Wabunge wwa CCM acheni kujifanya mnapedwa sana nchi hii. Mbunge amesimama achangie kubwa jinga linasimama kuomba taarifa au mwongozo wa Spika. Huu nu upuuzi wa hali ya juu sana. Watanzania tunakemea sana tabia hii kwa kuwa wabunge wa upinzani na wao ni Watanzania tena wana michango yenye tija sana kuliko hilo kubwa jinga linaongelea habari za Salome Makamba mda wake wote. Wabunge wa CCM jifunzeni nidhamu. Watanzania wanaomchagua mbunge wa Kishapu na wenyewe ni wapuuzi. Mbunge anajadili mbunge mwenzake badala ya kuchangia hoja na mambo yanayohusu watu wake wa Kishapu. Watanzania wakikichagua chama cha CCM mjue maendeleo nchi hii ni "NDOTO ZA ALINACHA" Tunaita Business as Usual. Hata huyu Magufuli mnaemsifia kwa kufanya kazi za kununua Ndege kwa pesa cash akose akiba ya kununua hata Barakoa ni Rais wa majanga tu. Anaendesha nchi kwa kodi za minavu na Mananasi kwa kuwafunga Matajiri na wengine kukimbilia nchi jirani kwa hofu ya huyu DIKITETA. Angalia Watanzania mnapambana na Corona yeye kakimbilia CHATO. Haiwezekani nchi iendeshwe bila matajiri kama Hazina haina fedha Serekali itamkopa nani kuendesha nchi. Watanzania wanaowachagua wabunge wa CCM kwenye majimbo yao wanachagua MIZIGO.
Kuna wabunge wengine bungeni hawana hoja hawachangii chochote wanasubiri wengine wachangie Ndio na Wao wasimame ili wapiga kura Wao wawaone lakini hatujawachagua kwenda kutoa taarifa bungeni tumewachagua ili mkatatue shida za wananchi....!
Habari kwa unaesoma comment hii naomba japo dakika mbili zako mimi ni chipukizi hapa RU-vid nina channel yangu naomba uangalie video hii kwenye link Kama una ushauri unataka unipe comment kwenye video. Chukua tahadhari dhidi ya corona. Mungu akubariki asante kwa muda wako. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-NeuVxfiyjKw.html