Тёмный

Mpina ajibu wanaosema anaipinga Serikali 

Mwananchi Digital
Подписаться 980 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari nnje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kupitishwa rasmi leo.

Опубликовано:

 

25 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 416   
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Год назад
Hongera Mpina Mungu akulinde watoto wa Maghu kumbe mpo. Safi sana
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Год назад
Mh.Luhaga Mpina mungu akulinde ww ni nyota ya Tanzania tuko pamoja sana na ww hongera
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Год назад
Hata yote ni madhara ya kukosa wabunge WA upinzani hongera mpina
@magumbakazi
@magumbakazi Год назад
Nimemuelewa Mhe Mbunge. Yupo well composed and focused. Anafanya jukumu lake ipasavyo. Congratulations
@7675kio
@7675kio Год назад
Nilimsikiliza Waziri vizuri sana. Alitumia nguvu nyingi kupotosha alichosema Mheshimiwa Mpina. Ni vizuri Mheshimiwa umefafanua vzr.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 Год назад
Mhe Mpina siku zote ana hoja za kizalendo.
@magumbakazi
@magumbakazi Год назад
Exactly. Mhe amefafanua vyema. N nimemuelewa
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 Год назад
Mh.Mpina,sasa nimekuelewa, hongera kwa kuwa na msimamo huo
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 Год назад
Huyu jamaa huyu mpina Ni shujaa jasiri muongoza njia Mungu akulinde Kaka hongera
@madukurumwanileles7909
@madukurumwanileles7909 Год назад
Mpina uko vizuri wewe ni mzarendo wa kweli kwenye uwaziri utarudi tu watake wasitake,big up.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Akiwa waziri hatasema haya🙄🙄
@fcbooktest1154
@fcbooktest1154 Год назад
Hatuna wizir wa fedha
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Mh mpina mungu akupe uwepesi na utusaidie watanzania kutuwakilisha uko vizuri sana
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Akiwa waziri atayasema zaidi ya haya acha kutetea ujinga Mwigulu awe mkweli
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Waziri akiona Mh mpina anachosema ni cha kupotosha ajitokeze akanushe mh Mpina Yuko vizuri sana
@Mwanasheriawakimataifa
@Mwanasheriawakimataifa Год назад
Huyu Bora Kuliko hata Magufuli. Ana Ujasiri Wa Magufuli, lakini upeo wake wa Uchumi ni MKUBWA Zaidi. Sisiti Kumpa kura ya Urais huyu Dogo. Anaheshimu Katiba na Sheria. Bora Kuliko JPM , Na Samia Combined. Very level headed, lakini Sio Muoga, na Sio Mnafki. Nimemkubali
@sitamgeta7565
@sitamgeta7565 Год назад
Unapomtaja raisi Magufuli uwe na adabu. Tafadhali sana.
@philjonez3324
@philjonez3324 Год назад
Daaaa mpina mzee una nondo wee ni msomi kweli kweli.. Hongera Mpina🤝🤝
@mmwaupete6265
@mmwaupete6265 Год назад
Huyu ni Kati ya watu wachache wanaomsaidia Rais na hasa kama akimsilkiliza kwa umakini. Very intelligent na mzalendo kweli kweli.
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 5 месяцев назад
huyu nae ana kashfa ya kujichukulia maelfu ya hearing sehemu mbalimbali nchini. haaminiki
@ysmasalu
@ysmasalu Год назад
Mhe. Mpina wewe ni shujaa kiongoza njia. Mungu akulinde.
@alexmliga
@alexmliga Год назад
. Hoja zako MB Zina mashiko sana, hongera sana. wananchi tuliowengi tunaona wabunge wenye maadili, basara na hekima
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 Год назад
Ninapo kusikiliza ndio nakumbuka ile kauli ya Magufuli juu yako "Wanasema wewe ni Kichaa mm ndio nawapenda vichaa kama wewe" kumbe Mzee alikuwa na maana kubwa na Pana ingawa tumechelewa kulijua hilo..Hongera na pole kwa kujenga hoja zenye mashiko
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Год назад
Mpina ni mtu adim sana
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 Год назад
Nakubali mhe Mpina endelea kuwatingisha..😅
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 Год назад
Mbunge pekee wa ccm...naishia hapo
@liberatusmsasa7103
@liberatusmsasa7103 Год назад
Ki ukweli huwa nakuelewa sana kiongozi. Natamani wabunge wetu wote wangekuwa na uelewa huo tungekuwa mbali! Waziri wa fedha anatakiwa afahamu kuwa suala siyo cheti bali ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kusikiliza na kutafakari ushauri. Uko vzr Mpina.
