Subhaanallah!!!...alhamdulillah!!!..mitihani ipo mingi ila mtihani wa maradhi yataka subira sana,bila kuwa karibu na mawaidha na kumpata mtu wa kukukumbusha kuwa huu ni mtihani M'mungu amekutaini wallah unaweza kufuru
Mungu yupo anaona unayo pitia na machungu anayipitia mtoto ipo siku mungu atakupa furaha, na huyo mume ulienae anakupenda kutoka moyoni na ndio maana yupo na wewe, hakuna kinachoshindikana mbele za mungu atatuma watu wake wakufukie usikie mungu atakufuta machozi😢nimelia sana maana hiko kilio chako kinatoka tumboni uchungu
Ama kwa hakika huyu dada anahuzunisha ila nakuombea kwa Allah subhana wataala makonda utalipwa na mwenyenzi mungu unayo yafanya kutugusa jamii ya watu mafukaraa ni kubwa mno mbele za mungu