Тёмный

JAMAA AMEPIGIWA SIMU NA RC HAPI ''SINA PESA, SIMU YENYEWE NI YA MKE WANGU'' 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 181 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 160   
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Hongera mkuu wangu wa mkoa wa iringa ,kwa kuwa karibu na wananchi wako ,uzuri ulionao unaendana na roho yako mungunakupe afya ya kutosha.
@jacklinebaghari8535
@jacklinebaghari8535 4 года назад
Naomba namba zake nimsalimie jamni
@husseinntarugera9596
@husseinntarugera9596 4 года назад
Nataman uwe mku wa mkoa wangu Aiseeee
@oliviamasao2891
@oliviamasao2891 4 года назад
Mkuu wa mkoa handsome ndani na nje .. Mungu akubariki
@aliarkam9548
@aliarkam9548 4 года назад
Mashaa allah . Mwenyez Mungu akupe kher , akupe nguvu zaid
@peterpaul591
@peterpaul591 4 года назад
Magufuri hongera kwa chaguo la Hapi
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Asante mkuu wasaidie wanyonge
@AlexisAjwantos
@AlexisAjwantos 6 месяцев назад
Fanya kazi bb
@hafidhabdallah6292
@hafidhabdallah6292 3 года назад
Asante sana mh pigania haki za wananchi wako wewe kiongozi mwema by mpemba
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 4 года назад
Hongera mkuu wa mkoa wa iringa Mungu akubariki
@richardmanjira6800
@richardmanjira6800 4 года назад
Mungu akuongezee Maisha mkuuu
@bugybuster5788
@bugybuster5788 2 года назад
Ongera sana kiongoz
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 года назад
kama hawapo shukanao moja kwa moja hadi chini halafu sukuma ndani mungu akubariki RC hapi
@dickensimlwafu3106
@dickensimlwafu3106 4 года назад
kazi nzuri Hapi,keep on doing it
@deboradaniel7929
@deboradaniel7929 4 года назад
pole baba angu mkuu atashughulika
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 4 года назад
Hadi raha...Mkuu wa Mkoa kasimama kama kiongoz kwel..Mungu azidi kukupa hakili yakuzungumza na wananchi wako
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 года назад
mkuu wa mkoa jaman anajitaidi Mungu azidi kumlinda
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 4 года назад
Huyo wanamuita RC Hapiness .!
@radhiaoman2454
@radhiaoman2454 4 года назад
Dah ni safi Sana maana watu wa hali ya chini wanapata nafasi ya kutoa duku duku zao mh hongera sana
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 4 года назад
Mkuu wa mkoa wa iringa,hongera sana kwakuchapa kazi bora,ubarikiwe baba
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 года назад
Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 года назад
👏👏👏👏👏👏 Hongera Muheshimiwa.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 4 года назад
Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 года назад
Wallah allah atakulipa kwahii kazi unayo ifanya kuwatetea watu wanyonge wallah wema hauozagi
@ZuberiHamis-k6k
@ZuberiHamis-k6k 8 месяцев назад
Hongera kamanda kwa juhud zako mungu akupandishe atua zaid
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 года назад
Mkuu Mungu akupe umri mrefu na afya njema
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 года назад
Amina na Amina
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 года назад
Shukran muheshimiwa
@yangoshatv5327
@yangoshatv5327 4 года назад
tena naongeza hongera sana mza apa ina shda tena matatizo kama ya zaman yapo ya rushwa rushwa
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 года назад
😂😂😂mkuu wa mkoa wewe ni mwanangu pia nikiongozi wangu sina pesa ivi kunamwananchi kaninyang'anya cm😭😭
@noelamilambo9595
@noelamilambo9595 4 года назад
God bless u more hapi
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 4 года назад
