Тёмный

MTAZAME RUBANI MDOGO TANZANIA/WAZAZI WANGU NDIO CHANZO/NIMEISHIA KIDATO CHA NNE/NDEGE NI NYEPESI 

TimesFMTZ
Подписаться 532 тыс.
Просмотров 367 тыс.
50% 1

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Развлечения

Опубликовано:

 

6 апр 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 592   
@lucyburetta5831
@lucyburetta5831 2 месяца назад
Hongera sana Rubani wetu. Damu ya Yesu ikufunikie siku zote za maisha yako.
@user-qh6ek4kc7n
@user-qh6ek4kc7n 2 месяца назад
Asee Mimi Ni mama wewe Kama mwanangu Mungu akuinue japo skujui da kweri ukitia Nia yote yanawezekana
@liliankessy-fx6hx
@liliankessy-fx6hx Месяц назад
Asante kwa elimu sababu sikujua haya yote. Mungu akulinde, akusimamie kwenye maisha yako.
@happygervas7489
@happygervas7489 2 месяца назад
Hongera sana mdogo wangu Mungu akuinue kwa viwango vya juu zaid ❤
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 4 года назад
Tunafunguka na elimu na Tanzania bado kunakiritimba nafasi za kusoma zinapatikana kwa kujuwana kijana unafunguwa upeo kwa watanzania. Hongera sana kijana mungu atubariki.
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 года назад
Big up kijana wengine igeni juhudi za huyu mwenzenu. Msihofie malipo Mungu ni mwema kama nia ipo.
@user-ne9mq5rc3k
@user-ne9mq5rc3k 2 месяца назад
Hongera sanaaaa,lakn kwa unavyoelezea tu naona pia na nyumbani pia kuna uwezo wa kipesaa.
@maryntigizu1565
@maryntigizu1565 4 года назад
He is very humble.. he really deserve it .. humble people gets far💪
@bellhdjdbdjd6495
@bellhdjdbdjd6495 4 года назад
Exactly my dia
@khaldiabdallah3993
@khaldiabdallah3993 5 месяцев назад
Sahan hello. Nauliz Ivo. ATI. Mwenye ndoto izo. Kapata. Phys. D ,math. C, na. Geo B. Inakubaliwa au. Kam. Vip. Natak. No. Za uyo. Ruban. Kupat. Taatif. Zaidi
@aminielelimringimaro7791
@aminielelimringimaro7791 3 месяца назад
Hongera sana rubani mdogo kuliko wengine nchini. Nami mzazi ninaye Rubani kwenye familia yangu. PGM ni muhimu ili kuwa rubani. Pia PCM ni muhimu kuwa mhandisi wa ndege. Kila la heri Rubani wetu. Jitahidi kuongeza masaa ya kuruka hewani.
@JoyceShilla
@JoyceShilla 2 месяца назад
Hongera sana kazana usiishie hapo
@gracemacha9357
@gracemacha9357 2 месяца назад
Damu ya Yesu ikutunze kijana wetu mdogo
@khadijamohamed6853
@khadijamohamed6853 2 месяца назад
Hongera Sana mwanangu Mungu akulinde nyakati zote maana wengi hata hawawezi kuwajulisha watu hii elimu kwa kuona Ni wa viwango vya juu. Mungu akubariki Sana Nina mtoto siku zote anatamani kuwa rubani
@IreneNide
@IreneNide 2 месяца назад
Jitahidi urudishe nusu ya gharama alizotumia baba na mama kukusomesha huko Africa kusini🎉
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 4 года назад
HONGERA SANA RUBANI WETU, UNAHAMASISHA WAZAZI KATIKA KUTIMIZA AU KUHAKIKISHA WAZAZI WANAWASAIDIA WATOTO WAO KUTIMIZA NDOTO ZAO.
