Waafrica huwa tunajifunza nini nchi yako lakini kuna mijitu unaona wewe sio MTU unahaki ya kuishi kuendesha nchi yako na tuna viongozi vibaraka wa hawa maghalibi lakini ni watu wanatamani waafrica wote wangekufa ndio mawazo Yao jinsi gani kuangamiza Kwa Aina yoyote lakini wakisha shiba na mitumbo mikubwa wanajiona ni madalali wa madini ya Africa hawafikili jamii zao wapate technology
Sio mahindi tu hata mapapai huku bongo yapo makubwa kama fenesi na baadhi vibosile wanayalima hayana hata ladha.ndio maana kansa moyo ,figo na kisukari Tanzania vimezidi kushamiri.
Katika viongozi mwenyehakili afica huyo mwamba pia anauchungu kukosa maalifa kwaviongozi naona wengi wapo kmya mana uwelewa wao wakufikili mudogo pia wapo kwenyekanuni ya manyawau kazi yao kutesa wanyonge nakudili vitu havina tija nikunyanyasa raia kwanafasi tulizo wapatia
Baadhi ya viongozi wengi wana elimu tu lakini akili hawana lakini hao wakina Ibrahim Troure na wenzake mungu amewapa vyote ndio maana wamejitambua kwamba wao ni waafrika.mungu awape baraka
Ibrahim twaore asee nikiongozi Bora afrika nikiongozi mwenye fikra yakukombowa afrika twaore nyota yafrika nitata ya afrika akili nyingi umriwake tofauti nautaongoziwake hakika akilinyingi tumuombee sana kwamungu azidi kumweka ulinzi❤❤❤❤