Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Mh.Rais akipata kiongozi kama Makonda hii nchi itanyooka mno mno hakika mama anamtazamo wa mbali bas tu baadhi ya viongozi wanamuangusha mama yetu na kuwafanya wananchi kuwa wanyonge kumbe baadhi ya wachache tu kwenda kinyume na mama
Tanga tuna changamoto nyingi ikiwemo kesi yetu ya YOHANA MBAZI CHAMSHAMA na wenzake 16 dhidi ya TANGA cement ya mwaka 1998 ambapo 16/03/2021 ilitolewa hukumu na mahakama kuu na kutupatia ushindi. Muda wa rufaa ukapita nasi tukakazia hukumu, lakini baadae tunaambiwa hati ya kukazia hukumu inaondolewa mdaiwa amekata rufaa, hebu fikiria toka tar 16/03/2021 mpaka tar 24/04/2024 kesi inasomwa ili kuondoa hati yakikazia hukumu ili rufaa ya mdaiwa yaani TANGA cement isikilizwe kwa tarehe isiyojulikana, na tangu kesi hii imeanza hadi leo ni miaka 26 na wengi wetu wamekufa. Hivi tumpelekee nani malalamiko yetu atushughulikie ili angalau haki hii iliyocheleweshwa tuipate!!?