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Год назад
Mpina Yuko sawa kwa sababu yeye ni mbunge na kazi yake ni kuisimamia serikali, na siyo kuungana na serikali, kwahiyo Yuko sahihi tukiacha siasa
@madoshimalambo7933
@madoshimalambo7933 Год назад
Mpina nakupenda sana hongera sana nakuombea sana Kwa Mungu akulinde
@dn_cider9641
@dn_cider9641 Год назад
Hii lecture kabisa, nice 🤜🏾
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
👌👌👌
@musasimbeye7829
@musasimbeye7829 Год назад
Ngoma nzito mpina na Mwigulu.Iache iendelee kunyesha tuone panapo vuja yetu macho.
@makanyamhanga2497
@makanyamhanga2497 Год назад
Excellent, Hon.Mpina!
@davidwhite7834
@davidwhite7834 Год назад
Unaeleweka sana mzee
@Mwanasheriawakimataifa
@Mwanasheriawakimataifa Год назад
Mpina Atarudi Bungeni, hata kama CCM wamauondoa kwenye kura za Maoni. Huyu ni Asset Kwa Taifa la Tanzania
@hope-cj9rh
@hope-cj9rh Год назад
Hongera sana ndgu mpina MUNGU akulinde tunakuombea sana kwa kazi nzuri unayoifanya umetimiza wajibu wako tunakuona sana msaidie MAMA yetu na raisi wetu, Mwigulu anauwa biashara, analeta unfair compitation kwenye biashara analeta siasa kwenye vitu profesional
@meshacknyagawa3497
@meshacknyagawa3497 Год назад
Hongera Mh Mpina uko briliant
@BenjaminNgata-wm7ek
@BenjaminNgata-wm7ek Год назад
Ulenzangamba ngosha, tulagha shughuli nkwengwaa. Usebha akutongelee🙏🏾🙏🏾
@KisigeraKisigera
@KisigeraKisigera Год назад
Kaka wananchi tunakwelewa sana tuko pamoja nawewe
@japhetlaizer3919
@japhetlaizer3919 Год назад
MPINA ni kichwa,,,,,,,hiyo nafasi apewe yeye,,,big up sana
@joelykibona662
@joelykibona662 Год назад
Akipewa watamuhslibu abaki hivi hivi inatakiwa tuwe na mkosoaji kwenye chama cha ccm ili wawe wanajielewa akikosoa chama pinzani hawasiki
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 2 месяца назад
Nakubaliana sana na MPINA ASILIMIA100. WAFANYABIASHARA WAZAWA LAZIMA WALINDWE..KUNA FAIDA GANI KULA MCHELE FEKI ,WAKATI TANZANIA TUNAJITOSHEL KEZA KWA MCHELE WETU?MCHEKELE WETU MZURI, UNAPEKEKWA WAPI
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 Год назад
Ningekua mimi ndo Rais wenu . Waziri Mwigulu na Naibu waziri Mpina nikiona,vipi Uwewaziri mkuu Mpina afu tuone picha.
@thomaschambala1475
@thomaschambala1475 Год назад
Umebak ww tu baada ya msukuma kununuliwa
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Год назад
Kabisa, jamaa anahoja kabisa mwigulu alitakiwa awe specific biashara ambazo zifungiwe na zisizofungiwa.
