Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Nisahihishe kidogo maelezo ya simulizi kuhusu moshi mweupe au mweusi.... Mosi.. Jina la mshindi wa kura huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa... Ukitoka moshi mweusi... Ni ishara kuwa Mungu hajapendezwa naye... Kura inapigwa tena kumtafuta mwingine.. Jina la mshindi huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa.. Ukitoka moshi mweupe ni ishara kuwa Mungu amependezwa naye.. Ndipo hatua zingine hufuata.... Hakuna kemikali yoyote inayotumika.. Bali ni Roho Mtakatifu mwenyewe hudhihirisha hilo.... Asanteni.. Ni mimi niliye mdogo kabisa kwa ujumbe wa Kristo.. TUMSIFU YESU KRISTO...
Aisee may God protect you 🙏 achana na serikali yetu kwa ajir ya kurudisha watu nyuma na hapo kwasababu kuna hela nying wanapata wabinafsi na wana roho mbaya ..never give up tupo na wewe Bega kwa Bega tuko na ndugu zetu wanaumwa na dawa wanakunywa hakuna mapya
Mtakatifu? Hivi mnaangalia vigezo gani vya kuona utakatifu wa mtu? Jamani mtakatifu ni MUNGU tu ndio ambae hana dosari hapa chini ya jua hakuna mtakatifu wacheni ujinga
Mungu pekee ndiye Mtakatifu.Hakuna mwandamu aliyemtakatifu acha ushabiki wowote kulingana na udini wako ulioukuta .Soma biblia utaona kwanzia mwanzo mpaka ufunuo kuna mtakatifu mmoja ambaye ni Mungu .Hapa Duniani hakuna aliyemtakatifu na yeyote anayejiita baba mtqkatifu maan anachukua nafasi ya mungu na mungu awezi kukubali nafasi yake ichukuliwe na mwandamu wa kula maharage na chapati.Utaabudu shetani becare
Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu kwa hivyo hakuna maana ya kimungu katika huo moshi mweupe au mweusi. Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu. Hivyo ikabaki viumbe kuufuata huo utaratibu wa kuishi kimungu pasina kukengeushwa na viumbe vinginevyo kwa kutak kufuata yao pasina kufuata ya kimungu. Kiufupi tumedanganywa san juu taratib za kimungu tumekuwa tukiaminishwa na kutishwa na vitu ving visivyo Tunaishi kwa kufuata misingi ya baadh ya viumbe majini, malaika, dragon, elians, mapepo, nk. Ya ya mungu yatunasue katika kujisimamia kwa kuujua ukweli wa uishi wetu. Sis viumbe binadamu.
Hujalazimishwa kuhamini bro kama Jambo halihusiani na wewe unaachana nalo by the way nikwambie Jambo moja katafute nini maana ya. Imani ukipata maana yake basi utaacha kuwa unakomenti kila kitu kwa kupinga. Haulazimishwi kuhamini kama kanisa halikuhusu basi achana na mambo ya kanisa Hilo basi
papa mpinga kristo. hii ni machukizo mbele ya Mungu. utawala wa Roma chini ya dini-Papa,ilibadilisha majira ya saa duniani.huhimiza watu kuabudu ibaada ya sanamu na ndoa za jinsia moja. Papa afiye mbali mhuni wa dunia,tazama ndiye anayezungumza na kufanya makufuru yasiyompendeza Mungu. soma danieli 7:25, papa na kanisa lake ni yakuwapotoza watu. Mungu aturehemu, tuko katika Babeli ya tatu...
@@user-cf9sk4us6ukaongea ukweli ni wapi kwenye biblia limewataja mapapa na makadni km kuwafanya watu waabudu masanamu habar za mapapa ni mpango wa shetani kuliangusha kanisa la Mungu
Washenzi Sana hao viyongozi wakubwa wa dini harafu hawekemei ushoga , Waafrika hizi dini tulizoletewa hafadhal tungefuata tamadun za mababu maana siyo kila kitu cha mzungu ni sawa
Inamaanisha kuwa hutoa habari za kiulimwengu kiujumla ikimaanisha dunia Ina nyuzi 360 ambapo dunia huwa inapembe 4 Na kila pembe ni nyuzi 90 ukizidisha Kwa 4 utapata 360
Huezi elewa because you are not a catholic achia hapo sio kila jambo huwekwa wazi hata kwa familia kuna mambo huwa yana pitishwa kisiri na wazazi so ww shinda hapo ukipanga kitu ambacho huelewi .
@@mohdnasser894 KATIKA HISTORIA PAPA FRANCIS NI PAPA WA 266, NA MAPAPA WA KIAFRIKA NI WA 3, AMBAO WALIISHI AFRIKA YA KAZIKAZINI, YAANI HASA NCHI ZA MISRI NA MOROCO. WALIISHI KARNE YA 2, 4 NA 5.
Ufunuo 13 ambao tokamwanzo Hadi mwisho wa kitabu Cha biblia cheo Chao hakipo ,ni mpango wa RUMI kuitawala DUNIA,hata ukiwa Tanzania utaitwa Roma katoliki, Sio Tanzania katoliki😂🤣those are true sons of Babylon ,babel ,biblia takatifu haiwakubali isipokuwa kitabu Cha maswali na majibu KATEKISIM😭🤣😂😅😰😓👽
Eti Baba mtakatifu!!awa ma free Mason, ilo kanisa limejaa ushoga, lina laana ilo kanisa, vitendo wanavyo fanya umo ndani ni vya kishetani tu wala c vya mungu, wanaozesha watu wa jinsia moja alafu useme ao watakatifu
ukitulizaakili.yako utajua roman ni.utawala wakarne hizo nahata ukiangalia ottoman azam tv utagundua roman kazi yake.ilikua nini kina.nikola haikuwa dini.bali ulikua niutawala😅😅😅acheni kulazimisha akili.kulala
Iliandikwa usifuate mataifa na njia zao ,Roma catholic ITALIA ,Anglican England ,Lutheran Germany🤣😂😅👽👽😓😰😭😁😹💯💥tafuta kweli imeandikwa mayo itakuweka HURU😲😫
Wamebariki ushoga hao hata siwapendi hata asilimia moja wapuuzi tu mimi ni mromani mnzuri kwa upuuzi wa ushoga, nakumkaribisha Zelensky pale Roma ni dhahili wamebariki mauaji pale Ukraine
Hujapata taarifa sahihi. Tunakosea sana kumtafsiri mtu anayesema "...mashoga wana haki kama watu wengine." Ni sawa na kusema "...wezi, wazinzi na wadhambi wengine wana haki." Haki inayozungumzwa hapa ni ile ambayo kila mtu anayo na si dhambi atendayo. Ushoga, wizi, ufisadi, ulongo, mauaji, uzinzi na vitu kama hivyo vyote ni dhambi mbele ya Mwenyezi MUNGU. Ila watenda dhambi hii wana haki zote za kibinadamu. Kama ndivyo, basi ushoga siyo haki bali ni dhambi kama dhambi zingine ila hiyo haindoi haki za kibinadamu za shoga kama ilivyo kwa mwizi, mwongo, mzinzi ama muuji.