Тёмный
No video :(

ILA TX DULLAH 😂 / ANADAI CHENCHI KIBABE NA HAJATOA HELA | HIVI NI KWELI 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 44 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@bhuzahope2746
@bhuzahope2746 2 месяца назад
Kuna mtu atakuja kupigwa wazeee 😂😂😂 maisha magumu kitaa..michezo hiyo
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
AFU MKIWA MNAONGIZA HELA KUPITIA WATU AMBAO HAMJAWAPANGA NATOA TAMKO KUANZIA LEO MUWE MNAWALIPA FIDIA KWA KUWAPOTEZEA MUDA WAO. KUWAPA SHORT DEPRESSION YA NUSU SAA KWA KUWATENGENEZEA PESA ZENU😢😮
@aghamedia
@aghamedia 2 месяца назад
Lzm wanapewa kitu mwishoni bhana
@Hellyphones
@Hellyphones 2 месяца назад
Huwa wanapewa mwishoni wanaelekezwa kuwa yalikua masiala ila kwenye content hizi clip Huwa wanakata
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
@@aghamedia ELFU2 NDO KITU KAKA KWEL UMEPOTEZEWA MUDA NUSU SAA AU LISAA KABISA MR.
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
KUUSU KUPEWA PESA UONGO ZONGINE HAWAKATU TUNAONA WANAPEWA ELF 2 WANAJICHENGA
@mbokaicon5507
@mbokaicon5507 2 месяца назад
Punguzeni makasiriko,ujuaji na Roho mbaya wakifanya wazungu sawa tukifanya sisi Kelele
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior 2 месяца назад
Sema hiii ya kucheza na watu wakiwa kwenye kazi zaooo siyo mzuriii dar jua kaliii afuu anatembeaaa mtu mzma anafamiliaaaa afu mnamchoreshaaaaa siyo pw
@imanifirempala1370
@imanifirempala1370 2 месяца назад
😅😅😅Amna bwana wakitoka hapo huwa wanawapooza kdg
@Ndenza
@Ndenza 2 месяца назад
Nawenyew wapo kazin ety
@xaverisunday699
@xaverisunday699 2 месяца назад
Point kubwa sana
@GosproAlex
@GosproAlex 2 месяца назад
Wanaho mkubali #Tx_Dullah_subaru ngonga like 💪
@bladechiko3512
@bladechiko3512 2 месяца назад
We back like we never left........hivi ni kweli...watching from Dubai💯💯💯
@andreatutu6179
@andreatutu6179 2 месяца назад
Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃
@killerwizzyofficial2157
@killerwizzyofficial2157 2 месяца назад
anazingatiwa ya maji mzee
@rehemayona2223
@rehemayona2223 2 месяца назад
Yaani kumbe mnamsumbua mtu alafu ampi chochote sio sawa iyo mtu kachoka najua lote. Sio sawa sijapenda
@juniorsonofgod5675
@juniorsonofgod5675 2 месяца назад
Yess, mi pia sijapenda 😢
@barakayesaya5000
@barakayesaya5000 2 месяца назад
Si amenunua taulo hapo au simu yangu haionyeshi vizuri
@dreamersonlinetv6496
@dreamersonlinetv6496 2 месяца назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-IKQP-_ma_dU.htmlsi=_aRiNdBla6li77DJ
@TANAD365
@TANAD365 2 месяца назад
sema dulla anapenda sana hivyo viatu
@Asmaa-ym8uc
@Asmaa-ym8uc 9 дней назад
Ndonini kumuachia mtu aongee mwenyewe anajua anasikika kumbe asikiki iyo ni tabia mbaya 😅😅😅😂😂
@innocentmathias8668
@innocentmathias8668 20 дней назад
Hyo jamaa aliyebeba begi kweny scene ya pili anatangaza nn 😅 mbon mnapenda kuchezea watu akil nyinyi
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 2 месяца назад
Anayeonekana mjanja kumbe hamna kitu😅😅😅😅
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
WE SANYA WEWE UNALIPA HAO UNAOWASUMBUA AU UNAWALIPA PRESHA2
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w 2 месяца назад
Hiviiii hawa wanaoimb wanawachumba 😅😅😅
@user-ls3dx5gr6f
@user-ls3dx5gr6f Месяц назад
😂nyie mnazambi sana mmemuachia jamaa maik sijui ata anaongea na nan
@lawmaina78
@lawmaina78 Месяц назад
Watanzania wapole sana, jaribu hicho kitu huku kwetu Kenya, kila mtu huku bichwa la ugomvi.
