Тёмный

KAWAIDA na NONDO WANYUKANA Kwa HOJA KISA X (TWITTER), IFUTWE au ISIFUTWE? | PART 1 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 8 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

17 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@1961nungwi
@1961nungwi 24 дня назад
Mimi naona Abdul ameongea vizuri. X inatumika sana na viongozi duniani kote kuwasiliana na watu wao.
@toonstz7
@toonstz7 15 дней назад
ushahidi ni kitendo cha kuruhusu kwenye policy zao msitafute visivyo vya maana mwishowe lengo halitaonekana.
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 25 дней назад
Baba levo hujui KUULIZA . Mwache dada wa watu afafanue vizur usi attack
@allykwaya
@allykwaya 20 дней назад
Msikilize Levo kwa makini utaelewa
@jumbekibindo3021
@jumbekibindo3021 25 дней назад
Ilaaaa baba levo anaaakiliiiii sanaaaaa
@kizzasadamj629
@kizzasadamj629 10 дней назад
Mtoto wakiyisiramu, wa kike yani nimeshanga kazi moja anaoijua nikubwata tu😳
@mohamedally2341
@mohamedally2341 9 дней назад
Watoto wa chini ya 18 wenyew wengi wanatumia snap na tiktok huko X wapo watu wazima tu kwahy ni kujisumbua tu
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 25 дней назад
Baba levo nimtangazaji mwenye kipajikikubwa sana akipunguza vituko na akaongeza elimu pia atakua mtu mzuri katka jamii tatizo nikwamba haiwezekani kutoa kipaji chake cha comedian
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 25 дней назад
Kwanza VITUKO NDIO VILIFANYA UKAMJUA PILI n kweli Elimu ya kalamu inasaidia ila Elimu dunia ndio maisha❤😂
@allykwaya
@allykwaya 20 дней назад
Kabisa
@thadeusmihayo1675
@thadeusmihayo1675 25 дней назад
Baba leve anvesomaga hata diploma angekua mbaya sana
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 25 дней назад
Kuna wangapi wenye masters Hawako hivyo? Ndugu elimu na kipaji ni vitu tofauti tumeaminishwa elimu ndio hukufanya uwe Bora ni kweli elimu muhimu ila haizuii kipaji kutake over . Ndio maana leo wasio na elimu hiyo ya makaratasi ndio wanalipwa zaidi kuliko wenye makaratasi, wanamichezo waigizaji watangazaji hususan huko duniani,
@jumbekibindo3021
@jumbekibindo3021 25 дней назад
Hapaaaaa nundo 5 kawaida 2
@Watema23
@Watema23 24 дня назад
CCM wanataka kufunga X kwa sababu upinzania TZ wanafanya mjandala X space .
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 25 дней назад
Baba levo hujui kitu. Twitter ndo mtandao na jukwaa la watu wenye heshima na ndo mtandao MAKINI kabisa
@abdulhamidbasha2108
@abdulhamidbasha2108 24 дня назад
Naona ww ndo hujui kitu, Twitter ilikuwa mtandao na jukwaa la watu wenye heshima but sa hiv inamilikiwa na mtu mwengine kwa hiyo inaendeshwa kivengine so don't compare BTW twitter and X
@jumbekibindo3021
@jumbekibindo3021 25 дней назад
Huyu dada anaongea sanaaaa😂pointless
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 25 дней назад
Hata wewe ni pointless maana ulisikiza ukosoe na sio upate elimu 😊😅😅
@jumbekibindo3021
@jumbekibindo3021 25 дней назад
@@gilliardgodfriend5745 sawa mpenda ngono
@user-rp1xx3vo4r
@user-rp1xx3vo4r 25 дней назад
Kuna watu ni mahodari sana na wafaswaha sana katika kuongea na hata uongo akiuchacha nalia basi inakuwa ni ukweli
@kiotastar1791
@kiotastar1791 17 дней назад
Nondo Yuko vizur lakini anakosea padogo
@iam_sami
@iam_sami 25 дней назад
Nondo mashineee
@ErnestMmeta-xu5gh
@ErnestMmeta-xu5gh 14 дней назад
Baba levo mbona unaegemea upande mmoja mtangazaji inabidi uwe nutro
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 17 дней назад
👍✌️👊。
@abouybaramia534
@abouybaramia534 25 дней назад
Ingachoic Mashallah nakuona kaka umekua unaongea hahaha maisha bana aise
@gachalovetz260
@gachalovetz260 25 дней назад
Na baba levo kumbuka hiyo x sio tu ngono wanataka kuweka vailasi kwenye akili za waafrica naapo ajenda yao ni ngono ya jinsia moja baba love
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 25 дней назад