Jamaniii huyu kiongozi tunamtaka mbeyaaaaaa
@kimmenelus7835
@kimmenelus7835 4 года назад
RC HAPPY nilivyo Mimi tunafanana kabisaaaa
@rahmamavura406
@rahmamavura406 4 года назад
Dah huyu ndio mkuu wa mkoa kwa kweli iringa ringeni tu
@mparemusa9787
@mparemusa9787 4 года назад
Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki
@axa29
@axa29 4 года назад
Kadege yeye analipa watu inakuwaje hajalipwa tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dullygooners974
@dullygooners974 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@lucasmanyama2892
@lucasmanyama2892 4 года назад
hii hatari sanaaa
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 4 года назад
Hadi kwenye vikao vyakawaida kunapicha ya mh. P
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 4 года назад
Mungu atakulipa mueshimiwa
@carolinjohn3189
@carolinjohn3189 4 года назад
Hapi juu
@dominickshija5908
@dominickshija5908 2 года назад
Happy I like you
@festokiraryo.6107
@festokiraryo.6107 4 года назад
Hongera kwa kazi mkuu
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 3 года назад
Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema
@glenjoewa1797
@glenjoewa1797 4 года назад
Tanzania iko sawa, open courts inaleta haki kwa wanyongi WE SUPPORT YOU MKUU WA MKOA
@mohamedsiadi8144
@mohamedsiadi8144 4 года назад
Leo wa kwanza kuangalia video hiii nipeni likes zangu 😅😁
@uswegemwakajila4980
@uswegemwakajila4980 4 года назад
Endelea kuwa kujisifu kuwa kwanza kuangalia video wakati wenzako wanajifu wakwanza kurusha rocket
@mohamedsiadi8144
@mohamedsiadi8144 4 года назад
uswege mwakajila kwani mie nina shida ya kurusha rocket 🤣
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
HONGERA SANA. WEWE NI MTU WA Mungu . .
@mitrione8970
@mitrione8970 4 года назад
Wewe uko Number1 tu
@farisjuma90
@farisjuma90 4 года назад
Nice and wonderful leader
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
Watu wana hali ngumu jaman harafu tunawadhulumu haki zao
@muhanilamlwale7046
@muhanilamlwale7046 4 года назад
MH ALI HAPI MUNGU AKUTUNZE SAANA NA UTAPAA SANA MUNGU ATAKUPIGANIA SANA WEWE ,
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 4 года назад
Kadenge anajua kujieleza aisee
@happyangelmac7670
@happyangelmac7670 4 года назад
Good leader
@momepeter9161
@momepeter9161 4 года назад
🤣🤣🤣sina hela.sina uwezo wa kufika hapo😆😆😆
@brightonbenjamin1541
@brightonbenjamin1541 4 года назад
Safi sana mh.hapi
@herimallya3385
@herimallya3385 4 года назад
Hapi
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 4 года назад
Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa.. Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kupigania wanyonge...
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 года назад
JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA
@cutebaby3247
@cutebaby3247 4 года назад
R.C mdhuri👌😂
@lawmaina78
@lawmaina78 4 года назад
Mnakera sana mjue, yaani mpaka mkuu wa mkoa aje ndio watu walipwe haki yao, watu wanapewa miradi halafu kazi utapeli tu. Mkichezea mapanga mnalaumu.
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 года назад
Huyo ni mtetezi wa nyonge wtz hampendi kizuri
@veronikahau2935
@veronikahau2935 4 года назад
Nmemuonea huruma huyo baba maskini daah
@jonathanstephen6616
@jonathanstephen6616 4 года назад
MKUU WA MKOA, NAKUPONGEZA KWA DHATI. THIS IS LEADERSHIP...MUNGU AKUINUE ZAIDI
@songascreenprint8712
@songascreenprint8712 3 года назад
Katika watu ninao wakubali uyuu jamaha uwa namkubali Sana Yani kiukweli uyuu alistahiki kuwa wazili wamambo ya ndani
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 4 года назад
To e ni pe sa! Siyo mbwembwe.
