Dada uko vizuri sana ktk kuelezea! Yaani unaeleweka ! Yaani kama una andika, maelezo yako yana mikato, Nukta na vituo dah! Ungekuwa mwalimu wewe sidhani kama kuna mwanafunzi angefeli kwenye somo lako!
I am very grateful to Ms Gaudencia. She is a wonderful guide, I had wished to visit this place for 24 years and finally in September 2023, I visited. It was nostalgic
Hapa ss naanza kuona mawazo y Ally Kiba inabidi yafanyiwe kazi inabidi ifnyike documentary y Mwalimu cz inabidi vijna tumfahamu vzr syo tunasherehekea tu kumbukumb
Wewe Dada jamani Mbona una kipaji kizuri hivi? Yaani ungekua unaandaa documentaries za histories anuai ungepata viewers wengi sana, sababu una charisma ya kueleweka na convincing voice, yaani una nguvu ya kusikilizwa.
“Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”
African chocolate huyu alikuwa rais japo alituwekea katiba ya kijinga ,,kuhs mijengo haya marais na huyu aliyoko madarakan washa jijengea mijengo kila mahal
Bora asema nyumba kubwa mimi tembo,Nashangaa miji2 imejenga nyumba kubwa kupita uwezo wao,wamebakia kuishi kwenye magovu,ukiingia ndani viroboto ndo wenyeji wako,Tehetehee
Nyumba iyo ndio waliodhurumiwa wanajeshi nakumbuka kulikua na majirani zetu wanajeshi walikua wakilalamika sana juu ya dhulma waliyofanyiwa japo propaganda ilienezwa wametaka wenyewe
Hayo mafuvu ni ya viongozi wa Zanzibar alio kuwa akiwauwa kwa siri huku iliapata kiuteka nakuifanya yake na kafsnikiwa hilo kuifanya Zanzibar kuwa koloni la Tanganyika mungu atamlipa aliyo yatenda
Kichaa wewe unakurupuka kama ngiri katoka kwenye shimo ! Una uthibitisho gan boya wewe Zanzibar ina nn ? Kila kitu mnategemea kutoka bara mpaka unga wa ugali mnategemea kutoka huku ardhi yenyewe ndogo hamtoshi mmejazana huku bara !
Apo unakua unazungumzia historia na nukui za wazung au ata kama sio wazungu ni binadam kama wew walifanya makadirio wakaandika..... Ila mim napo soma kitab alicho kiandika Mungu na sio mwanadam hakinifunz ivo
Si kweli kabisa, dini zetu za asili zilikuwepo na zilikuwa organized vizuri sana, wakoloni walipokuja wakatuletea kitu kinaitwa christianity, ambacho si dini za kiafrika. Hata hivyo hata waislamu walivyokuja kuleta dini walikuta waafrika tuna dini zetu, ni lazima tukubali Islam na Christianity ni dini mpya barani Afrika na kuwepo kwake kumetokana na mababu zetu tuwaamini hao na kukana utamaduni wao ama kwa kutishwa au kurubuniwa. Period.
Ina maana tamaduni zetu na imani siyo dini? Unasema zamani hakukuwepo na dini? Inasikitisha sana unaposema hivyo, waafrika tumekuwa na dini zetu za asili hata kabla ya wakoloni kuja kwenye bara letu. Nenda Bujora utakuta historia nzuri tu na utashangaa sana. Unaposema mafuvu 20 yalikutwa nyumbani, mbona utaleta utata? Simulia vizuri kuhusu mortuary practices za wazanaki badala ya kutoa tafsiri ambazo zinaleta utata!
“Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”