Kusema kweli SNS inakua Kwa haraka na Kwa ukubwa sana. Huku Kenya sidhani kama Kuna online media yenye ukubwa huu. Nimependa sana studio mpya. Ni noma sana🎉🎉🎉🎉
@@johnsilima1629kwa East Africa Tz na kenya mtandaoni tunapondanai ila kiuhalisia tunapenda kuliko nchii zingine mm mtz ukinambia nichague nchii ya kwenda kuish apa East Ntapenda kenya sababu ndo naona ni ndugu kabsa I think we love each other❤❤❤
Crown imekuja kupindua media zote 😂😂😂 kwanza kipind cha Salm kikeke ni atari, maswali yeke ni atari, wengine ni machawa kila kitu kusifia Mama ila Crown mpka viongz wanabanwa kwl kwl
I like what am seeing sns has brought revolution on online media tunafuraia ukuaji wenu sisi kama mashabiki tuko na nyinyi hadi kilele cha mafanikio yenu
Mimi napenda habari za kivita , ila haya , mengine , naona kama mauzauza tuleteni ,habari , zenyw msisimko, jamani maledio kitu gani ,hata hapa kwa wagogo, tunazo media Kari tyu Sana
Kila mtu ana kitu chake....clouds burudani zote ambao ndo mababa😊,,itv habari za uhakika😊,eatv mambo ya east africa kiujumla😊--wasafi umbea umbea ndo umetawala na kumpamba bosi wao kipindi kizima,,E TV bado..tunasubiri na ao kings wataleta nn
JUMA TUNAFAHAMU BOSS WAKO KAKUTUMA CROWN INA SIKU YA TATU MNAANZA KUTEPETA MTAISOMA NAMBA. CROWN MEDIA NDO CNN YA AFRICA ONE LOVE OLL FAN'S ON CROWN MEDIA