@babasandra638
@babasandra638 2 месяца назад
Mwaacha mzee wawatu anajiongelesha
@micahhazard8457
@micahhazard8457 2 месяца назад
😂😂😂😂
@user-iw7gy9dt1c
@user-iw7gy9dt1c 2 месяца назад
Jamaa anaongea mwenyewe 😂😂😂😂😂
@muddytv1513
@muddytv1513 2 месяца назад
Uyu aliepewa maiki kavaa na kibegi alkua anaongea nn pekeyake au aljkuta mtangazaji 😂😂😂😂😂
@israeluronu9958
@israeluronu9958 2 месяца назад
😂😂😂😂😂Mmh at Alikipa aendelee na melody hiyohiyo😂😂😂😂
@muddytv1513
@muddytv1513 2 месяца назад
Nakupendanaaaaaa uku kuimba 😂😂😂😂😂 uyu nae anabana pua minaweeeeeeee minaaaaaaa
@PETERNYENZA
@PETERNYENZA Месяц назад
Haijakaa sawa kufanya masikhara na kazi za watu ipo day kuna mtu ataumia
@user-ub5ce1ym8m
@user-ub5ce1ym8m 2 месяца назад
Jamaa wa vitabu mic ime zimwa yeye anaendelea kuongea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@directorshasibu
@directorshasibu 2 месяца назад
Ifike mahali sasa txdullah uamue kubadili ivo viatu kak 😅😅😅
@nibretstudio
@nibretstudio 2 месяца назад
nana ameona mbuzi za dar inakula machungwaaa hahahaha
@jacktonjoseph3479
@jacktonjoseph3479 2 месяца назад
SIO MACHUNGWA TU, MBUZI WA DAR WANAKULA MPAKA CHIPSI YAI......MBUZI ZA DAR ZINAKUVUSHA BARABARA KWENYE ZEBRA😊😊😊😊😊
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 месяца назад
Hiki kipindi nilikua nimekimiss kweli jamani ❤❤❤❤😂😂😂
@user-pi8mx6lu5b
@user-pi8mx6lu5b 2 месяца назад
Masha biki wakiba msiguse hii komenti😂😂
@ronaldngwavi8993
@ronaldngwavi8993 2 месяца назад
😂😂😂
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
JICHANGANYENI KWANGU MAPEMA SANA VICHWA 2 😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 2 месяца назад
Km ni mm huyu mwenye biashara na jua km hili baadae mtu atoke zake aje anichoroshe kwa naslahi yake haki ya mungu nakufa nae
@frankstephan9309
@frankstephan9309 2 месяца назад
Wanatuzingulia baba mpaza wetu ak ndimbo😂
@mchangeboy5928
@mchangeboy5928 2 месяца назад
Eti.. si unajua mambo ya tasnia😅😅😅😅😅😅
@Elishamwaipasi
@Elishamwaipasi 2 месяца назад
Ila sanya mmeuwa sana tx Subaru 😂😂😂
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 Месяц назад
Session ya gonga beats inachekesha
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 haea wanaoimba nipo hoiii
@AzizSultan-fc7rn
@AzizSultan-fc7rn 2 месяца назад
Mnacheza na kaz za watu..
@numbachogo
@numbachogo 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 Txdulla nimnomasana 😂😂😂😂
@OsbonMusa
@OsbonMusa 2 месяца назад
😂😂😂 tx ametisha sana
@justinsamwel4946
@justinsamwel4946 2 месяца назад
Ila juster master
@Enocky-pv5ui
@Enocky-pv5ui 2 месяца назад
Ila subaru 😅😅😅😅😅😂😂
@DeussR6
@DeussR6 2 месяца назад
Ila platnumz🎉
@munixpicentertainment
@munixpicentertainment Месяц назад
idea kali
@user-it2tr7ny8d
@user-it2tr7ny8d 2 месяца назад
Mo town vs subaru😂😂😂😂
@saidseleman2829
@saidseleman2829 2 месяца назад
Hivi ni kweli is back 🔥🔥🔥
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 2 месяца назад
MZEE WA SUBARU UMEIPAKI WAPI NKAIAMISHE😁😁😁
@Naahlyan
@Naahlyan 2 месяца назад
Iki kipindi kilafanya nimpende motown sany .nikitaman iki kipind lazima nicheke
@allymahmudu464
@allymahmudu464 2 месяца назад
muwe mnawapa pesa sio vzr kabisa ayamambo yakizamani sana uko watu wamesha vuka
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w 2 месяца назад
Mbona mnaaibisha watu jmniii
@BasuleBasule
@BasuleBasule 2 месяца назад
Mwamba Kaachiwa Mic 🎤 Unangulumisha Tu Hana Habari
@TerrorTrove-bx4pg
@TerrorTrove-bx4pg 2 месяца назад
𝐀𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐩𝐚𝐫𝐭 😂😂
@AffectionateBakedBuns-op2jb
@AffectionateBakedBuns-op2jb 2 месяца назад
hhhhh dulaaaa mbwaaa kwel 😂
@theprincejr1417
@theprincejr1417 2 месяца назад
Nimecheka et hamo bebe na saut kama beberu 😂
@sostenkyando2969
@sostenkyando2969 2 месяца назад
Basi muwe mnawapoza kidogo maana nyie kwenu ni content na mnaingiza pesa
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 2 месяца назад
Hivi ni kweli
@dengeman4814
@dengeman4814 Месяц назад
Ipo siku atapigwa mtu
@halimaamini8015
@halimaamini8015 2 месяца назад
