Na hapa ndimpo tatizo lilipo tunapokuwa na watu wanaongea kutumia hisia bila fact halafu ndani ya Bunge. Tutaelewana tu soon maana huu ni wakati wa Mungu. Well done 👍 MPINA pamoja na ujinga wako bro but you will be counted as a hero 👍✌️
Huyu jamaa si bure anataka kuwaona wananchi hawana akili na kana kwamba fikra inayopinga wizi kupitia uhaba wa sukari wa kuchonga ni mjinga. Yeye si mjinga tu ni fala na mpumbavu!
Kwenye hili Bunge Kuna wawakilishi wa Serikali ambao ndo wengi kuliko wawakilishi wa wananchi, hakuna sababu ya kuwachagu wateuliwe tu kama mawaziri pasiwepo na Bunge, kama mbunge anadiriki kusema lazima tutetee Serikali Sasa nani atamtetea mwanainchi?
wabunge wengine wanatumwa na wenye viwanda vya sukari ili kuwatesa walaji,hii ilitokea wakati wa mwalimu julius nyerere,illafika mahali sukari haipatikani madukani!!