Тёмный

INASHANGAZA MAFUVU ZAIDI YA 20 YALIYOKUTWA NYUMBANI KWA NYERERE "YAMEZIKWA KABURI MOJA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 213 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 127   
@teychriss3248
@teychriss3248 4 года назад
Dada uko vizuri sana ktk kuelezea! Yaani unaeleweka ! Yaani kama una andika, maelezo yako yana mikato, Nukta na vituo dah! Ungekuwa mwalimu wewe sidhani kama kuna mwanafunzi angefeli kwenye somo lako!
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
Kweli kabisa! Halafu ame tulia hana papara! Nime mpenda bure tu yaani 👏🏾🙏🏽
@WASHATube
@WASHATube 4 года назад
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mJ5_G0bF-uw.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥
@HASASON
@HASASON 4 года назад
Nukta ndio vituo vyenyewe ila sio vya police 😅😅😅
@mariampallangyo8676
@mariampallangyo8676 4 года назад
Yupo vzr mempenda sana
@richardvalson4313
@richardvalson4313 4 года назад
Wewe ndio mwanamke wa kwanza kumsifia mwanamke mwenzio hongera
@dicksonmpangala9349
@dicksonmpangala9349 4 года назад
Uyu dada anafaha san kua mwanahabar anatoa simple And clear hana mamb meng point tupu ✔✔
@wilonjabikey8274
@wilonjabikey8274 3 года назад
Hizi ndo historia za kuwafunza watoto sio mara Bilnenga mara nandy sasa tutajifunza nini!! Olo ini olo I love it !!!
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 4 года назад
Asante kwa kutuletea simulizi ya mwl nyerere na ukoo wake.
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Mashallah, hongera sana Dada kwa story hii
@amoskaburu7495
@amoskaburu7495 Год назад
I am very grateful to Ms Gaudencia. She is a wonderful guide, I had wished to visit this place for 24 years and finally in September 2023, I visited. It was nostalgic
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 года назад
Safi sana. Msimuliaji uko vizuri
@kefasonmahenga2917
@kefasonmahenga2917 3 года назад
Short and clear thanks dada
@furahambughi4977
@furahambughi4977 4 года назад
Mtangazaji 102%
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 4 года назад
Hapa ss naanza kuona mawazo y Ally Kiba inabidi yafanyiwe kazi inabidi ifnyike documentary y Mwalimu cz inabidi vijna tumfahamu vzr syo tunasherehekea tu kumbukumb
@damianmakala2913
@damianmakala2913 3 года назад
Kweli kabisaa
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
umeonaee
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 года назад
Nice Tanzania mnamambo Yesu ana waona.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
🤣🤣🤣
@ambroceharouna1612
@ambroceharouna1612 Год назад
Unamjua yesu??
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 года назад
Umeelezea vizuri sana Dada asnte
@BenWerner2530
@BenWerner2530 4 года назад
Dada unajua kazi yako. Safiiii
@prospergift159
@prospergift159 3 года назад
Dada apewe ulinzi tafadhalii💥🔥🔥🔥
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 4 года назад
Dada anaongea vizuri. Yani Kama wake wa promotions za sabuni na sawa ya mswaki kwenye mabasi
@rosellaabraham13
@rosellaabraham13 4 года назад
Anaelezea vzr had raha
@teychriss3248
@teychriss3248 4 года назад
😂😂 yaani hata sijui umefikiria nn we jamaa!