@LilianKimaro-yv1py
@LilianKimaro-yv1py 2 месяца назад
Mimi nina kaschana kangu kana ndoto hyo Mungu asaidie,mana sio Kwa hyo ada
@liliangabriel3953
@liliangabriel3953 3 года назад
Dooooooooh,I like de way He's speaking,ana gud speaking. To be Honest I like de Pilot. He's gud on Everything.
@liliangabriel3953
@liliangabriel3953 3 года назад
Dooooooooh,this guy jmn ana gud Smile as dat. God be with Him.
@modestaissa1947
@modestaissa1947 4 года назад
Hongera mdogo wangu.MUNGU akulinde ufike mbali zaidi ya ulipo.
@user-vl1kz6em3x
@user-vl1kz6em3x 2 месяца назад
Hongera kaka no maombi ya watanzania wengi ambapo tumekuskilixa mungu akuongoze vema uwe na umakin zaidi na ukumbuke kumuomba mungu zaidi man bi yy usingefika hapo ulipo kwako ni jitihada na ndoto ulizakuwa nazo shukran kubwa Kwa Baba na mama ulinzi wa mungu uwe Juu Yao wavune matunda walioyapanda hongera❤❤❤
@queenwinnie256
@queenwinnie256 4 года назад
Safi sana , na hongera sana wazazi wa huyu kijana,
@zainabsimbamtoro6790
@zainabsimbamtoro6790 3 месяца назад
Kaka umenifuraisha sana umenikumbusha Bali nikiwa mdugo ilikuwa Naipenda sana Roket ANaile mistari Mpeni Hongera sana kijana Wetu Mungu Amuongoze lNshallaah 🌹🌹🌹🌹
@khayraatsaidi3801
@khayraatsaidi3801 4 года назад
Maa shaa Allah Hongera sana kijana Mungu akuzidishie Elimu na watu wote kila mwenye ndoto yake njema Mungu amuwezeshe kuitimiza Aamiyn
@bahatirngulika4493
@bahatirngulika4493 4 года назад
Aiseeee umenihamasisha sana,kiukweli kila mtu anakuwaga na ndoto ila umasikini ndo unaotufanya tushindwe kuzifikia ndoto zetu
@sammasadika8561
@sammasadika8561 4 года назад
Mashaallah ongera rubani Allah akulinde🤲🤲😊
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 4 года назад
Damu ya Yesu ikulinde daima...kwa kweli umejua kuiheshimu pesa ya wazazi wako tena kwa muda mfupi ukaelewa vzr sana .Ubarikiwe sana David Matonya.
@happykisigaye7875
@happykisigaye7875 4 года назад
Beatrice John y
@happykisigaye7875
@happykisigaye7875 4 года назад
ji
@happykisigaye7875
@happykisigaye7875 4 года назад
oookyj
@josephatkashendwa1177
@josephatkashendwa1177 4 года назад
Tanzanian young brother to be Inspired as pilot due to ur story, bro uko vizuri sana, kwa ada hiyo ya mil 200 nimeanza kuotesha miti ili vijana wangu wakifika form 4 niwalipie ada, nilichokupendea unawatia moyo vijana wenzio waione hiyo fani ya upilot inawezekana kama wakiwa na moyo wakujituma kama ulivyo wewe.
@peninathomas2190
@peninathomas2190 4 года назад
Hongera sana David. Wahongere wazazi wako pia kwa kukufanya ndoto yako itimie. Barikiwa zaidi.
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 года назад
Mashallaah Mungu akuzidishie baraka Wa Tanzania tuko juu kumbe love and all the blessings from Uk
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 года назад
Rubani mdogo Tz umetisha ubarikiwe
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Год назад
Safi sana Mdogo wangu..yaaani una wa Inspire wengi...Big up sana
@princesinko4073
@princesinko4073 4 года назад
Kumbe ndiyo rubani mdogo, hongera sana
@MshauriAbdullaKhamis
@MshauriAbdullaKhamis 2 месяца назад
Mungu akubariki zaidi na akuepushe na misukosuko ya safari zako zote kipenzi. Umenihamasisha mwanangu ana 10 yrs aliniambia sana anataka kazi ya urubani. Umenipa moyo lkn hiyo ada nauomba Serikali isaidie hata kama kwa mkopo. Ahsanteni waandishi kwa kusaidia kutuelimisha.
