Тёмный

HECHE AKINUKISHA ITIGI SINGIDA, ASHUSHA NONDO NZITO, AWATAKA WANANCHI KUIFUKUZA CCM MADARAKANI 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

#TANZANIA: John Heche akinukisha Itigi Singida Magharibi, ashusha nondo nzto, awataka wananchi kuikufuka CCM madarakani kwa kushindwa kusimamia rasiliamali tulizonazo na kanufaisha wananchi wake.
Zaidi: • HECHE AKINUKISHA ITIGI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

16 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад
Sema Mh, Mungu akupe maono zaidi simama Imara baba
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад
Hongera sana John Heche japo wapo wenye vichwa ngumu hawakuelewi lakini asiye kuelewa lazima hukumu impate tu
@prospermalala6636
@prospermalala6636 Месяц назад
MH John heche elimu kubwa unayoitoa, hakika IQ yako IPO juuuu sana ktk maisha ya watanganyika waelewe uozo uliopo ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze Kwa kuwafumbua macho watanganyika wafahamu hiki kinachotokea Leo hiiiiiiii nchi kwetu Tanganyika, spana zinawabana CCM wameziba masikio yao kujifanya hakuna kitu kinachoendelea nchini kwetu Tanganyika, Hakika IQ ya uwalimu uliosomea umeifanyia ❤❤❤❤❤ Haki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto wa gesi,
@user-ep7gb4xy2e
@user-ep7gb4xy2e Месяц назад
Hii ni elimu tosha Kwa mtu mwenye akili hongera Heche
@user-rc6qv9wg1k
@user-rc6qv9wg1k Месяц назад
Ukweli mtupu piga kazi kamanda ujumbe umefika
@daudysanga8492
@daudysanga8492 Месяц назад
Huyu jamaa very important
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Месяц назад
Gotten you @daudysanga, this man Heche is so materialistic
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 Месяц назад
Nakukubali sana mwamba bado tunasafali ndefu sana
@maendeleoleo2594
@maendeleoleo2594 Месяц назад
Huyu jamaa jembe
@nestor384
@nestor384 Месяц назад
Wananchi wanapaswa/tunapaswa kuchukua hatua
@honesthenry901
@honesthenry901 Месяц назад
Heche hichi kitu unachokisema ndivyo alivyokuwa akivifanya John magufuli lakn bado mlimpinga. Sasa tuwaeleweje mbn mnakuwa vigeugeu.
@machujamathias7165
@machujamathias7165 Месяц назад
Hakikaa heche ana nondo, Kila mkutano awe anahudhuriaa
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 22 дня назад
Hongera sana.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Месяц назад
Eche matiriol into chadema political party has lmotion into chadema political party has capacity explain clear Antilles tanzania people get point from eche
@victaboy7273
@victaboy7273 Месяц назад
Kwamba? Yaani sijakuelewa mwenzio
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 Месяц назад
Hiz ndio sera tunataka
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y Месяц назад
Baba zetu sisi,wote tumefundishwa elimu ya kukarr hilo ndio tatzo
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s Месяц назад
Jembe ninalolikubali
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Месяц назад
Inasikitisha kwa kweli
@user-bv1jd6qw7z
@user-bv1jd6qw7z 22 дня назад
Inaelekea Unaowaambia Hawaelewi. Mwenye Kuelewa Utawaona
@yokoi3970
@yokoi3970 Месяц назад
Wake up Tanzania kuna siku tutalia kisa CCM. Ni watu wa ajabu
@bundalaizina652
@bundalaizina652 Месяц назад
Bado kwenye mafuta ya kula, na dizel na petroli kuna shida sana bei kubwa mno jamani
@user-ek4fl5zr7z
@user-ek4fl5zr7z 10 дней назад
Mungu ni mwema tutashinda
