Tunakuombea mungu sana akulinde na mafedhuli na mabaya na kila shari mungu akulinde na hao mashetani sisi tuka sambamba na Mama Samia na Mkuu wa mkoa piga kazi mzee
Nakukubali sana ndg makonda hii tanzania ukifanya vizuri tu. Unaingia kwenye shida. Kila mtu mwanasiasa. Eti washeria nao wanasiasa tutaenda mbele kweli. Hii yote inasababishwa na kuajiri kiunfugu ukimgusa tu ndgu yao utasikia kelele. Kama buti makanda.😊
Ndugu Makonda usiogope, siku zote waovu wana nguvu kuliko nguvu katika Dunia, ila uwezo wa Mungu ni mkubwa mno, haijarishi utakaa ofisini siku moja au mbili, Mungu wa wanyonge atakupa ofisi nyingine.
Hao wa haki za binadamu ,Kuna maovu mangapi yametokea na hawajatokea kuyakemea wametulia tu kwenye maofisi Yao? Makonda piga kazi achana na kelele za watu wenye mlengo tofauti na haki.
Genius 😅😅 kama ni msomi huwezi mwelewa makonda 😮 CCM mnafeli wapi, hamna kulindana kwenye uzembe, rizika na cheo chochote, kimudu apa hata mkimpa ubalozi atawanyoosha tuu,, mi namkubali mwamba toka akiwa DC Kinondoni.😅😅
Makonda tunakupenda. Arusha mahali pagumu. Kuna makundi ya mafisadi wanaotegemea kutetewa na vituo vya haki za binadamu. Vutuo hivi vimeshindwa kutetea haki za watoto wa Palestinia. Vituo hivi vinavyojivunia kutetea haki za binadamu Vingi hapa Afrika zinatetea haki za wageni na kudhohofisha maendeleo ya nchi.
Songa mbele kaka hao wanaosema inaonekana bado hujawafikia kwa hiyo wanataka wakupinguze nguvu speed ili usiwafikie kwa hiyo mimi naona wapelekee moto hao jiita haki za binaadamu watimbie uwanze nao
Tanzania hii haina mda wa kumvumilia mtu anaevunja sheria za utumishi wa umma. Kwani mtumishi anasomea kujieleza kwenye mkutano wa wananchi? Sheria ya utumishi ni barua kwa barua siyo mdomo kwa maneno
Piga kazi kaka tunakuombea dua achana nao wala?rushwa hakuna haki za binaadamu wala nn bali hao wanasimamia haki za shetani kama wanasimamia haki za binaadamu kwa nn hawaendi kufunga hotel za mashoga