@f.a6043
@f.a6043 4 года назад
Mh. RC HAPI 👍🏽👍🏽👍🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@vumiliabakari6050
@vumiliabakari6050 4 года назад
Nawapa
@christinamahondomimihapa7162
@christinamahondomimihapa7162 4 года назад
Hahahah mkuu wetu wa mkoa tunashukuru
@mussamatinde8813
@mussamatinde8813 4 года назад
rc hapi ww ni mix huna taji wara maskini unaskiriza watu wote na Rais ajipongeze kwa uteuzi wake kwako,
@jeuritv156
@jeuritv156 4 года назад
I realy like this guy... Rc Hapi long live my brother
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 года назад
😀😀😀😀😀😀😀😀🖐️noma jamn mkuu wamkoa hatariii
@sintamtati8554
@sintamtati8554 2 года назад
Big up sana mkuu wangu wa mkoa wa Iringa kwa kuwa karibu na Wananchi na kutatua kero zao, Mungu akusimamie ktk uongozi wako.
@mamachris6811
@mamachris6811 4 года назад
Kuna mijitu haina aibu,unalipwa mshahara bado unadhulumu Sh. 39,000/-
@jamilakizya7792
@jamilakizya7792 3 года назад
Mungu msimamiye mkuu wa mkoa huyo anafanya kazi nzuri sana na wengine waingi inchi itasonga mbele sana kulikoni wangeni wemekaa tu ofisini
@mdedeanna7630
@mdedeanna7630 4 года назад
Njooo na huku mafinga maana wanatunyanyasa sana huku mafinga njooo
@daudisalum9574
@daudisalum9574 8 месяцев назад
Uyu alikua mchapa kazi sana apewe kitengo ali happy
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 года назад
😇😇 wahehe twendelee na moyo huhu ingekuwa mkulya kashapita na shingo ya mtu mkulya hata buku anakuuwa
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 4 года назад
veronica mchilo mkurya atakuwa alishakupiga kaz akakuacha siyo kwa kumchukia huko
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 4 года назад
Hahahahhahahahhahahha na wakurya kwa kuacha mademu wako vizurii kipigo unapata na kuachwaa unaachwaa
@magesamatiku7364
@magesamatiku7364 4 года назад
Mimi kwa usumbufu huo nishamnyonyo macho mapema
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 года назад
@@taslimanyange2850 😂😂😂😂😂ntajaribu kumpend mkurya ili nipigwe nione
@dmtv6448
@dmtv6448 4 года назад
@@khadijakhadija6212 😅😅😅😅😅
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 4 года назад
Huyu Rc ni Noumaaaaaaaaaaaaa
@festohingi7879
@festohingi7879 4 года назад
Safi Sana mkuu wetu wa mkoa kwa kusikiliza kero za watu wako hongera Sana kiongozi
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya 4 года назад
Kadege mbishi Sana Baba Mkwe Wangu😁😁😁😁
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 года назад
Ho ng era Sana mkuu wasaidie wanyonge ww ni mgufuli wa oili mwamba
@estermpagama9664
@estermpagama9664 4 года назад
Mkuu wa mkoa Iringa kweli unafanya kazi ni raha na furaha kusaidia shida za watu mmepata kiongozi mwema Mungu akutangulie
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 4 года назад
Mdogo wangu mh Hapi nakuona kuwa hazina kwenye uongozi wa Taifa langu la Tanzania Mungu akubariki saba bro endelea na moyo huo huo
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah 8 месяцев назад
Hicho kichwa cha habar imebid nicheke😂😂😂😂
@jacksonrabson6439
@jacksonrabson6439 4 года назад
Hakyamungu awam hii viongozi kazi mnayo😂😂😂😂 mzee amesema anadai sh ngapi tena!!!