Baba levo unamuuliza nondo maswali badala umuulize uyo wa ccm au waache waulizane wao we uwaongoze. Sio umshambulie nondo na maswali
@michaelbanda728
@michaelbanda728 22 дня назад
Hamna mwenyekitj apu 😂😂😂 BOGUS TREATY CCN inahaina mtu apo tatizo watu hawafikilii Hawaumizii vichwa kabla ya kuongea alafu na confidence kabisa anamuita ElON MUSK eti MARK X 😅😅😅😅
@abrahamhabarugira2483
@abrahamhabarugira2483 25 дней назад
Baba levo kufunga Twitter sio kosa ila kuna mambo mengi ya inci ya kuongeya Twitter ku post ngono sio shida sizani kama kuna mtuu mwenye akili yake anaweza kwenda kutafuta izo video so kufunga Twitter awajasahidiy kitu
@1961nungwi
@1961nungwi 24 дня назад
Mtandao wa X unatumiwa na Ikulu kubwa zaidi Duniani kama White House na Marais Duniani. Ni mtandao wa Kitaalamu zaidi.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 25 дней назад
Kusema kweli tiktok ina balaa yani sijawahi ona mtandao una umalaya kama tiktok sio sawa twitter ina elimisha sana sema tiktok ina haribu vijana tena wadada wana jiuza usiku
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 21 день назад
Wewe nondo acha ujinga wako, kwani wamesema ukiwa mpinzani ni lazima upingane na kila kitu. kumbuka social networks ni more accessible kwa watu wengi sana
@sayayzuia2323
@sayayzuia2323 13 дней назад
Sasa wewe kawaida na wenzako si muondoke huko X, mbona mpaka leo mpo huko, mmengaanza kujiondoa kwanza nyie UVCCM
@lameckbuya7569
@lameckbuya7569 24 дня назад
Kitu nimebaini Bado uhuru wa mwandishi (mtangazaji) Bado ni changamoto baba levo anasahau kuwa yeye anahost anaendesha mdahalo Kwa mlengo wa kutegemea upande Fulani !. 😂😂😂😂
@emmanuelmodest7457
@emmanuelmodest7457 23 дня назад
SHIDA NI MALENGO YA MTU KUINGIA X APP, WALA HAINA SHIDA SHIDA NI MTUMIAJI ANATAKA X APP?
@sugumbeya
@sugumbeya 25 дней назад
Tanzania penyewe watu wanaangalia video za ngono hata bila VPN, wewe andika kwa kiswahili kwenye google utaona video za ngono
@gachalovetz260
@gachalovetz260 25 дней назад
Kwanini tusitafute mitandao yetu mwenyewe africa wenye maadali ya africa
@shaban6644
@shaban6644 24 дня назад
Hebu acheni upuuzi, Huo mtandao ufungwe tuuu, Huyo dada nae anatetea kabisa usifungwe. Ni aibu ilioje.
@kasaisatv9765
@kasaisatv9765 23 дня назад
Nani amemwambia huyu CCM kwamba tiktok haipatikani Marekani?
@onesmonjandi5673
@onesmonjandi5673 25 дней назад
Ila babalevo genius xan anafanya vitu ambavyo mtu wa degree angefanya
@gachalovetz260
@gachalovetz260 25 дней назад
Huyo dada akili akuna hapo
@dronemiguel2230
@dronemiguel2230 25 дней назад
Hem watuonyeshe walipobadili ni wap half waje na uthibitisho mbona wengn hatuoni
@valelianmbuma493
@valelianmbuma493 25 дней назад
Huyo dada wa act uelewa wake mdogosana
@mapesa0762
@mapesa0762 25 дней назад
Mimi naweza kuletea ushahidi ata Leo Leo,,,tunaangalia sana xxx video Twitter
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 25 дней назад
Ni Twitter tu zinapatikana?
@jochachallengetv7061
@jochachallengetv7061 24 дня назад
Stop watching porno and start dating real people, fara wewe..
@kilinakoshengelo2944
@kilinakoshengelo2944 24 дня назад
Pornography haiharibu maadili, inarahisisha maisha kwa ambao maadili yao yameharibika tayari
@modestkissima6771
@modestkissima6771 23 дня назад
Walikua wanakataza wewe
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 25 дней назад
Huyu nondo nadhani kala hela ya watu, sasa anaitumikia kwa kutetea ujinga kabisa
@ukweli255
@ukweli255 25 дней назад
Pole
@hans_tech0015
@hans_tech0015 25 дней назад
Huy jamaa anaakili San.....
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 25 дней назад
Wewe ndo ume lipwa na ccm
Далее
It works! #beatbox #tiktok
00:15
Просмотров 6 млн
LEO USIKU KWENYE CHEKA TU
1:14
Просмотров 1,1 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
Просмотров 214 тыс.