Тёмный

KESI YA MPANGAJI ALIYEGOMA KULIPA KODI KWA MIAKA MINNE YAFIKA KWA RC MAKONDA ARUSHA. 

JAMBO TV
Подписаться 935 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 18   
@jahululamasunga
@jahululamasunga 4 месяца назад
RC Makonda upo sawa big up
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@nasibumontana9379
@nasibumontana9379 4 месяца назад
Mh.Rais akipata kiongozi kama Makonda hii nchi itanyooka mno mno hakika mama anamtazamo wa mbali bas tu baadhi ya viongozi wanamuangusha mama yetu na kuwafanya wananchi kuwa wanyonge kumbe baadhi ya wachache tu kwenda kinyume na mama
@justerissaya9165
@justerissaya9165 4 месяца назад
Angalia watu wanavyoteseka na watumishi wapo ! Alafu mtumishi akikosolewa eti kadhalilishwa mungu anawaona😱😱😱😱
@aloycelucas1823
@aloycelucas1823 4 месяца назад
Tanga tuna changamoto nyingi ikiwemo kesi yetu ya YOHANA MBAZI CHAMSHAMA na wenzake 16 dhidi ya TANGA cement ya mwaka 1998 ambapo 16/03/2021 ilitolewa hukumu na mahakama kuu na kutupatia ushindi. Muda wa rufaa ukapita nasi tukakazia hukumu, lakini baadae tunaambiwa hati ya kukazia hukumu inaondolewa mdaiwa amekata rufaa, hebu fikiria toka tar 16/03/2021 mpaka tar 24/04/2024 kesi inasomwa ili kuondoa hati yakikazia hukumu ili rufaa ya mdaiwa yaani TANGA cement isikilizwe kwa tarehe isiyojulikana, na tangu kesi hii imeanza hadi leo ni miaka 26 na wengi wetu wamekufa. Hivi tumpelekee nani malalamiko yetu atushughulikie ili angalau haki hii iliyocheleweshwa tuipate!!?
@stellamokiwa2025
@stellamokiwa2025 4 месяца назад
Umependeza sana Makonda....umenunua wap t-shirt na kofia ya Jesus
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 4 месяца назад
Kuna watu wala hawajari kbc kazi yao kula mali za watu kuiba mali za watu zuluma kwao ndio msingi wao
@LovenessFedrick-cy9fh
@LovenessFedrick-cy9fh 4 месяца назад
Hana hata aibu huyo dada unatumia nyumba ya watu alafu unatamba nayo kama yako
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 4 месяца назад
Mahakama iwe makini sana inatisha
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 4 месяца назад
Yaani nyie wa arusha mmepata bahati kubwa Sana.huyu kaka yangu natamani arudi kwetu usukumani,maana hata huku migogoro kama yote.
@hamadrehani9957
@hamadrehani9957 4 месяца назад
Simba na dodoma
@maneno_kairuki
@maneno_kairuki 4 месяца назад
Wanasheria wa jiji hawajielewi anaongea vitu havieleweki
@elisbegaelias163
@elisbegaelias163 4 месяца назад
Raisi alikosea sana angemleta mkoa wa mara huyu makonda
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 4 месяца назад
Aseee hajakosea jaman
@joyce55727
@joyce55727 4 месяца назад
Mara na Arusha ni wale wale maana vita iliopo mara ndio vita iliyopo Arusha 😁😁
@MUSSAALPHONCE-d1r
@MUSSAALPHONCE-d1r 4 месяца назад
Huyu mwamba bado tunahitaj kumtumia
@ShalomVet-z2o
@ShalomVet-z2o 4 месяца назад
Hivi unadhulumuje mali ya hao akinadada mwanaume mzima
@josephdimosso6380
@josephdimosso6380 4 месяца назад
Matajiri wengi ni matapeli hahaha na ndo principles za maisha ya kwenda juu
Далее
No money for Pre workout ?? 😱😱
00:37
Просмотров 3,9 млн
Satisfying DIY Earing for the Little Ones! 😲
00:33