Mwisho muwe mnawaingisha iyo biashara unampotezea mtu muda kachoka
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 Месяц назад
Halima unaonanekana unaroho nzur sana hadi nimetamani kukuwowa😂❤
@ivandeus4281
@ivandeus4281 2 месяца назад
,,eti maliza sasa niondoke 🤣🤣😅😅
@sane_kidd
@sane_kidd 2 месяца назад
Me naomben like zenu tu jamn 😢😢😢
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 2 месяца назад
LIKE WEWE MUUZA JEZI AU MABEGI AU WEWE NDO SANAYA😂😂
@sane_kidd
@sane_kidd 2 месяца назад
Mm ndo lile jiwe alilolishika dulla
@IamIbrah
@IamIbrah 2 месяца назад
We za nn
@dreamersonlinetv6496
@dreamersonlinetv6496 2 месяца назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-IKQP-_ma_dU.htmlsi=_aRiNdBla6li77DJ
@wiliammwataro8117
@wiliammwataro8117 Месяц назад
Daah😂
@Hellyphones
@Hellyphones 2 месяца назад
Hii michezo mtakutana na mwenye hasira mtakuja kupasuka
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 2 месяца назад
Umeweza dulla
@OthanMedia_
@OthanMedia_ 2 месяца назад
Kub......akeeeeeh 🤣
@reilaally5481
@reilaally5481 2 месяца назад
Mnachezea biashara za watu alafu hamnunui sio sawa
@mwljohnray1725
@mwljohnray1725 2 месяца назад
Sanya huwa anatoaga ya Maji Baada ya kumsanua mwana ni kipindi wanashoot
@AssaniMboko
@AssaniMboko 2 месяца назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ramadhanihot1945
@ramadhanihot1945 2 месяца назад
wasafi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wasafi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wasafi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DurahRich
@DurahRich 2 месяца назад
Mnazingua mazee hii content mbovu, mnaharibu wazee utu wa watu.
@user-uq2hg1xu5k
@user-uq2hg1xu5k 2 месяца назад
Peleka userious wako kwny vikao vya familia
@MswahiliTV-m3x
@MswahiliTV-m3x 2 месяца назад
Atal❤❤
@NicholausFredy
@NicholausFredy 2 месяца назад
Ila tx
@kichwachafamilia
@kichwachafamilia 2 месяца назад
Sijaangalia ila nakomnt
@ELIASBLUETICK711
@ELIASBLUETICK711 2 месяца назад
I have something to say but I don't trust my English
@ernestchaulema226
@ernestchaulema226 2 месяца назад
🔥🔥🔥
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 месяца назад
Kuimba Unajuwa
@user-pf2tz2fn4x
@user-pf2tz2fn4x 2 месяца назад
Watakuja wabonde mtu asee sio powa
@StoneEmanuele-yy3pv
@StoneEmanuele-yy3pv 2 месяца назад
Ila tx😅😅😅
@diasporastylish
@diasporastylish 2 месяца назад
Subaru 😂😂
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 месяца назад
moyo tulia mjini Kuna vya watu
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq 2 месяца назад
Dulaypvizuriiii😂😂
@user-fi8jo2zu1g
@user-fi8jo2zu1g 2 месяца назад
Nitauwa mtu
@FaridiMussa-qc2bk
@FaridiMussa-qc2bk 2 месяца назад
😂😂😂😂😂tx
@floodboytz7038
@floodboytz7038 2 месяца назад
Magol Sana 🙏
@seifdachi7158
@seifdachi7158 5 дней назад
This is not funny’ it’s Disrespectful. Watu wanateseka wazee
@user-dy9tg3bp4w
@user-dy9tg3bp4w 2 месяца назад
😭😭😭
@user-fi8jo2zu1g
@user-fi8jo2zu1g 2 месяца назад
Duu
@NicholausFredy
@NicholausFredy 2 месяца назад
😂😂🙌🙌🙌
@pastoryyenzera2736
@pastoryyenzera2736 2 месяца назад
😅😅😅😅
@Andrew_paul966
@Andrew_paul966 2 месяца назад
😂😂
@salumshakespeare
@salumshakespeare 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@juliusgeorge1381
@juliusgeorge1381 2 месяца назад
Duu acha uongo😂😂
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu 2 месяца назад
Ila mlichofanya sio fea kuchezea biashara za watu so watu wanafamilia
@ramamabrok2523
@ramamabrok2523 2 месяца назад
Tx subaru 👑🏆
@DAZSTUDIO677
@DAZSTUDIO677 2 месяца назад
Mmetuigizia apo
@andreatutu6179
@andreatutu6179 2 месяца назад
Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃
@CharesWilliam
@CharesWilliam 2 месяца назад
😂😂😂😂
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
Просмотров 247 тыс.
Курск - врата Рая / Новости / Шпак
1:14:35
🔥НОВАЯ БАТАРЕЯ?😮
00:40
Просмотров 239 тыс.
LIZZ KAWACHANGANYA WADADA
12:57
Просмотров 34 тыс.
ILA  MFANYABIASHARA😂😂😂
7:16
Просмотров 8 тыс.
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Просмотров 185 тыс.
Курск - врата Рая / Новости / Шпак
1:14:35