@gracerichard2817
@gracerichard2817 2 года назад
39000
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 года назад
😘😘😘
@zairiabakari4155
@zairiabakari4155 4 года назад
Natamani ungekua mbunge wangu kibaha mjini
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 года назад
Hizi ni zama za magufuli, kila kitu kitanyooka
@agriparose3942
@agriparose3942 4 года назад
Mungu Asant kwa kunipa vijirizki hivi,kuna watanzania wanategemea 39 kula na family eeeh mungu Asante
@bostonnyatu3269
@bostonnyatu3269 3 года назад
Mkuu wa mkoa wa Iringa nimebarikiwa na utendaji kazi wako Mungu akulinde
@NgelejaNkende
@NgelejaNkende 7 месяцев назад
apo sawa
@Bmtstudiostz
@Bmtstudiostz 4 года назад
Kwa Sasa tuna wakuu wa mkoa watatu Makonda,Mwanri na Ali Happy These guys wanafanya kazi hata kama muwaseme vibaya
@emmanueljengo8103
@emmanueljengo8103 4 года назад
Ckupng
@denisstameza-unitedstates3668
@denisstameza-unitedstates3668 4 года назад
Makonda hapana
@kiswahiliduniani
@kiswahiliduniani 4 года назад
Wa simiyu
@peterjosephat9610
@peterjosephat9610 4 года назад
Umemusahau na wa simiyu kaka
@aziziadam1746
@aziziadam1746 4 года назад
Pia wa mbeya
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 2 года назад
naanza kumuelewa huyu mkuu wa mkoa happy
@JumaNdingo
@JumaNdingo 7 месяцев назад
Hawa ndio viongozi tunao wataka kwenye nchi yetu hongera mkuu wa mkoa iringa iwe mfano wakuigwa kwa viongozi wengine
@rashidfentu5542
@rashidfentu5542 4 года назад
Mkuu rud jimbon kwako kondoa kura zipo waz
@tabuboone934
@tabuboone934 3 года назад
Inqbidi uelewehe watu kuwa km amefanyakazi ya kulipwa hiyo ni haki yke lazima alipwe
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.
@jumasongoro2766
@jumasongoro2766 4 года назад
Yaan mh ally hapi nikiongozi bora xnaaaaaaa Yaan nataman angekuja kigoma kutuongoza Mamboo yangekuwa shwari pongezi xnaaaaaaa kwa MH mkuu wa mkao wa iringa unajituma kaka mungu akubariki
@Mwakasyuka1803
@Mwakasyuka1803 4 года назад
Anazingua huyo mkandaras
@teclamahenge4425
@teclamahenge4425 4 года назад
Mtetezi wa wanyonge
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 4 года назад
Maisha haya we unakaa bar unatumia elfu 50 Kuna mwingine anaitaji elfu 39, akale na familia yake tufike mahali binadamu tuoneane huruma
@ezekielevarest9215
@ezekielevarest9215 4 года назад
Kbsa ndgu huruma mda mwngne inahitjka asee
@SEMANKA97
@SEMANKA97 4 года назад
Huyo mzee nimempenda kuzungusha mtu tabia mbaya mno
@rajabsalim8920
@rajabsalim8920 4 года назад
Huyu msanii wa mkoni haha😂😂
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 года назад
Duuh mchepuko wangu kanipora sim sasa nifike ofisin kwako mkuu nipate pesa yakununulia sim nyingine aisee vuvuzela ni shiiiiigdah
@isayakilangi5888
@isayakilangi5888 4 года назад
Iringa magufuli alitupa kiongozi abalikiwe Sana hatuna haja ya mbunge sisi hapy anatutosha ww ndo mbunge na wewe ndo mkuu wa mkoa
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 года назад
😎
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 года назад
Hali ngumu mpka mtu akizurumiwa elf 39 anashitki?
@mlimawamajibutv
@mlimawamajibutv 4 года назад
NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Daah dhambi jamani,mlipeni baba wa watu pesa yake hata kama ndogo yeye kwake ndio analishia familia yake
@jenifajafari7670
@jenifajafari7670 4 года назад
Ww acha
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
Huruma sana😢😢
@honekisebwa226
@honekisebwa226 4 года назад
Daaaaa
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 года назад
Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU
Далее
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Which part do you like?😂😂😂New Meme Remix
00:28
MADUDU YALIYOMNG'OA MAKONDA HAYA HAPA
8:27
Просмотров 84 тыс.
Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
53:22