Aibu kwa hawa mafisi kumushambulia Slaa anayesimama na ukweli huku wakiyumba na uwongo wao usiokuwa na ukweli. Wanasiasa malaya malaya. Leo Bagamoyo ni uwekezaji mbaya, kesho wanabadirika na kuusifu kwa uwongo kuwafanya Watanzania wajinga.
@@gracegrace6200 Yaan haya ndo alioyasema Nyerere Malaya malaya aisee Et wabunge wanachangia Jery aongezwe adhabu aliopewa haitoshi yaan kuna watu wapo kutoa utu wao kwa pesa aisee
Wanasiasa wenye akiri kama Jerry hawatakiwi. Wanatakiwa wajinga wajinga wenye kukubali kila kitu na kupiga makofi. Tutafika tunakoenda kweli. Oh! Kwanini Magufuli na asiwe Ndungai
Usitolee Nchi zingine kwa sabb Nchi zindine wanalipa Kodi,elezeni wananchi mnalipa Kodi? Msiwaonee waliosema ukweli na ulikuwa ni Siri zenu,tuambieni ukweli.
Dakika ya 6:18 kwenye maongezi ya Mh. Spika sijamuelewa kabisa ama ni masikio yangu yanashida maana nimesikia kama Yesu alipotembelea na mke wake. Au nimesikia vibaya Jamani?
@@kichenjekichenje2072 niliipenda Sana ccm lakini tangu kifo cha magufuli nimetokea kuichukia ccm sana Yale Mambo tuliyoyasahau kwa miaka 5 yamerudi kwa kasi ya 5G
@@adamfundikira1620 sio ww tu,ni wengi tuliipenda.Ila kwa haya mambo yanayoendelea baada ya kifo cha mpendwa wetu Magufuli,hakuna tena 7bu ya kuwa CCM.Tuchukueni hatua stahiki kwa hawa viongoz uchwara.
Huyu hana dini. Dini ni tumbo lake. Anajifanya kaenda Jerusalem, kwani kwenda herusakemu ndiyo unakuwa mukiriso safi? Atuondolee upuuzi wake. Tanzania sio mali ya baba yake
@@gracegrace6200 umeona sijui wanajikuta wakinanani kwenye vyeo vyao awajawai fikili dunia mapito cheo chake mwisho duniani tu kwamungu atakijutia icho cheo mana akuwatendea aki binadam wezie kwakujivunia cheo chake
Inauma so Kidogo,, Sipat Kapicha Hii chanjo ingekua Lazima..Sie wengine si tungeenda Ishi Porini Jmn,, Coz Ukisema Uhamie Kenya Ama Wapi, ndo kwanza Unaanzanayo Mpakani...Daah!!! Nashusha Pumzi Yenye heruf 6 (R.I.P JPM)
Siku zaja mnafanya yasiyofaa Marehemu mlimuunga mkono kwa yale aliyokataza kufanyika tanzania leo mnajifanya manunda Mungu awarehemu pia spika kumbukeni wanaoumia sio nyie mnaolipwa mishara kuna watu wanalipwa viposho na hata havitoshi kukidhi mahitaji yao ila haohao wanaumizwa nchi haijengwi kwa siku moja mnafosi watu kufanyiwa yasiyofaa
Hakimu Wa haki yupo naye ni mungu pekee kumbuka kwa mungu hakuna rushwa, rushwa ipo duniani na uwonevu upo duniani ila akhera hakuna HAYA so tumuwachie mungu atatenda inshalah
Hawa ni wasaliti wakubwa. Wamelifanya bunge kama mali yao binafsi. Kwa mala ya kwanza Watanzania wote tuombe mabadiliko ya katiba ili watu binafsi waweze kupigania ubunge bila chama tuwaindowe hawa nyang’a wanaowatia watu kichefu chefu.
Mungu aturehemu sana. Hujui kuwa Dini na Mungu ni vitu viwili tofauti? Unaweza ukawa muumini mzuri wa dini yako lakin ukawai humjui Mungu. Mungu ni mtakatifu hapendi dhambi.
