Тёмный
No video :(

Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 82 тыс.
50% 1

Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
Mkuu wa Mkoa amemsweka ndani diwani viti maalumu kupitia chama cha Demokrasi na Maendeleo Chadema kata Kihesa Silestina Jonso kwa kuamulisha mgambo kuvunja nyumba na mwananchi wake Lonjino Utenga.
Lonjino Utenga ambaye ni mwananchi wa Mtaa wa Kihesa alimwambia Mkuu wa Mkoa kuwa diwani huyo aliamua kufanya kitendo hicho kutokana na visa vya kusiasa.
Akisikiliza juu ya kero hiyo kutoka kwa wananchi huyi Mkuu wa Mkoa Ally Hapi alilazimika kuwaita viongozi mbalimbali wa Mtaa huo ilikuweza kupata ukweli wa jambao
Baada ya kujilidhisha na maelezo mbalimbali kutoka kwa viongozi hao ikiwa ni pamoja na Diwani huyo Mkuu wa Mkoa huo Ally Hapi amelazimika kuagiza jeshi la Polisi kumweka ndani diwani huyo.
Aidha baada ya kutoa maagizo hayo Mkuu huyo aliweza kuahidi kumchangia shilingi laki tano huku wadau mbalimbali wakiendelea kutoa michango na kuendelea kutoa ahadi.
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@jovinacbkan7785
@jovinacbkan7785 4 года назад
Wajenge nyumba ya Mzee Alhapi,ongera sana kaka,kazi nzuri,nyumba ijengwe .
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Mkuu wangu wa mkoa nakupenda sana kwanza unahofu ya mungu na unatenda haki,najuwa nahilo utatenda mungu akusimamie huyo mzee apate haki
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 года назад
Watoto wa MAGUFULI oyeeeee piga kazi kaka
@johnjacob9587
@johnjacob9587 4 года назад
More Congratulations RC Ally Happy nakupenda Sana
@yussufbare4913
@yussufbare4913 4 года назад
Mama unakaa kudulumu lakini huyu hakimu uko mbeleyake SI mtu hivi hivi Leo una kibarua ngumu hapa ....eti kijijio ya ugurua shenzi
@crunkersdd4578
@crunkersdd4578 4 года назад
I liked the democracy of republic of 🇹🇿.Thanks to mr Hapi and God bless you
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 года назад
Crunkers Dd, is a kangaroo court democracy?
@SabraKhalidy
@SabraKhalidy 2 месяца назад
Hongera Mkuu, Mungu akusimamie katk majukum yako
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 2 месяца назад
Mkuu wa mkowa hongera sana kutetea wanyonge mungu akubarik
@laulymo2063
@laulymo2063 3 года назад
Barikiwa sana 🙏 mkuu
@margretchai3384
@margretchai3384 4 года назад
Hongera mheshimiwa
@juliethmollel9355
@juliethmollel9355 4 года назад
mkuu wa mkoa wa iringa nimekupenda bure ,ungegombania uras ningekupa kura zangu zoe mungu akubariki
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 4 года назад
Pole sana mzee wangu ila mbona wamama mna sifa nzuri za huruma ila uyu mama yupo tofauti sana na wanawake au wamama wenzake duuuh wewe mama mungu anakuona kwa kweli
@brunochilole7185
@brunochilole7185 4 года назад
Nakuombea mkuu uje uwe raisi wa Tanzania kaziyako safi
@bintlola3127
@bintlola3127 5 лет назад
Na avuliwe vyeo vyote mamaeeee.....sijui kwann hawavyama pinzani wakolofi...alafi hao ndo wakwanza kusema serikali mbovu...
