Umebadilisha sana maisha yangu sijafanikiwa sana ila naiona nuru najiona mshindi haipiti siku lazima niingie nione clip zako na vitabu vyako vimenisaidia sana
Mm nafurah sana yangu wamtwara nilikua sijuw kama unatoka mtwara kumbe mtwara Kuna vipaj vikubwa sana kaka Ongera sana kaka Pia napenda ukiwa darasan kama hivi bas mungu akubaliki kaka
Kwa kiwango Fulani nimepiga hatua kubwa sana katika positive self talk na naninaona mafanikio yake. Pia hii ninaiona imekaa kiroho zaidi kwani hata mungu anaongea sana na SISI katika self talk na kutuambia Cha kufanya JAPO wengi hupuuza Ukweli ni kwamba mungu alituumba kamili na akatupa uwezo wa kiroho wa kisimamia vile unavyotaka kuwa See you at the top
Ninapopitia changamoto kauli ambayo huwa inaakuja haraka ni Asante Yesu najua umenipitisha katika hili ukijua naliweza na huwa linanipa nguvu sana yakuovercome the problem ni kutoka katika wimbo wa Ambwene...naona naww umeliongelea ubarikiwe sana na Zaburi 23:4🙌🏽🙏😇
Kwakweli Joel toka nimeanza kutazama crip zako nimeongeza hali ya kujiamini na kuona kuwa ninaweza na malengo yangu naona nitayafikia2 maana nimeanza kuchukua hatua
Mm ninavyokupenda mm daaa kaka angu Mungu pekeee akutunze.... unanifundisha sana na ninamshukuru Mungu nakuelewa sana hata mtihan uje kwa vipind vyako vyote napasua....