@eddymtoro2778
@eddymtoro2778 4 года назад
hahaha inaelekea unasafiri sana na mabasi
@afrogirlradhiamusic2268
@afrogirlradhiamusic2268 4 года назад
Hahaha umenifurahisha daah
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
“Kweli kabisa! Halafu ame tulia hana papara! Nime mpenda bure tu yaani 👏🏾🙏🏽”
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 4 года назад
Maashaallha history nzuri😘
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 4 года назад
Nakumbuka vizuri sana kimpindi anakufa mamaake mwalm nyerere ilinyeshaga mvua kubwa sana hadi wakaiita elimino
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Nyerere haku tamani dunia kwa kweli
@totodavis1949
@totodavis1949 4 года назад
Toka Kenya uyu Dada anapendeza katika maelezo yake hakika ameiva
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 года назад
💯💯dadaaa
@juliusraphael600
@juliusraphael600 4 года назад
Butiama kwetu, mungu mpumzishe wajina wangu baba wa taifa mwl Julius K Nyerere😪😪😪
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 4 года назад
Kama ulikuwa hujui "chifu maana yake ni KING" ...chukua hio
@WASHATube
@WASHATube 4 года назад
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mJ5_G0bF-uw.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥
@saidtembele3070
@saidtembele3070 4 года назад
Chief? King? Which is which??🙄🙄🙄
@francescorutinwa502
@francescorutinwa502 4 года назад
Chifu ni chief na king ni mfalme usitupige kamba, tofauti yao chifu ni kiongozi wa jamii fulani au kabila na king ni mtawala wa jimbo flan au taifa
@saidtembele3070
@saidtembele3070 4 года назад
@@francescorutinwa502 asante kaka maana si kwa kuchotwa hukoo
@HASASON
@HASASON 4 года назад
Dah unatuswaga tu kama ng'ombe
@HASASON
@HASASON 4 года назад
Wewe Dada jamani Mbona una kipaji kizuri hivi? Yaani ungekua unaandaa documentaries za histories anuai ungepata viewers wengi sana, sababu una charisma ya kueleweka na convincing voice, yaani una nguvu ya kusikilizwa.
@rehemavarentino9290
@rehemavarentino9290 3 года назад
Hongera
@maireshsaid1628
@maireshsaid1628 3 года назад
Msimuliaji nimempenda sana sana
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
“Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 4 года назад
African chocolate huyu alikuwa rais japo alituwekea katiba ya kijinga ,,kuhs mijengo haya marais na huyu aliyoko madarakan washa jijengea mijengo kila mahal
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
@@edenbaraka7533 “🙏🏾”
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 года назад
Leo marahisi wanagawiana nyumba😂😂😂
@michaellorry3448
@michaellorry3448 4 года назад
Daaah yaani iyo location nzuri sana
@killerbona5018
@killerbona5018 4 года назад
Alisema nyumba kubwa ya nini kwani yeye Tembo??? 😂😂😂😂
@dinnamanga1741
@dinnamanga1741 4 года назад
Wange kuwa wanarudishwa nyerere ningemurudisha apige kazi
@salumali6936
@salumali6936 3 года назад
Nice
@rossemaryhassany4882
@rossemaryhassany4882 4 года назад
Nimeipenda hii historia fupi ya mwalimu na mtangazaji mmempata
@nickomlimbila217
@nickomlimbila217 4 года назад
AISEE DADA NIMEKUELEWA SANA KATIKA UTANGAZAJI WAKO
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 3 года назад
Huyu Dada mkalimu sana najua ulitupokea na kutuongoza vizr tulipotembelea hapo.
@nsiamassawe3075
@nsiamassawe3075 4 года назад
Dada mtulivu sana.
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 4 года назад
millardayo nakushukuru nimejifunza kitu ambacho nilikua sikijui kazi njema
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 года назад
Ila hayo mafuvu zaidi ya 20, waliyokutana nayo wakati wanajenga hiyo nyumba, kuna namna hukutaka kufunguka vizuri.
@kweka14l35
@kweka14l35 4 года назад
Baba wa taifa wazungu walimuua tuu baada ya kuwazidi akili nyingi. All in all Rest in paradise 🙏💔
@godsongodson6087
@godsongodson6087 4 года назад
Sio wazungu tu!! Figisu ilianzia hapa Tz, kule walienda kummalizia, watu wabaya sana, Mzee alikua mzima kabisa,
@kweka14l35
@kweka14l35 4 года назад
@@godsongodson6087 true kaka, yaani bora angeuguzwa hapa hapa kule walipompeleka walienda kummaliza kabisa
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Kumbe jamn alikuw mzim tuu ila hawa wazungu ipo siku yawo tuu
@sharifahamisi9091
@sharifahamisi9091 4 года назад
Dada Uko vizuri Sana ila wigi sjui ulikuwa unaharaka!