Mimi naona kama watu hawajielewi alipokuwepo magufuli nyote mlikuwa pamoja na magufuli na mkawa mnachekeleA na kumuona ni mjeda haswa ameondoka leo wengi mumemgeuka mpk mnawasulubu akina gwajima.God forbid awasamehe wote wasiojielewa
Na wameyumba ila wanaojiona wako sawa,, asaivi hakuna hata hoja za mana bungeni wa naongea pumba tu,, hoja zisizo za msingi kwasasa ndio ziko bungeni loh hatari, na hizo chanjo Sasa Ukichanganya usaliti na chanjo wewe hapo sijui unaitwa mkorogo wakina gani sjui
Nini maana ya heshima? Na unapovunjiwa heshima ni lazima ujitetee,,Yesu alitemewa mate na kudhalilishwa na alinyamaza kimya,nawatakia heshima njema wote wenye kustahili heshima!
Heshima bila kula zetu mnategemea kupata kwanye familia zenu na kama zinawatosha mbona mnagombea ubunge? Wengine nyumba nzima mama, baba , mtoto kweli hiyo mlisoma peke yenu
Celew 2025 nipige kura chama gn Mana nikiwaangalia Chadema nawaona wote walewale tuu yan nmevurugwa chama nilikuwa nakipenda hiki lakin mijitu yaliopo sasa hata hayaeleweki kabisa bigup on you mbunge mchungaji na bro Jerry slaa
Munaungana mikono bila ya support kwa wananchi. Mumekuwa wanasiasasa malaya malaya. Wewe speaker hauheshimiki. Unazungumuza kama hujakanyaga darasani. Hapa Tanzania hamujuwi haya ni nini. Mutaheshimiwaje wakati muko bungeni kwa matumbo yenu. Kwani speaker ndiyo nani? Cheo ni dhamana. Speaker chuchumaa wewe, kwa kujifanya Mungu wa Watanzania. Kama ni kosa kusema ukweli. Tangu Watanzania wamekuona China unapokea mauwa kisha kumugeuka Hayati Magufuli, heshima yako iko jalalani. Mzee wa kanisa wa wapi. Kama wewe unamushauri asikofu basi Anglican imekosa hadhi. Slaa keep your head up. The people are on your side. The truth will set you free.
Hauko peke yako. CCM kilikuwa chama cha matumaini baada ya Hayati Magufuli kukisafisha na watu kukipenda. Sasa wanarudi kule kule kwenye siasa za ubinafsi kama Tanzania ni mali yao. WATASHINDWA. TANZANIA NI YA WATANZANIA WOTE.
Enzi za jpm mulitiwaa gundi midomo sasa imeeachwaa wazii munapayukaa tuuu asante muhemiwa spikaa watanyookaa kwa mihemuu walioyonayo asante mheshiniwa rais kwa kutekele majukuyakoo
Ndugai acha ubabe eti we spika utapita wap,.Nakuambia na wewe utapita wapi kwa Mungu.Pia kujua dini c kutembelea sehemu mashuhuri aliyozaliwa na kupita bwana wetu yesu kristo bali nikuishi Katika matendo yampendezayo Mungu.
Natamani kuwa mubunge kwenye bunge la ndugai naamini nitatolewa mara kwa mara inje ya bunge kama Jerry Silaa..... Kwa kutounga mkono uongo unaondelea bungeni
Jamani kutembea sehemu tofauti tofauti siyo kionesho kuwa wewe ni mwokovu. Wokovu ni kuacha uovu, acheni kumtukana Mungu wetu aliye hai, nyie endeleeni na vimbwanga vyenu tu ila jueni baada ya kifo ipo hukumu. Mungu naomba isaidie Tanzania.
Hizi mamlaka mtaenda kujibu kwa Mungu hamtaki kuambiwa ukweli nyie nani bwana lipeni kodi ya kaisari mpeni kaisari acheni wizi lipeni kodi mtalaaniwa na Mungu na ww ndugai Mungu anakuona utaazibiwa hapa hapa duniani
Ila wewe sipika Job ndugai nimnafiki Sana na wewe sipika Job ndugai ni BENDERA FATA UPEPO UKIELEKEA KAZISKANI upo UKIELEKEA KUZIMU upo kwaiyo wewe ni BENDERA FATA UPEPO.