Тёмный

KUMCHAGUA PAPA: Ishara ya kupaa Moshi MWEUPE au MWEUSI angani itakushangaza, Maana yake ni hii 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 180   
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 Год назад
Yani dah , shikamo SNS 👌🏾 romain Catholic Church to the world 🌎🔥👏🏾
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Wa kwanza hapa Leo nipeni like zangu
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 Год назад
Nisahihishe kidogo maelezo ya simulizi kuhusu moshi mweupe au mweusi.... Mosi.. Jina la mshindi wa kura huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa... Ukitoka moshi mweusi... Ni ishara kuwa Mungu hajapendezwa naye... Kura inapigwa tena kumtafuta mwingine.. Jina la mshindi huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa.. Ukitoka moshi mweupe ni ishara kuwa Mungu amependezwa naye.. Ndipo hatua zingine hufuata.... Hakuna kemikali yoyote inayotumika.. Bali ni Roho Mtakatifu mwenyewe hudhihirisha hilo.... Asanteni.. Ni mimi niliye mdogo kabisa kwa ujumbe wa Kristo.. TUMSIFU YESU KRISTO...
@musakalangahe6876
@musakalangahe6876 Год назад
Bro. That's pure science, just some chemical addition. It's the work of the alchemist....just a way to communicate
@yonalihweuli4138
@yonalihweuli4138 Год назад
Milele Amina
@neemamohammed9176
@neemamohammed9176 Год назад
P
@vicyngowi6459
@vicyngowi6459 Год назад
Soma historia then bible,usimuhusishe roho mtakatifu to that worst thing no holly spiritual there
@felixmtuya6351
@felixmtuya6351 Год назад
Thats according to your poor /minor religiuos knowledge!!!
@yohanambano872
@yohanambano872 Год назад
Asante kwa mafundisho mazuri
@user-ui9us6vm4t
@user-ui9us6vm4t Год назад
Amina
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Год назад
Aisee may God protect you 🙏 achana na serikali yetu kwa ajir ya kurudisha watu nyuma na hapo kwasababu kuna hela nying wanapata wabinafsi na wana roho mbaya ..never give up tupo na wewe Bega kwa Bega tuko na ndugu zetu wanaumwa na dawa wanakunywa hakuna mapya
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Год назад
Yani wewe sky nakukubali Sana hata research zako nimakin na sio porojo kama za simulizi zingine big up sana
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Год назад
Mtakatifu? Hivi mnaangalia vigezo gani vya kuona utakatifu wa mtu? Jamani mtakatifu ni MUNGU tu ndio ambae hana dosari hapa chini ya jua hakuna mtakatifu wacheni ujinga
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Год назад
Hujaelewa chochote ndiyo maana umejibu ulicho elewa we Ila ulichoelewa ww sicho kilicho zungumzwa hapa
@vicyngowi6459
@vicyngowi6459 Год назад
Mateka wa imani
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Год назад
Mjinga ni we mwenyewe
@witnesclement7635
@witnesclement7635 Год назад
Andamana sasa!! Ila ndo ashaitwa mtakatifu
@georgepam1231
@georgepam1231 Год назад
Mungu pekee ndiye Mtakatifu.Hakuna mwandamu aliyemtakatifu acha ushabiki wowote kulingana na udini wako ulioukuta .Soma biblia utaona kwanzia mwanzo mpaka ufunuo kuna mtakatifu mmoja ambaye ni Mungu .Hapa Duniani hakuna aliyemtakatifu na yeyote anayejiita baba mtqkatifu maan anachukua nafasi ya mungu na mungu awezi kukubali nafasi yake ichukuliwe na mwandamu wa kula maharage na chapati.Utaabudu shetani becare
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 Год назад
❤❤❤
@yusuphmwamlima2902
@yusuphmwamlima2902 11 месяцев назад
Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu kwa hivyo hakuna maana ya kimungu katika huo moshi mweupe au mweusi. Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu. Hivyo ikabaki viumbe kuufuata huo utaratibu wa kuishi kimungu pasina kukengeushwa na viumbe vinginevyo kwa kutak kufuata yao pasina kufuata ya kimungu. Kiufupi tumedanganywa san juu taratib za kimungu tumekuwa tukiaminishwa na kutishwa na vitu ving visivyo Tunaishi kwa kufuata misingi ya baadh ya viumbe majini, malaika, dragon, elians, mapepo, nk. Ya ya mungu yatunasue katika kujisimamia kwa kuujua ukweli wa uishi wetu. Sis viumbe binadamu.
