama amekengeuka anashikilia hivyo hivyo .Hilo ni tatizo. Huwezi kujua vyote. We we sio Malaika wa mbinguni. ( hapo kunakitu cha kujifunza .kutoka kwa mwalimu na mtei na mzee mwinyi au ( mzee Ruhusa. ) Lakini kila kitabu na enzi zake
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Umeongea vema
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Aliyekwambia kwamba malaika wana akili sana je ?? Unavidhibitisho ??
@helladeogratias7630
@helladeogratias7630 Месяц назад
Jpm je
@isayaOdali
@isayaOdali Год назад
Kumbe makengeza ni yale yale
@MtuSafi
@MtuSafi 3 месяца назад
Ndo Nini yani
@romanilyimo
@romanilyimo 3 месяца назад
Embu rudia comment yako tafadhali
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 Год назад
Vipi Kuungua kwa BANK Kuu , akiwa Gavana , Hiyo hela ndio anatumia sasa?
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Год назад
Unaongea Nini Wewe punga ?
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 Год назад
@@romanamassawe814 wewe Romana Masawe, kama ni mwenyewe, Subiri kitakachofuata mjinga weee.
@judicalosika7642
@judicalosika7642 3 месяца назад
Hivi benk iliungua wakati akiwa Gavana!!
Далее
Сколько стоит ПП?
00:57
Просмотров 173 тыс.
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
Просмотров 59 тыс.