@hassanlubola414
@hassanlubola414 4 года назад
Hongera sana bro you have made ur dream true
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 2 месяца назад
mungu akufunike kwa dam ya yesu katka safari yako zote uishi maisha marefu
@salminasalim5630
@salminasalim5630 4 года назад
Mashaallah. Pilot Matonya Allah azidi kukuinua uendelee mbele mpaka uendeshe madege makubwa InShaaAllah
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 года назад
Amiiin
@issakafago5531
@issakafago5531 3 года назад
Jambo lakwanza nikusapoti bwana matonya atamimi natamani kuwendesha tatizo pesa naskiya ninyingi san
@aminachoga9266
@aminachoga9266 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika utafutaji wako
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад
Allah akupe nguvu na ujasiri zaidi uweze kufanya na wengine waweze
@halimaburusi1776
@halimaburusi1776 4 года назад
Devid hongera sana mwanangu maana my son called devid to.na ako bright sana shule namuombea nae aje kutimiza ndoto zake km wewe.hongera sana son devid love you
@Scorpion08726
@Scorpion08726 4 года назад
Ananikumbusha wakati nipo shule kuwa rubani ilikua ni my dream na Hilda Ringo alikua ni role model wangu as the youngest female pilot wakat nipo O-level....but now nasomea udaktari and enjoying my career 😊😊😊😊
@ishinasitanzania
@ishinasitanzania 4 года назад
😂😂😂 Dr. Mercy Elly
@viviansuley3391
@viviansuley3391 4 года назад
Honqera sana kaka
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 года назад
Vidimpozi kakaa mashaallah..umzuri..mngu akulinde na husda za waja wake...
@steboyswillah6787
@steboyswillah6787 4 года назад
Mtangaxaji.kazi.nzr umeuliz mswal.mzr xna pia lubni anafaa kuwa mwalimuu
@barakadicksonkalula3542
@barakadicksonkalula3542 4 года назад
David well done kijana ##proud of Dodoma ##proud of gogo tribe
@marrywilliam8978
@marrywilliam8978 2 месяца назад
Mungu atupe maisha malefu ya ni nimekubali sijui niombeeje natamani nione atawazazi wako niwashukulu jani ningekuwa na uwezo ingeleta zawadi
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 4 года назад
Hongera kijana nimekupenda bure kwa uwezo ulio nao umenisuuza sn
@tumsifushoo6400
@tumsifushoo6400 4 года назад
Hongera sana kijana,,umenisaidia sana na mimi kujua jinsi ndege inavyotembea angani,Mungu akusaidie ufike mbali
@chocolatedrop3968
@chocolatedrop3968 4 года назад
hatari sana mm pia nimejifunza nimepanda ndege sana ila sikujua ina ruka sana. hii no baraka 🙏
@user-ht8tw4zr6j
@user-ht8tw4zr6j 2 месяца назад
Hongera sana, Mungu azidi kukuinua, uzidi kupanda viwango vyaa juu
@habibagysi5751
@habibagysi5751 4 года назад
Mashaallah mashaallah tabarakallah nimekupenda jinsi unavyoongea na huna majivuno mungu akusimamie
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 года назад
Nice..
@machoonline304
@machoonline304 4 года назад
Mwanang katisha kweli kasoma sio mjanja mjanja!!! Daa ndege kutoa moshi nimependa jibu lake na jibu la frequency!! Salute bro
@elizalwakatare8070
@elizalwakatare8070 4 года назад
Nimejikuta naipenda tu interview nilitamani isiishe na tabasamu 👌
@alesarjohn8091
@alesarjohn8091 4 года назад
Oooh, my God, nimekupenda bure, sipat picha mama ako akikuona anajisikiaje, hongera, nakuombea Mungu akufikishe mbali zaidi, na akulinde! big up! Mdogo etu!
