Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari nnje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kupitishwa rasmi leo.
Huyu Bora Kuliko hata Magufuli. Ana Ujasiri Wa Magufuli, lakini upeo wake wa Uchumi ni MKUBWA Zaidi. Sisiti Kumpa kura ya Urais huyu Dogo. Anaheshimu Katiba na Sheria. Bora Kuliko JPM , Na Samia Combined. Very level headed, lakini Sio Muoga, na Sio Mnafki. Nimemkubali
Ninapo kusikiliza ndio nakumbuka ile kauli ya Magufuli juu yako "Wanasema wewe ni Kichaa mm ndio nawapenda vichaa kama wewe" kumbe Mzee alikuwa na maana kubwa na Pana ingawa tumechelewa kulijua hilo..Hongera na pole kwa kujenga hoja zenye mashiko
Ki ukweli huwa nakuelewa sana kiongozi. Natamani wabunge wetu wote wangekuwa na uelewa huo tungekuwa mbali! Waziri wa fedha anatakiwa afahamu kuwa suala siyo cheti bali ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kusikiliza na kutafakari ushauri. Uko vzr Mpina.
Hongera sana ndgu mpina MUNGU akulinde tunakuombea sana kwa kazi nzuri unayoifanya umetimiza wajibu wako tunakuona sana msaidie MAMA yetu na raisi wetu, Mwigulu anauwa biashara, analeta unfair compitation kwenye biashara analeta siasa kwenye vitu profesional
Oooh my God, thank you umetupa chuma kingine tena kazi kwetu kukilinda. Jasiri, very logical man. Sema nchi yetu ya kijinga huyu watawala wanamuona Kama adui wa system
Mr. Mpina tuko pamoja usikate tamaa kufichua ufudhuli wa huyu Mwigulu Nchemba siku ya siku inakuja ataondolewa kwenye uwaziri wa fedha anaifilisi sana nchi yetu 😢
Jamani mtu huyu waziri wa pesa katokea katokea kwenye Jimbo ambalo maendeleo ya lake yanasikitisha ...mi naona ni Bora kwanza kabla ya kumkabidhi mbuge uwaziri angaliwe amefanya Nini kwenye Jimbo lake ..
Wewe mpina ni mzarendo wa kweli mungu azidi kukutunza na kukubariki keep up don't give up tuko nyuma Yako haupo peke yako nadhani walio pewa dhamana wangechuwa mawazo yako wangepata Raha ktk utumishi wao sahizi Watanzania wamefunguka sana wanaulewa mkubwa
Mpina uko vizuri sana ndo maana tulikutuma kwenda masomoni uingereza kusoma fedha zetu zilitumika vizuri unajua serikali hii ni dhaifu kwa kuacha watu wajiita wana phd orodha ni ndefu musukuma, mwigulu, samia, jk na wengine wrngi hatuelewi hizi phd walizipataje tulia tuambie hawa watu waliataje
muda mwingine eti tunasema tanzania hatuna watu makini ,lakini kumbe siyo na mimi huwa nilikuwa najiuliza hivi huyu waziri wa fedha yuko hapo kwa maslahi ya nanikwa sababu sijawahi muelewa hata kidogo ni nkajua ni mm tu kumbe hata mh. mpina big up wew utakuwa mkweli mbele ya watanzania na mbele ya mungu , huyu waziri hajawahi jibu maswali magumu ya wananchi wala za wabunge sasa sijui yuko kwa ajiri ya maslahi ya nani ? halafu Rais anabadilisha mawaziri lakini huyu yuko na mantiki yake haionekani kwa maslahi ya wananchi, waziri wa kuto jibu hoja za wananchi huyo siyo hatufai pia huyo hafai kuwa waziri bali mzuri kwa vijembe na kejeri bali amekuwa mtu wa kutoa sifa kwa rais
Kwa mfano rais anatakiwa kuwa mkali Sana kwa wabadhirifu wa Mali za imma hasa Kodi,tunaminywa kwenye Kodi sisi masikini alafu wanakula majambazi serikali waziri anaona kawaida tu ni hatari sana