@EdsonGoziberth
@EdsonGoziberth 12 дней назад
Hujalazimishwa kuhamini bro kama Jambo halihusiani na wewe unaachana nalo by the way nikwambie Jambo moja katafute nini maana ya. Imani ukipata maana yake basi utaacha kuwa unakomenti kila kitu kwa kupinga. Haulazimishwi kuhamini kama kanisa halikuhusu basi achana na mambo ya kanisa Hilo basi
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Год назад
Dah story nzuri na yakina
@MsokaselemaniMkelelwa-so9wr
@MsokaselemaniMkelelwa-so9wr 21 час назад
Jina papa halipo bibliani,walilolitowa wanapajua wenyewe,haliusiani na Neno la Mungu(BIBLIA)
@mwenendoassani9127
@mwenendoassani9127 Год назад
A santé sana kbs dungu na utuleye zingine dini piya
@jeturdasimon4851
@jeturdasimon4851 10 месяцев назад
Yani ukifikilia sana haya madhehebu ni bola kupiga hoti tu ndani kwako nakumlilia mungu wako nae atakujibu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
👊🙏✌️.
@norahnoboka34
@norahnoboka34 Год назад
Oomoj
@user-zy6oc4ms3e
@user-zy6oc4ms3e Год назад
papa mpinga kristo. hii ni machukizo mbele ya Mungu. utawala wa Roma chini ya dini-Papa,ilibadilisha majira ya saa duniani.huhimiza watu kuabudu ibaada ya sanamu na ndoa za jinsia moja. Papa afiye mbali mhuni wa dunia,tazama ndiye anayezungumza na kufanya makufuru yasiyompendeza Mungu. soma danieli 7:25, papa na kanisa lake ni yakuwapotoza watu. Mungu aturehemu, tuko katika Babeli ya tatu...
@user-cf9sk4us6u
@user-cf9sk4us6u 4 месяца назад
Acha ujinga na upuuzi. Kwa kuwa hulipendi kanisa KATOLIKI unalikashifu utadhani WEWE ni mtakatifu,acha hizo WEWE siyo Mungu.
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 3 месяца назад
⁠@@user-cf9sk4us6ukaongea ukweli ni wapi kwenye biblia limewataja mapapa na makadni km kuwafanya watu waabudu masanamu habar za mapapa ni mpango wa shetani kuliangusha kanisa la Mungu
@athumanshaban
@athumanshaban Год назад
Washenzi Sana hao viyongozi wakubwa wa dini harafu hawekemei ushoga , Waafrika hizi dini tulizoletewa hafadhal tungefuata tamadun za mababu maana siyo kila kitu cha mzungu ni sawa
@robertmosha6801
@robertmosha6801 9 месяцев назад
Kemea wanao...
@BacktoPhiladelphiaministry
@BacktoPhiladelphiaministry Год назад
Kwanini Aya makala yanaitwa 360....... Thanks kwa istoria nzuri sana❤❤❤
@ibrahimkhamis3324
@ibrahimkhamis3324 Год назад
Inamaanisha kuwa hutoa habari za kiulimwengu kiujumla ikimaanisha dunia Ina nyuzi 360 ambapo dunia huwa inapembe 4 Na kila pembe ni nyuzi 90 ukizidisha Kwa 4 utapata 360
@filskischannel9737
@filskischannel9737 Год назад
360= 3 =666 ... Alama ya mnyama
@kulwanzobe7657
@kulwanzobe7657 Год назад
Nakuunga mkono
@hikupskikons8914
@hikupskikons8914 Год назад
@@ibrahimkhamis3324 Exactly
@hikupskikons8914
@hikupskikons8914 Год назад
@@filskischannel9737 FILSKIS ACHA OUNGO WEWE, KAMA HUJUI KAA KIMYA
@erastompongo8400
@erastompongo8400 Год назад
We nimnoma
@RamaNevi-fs6zr
@RamaNevi-fs6zr 4 месяца назад
Yesu alitoka Jerusalem,mbn makao makuu y ukristo uko Vatican,kulikon
@stefanomwayele6761
@stefanomwayele6761 Год назад
Fumata nera mean n moshi mweusi in italian den Fumata bianca n moshi mweupe
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Hao mapapa wamefanana mbona au ndugu
@chuchetresha
@chuchetresha Год назад
Rise and falling of Roman Empire, the home of the DEVIL PERIGAMO ,REVELATION 13 Devil agent ,hawana lolote 💯💥
@MuneneBrian-nq7bd
@MuneneBrian-nq7bd 2 месяца назад
kwanza wanalawitiana haws😅😅😅😅😅
@chuchetresha
@chuchetresha 2 месяца назад
😁😁😁😁😅😂😂🤣🤣🤣😂
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 11 месяцев назад
Why does the United States send weapons to countries that are at war and help the side they want, but if someone else acts like they don't like it?