@emmybassumbul3875
@emmybassumbul3875 4 года назад
Great !!! TZ Boy Mwanangu wa Dodoma !! Keep it up
@marylazaro9107
@marylazaro9107 4 года назад
Congrts my little boy
@HalimaMousa-xu3qt
@HalimaMousa-xu3qt 2 месяца назад
Mashallwa mashallwa mungu akulinde na husida na akupe afya nzuri nakutakiya Kilala heri kwenye pirika zako na maisha yako 😘🙏🙏🙏
@asiakinia9344
@asiakinia9344 4 года назад
Hongera kaka mungu azidi kukufanyia wepesi inshaallah
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 2 месяца назад
Mbarikiwe nyote nawapenda sana nyote 🥰🥰👏🏽🤲🏽🙏🏽👌🏽👌🏽 all 😊🎉🎉
@user-cs1jf8mc9g
@user-cs1jf8mc9g 3 месяца назад
Honge sana kwa kutimiza ndoto zako
@evagerald8236
@evagerald8236 4 года назад
Mashaallah mwenyenzi azidi kukuongaza mdogo wangu mjomba ako nae ana ndoto kama yako naomba umuombee uko uliko afikie malengo yake🙏🙏🙏🙏
@rehemagisunte1271
@rehemagisunte1271 4 года назад
Hatariii may God bless you🙏
@racheljuma2064
@racheljuma2064 4 года назад
Mungu akutie nguvu Dav #Dasen Endelea kukua kiroho,kimwili na kiakili zaid Na hongera sana kwa kupigania Ndoto yako.#Be Blessed
@yudatadeshayo4434
@yudatadeshayo4434 4 года назад
Daaah kweli mungu anajua wakuwapa sipati picha ningekuwa mimi!!ha ha bravo bro huna majivuno
@bellhdjdbdjd6495
@bellhdjdbdjd6495 4 года назад
Kabisa yan hadi nimempenda 😁
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 3 месяца назад
nafikiri cha kwanza,ungeipaisha mpaka kiraeni uwanja wa shule ya msingi kustua wanakijiji😅
@Colethabahati
@Colethabahati 2 месяца назад
kingereza kingekua kingi
@pendobaharia6922
@pendobaharia6922 4 года назад
Bigup kalumbu brother from another mother
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 4 года назад
Rubani lkn Hana maringo mashaallah Mungu akutangulie
@ChristerShao
@ChristerShao 3 месяца назад
Ndiyo maana hukutakiwa kuwa rubani mungu hawezi kukubariki kea sababu maombi yako ni mabaya.
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 2 месяца назад
David ameipenda kazi yake na amefuzu kihalali amejibu kwa ufasaha. Vijana wajifunze kutoka kwake well done young man i enjoyed the interview❤
@rahmaninoh7434
@rahmaninoh7434 4 года назад
Congratulations 🎊 and God bless you my kaka
@safijuma3148
@safijuma3148 4 года назад
Hongera sana pilot mungu akutangulieee
@aminamohamed3106
@aminamohamed3106 4 года назад
Hongera Sana mungu akuzidishie Kila laher ufanikishe ndoto zako
@lomaboydany7802
@lomaboydany7802 4 года назад
Daah honger david mungu akutangulie
@irenesikha7636
@irenesikha7636 4 года назад
Mungu akusaidiee ufike mbaliii
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 3 месяца назад
Nzuri sana ...nimeipenda haya mahojiano
@liliangabriel3953
@liliangabriel3953 3 года назад
To be Honest,I like His Voice coz It always sound Gud in my Ears
@jrarsatety1467
@jrarsatety1467 4 года назад
Very nice, god bless you David Matonya
@abukhamis7178
@abukhamis7178 4 года назад
Congratulations dogo
@harrietmwanyae4778
@harrietmwanyae4778 4 года назад
Kaka unajielewa sana unajibu maswali kwa busara sana
@placidchaka214
@placidchaka214 2 месяца назад
Matonya,kichwa kimetulia!HONGERA.