@carolinesalakana1090
@carolinesalakana1090 3 года назад
🤣
@HamzaAdam-z3c
@HamzaAdam-z3c 4 дня назад
Nyelele baba yakowewe siyomimi
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 3 года назад
Bora asema nyumba kubwa mimi tembo,Nashangaa miji2 imejenga nyumba kubwa kupita uwezo wao,wamebakia kuishi kwenye magovu,ukiingia ndani viroboto ndo wenyeji wako,Tehetehee
@erickendrick3330
@erickendrick3330 4 года назад
Noma
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
utasikia sikukuu ya nyerere watu hawajui wao ndio sikukuu leo mh
@jacklinemwanga1691
@jacklinemwanga1691 4 года назад
Nataman ata ungeendelea dada ang maana nimekuelewa vzr sana
@kilelechaimani.8956
@kilelechaimani.8956 3 года назад
Daa mie nilitamani TU kujua hayo mafuvu 20 NI ya akina Nani?
@francolazaro8646
@francolazaro8646 4 года назад
Mtangazaji🤘🏿
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 4 года назад
Duh turudi africa
@farhanialfarsi1983
@farhanialfarsi1983 2 года назад
Kuongea kaongea vizul tatizo kamera haimuliki sehem ya inayoongerewa ni sitofaham
@paulomavado3736
@paulomavado3736 4 года назад
Ubarikiwe mandela
@godfreyeladius532
@godfreyeladius532 4 года назад
Hii ndiyo afrca
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 3 года назад
Eti nyumba kubwa ya nn kwan yeye tembo
@johnsilima1629
@johnsilima1629 4 года назад
Nzuri
@jackzodY3
@jackzodY3 3 года назад
🙏🙏🙏👍👍👍
@tannamteule1157
@tannamteule1157 3 года назад
Nawapata
@denicegabriel6616
@denicegabriel6616 4 года назад
Iyo tittle jau
@amanikudeli5297
@amanikudeli5297 4 года назад
Huyu dada mpeni kazi ya utangazaji tbc
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
Kweli kabisa! Halafu ame tulia hana papara! Nime mpenda bure tu yaani 👏🏾🙏🏽
@andertoneballa7656
@andertoneballa7656 4 года назад
TBC Inatuharibia watangaz na waandshi wa habar...wanakua praise team
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
@@andertoneballa7656 “😂😂🤣”
@chingychingy2066
@chingychingy2066 4 года назад
Muhimu sana kujua utalii wa ndani kupata historia kama izo
@Josephmwendwa-hq1ds
@Josephmwendwa-hq1ds 4 года назад
17888? .
@chamwilambomusa4447
@chamwilambomusa4447 4 года назад
mhhh jamn wake 22 na watoto 26 he was not good at reproducing
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 года назад
Dada nimempend, na sikiliz simchoki
@khalidsaki5034
@khalidsaki5034 4 года назад
Duh
@gydherbals255
@gydherbals255 4 года назад
duh
@rossemaryhassany4882
@rossemaryhassany4882 4 года назад
Aiseee
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 года назад
Nyumba iyo ndio waliodhurumiwa wanajeshi nakumbuka kulikua na majirani zetu wanajeshi walikua wakilalamika sana juu ya dhulma waliyofanyiwa japo propaganda ilienezwa wametaka wenyewe
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Na unakalia kaburi kimakusudi hivyo
@hamaddady4862
@hamaddady4862 4 года назад
Hayo mafuvu ni ya viongozi wa Zanzibar alio kuwa akiwauwa kwa siri huku iliapata kiuteka nakuifanya yake na kafsnikiwa hilo kuifanya Zanzibar kuwa koloni la Tanganyika mungu atamlipa aliyo yatenda
@damianmakala2913
@damianmakala2913 3 года назад
Kichaa wewe unakurupuka kama ngiri katoka kwenye shimo ! Una uthibitisho gan boya wewe Zanzibar ina nn ? Kila kitu mnategemea kutoka bara mpaka unga wa ugali mnategemea kutoka huku ardhi yenyewe ndogo hamtoshi mmejazana huku bara !
@hamaddady4862
@hamaddady4862 3 года назад
@@damianmakala2913 sasa aliekwambia mm nabishana na majitu yasio jelewa na hayajui hata yana zungumza nn ninani?