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 года назад
Huyo mama anaroho mbaya kama yule mchaga aliouwa mfanya kazi wake yani hawana utofauti😭
@rowlandwilbert9625
@rowlandwilbert9625 5 лет назад
kuanzia dakika ya 41 uyo mzee amezungumza kwa hisia sana, hao ndo wazee wakereketwa
@mamaliabdi2305
@mamaliabdi2305 4 года назад
uko vizuri brother mungu akulinde
@happynanyaro4421
@happynanyaro4421 4 года назад
Mungu akubarik mkuu wa mkoa wa lringa
@leonardpetro1463
@leonardpetro1463 5 лет назад
Nimefurahi huyu mama kukamatwa maana niliumizwa sana hila ya huyo mjinga RC Fanya kazi yako baba
@mwnaidibushuti9958
@mwnaidibushuti9958 4 года назад
Mimi sio mtanzania LAkini nafurahia kazi ya muheshimiwa happy mungu akupe afya njema na muongo zo mwema zaidi nimekupenda kwa ajili ya Allah
@yussufbare4913
@yussufbare4913 4 года назад
Kenya ndo Kuna unyama zaidi hii
@lucymacha1853
@lucymacha1853 4 года назад
Jamani wewe mama kwanini unakuwa katili hivyo mkuu wa mkoa sukuma ndani hafai kwenye jamii
@fatoomfatoom5590
@fatoomfatoom5590 5 лет назад
Hili sio jipu bali tambaza litumbue muheshimiwa Ally HAPPY Mungu yupo pamoja nawe
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 года назад
Kwakweli tena tambazi sugu lina mizizi
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Год назад
😂😂😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 года назад
Ningependa kujua hivi huyo mama alihukumiwa muda gani. Maana si kwa roho mbaya hiyo khaa
@mayowangimba9553
@mayowangimba9553 2 года назад
Kuna wengine walishabarikiwa kua matapeli,hapo nguvu sio huruma,municpal haina shida,shida ni ccm na usiasa wao
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Mungu awabariki mmetimiza andiko alikosema Yesu nalikuwa uchi mkanivika, mmeuvika mwili wa krsto
@janerosempeta5662
@janerosempeta5662 2 года назад
Kweli kabisa maligo makomi igoo! Umwanako peiwonaga udade afwete itawulo hela nyeee! Pole sana Kaka yetu!
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Kweli mhehe mwenzangu huyo kanyanyasika kiasi kwamba unafikili mkimbizi kweli jaman, imeniuma sana
@yusuphyohana8738
@yusuphyohana8738 3 года назад
Kweli ya Mungu mengi
@shufaavuai9690
@shufaavuai9690 3 года назад
MashaaAllah
@bafaqurish9018
@bafaqurish9018 4 года назад
Ally plz njoo moshi tunataka mkuu wa mkowa kama wewe asee wewe ni noma aseeee karibu moshi
@ibrahimmawazo7165
@ibrahimmawazo7165 2 года назад
Hadi nahisi machozi yanatoka, kiama kipo na tutahukumiwa! roho mbaya sio nzuri. Allah akulipe kheri Muheshimiwa.
@karimmveyange280
@karimmveyange280 2 года назад
Alli Hapi nijembe bwanaa.Unaeleweka tangia Kinondoni.Mungu akuzidishie.Fanya subira. Haki haiozi.Nyota yako ilisha fahamika na inang]ara sana.
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 года назад
RC WAIRINGA SHIKAMOO MITANO TENA NAKUPA KUANZIA LEO
@queenlovemgallah6520
@queenlovemgallah6520 4 года назад
Nimekupenda bule mkuu wa mkoa
@linusisiyovizurikumkanamza7622
@linusisiyovizurikumkanamza7622 2 года назад
Wewe kumbe mtendajji mzuri unastaili bado kuwa mkuu wa mkoa mama Samia huyo rc hapi big up
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 4 года назад
I wish we had this kind of power in kenya
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 года назад
Safi sanaaaa
@alimbarakmselem8467
@alimbarakmselem8467 2 года назад
Masha Allah
@georgeszigashane4710
@georgeszigashane4710 2 года назад
Wewe nimuheshimiwa unastahili kwelikweli, unahekima yakuamua kero za watu, hatakama leo Samia suluhu ameshakutoa kazini, Ila tuko nyuma Yako wewe nishupavu kbs, maana wewe utamurizi magufuli Samia nibure.