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot Год назад
Hv rais haon kua huyu mpina anaweza msaidia?jamaa smart , brilliant,dah mungu amlinde huyu mwamba
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 Год назад
Huenda hata shuleni alikuwa mpiga kelele darasani huyo😂😂😂
@gaudencengasa5245
@gaudencengasa5245 Месяц назад
Yeye au wewe chagua hoja yake Moja tu alafu ujibu sio ulete matusi
@George-jz3jg
@George-jz3jg Год назад
Mpina pekee ndo mbunge wa nchi hii akina msukuma na wengine wote ni wapiga Dili tu bungeni
@saimonjumanne4334
@saimonjumanne4334 Год назад
Leo nimekuelewa sana Mheshimiwa umeongea point mtupu👌
@hollojuma9538
@hollojuma9538 10 месяцев назад
Mpina wananchi tunakukubali mungu akusimamie 🙏🙏🤝 inshallah
@mako331
@mako331 Год назад
Ahasante Mpina simama imara, Tanzania inahitaji watu jasiri na sio machawa kama kina Mwigulu, kazi kumsingizia Mama yetu mpendwa
@godwinmwakalinga8590
@godwinmwakalinga8590 Год назад
Sometimes this person speak sense.
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 Год назад
Very true
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 Год назад
All times sio sometimes tu
@sifamushi1747
@sifamushi1747 Год назад
All the time Mpina speaks POINTS
@7675kio
@7675kio Год назад
Mpina ni jembe sana tu and speaks a lot of sense.
@Bikhafija
@Bikhafija Год назад
Mpina mm nakupenda sana mzalendo wakweli na unaipenda nchi yako na sisi wanyonge
@erickeliyah0074
@erickeliyah0074 Год назад
Nakuona mbali sana kiongozi. Ukweli ni ukweli daima
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Mh uko vizuri sana tupo nawe Mpina songs mbele usiogope
@swahilitheafricantongue7041
Oooh my God, thank you umetupa chuma kingine tena kazi kwetu kukilinda. Jasiri, very logical man. Sema nchi yetu ya kijinga huyu watawala wanamuona Kama adui wa system
@matumokimatumoki6424
@matumokimatumoki6424 Год назад
Mh.Mpina uko sahihi kabisa unatusemea vema MUNGU akulinde 🙏..
@Globalpeace123
@Globalpeace123 Год назад
Mr. Mpina tuko pamoja usikate tamaa kufichua ufudhuli wa huyu Mwigulu Nchemba siku ya siku inakuja ataondolewa kwenye uwaziri wa fedha anaifilisi sana nchi yetu 😢
@royalahmed7024
@royalahmed7024 Год назад
Kwani huyu jamani Mzee Magu alishamtoa kaja kufanya nn tena?
@alexsimon9674
@alexsimon9674 Год назад
Nataman mpina ugombee urais. Unaakili kubwa sana mkuu
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Год назад
Jamani mtu huyu waziri wa pesa katokea katokea kwenye Jimbo ambalo maendeleo ya lake yanasikitisha ...mi naona ni Bora kwanza kabla ya kumkabidhi mbuge uwaziri angaliwe amefanya Nini kwenye Jimbo lake ..
@revocatusreuben4605
@revocatusreuben4605 Год назад
Iwe mwanzo na mwisho saf sana
@revocatusreuben4605
@revocatusreuben4605 Год назад
Njoo bas uwe mbunge wangu mh, mpina upo vizuri kuliko wabunge wote
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 Год назад
safi sana mbunge mpina huyo mwigulu ni mpiga dili tapeli
@leonardrichard3032
@leonardrichard3032 Год назад
Natamani siku moja uchukue uraisi nahisi nchi itanyooka
@geofreysimpepo9945
@geofreysimpepo9945 Год назад
Umewapiga vizuri Sana lakini KWA sababu wamezoea kuziba maskio watajifanya hawajaskia ,lakini tumekuskia na kukuelewa vyema MH mpina.
