Тёмный

HOFU ya MPINA SAKATA la BANDARI DAR na DP WORLD, HUU HAPA MCHANGO WAKE wa MAANDISHI kwa BUNGE... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 9 тыс.
50% 1

HOFU ya MPINA SAKATA la BANDARI DAR na DP WORLD, HUU HAPA MCHANGO WAKE wa MAANDISHI kwa BUNGE...
HUU ni mchango wa maandishi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina aliowasilisha Bungeni juu ya azimio la Bandari ya Dar es saalam kuendelezwa na DP World...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@marialesulie6798
@marialesulie6798 Год назад
Mpina Asante kwa ufafanuzi mzuri. Mkataba inatisha na inatia hofu.
@marialesulie6798
@marialesulie6798 Год назад
Tunakuunga mkono sana mheshimiwa Mpina. Asante kwa kuonesha uzalendo wa hali ya juu na na uthubutu mkubwa
@nestor384
@nestor384 Год назад
Well spell and spoken Sir I pray to the almighty God to give energy and ways to fight these autocracies to the land and resources of the citizens. Be blessed Hon Luhaga Mpina
@masumbukonzumbi1033
@masumbukonzumbi1033 Год назад
Mpina ni zao sahihi la wazalendo waliobaki katika nchi hii🔥🙏
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 Год назад
Wito wangu kwa mama rais ,Jambo hili litakuharibia sifa jaribu kujiuliza !! Hili lisije likawa mtego kwako utakaokuletea sifa mbaya kwa historia mzima ya maisha yko
@pastorysent6586
@pastorysent6586 Год назад
Huyu mbenge apewe maua yake❤😊
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Mtajuta sana kuwa na rais kama Samia hana msimamo na elimu yake ni ndogo ya kuunga unga ni rahisi kudanganywa
@berthatz
@berthatz Год назад
Tatizo cyo Samia,Tatizo walioko nyuma yake wanaomuongoza..Nenda kaangalie Tanafrica tv then utaelewa..Aliyewaweza hawa wahuni Ni hayati Magufuli tu.
@elishajoseph6430
@elishajoseph6430 Год назад
​@@berthatz sana huyu wala sizani kama anashida masikini aisee
@paulthomas2748
@paulthomas2748 Год назад
Daaaaaahh 😢😢😢😢😢
@TimotheoKiss21
@TimotheoKiss21 Год назад
Bola ata Mpina
@JohnMpiluka-vi5ch
@JohnMpiluka-vi5ch Год назад
Kiongozi mpina ni mkombozi wetu
@josephsaghana1056
@josephsaghana1056 Год назад
Huuu mchango ni Msingi wa Kuukataaa huuu ujinga.
@kapondazenaida-nq5hk
@kapondazenaida-nq5hk Год назад
Mpina yuposahihi
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 Год назад
Mpina una HASIRAAAAAA, Duuh pole sana
@BushuMboje-z4m
@BushuMboje-z4m Год назад
Naomba uhamisho ili niweze kupigia kula jimbo la kisesa uchaguzi ujao ili kula yangu ikusapoti
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 Год назад
MPINA NAKUUNGA MKONO....TUPO PAMOJA
@aselisamson996
@aselisamson996 Год назад
Madhara ya Kuupiga mwingi, mara yupo Dubai mara wapi bila sababu za msingi Sasa tazama umwingi wake anayoyafanya,
@joramkimario9321
@joramkimario9321 Год назад
Ngumu kumeza af ngumu kutema
@marialesulie6798
@marialesulie6798 Год назад
Kwanini mikataba usivunjwe tuanze upya? Badala ya nchi na nchi ufanyike kikampuni na kampuni au chombo kingine kama walivyodhauri Wataalam?
@issaally8817
@issaally8817 11 месяцев назад
kiukweli hapa tumepigwa mwabugusi yupo sahihi yaani anayoyasema mpina ndio yale yale ya mwabugusi kuna haja ya rais kujitathimini kwa kina hili jambo sio dogo
@joachimngereja7608
@joachimngereja7608 Год назад
Mh.Mpinaumejipangaje?wengi waliojiyokeza kufanya haya unayoyafanya huwa wameamua liwalo na liwe,unajua kabisa kiptoa maoni mbadala tofauti na hulka ya chama ni kosa?nakuonea huruma Wapi Deo Firikunjombe
@marialesulie6798
@marialesulie6798 Год назад
Acha woga mtoa mtanzania acha kumkatisha tamaa mtanzania wetu mwenye uzalendo kama Huyu Mpina. Kufa ni kawaida hakuna atakayeishi milele.
@EdyTulatuma
@EdyTulatuma 10 месяцев назад
Mungu yupo nasi pamoja na mheshimiwa mpina
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 Год назад
Dubai anatumika na Marekani hana uwezo Dubai Tanzania 🇹🇿 tukatae apewe China au tunajenga wenyewe DP WORLD ni kampuni ya Marekani Dubai anatumika Tanzania inakufa
@domycossan1395
@domycossan1395 Год назад
Ndugu tungo zako hazieleweki
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 Год назад
Dubai anatumika DP WARLD ni ya Marekani afahali Bandari wakuwa ni mchina tu kwa sababu anajenga uchumi mkubwa nchi Tanzania kwa sababu Mchina wanauwekezaji wa Africa Marekani anawevu sasa anamtumia Dubai Watanzania Tukatae nch itapata matatizo makubwa sana
@hassangasaba4565
@hassangasaba4565 Год назад
We naye unachanganya mambo, hapo kuna marekani imetajwa.
@marialesulie6798
@marialesulie6798 Год назад
@@hassangasaba4565ansjichanganya huyu
@barakaothumani6421
@barakaothumani6421 Год назад
Hawa niwamarekani Ila wanapitia mgongoni mwa warabu Watanzania tuamke
@berthatz
@berthatz Год назад
Adui wa Tanzania ni mtanzania mwenyewe wala siyo mzungu au Mwarabu…Kama Wanaouza nchi wangekuwa na misimamo na uzalendo si mwarabu wala mmarekani angesogeza pua yake.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Год назад
Si wabunge wote, wengi wamekaa kimya kamwe hawatatamka kitu ktk swala hili. Kimya kina maana mbili YES / NO Je mkataba w BOMBA = BANDARI?????😢 😅😅😅
@TimotheoKiss21
@TimotheoKiss21 Год назад
Bola ata Mpina
@TimotheoKiss21
@TimotheoKiss21 Год назад
Bola ata Mpina
Далее
Mpina ajibu wanaosema anaipinga Serikali
38:01
Просмотров 46 тыс.
A SMART GADGET FOR CLUMSIES🤓 #shorts
0:21
Просмотров 1,7 млн