@midumbiojijo8126
@midumbiojijo8126 2 года назад
Huyo mama anakiburi sana
@dolnaduswege1984
@dolnaduswege1984 2 года назад
Hapo hapi nakupa hongera sana kwa kufuata haki
@georgejindwa8135
@georgejindwa8135 4 года назад
Mm ni mkenya lakini huwa napenda sana kufatilia siyasa ya Tz huwa yanipa muongozo mzuri wa kisiasa. Huyu mama anampenda huyu mzee that's way alimwambia akampe chumba kwake.
@LingxueMhume
@LingxueMhume 4 месяца назад
Wakenya mna akili sana
@danypray2259
@danypray2259 5 лет назад
Mpaka machoz yanatoka
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 месяца назад
Haya maneno mazito kutoka kwa Wananchi yanauma lazima yaangaliwe upya
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 года назад
Huyu mama alifikiria kweli juu ya huyu mkuu wa mkoa au alifuata fitina zawatu kumtumbua
@yussufbare4913
@yussufbare4913 4 года назад
takataka bado mnakula nguruwa basi hata mbua kuleni
@innocentsindi994
@innocentsindi994 4 года назад
Dear Happ mimi si mu Tz rakini ninakupenda jinsi unavyosikia watu wako na kutatua matatizo. Mungu akubariki sana
@hadijashabani890
@hadijashabani890 4 года назад
Adi nimelia jamani dah
@jordanyassin6038
@jordanyassin6038 4 года назад
Huyo amgeukie MUNGU aombe Toba sana
@VitalisPaul
@VitalisPaul 6 месяцев назад
Grobal inawekaje tangazo ktk ya hutuba ya mtu, kuna wakati mnazingua bwana
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 4 года назад
Mama ana roho mbaya mungu amlaani
@dianaamon9844
@dianaamon9844 4 года назад
Huyu mama unaweza mtia kisu aisee
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 3 месяца назад
Tunamungoja Sabaya mama yetu mpendwa hawa ni watumishi makini sana
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 года назад
Walah nimemaikiliza huyu baba nimetokwa na machozi anaelez kwa hisia na amenyanyapaliwa vby mno na kuteswa nimelia vby unavua nguo mbele ya watoto wako wa jinsia zote kwann jmn
@teedullah5708
@teedullah5708 2 года назад
Wanarukana Sasa we mkuu nimekupenda bure🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 месяца назад
Maskini inauma kutofuata haki pole sana Baba na Familia yako
@juliethmollel9355
@juliethmollel9355 4 года назад
mama anaroo mbaya huyo cjawahi ona ,sura mbaya kama uchi wake
@ELGIUSKELAMIYE
@ELGIUSKELAMIYE 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa wapi jamn Yuko vzr sana
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 года назад
Mm nalia tu kila ninapoona hii clip inaumiza huyu ni mzazi na ni binadam nina miaka 23 lkn maisha nilipitia mpk sasa nipo kam binadam inaumiza kam baba huyu anavyolalamika. Mpk sasa nipo natmikia waarabu kisa ili nije naishi kwa aman lkn huwez jua roho mbaya kam hizi ikija kunikuta mm si kufa tu jmn haaaaaaa inauma mar 10000
@luganojacob
@luganojacob 4 года назад
Mkuu apo upo sawa ila migambo hawahusiki
@luthntulo
@luthntulo Год назад
Unastahili kuwa raisi.kwanini. Hukugombea uraisi njoo rujewa tunakuhitaji MUNGU akubariki mheshimiwa.