@exalttarimo5083
@exalttarimo5083 4 года назад
Ooh kumbe wazaz wake walikuwa wanasafir sanaa nje.aya sisi wakwetu wanachoma mikaaa basi tutawauzia mikaaa sanaaaaa
@fifimaceline9918
@fifimaceline9918 4 года назад
Hahahahhh
@adelajonasychalamilachalam7569
@adelajonasychalamilachalam7569 4 года назад
Hahahha
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 3 месяца назад
hukohuko kwenye mikaa ,Mungu anachomoaga huko watu
@josephinesakaya2616
@josephinesakaya2616 2 месяца назад
😂😂😂😂
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 2 месяца назад
😂😂😂 nimecheka sana
@alexandershauri2704
@alexandershauri2704 4 года назад
Aaaiii poa sana my bro duuuuh pilot 👨‍✈️ wetu uyooo.
@azizachudah9806
@azizachudah9806 4 года назад
Na alivyo handsome ivyo lazima asumbuliwe😩, mi mwenyw nimependa😝🤗❤️
@agnesoqwaa9848
@agnesoqwaa9848 3 года назад
Aziza 😂😂😂
@abubakarhamad1116
@abubakarhamad1116 3 года назад
Hhhahhh mkwe Wang u uyo jmni
@hellenshayo3454
@hellenshayo3454 4 года назад
Hongera sana mdogo wangu mimi mtoto wangu yuko darasa la 3 anapenda sana kuwa rubani
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 года назад
Yaani natamani ningepata mtu wa kunielekeza nilikuwa napenda kusomea urubani ila dah ndio imeshakula kwangu umri umeenda, hongera sana kijana.
@afterx3172
@afterx3172 4 года назад
DAAH BROTHER SIAMINI KAMA N WEWE LAST TIME (2013) DCT MVUMI TULIKUWA TUNAPIGA STORY PALE ANNEX PUB DOMITORY ULKUWA UNASEMA ONE DAY UTAKUJA KUWA RUBANI NILICHUKULIA EASY BT DAAH SIAMINI MZEE BIG UP XANA MGOGO WA KWANZA KUWA RUBANI MWANANGU DAVID MATONYA
@shabanabdallah6895
@shabanabdallah6895 4 года назад
Duh
@neemamsuta2650
@neemamsuta2650 4 года назад
Aisee Ni zao letu tunajivunia dct sec kutoa rubani itangazeni shule huko mliko
@haidaromar2079
@haidaromar2079 4 года назад
Masha Allah
@mamachris6811
@mamachris6811 4 года назад
Walishakuwepo,sema hakukuwa na mitandao Kijiji natoka alikuwepo rubani wa ndege za jeshi
@assilaa2007
@assilaa2007 4 года назад
Hivi ni mim tu nd nahis saut ndogo sanaa! Ama sim yng jmn saut ndogoo mnooo ,,,,but honger bro God bless you 🥰🙏
@tatuomari781
@tatuomari781 2 месяца назад
Simu yako tu, sauti kubwa tu inatosha kabisa
@agnesdarch3187
@agnesdarch3187 2 месяца назад
Cimu yk tu
@wemamoses7836
@wemamoses7836 4 года назад
Hongera sana kaka aisee msalato sasa inawasomi
@sechelelaloan660
@sechelelaloan660 4 года назад
Wema Moses weeeeee
@FatumaMsumari-wv7gm
@FatumaMsumari-wv7gm 2 месяца назад
Mashaalah kijana mstaarabu sana,,Allah akuhifadhi
@annaglorykabuni6890
@annaglorykabuni6890 4 года назад
Hongera sana kaka mwanangu anapenda sana kua pilot natumaini siku moja atakua
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 4 года назад
Hongera sn mdogo wanting mwenyezi mungu akijalie uishi udum
@dorcasmwaluko1617
@dorcasmwaluko1617 4 года назад
To God be the Glory .