@victormbaga5772
@victormbaga5772 Год назад
Mashoga machapombe mahanisi wanachaguana na watubu wamgeukie Mungu
@elizabethnyirato9856
@elizabethnyirato9856 Год назад
Ushirikina tuu wa kirum hapana chochote apo, ivi ni wapi imeandikwa wafanye hivo
@joysekiza3944
@joysekiza3944 Год назад
Umejuaje wakati ni siri?
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
Usiri wanini sasa
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 Год назад
Huezi elewa because you are not a catholic achia hapo sio kila jambo huwekwa wazi hata kwa familia kuna mambo huwa yana pitishwa kisiri na wazazi so ww shinda hapo ukipanga kitu ambacho huelewi .
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 Год назад
Kwa Nini hakujawahi kutokea akachaguliwa Papa mwafrika mweusi?
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Год назад
Fransis yeye ata ruhusu mapandri kuowa🙈
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 Год назад
Inadina ghenda Allah islam
@hikupskikons8914
@hikupskikons8914 Год назад
SAFI SANA, UMEELEZEA VIZURI SANA
@mohdnasser894
@mohdnasser894 Год назад
Hapo utaona kama ni dini ya ubaguzi vp hatuoni ma papa wa kiafrika au papa mweusi
@hikupskikons8914
@hikupskikons8914 Год назад
@@mohdnasser894 KATIKA HISTORIA PAPA FRANCIS NI PAPA WA 266, NA MAPAPA WA KIAFRIKA NI WA 3, AMBAO WALIISHI AFRIKA YA KAZIKAZINI, YAANI HASA NCHI ZA MISRI NA MOROCO. WALIISHI KARNE YA 2, 4 NA 5.
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Год назад
Swali : lini atapatikana papa mweusi...???
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 Год назад
Mbona hatuoni weusi
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 Год назад
Hawa wote ni wahini tu Sasa hivi atudanganyiki. Uliwahi kuona papa mweusi
@clethbarnaba923
@clethbarnaba923 9 месяцев назад
Yeah, walishatokea mapapa watatu kutoka Afrika. Angalia historia
@chuchetresha
@chuchetresha Год назад
Satan company😅😂🤣💥💯
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Год назад
Papá anakuwa na mke na watoto? Nauliza tu
@chuchetresha
@chuchetresha Год назад
Ufunuo 13 ambao tokamwanzo Hadi mwisho wa kitabu Cha biblia cheo Chao hakipo ,ni mpango wa RUMI kuitawala DUNIA,hata ukiwa Tanzania utaitwa Roma katoliki, Sio Tanzania katoliki😂🤣those are true sons of Babylon ,babel ,biblia takatifu haiwakubali isipokuwa kitabu Cha maswali na majibu KATEKISIM😭🤣😂😅😰😓👽
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Год назад
Dini ya waitaly na wazungu hii
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Год назад
Ndiyo walioanzisha acha kuropoka kama hujui kitu hiyo ni Dini ya Dunia nzima Haina kabila
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Год назад
Eti Baba mtakatifu!!awa ma free Mason, ilo kanisa limejaa ushoga, lina laana ilo kanisa, vitendo wanavyo fanya umo ndani ni vya kishetani tu wala c vya mungu, wanaozesha watu wa jinsia moja alafu useme ao watakatifu
@lucykioko2909
@lucykioko2909 Год назад
Mungu hakusamehe Kwa maana hujui unalosema
@lucykioko2909
@lucykioko2909 Год назад
Mungu hakusamehe Kwa maana hujui unalosema
@anathaliamwangamila3296
@anathaliamwangamila3296 Год назад
Muombe MUNGU akusamehe, unatukana dini ya watu. anaejua yote ni mungu pekee. Mambo ya imana si ya kukashifu.