@joshuahassan1605
@joshuahassan1605 Год назад
CPA Luhaga Mpina. Big up sana
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Год назад
Wabunge wote wanapaswa kumuunga mkono mpina. Huo ndo uzalendo sio kuunga mkono madudu
@simonmasunga7398
@simonmasunga7398 Год назад
Well said Mpina
@sadickbudoda4361
@sadickbudoda4361 Год назад
Mungu akulinde, maana unaofanyanao kaz hawajitambui haswa mwigulu, Mbalawa, Makamba,kibajaj,msukuma mpaka spika sasahiv tunamuona chawa
@jacksonchaula6010
@jacksonchaula6010 Год назад
Mungu akulinde kaka
@jesaminzo
@jesaminzo Год назад
Huyu Lameck ana kiburi sana, mimi hata sielewi hiyo pHD alipataje
@berthatz
@berthatz Год назад
Sana..anakiburi cha madaraka…
@user-fz1xs5ht7k
@user-fz1xs5ht7k Год назад
Upo vizuri sana
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Год назад
Mpina unajua sana 🎉🎉🎉🎉
@jamesmakongo2287
@jamesmakongo2287 Год назад
Nina kupongeza sana Pina Mimi nikubali sana Mimi Niko sudani kusini ninakufatilia sana
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Год назад
Mpaka sasa, nimegundua Mpina ana akili kubwa zaidi kuliko akili za Mawaziri 10 waliopo sasa wakiwekwa pamoja.
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 Год назад
Wafanyabiashara unaowasema Mpina huwa hawafungiwi biashara.Wanaolengwa na jambo hili ni wafanyabiashara wadogo
@josephamos6636
@josephamos6636 Год назад
Tungekuwa na wabunge wengi wa aina hii tungeendelea sana
@Nyanda506
@Nyanda506 Год назад
Ukinyamaza mpina tutapigwa mno ..Tulishaambiwa twende Burundi jamani na huyuhuyu waziri ..Hatujasahau ..Alishasema mambo ya uganga ...Trap na trat😂😂😂
@user-cd7ts2wy4f
@user-cd7ts2wy4f Год назад
Mh.hongera sana tumekuelewa
@user-on4qu8yj3t
@user-on4qu8yj3t 2 месяца назад
Mwambie mwambi huyo boya wanatua mpina mungu akupe ujasiri
@NimkazaKiogwe
@NimkazaKiogwe Год назад
Wewe una akili. Mungu atakulinda daima. Wewe ni msomi aliye elimika.
@user-uo9tq8cc7q
@user-uo9tq8cc7q Год назад
Mwigulu pamoja na mipasho yake hakuwezi watanzania tumekuelewa
@tatukatembo7564
@tatukatembo7564 Год назад
CPA huko vizuri sana
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Год назад
Mwananchi digital ni chanel kubwa sana, Wekeni watu waliocompitate
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Hili taifa watu ni mazuzu sana huyo waziri ingetakiwa awe ashafukuzwa kaz
@emjay1016
@emjay1016 Год назад
So unamaanisha wananchi ndio wanamamlaka ya kunfukuza uwaziri.
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Год назад
Kweli kabisa hakuna aliye juu ya Sheria,mpina Mimi nakuunga mkono kabisa,mwiguru nchemba Hana sifa ya uwaziri.
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 Год назад
Ww nikiongozi mzee
@venancymsukwa6431
@venancymsukwa6431 Год назад
Wewe mpina ni mzarendo wa kweli mungu azidi kukutunza na kukubariki keep up don't give up tuko nyuma Yako haupo peke yako nadhani walio pewa dhamana wangechuwa mawazo yako wangepata Raha ktk utumishi wao sahizi Watanzania wamefunguka sana wanaulewa mkubwa
@Nyanda506
@Nyanda506 Год назад
Huyu ndio mwakilishi wa Bunge kitaifa si wengine wapiga makofi tu na ma ndioooo😂😂😂😂🎉🎉🎉😅😅😅
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Wabunge Serikali
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 23 дня назад
Mweshimiwa Mpina unasea ukweli. Wanao Kimbia kwa Rais kwa kumutupia sifa ujuwe wanaficha ufisadi wawo
@subilaadam4179
@subilaadam4179 Год назад
Mpina hongera sana. hao jamaa mkiwaachia tu watatufanyia madudu. Tumewatuma huko mfanye maamuzi kwa niaba ya wananchi sio badala ya wananchi
@mejajenerali2872