@danielmkama24
@danielmkama24 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila we dada! Ety nyumba kubwa ya nini kwan ye #Temboo!!
@andrewleonard9557
@andrewleonard9557 4 года назад
R I P
@abdulkarim242
@abdulkarim242 4 года назад
Dada anasema zaman mambo ya dini hayakuwepo ....afu uyu ndk ana aminikia kua anaijua history 😂😂 huu n mtihan
@franksebastian3909
@franksebastian3909 4 года назад
Ndugu ni ukweli kabisa dini zililetwa barani Afrika Mara baada ya Vita ya pili ya dunia
@abdulkarim242
@abdulkarim242 4 года назад
Apo unakua unazungumzia historia na nukui za wazung au ata kama sio wazungu ni binadam kama wew walifanya makadirio wakaandika..... Ila mim napo soma kitab alicho kiandika Mungu na sio mwanadam hakinifunz ivo
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 года назад
Si kweli kabisa, dini zetu za asili zilikuwepo na zilikuwa organized vizuri sana, wakoloni walipokuja wakatuletea kitu kinaitwa christianity, ambacho si dini za kiafrika. Hata hivyo hata waislamu walivyokuja kuleta dini walikuta waafrika tuna dini zetu, ni lazima tukubali Islam na Christianity ni dini mpya barani Afrika na kuwepo kwake kumetokana na mababu zetu tuwaamini hao na kukana utamaduni wao ama kwa kutishwa au kurubuniwa. Period.
@namandamzuma5478
@namandamzuma5478 3 года назад
Toa maana ya dini ...utaacha kupingana na kile anachokisema mwanadada hapo.
@abdulkarim242
@abdulkarim242 3 года назад
@@kambamazig02024 Embu nithibitishe ata kwa kitab au sehem tu dini za kiafrica zilikua ni zipi nipe ata jina tu
@damymzuri9989
@damymzuri9989 Год назад
Mandela kalipa fadhila
@kabamedestrong3917
@kabamedestrong3917 4 года назад
Ndugu zangu naombeni support zenu kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu🙏
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Mafuvu yako wapi Millard huyu alie toa hii post mtumbue hana hata uelewa wa kiswahili
@kamanzicrouch3881
@kamanzicrouch3881 4 года назад
😀😀😀
@WASHATube
@WASHATube 4 года назад
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mJ5_G0bF-uw.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 года назад
Ina maana tamaduni zetu na imani siyo dini? Unasema zamani hakukuwepo na dini? Inasikitisha sana unaposema hivyo, waafrika tumekuwa na dini zetu za asili hata kabla ya wakoloni kuja kwenye bara letu. Nenda Bujora utakuta historia nzuri tu na utashangaa sana. Unaposema mafuvu 20 yalikutwa nyumbani, mbona utaleta utata? Simulia vizuri kuhusu mortuary practices za wazanaki badala ya kutoa tafsiri ambazo zinaleta utata!
@KhadijaKhadija-cv9db
@KhadijaKhadija-cv9db 4 года назад
Nyumba kubwa ya nn Kwan yy tembo? Dada khaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@latenitepiano
@latenitepiano 4 года назад
“Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 4 года назад
Khadija ahaa Mandege mengi ya nin kwan cc tunaenda ulaya
@KhadijaKhadija-cv9db
@KhadijaKhadija-cv9db 4 года назад
@@edenbaraka7533 😂😂😂
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 4 года назад
@@KhadijaKhadija-cv9db niambiee my b
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 года назад
Nipeni nyumba hiyo nikae na KABURI la nyeyere
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 4 года назад
Vinzuri inapendeza sana
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 года назад
@@asteriambwei3349 😅😅😅😅😅😅😅😅Utakuja kunitembelea
@khalidndemo4386
@khalidndemo4386 4 года назад
Nyeyere ndo nani?
@HASASON
@HASASON 4 года назад
😅😅😅😅 Akikutokea usiku utamueleza nini?
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 года назад
@@HASASON Mie mjukuu wake 😅😅😅😅
Далее
Kaburi Moja La Posta Lagoma Kuhamishika
20:21
Просмотров 21 тыс.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57