@zbtn517
@zbtn517 3 года назад
Hivi kumbe wagogo hawavumi kumbe wamo🤗
@user-ht8tw4zr6j
@user-ht8tw4zr6j 2 месяца назад
Siyo huyu tu, alikuwepo na ki Jana mmoja anaitwa Aman mgogoro, alikuwa ni balaa, alipata ajali ndege ikaanguka morogoro alifariki tukamzika mkonze Dodoma, ndiyo kwao.
@evabikabhai1861
@evabikabhai1861 6 месяцев назад
Hongera sana. Humble boy God bless you
@hellenelias8854
@hellenelias8854 4 года назад
Hongera sanaa, very humble
@nusaibahrobert638
@nusaibahrobert638 4 года назад
mashallah mungu amuongoze kwa kila jambo aje kutufuata huku tusha choka kutizamana na waraab
@emmanuelkornel4440
@emmanuelkornel4440 4 года назад
Mpaka uive kwel big up brother
@Wamikogo
@Wamikogo 4 года назад
Hongera kaka kwa kuwa na baba mwenye akili anae kusikiliza mm mwenyew niliutaman ila baba yangu kanipeleka kusiko julikana
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 4 года назад
Hahahhaah, ww jamaa bhna
@augustinalyimo1677
@augustinalyimo1677 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiiii nimecheka kweli kaka yangu pole jmn😂😂😂😂
@hajiha6507
@hajiha6507 4 года назад
Si ungekimbia
@prettysky9543
@prettysky9543 4 года назад
Daaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zubadakallaghe5461
@zubadakallaghe5461 4 года назад
😀😀
@asimwetheonest5280
@asimwetheonest5280 4 года назад
Aise mungu akuzishiye maarifa zaidi na zaidi
@anahna6788
@anahna6788 4 года назад
Huyu kijana alikuwa na Nia na shauku ya aliipenda sana masomo
@priscakaaya1177
@priscakaaya1177 4 года назад
HONGERA UTAFUFUA NDOTO ZA WENGI KIJANA MUNGU AKUBARIKI SANA
@rashidahmed7504
@rashidahmed7504 4 года назад
masha allah mungu azid kukuongoza kama ila nimependa tabacam lako na uchezi wako 😙
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 3 месяца назад
Hongera sana Ruban na watangazaji.
@rehemachanai5481
@rehemachanai5481 4 года назад
Hongera kwako bro u inspired me a lot.. Though nmetake professional tofauti na ni very strict but thank you
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 4 года назад
Mungu atakusaidia ndg yng kwenye kazi yako
@officialnurukftmusic3442
@officialnurukftmusic3442 4 года назад
Mungu atakupa nguvu fanya kazi broo usilembe kazkaz
@user-wr4zu4un4s
@user-wr4zu4un4s 3 месяца назад
Hongera sana
@danielpatrickrobert125
@danielpatrickrobert125 4 года назад
Mil 200 ? Huo kwangu mtaji kabisa!!!!!! Hongera wengine mil 1 Kwa mwaka ada wanashindwa
@kelvinmkulia4760
@kelvinmkulia4760 4 года назад
P
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 года назад
Do your job young man that’s what important. Don’t give weights on other stuff.
Далее
Почему худеют от Оземпик?
00:37
Просмотров 263 тыс.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
Просмотров 50 млн
HUYU NDIO MWAMPOSA WANAMUITA BULLDOZA/ UPAKO WA AJABU.
15:39
CHEKESHA: FUNDI CHEREANI | NAPIMA T TATU
9:10
Просмотров 73 тыс.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
NEEMA SWAI: RUBANI ANGANI, MAMA NYUMBANI
11:11
Просмотров 23 тыс.