@HassanKangwa-sz4gn
@HassanKangwa-sz4gn Месяц назад
Akili kubwa zaidi ya mwalimu
@paulombay6884
@paulombay6884 27 дней назад
Hapo kweny wazee sas lazima mshinde wanaume
@Esteriajoseph-yk8bq
@Esteriajoseph-yk8bq Месяц назад
Wana chadema tujenge Sana la Heche
@mtewelemtewele0260
@mtewelemtewele0260 15 дней назад
Jembe la chadema lililobaki nalikubal sanaaa usiwe msalit kama msigwa alieunga juhud
@artsonkimath2917
@artsonkimath2917 Месяц назад
Mwambaaaaa
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 Месяц назад
Wanao mbeza .Heche. Atakuwa mchawi au ana masilahi na maovu yanayofanyika. Kupandisha ushuru mpaka mashudu..Yani taka inadaiwa
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 18 дней назад
Hapo kwenye kutubakizia mabaki ya nguo mkuu
@stevenfumbi9566
@stevenfumbi9566 29 дней назад
Naamini siku moja utakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa baada ya mh Mbowe kutoka madarakani
@user-gp1hi7sw5k
@user-gp1hi7sw5k 18 дней назад
Heche nakishimba nakabudi wanafaa
@user-bz5gl7nb4m
@user-bz5gl7nb4m Месяц назад
Wake up Tanganyika
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Месяц назад
Pokea 100%
@TabuMasanja-y5f
@TabuMasanja-y5f 21 день назад
heche wewe ni onjoni schana na haso skins m heche wewe ni njembe siyo huyu msingwamgaga njaa kwanza kanisa lake Lina waumini 20, Sasa piga
@TabuMasanja-y5f
@TabuMasanja-y5f 21 день назад
heche wewe ni onjoni schana na haso skins mdingwa wagaga njaa
@maspro6294
@maspro6294 Месяц назад
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Месяц назад
Nani kibaraka wa mabeberu kati ya Heche na aliyewapa wageni rasilimali za Nchi? Pumbavu wewe
@gangan4618
@gangan4618 Месяц назад
​@@sebastianmwantuge5597kwel hilo jamaa @maspro6294 halijitambui kibaraka wa madaraka-CCM.Akili zake matope yanayonuka yamtokayo baada ya kula.
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 15 дней назад
Ww ni kajinga kupita kiasi vibalaka ni ccm waliwapa waraabu bandari,wazungu mkawapa madini, wachina mkwapa gas
@BorySaronge
@BorySaronge Месяц назад
Wewe umeanzisha uwekezaji upi Toka umekuwa mbunge Hadi Leo wewe ni mtu wa ajabu mambo yote unayoyazungumza hakuna hata jambo Moja ambalo unaloliongea linye tija na watu wanaokuzunguka wanasikiliza ujinga na uongo na mifano ambayo wewe ni mmoja wao maana hata wewe ulipo kuwa bungeni hakuna ulichokifanya zaidi ya kelele mlizopiga bungeni endelea kupiga kelele kama chura
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Месяц назад
Usiangslie anae sema sikiliza snachokisema ni kweli au la.
@user-ep7gb4xy2e
@user-ep7gb4xy2e Месяц назад
Tunahitaji viongozi Kwa ajili ya watanzania sio vongozi maslahi Kwani CDM inahitaji maslahi ya watanzania wote sio kikundi Cha watu wachache
@francismomo7067
@francismomo7067 Месяц назад
Ukiwa mbunge unaskliza na ktekeleza sera za chama tawala.......imagine mbunge wako wa Chama kilichoongoza miaka sitin na Zaid ameanzisha mradi gan Zaid ya Ile inayojadiliwa bungen
@francismomo7067
@francismomo7067 Месяц назад
Siku chama kingine ikatokea kikashika Dola,watanzania watajiuliza kwann walicheleweshwa na ccm
@francismomo7067
@francismomo7067 Месяц назад
Lakin Kwa uelewa wa mtanganyika itachkua miaka 50 demokrasia kukua na vyama vingine kchkua hatam....
Далее
skibidi toilet 76 (part 2)
04:28
Просмотров 15 млн
Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati
58:07
Просмотров 8 тыс.