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 месяцев назад
Wewe chekelea dada yatakutoka napuani 😢😢😢
@silayostraton3778
@silayostraton3778 2 года назад
We all
@erneolumato574
@erneolumato574 5 лет назад
uko vizur kaka
@frankaugustine9512
@frankaugustine9512 4 года назад
Mkuu wa mkoa tulia huko ndo tunaona kalama yako achana na wenye uchu wa mdaraka
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 года назад
Huruma kweli
@janethmollel6324
@janethmollel6324 4 года назад
Duh hadi machozi
@franceobert3087
@franceobert3087 2 года назад
Inauma
@khadijamasoud5521
@khadijamasoud5521 3 года назад
natamani uwe rais
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Uyo mama shetani mkubwa ona linavoangalia
@antonwicki262
@antonwicki262 4 года назад
Uuwi huyo mama ningeshamuuwaga zmn
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 года назад
Mungu akupe subra tu my ndugu
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 2 года назад
Wewe mama umeanza unaongea kwa ujasiri sasa unaanza kutetemeka
@failunaimba9774
@failunaimba9774 4 года назад
Hahahahaha amenaswa
@mwariworld6547
@mwariworld6547 4 года назад
20:40💔💔💔💔😥😥😥😥
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 года назад
Hichi kipande nimekikuta tictok nikajua huyu jamaa katumbuliwa kimakosa kumbe nikwaajili ya maslahi ya watu
@mwayayamashaka6708
@mwayayamashaka6708 2 года назад
Hata mupemba yapo sana
@yussufbare4913
@yussufbare4913 4 года назад
Utashugulikiwa taktak
@zamoyonirashidy1154
@zamoyonirashidy1154 4 года назад
kwakweli mkuu wamkoa ilinga wanalaha mana hanajua kutenda haki na wengine wakuu wamkoa waige mfano wa Mwezao kujua matatzo ya wanachiwao
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Huyu mama nammaindi
@mjegembishalms2461
@mjegembishalms2461 2 года назад
Utawara wakizalendo sijui kama bado upo kwa bibi samia
@agnettakamugisha4984
@agnettakamugisha4984 5 лет назад
this is WRONG! lazima kesi ifunguliwe! Hacha kunyanyasa watu😢
@leonardpetro1463
@leonardpetro1463 5 лет назад
Nothing wrong we know how this woman doing.
@iddindudi9632
@iddindudi9632 2 года назад
Iddi ndudi wa kondoa dah inauma sama ila kilaa chenyemwazo hakikos mwisho by iddi ndudi
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Wemkuu wamkoa wewe, nataka tukutoe copy jamani usambae Tanzania nzimaa
@adamkaita3009
@adamkaita3009 5 лет назад
mbunda hakuna chombo chenye lawama kama mahakama hazitendi haki sasa huoni hapo kuna chuki binafsi za kisiasa tena wote ccm.
@bintlola3127
@bintlola3127 5 лет назад
Umeon eenhee
@galawesakayala806
@galawesakayala806 5 лет назад
wewe mbunda tutakufuatiria siyo bure, na wewe ndiyo sawa na huyo delila
@stumay-wx9rp
@stumay-wx9rp 2 года назад
Mama na wigi lake kama fangiyo hana hata huruma
@mariamm2724
@mariamm2724 4 года назад
Huna jipya piga ndani
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 года назад
And you hear idiots saying u ve done nothing giving us yours ears till late tht they could not do
@georgeszigashane4710
@georgeszigashane4710 2 года назад
Mungu akupe maisha marefu Ally happy, wewe utakua rais tu sikumoja
@ednamanji
@ednamanji 4 года назад
Huyu RC Ni Magufuli number 2 Msaidizi wa Wanyonge.
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 4 года назад
I wish na mkuu wangu wa mkoa angekua km wewe
@ELGIUSKELAMIYE
@ELGIUSKELAMIYE 2 месяца назад
Ni mkuu wa mkoa wa wapi jaman
Далее
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49