@mejajenerali2872 Год назад
Ahsante mpina wewe ni shujaa
@AltoFesto
@AltoFesto Год назад
Tungekua nawabunge kama hawa 20 nchi yetu ingekua na maendeleo zaid
@HekimaLutego-jx8li
@HekimaLutego-jx8li Год назад
Safi tunahitaji viongozi kama hawa
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 Месяц назад
Mpina uko vizuri sana ndo maana tulikutuma kwenda masomoni uingereza kusoma fedha zetu zilitumika vizuri unajua serikali hii ni dhaifu kwa kuacha watu wajiita wana phd orodha ni ndefu musukuma, mwigulu, samia, jk na wengine wrngi hatuelewi hizi phd walizipataje tulia tuambie hawa watu waliataje
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Mh Mpina Yuko vizuri sana
@user-jh1qc3ov7e
@user-jh1qc3ov7e Год назад
muda mwingine eti tunasema tanzania hatuna watu makini ,lakini kumbe siyo na mimi huwa nilikuwa najiuliza hivi huyu waziri wa fedha yuko hapo kwa maslahi ya nanikwa sababu sijawahi muelewa hata kidogo ni nkajua ni mm tu kumbe hata mh. mpina big up wew utakuwa mkweli mbele ya watanzania na mbele ya mungu , huyu waziri hajawahi jibu maswali magumu ya wananchi wala za wabunge sasa sijui yuko kwa ajiri ya maslahi ya nani ? halafu Rais anabadilisha mawaziri lakini huyu yuko na mantiki yake haionekani kwa maslahi ya wananchi, waziri wa kuto jibu hoja za wananchi huyo siyo hatufai pia huyo hafai kuwa waziri bali mzuri kwa vijembe na kejeri bali amekuwa mtu wa kutoa sifa kwa rais
@kaguripenina63
@kaguripenina63 Год назад
Pesa ni sayansi sio projo hahaha
@Norrisnoriega
@Norrisnoriega 2 месяца назад
Nimuhimu msimuliaji kulindwa ni afya maana anasimulia waovu wakamatwe na mashujaa watangazweee pamoja mzee mpina
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Год назад
Mwigulu mhuni tu .Hiyo Phd yake sijuwi kama nisahihi.
@abelsimon2997
@abelsimon2997 Год назад
Your the best representative mp
@mwailubikamongo9774
@mwailubikamongo9774 Год назад
Mpina uko sawa mwiguru mwizi sana
@sendamachenge6311
@sendamachenge6311 Год назад
Well good Mpina 100% Mwigulu hana akili na hiyo nafasi haimfai kabsa ndugu
@jameskagulu4228
@jameskagulu4228 Год назад
Tulimmisi sana uyu jamaa kwa kuongea kwa niaba ya wananchi
@mathayokaponya7926
@mathayokaponya7926 Год назад
Mheshimiwa uko vizuri sana unachokiongea kinaeleweka, Mungu anakupigania.
@helentelemla5623
@helentelemla5623 Год назад
Nakuelewa Mpina.
@husseinmkikalu5452
@husseinmkikalu5452 3 месяца назад
Kusimamia ukweli kunahitaji ujasiri mkubwa, mungu akusimamie Mpina.
@George-jz3jg
@George-jz3jg Год назад
Nakuelewa Sana mpina
@salumjuma9586
@salumjuma9586 5 месяцев назад
Safi Sana kaka Luhaga!!!!!!!
@egnomsigwa8418
@egnomsigwa8418 Год назад
Wewe ndio mbunge wetu msema kweli .
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b 2 месяца назад
Mh Mpina uko vizuri sana
@abelbufumbe790
@abelbufumbe790 Год назад
Tunasubiri part two tena kwa mwingulu
@philipomwasha5325
@philipomwasha5325 Год назад
Kwa mfano rais anatakiwa kuwa mkali Sana kwa wabadhirifu wa Mali za imma hasa Kodi,tunaminywa kwenye Kodi sisi masikini alafu wanakula majambazi serikali waziri anaona kawaida tu ni hatari sana
@user-cq8lq7mb1k
@user-cq8lq7mb1k Год назад
Mwigulu mpigaji mpina we nimkweli ndio maana anaona unamzibia
@ziyadanyandwi2908
@ziyadanyandwi2908 Год назад
Ni wachache wenye ujasiri kama wako wewe ni tunu ya taifa
@ipinimarco8468
@ipinimarco8468 Год назад
Mpina kiukweli upo sahihi sana,,,,,
Далее
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
[NEWS GANG] Ruto fires his Cabinet [Part 3]
43:12
Просмотров 2,1 тыс.
President Ruto's  Full Speech today at State House
12:21