Join this channel to get access to perks: / @vugaonlinetv HYA NDIO MAELEZO YA MAKAMU MWENYE KITI #ISMAIL #JUSSA JUU YA SUALA NAIBU KATIBU MKUU MSTAAFU #MAZURUI
Mimi naomba unisemeye ubalozi wa tanzania uliopo omani unatesa watu sana hasa wanawake wakenda na matatizo yao hawasikilizi chengine wanalazwa nje hadi huruma na joto hili la oman nilishudia kwa macho yangu hatuna ubaloxi omani huchukuwa pesa kwenye serekali kwa ajili ya matatixo ya wananchi halafu huxitia mifukoni
Asante Kwa Kuwasilisha Nasi Maombi na Tumeyapokea Insha allah kwa uzuri na vyema Ungalimtafuta Huyu Naibu katu wa Habari na Uenezi Wa Chama Kwa Maelezo Zaidi Number Yake +255777 141 112 Salim Biman Asante