@seharjan8523
@seharjan8523 Год назад
Moshi mweusi ni black pope ambae ni shetani amesema ukweli hkna cha Mungu akusamehe Hili kanisa ni nyumba ya shetani na hapa ndio kila kitu kinapangwa
@jannethshayo1367
@jannethshayo1367 Год назад
Hata huko kwenu upo sema huoni kibanzi kilicho ndani yako waona chamwenzako tu fikiri kabla ya kutenda
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
ukitulizaakili.yako utajua roman ni.utawala wakarne hizo nahata ukiangalia ottoman azam tv utagundua roman kazi yake.ilikua nini kina.nikola haikuwa dini.bali ulikua niutawala😅😅😅acheni kulazimisha akili.kulala
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Год назад
Acha uboya ile ni movie wale wote ni waislamu mna akili ndogo sana
@jescalutegonsombnambyakoda6719
Hili kanisa halitingwishi aisee Mungu awatunze RC
@chuchetresha
@chuchetresha Год назад
Iliandikwa usifuate mataifa na njia zao ,Roma catholic ITALIA ,Anglican England ,Lutheran Germany🤣😂😅👽👽😓😰😭😁😹💯💥tafuta kweli imeandikwa mayo itakuweka HURU😲😫
@winifridajohn7390
@winifridajohn7390 Год назад
Kwann sijawahi ona papa mwafrica?
@alicesamson6316
@alicesamson6316 Год назад
Kura ndo zinaongea
@missp1814
@missp1814 Год назад
Makadinari waafrica ni wachache
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
Waafrika wana dhambi nyingi.
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
​@@missp1814 ubaguzi
@winifridajohn7390
@winifridajohn7390 Год назад
@@johnkiimbila6799 uliambiwa na nan
@jescalutegonsombnambyakoda6719
Hapo hakuna mafuta ya upako ni kusali mpk kieleweke 😃😃😃
@chuchetresha
@chuchetresha Год назад
Bogus💯💥
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Wamebariki ushoga hao hata siwapendi hata asilimia moja wapuuzi tu mimi ni mromani mnzuri kwa upuuzi wa ushoga, nakumkaribisha Zelensky pale Roma ni dhahili wamebariki mauaji pale Ukraine
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Год назад
Acha uongo nani kasema wamebarki ushoga acha dhambi za kujitakia
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Pole jamn ujapata taarif vizur itakua unasikiliza sungura tv
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli Год назад
@@florabuzoya3948 😂😂😂 unaishi ulimwengu upi wewe
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Год назад
Acha uongo si wakatholiki
@isikesamike
@isikesamike Год назад
Hujapata taarifa sahihi. Tunakosea sana kumtafsiri mtu anayesema "...mashoga wana haki kama watu wengine." Ni sawa na kusema "...wezi, wazinzi na wadhambi wengine wana haki." Haki inayozungumzwa hapa ni ile ambayo kila mtu anayo na si dhambi atendayo. Ushoga, wizi, ufisadi, ulongo, mauaji, uzinzi na vitu kama hivyo vyote ni dhambi mbele ya Mwenyezi MUNGU. Ila watenda dhambi hii wana haki zote za kibinadamu. Kama ndivyo, basi ushoga siyo haki bali ni dhambi kama dhambi zingine ila hiyo haindoi haki za kibinadamu za shoga kama ilivyo kwa mwizi, mwongo, mzinzi ama muuji.
@Manyesha6290
@Manyesha6290 Год назад
Amina
Далее
Papa Francis aongoza mazishi ya Papa Benedict
2:16
Просмотров 14 тыс.
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Просмотров 8 млн
Papa Francis atembelea chimbuko la Uislamu
0:47
Просмотров 80 тыс.
Askofu Niwemugizi afichua magumu aliyopitia
6:19
Просмотров 18 тыс.