Тёмный

KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP.. 

Tiki Tv
Подписаться 412 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#KIMENUKA
#MAPOKEZIYAMAKONDAARUSHA #MAPOKEZIYARCMAKONDAARUSHA #MAKONDAARUSHA #paulmakonda #MAKONDAATUAARUSHA #tikitvkiakilizaidi #Arusha #RaisSamia
#live

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 месяцев назад
Well done Makonda. Speech yako inatupa matumaini. Watanzania wengi walikuwa wamekata tamaa. Tangu umerudi kwenye Samia team watanzania waechangamuka na kuwa na hope kubwa. Use mufano kwa viongozi. Asante sana ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu akulinde.
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 24 дня назад
Hongera kiongozi wa Watanzania wote
@karibubongo-tv636
@karibubongo-tv636 5 месяцев назад
Hongera
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 5 месяцев назад
Hongera sana Mhe Makonda,kwa kuzidi kuaminiwa kutoka ktk chama hadi serikali endelea (kuichemsha) serikali, mhe rais pamoja na wa Tz tupo na imani kubwa na weweeee 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
@deogratismajenge153
@deogratismajenge153 5 месяцев назад
Nice Speech.
@tumahai157
@tumahai157 5 месяцев назад
Wewe ndo unaiweza Arusha Makonda Rais wa kesho❤❤❤
@BeatriceKalembwane
@BeatriceKalembwane 5 месяцев назад
Jamaa wa watu kumuona tu Jembe Makonda Alijua NGOMA NZITO ndiyo maana kaanza kutetemeka safi sana nimependa uamuzi wako Mh Makonda ntarudia nimependasana
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 5 месяцев назад
Huyu Mwamba napenda sana maamuzi yake ukianzia na kuvaa Hizo Gwanda, Yani sijui kama na nyie mmewaza kama mimi
@mwokozimunuo3496
@mwokozimunuo3496 5 месяцев назад
Karibu sana mkuu...Arusha imedorora sana siku hizi
@Kristofanitv
@Kristofanitv 5 месяцев назад
Hongera sana Mkuu wa mkoa Arusha
@BeatriceKalembwane
@BeatriceKalembwane 5 месяцев назад
Wacha moto uwake, hata mama anajua Kwenye chema ulikichemsha chama maana yake wewe ni moto, tumbua tu wote baba chapa kazi, unajua kujitoa kwaajili ya kutumikia wananchi na taifa lako Mungu akulinde
@NeemaPallangy
@NeemaPallangy 26 дней назад
Mungu akulinde kaka piga kazi na maombi kaka ila mm natamani Arusha iwe kama dar kibiashara pia mfumo mzuri wa miundo mbinu za Barbara tunaomba sanaaa kaka
@yohanaeliax4702
@yohanaeliax4702 5 месяцев назад
Makonda unaakili sana your a. Genius hi ya spain ippo vzzr
@gideonmwalusamba6861
@gideonmwalusamba6861 5 месяцев назад
Makonda sikuwezi upo vizur brother,natamani ungekuja Mbeya
@sekiondowarema1786
@sekiondowarema1786 5 месяцев назад
Huyu Mwenyezi Mungu wa Makonda hajalala,anaandaa Raisi makini wa Baadae☝☝☝
@graceswai9166
@graceswai9166 5 месяцев назад
.
@nunikayuni6394
@nunikayuni6394 5 месяцев назад
Mungu anatajwa kila wakati mali nizamuzungu alafu munaitaja neno siyo kutuletea mali zetu mungu alivyo
@IsayaDaudi-pi2kv
@IsayaDaudi-pi2kv 5 месяцев назад
Makonda jembe magufuli wa pili
@godlizennassari5525
@godlizennassari5525 5 месяцев назад
Ila nakuombea mema kwa mungu
@joshualepilal7842
@joshualepilal7842 5 месяцев назад
Jembe hoyeeeeee
@user-qv8sv6hv7m
@user-qv8sv6hv7m 25 дней назад
Makonda wewe nizaidi ya magufuli mungu akuweke inshaallah natamani ufike lushoto kwetu maana hao wabunge wetu hawajui wafanyalo wana jua matumbo yaotu
@user-kx2kr8mp3e
@user-kx2kr8mp3e 26 дней назад
Karibu shujaa wetuuu❤❤❤❤❤❤tunakupenda sanaaaa pokea maua yako baba 🎉🎉🎉🎉
@JovinPeter
@JovinPeter 5 месяцев назад
👑 makonda piga kaz mkuu
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 5 месяцев назад
Mwamba nimekupata chukuwa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 5 месяцев назад
Mwamba huyu hapaaaa ndi ndi nding.....
@patridabernard9148
@patridabernard9148 5 месяцев назад
Makonda napenda sanaa kazi zako karibu mtwara bradha
@marianmartin7483
@marianmartin7483 5 месяцев назад
Brother hongera sana, ww ni kilaka brother. Unacheza namba yoyote ndani ya uwanja brother. Mwenyezi MUNGU akutangulie brother, utaweza tu.
@rhodaangetile2781
@rhodaangetile2781 5 месяцев назад
Siku zote huwa unatumia ubunifu mkubwa kutekeleza majukumu yako. Nakuombea kheri katika majukumu yako !
@patridabernard9148
@patridabernard9148 5 месяцев назад
Wewe kiongozi uongozi kipaji sio elimu nimekukubali makonda fanya kazi bradha
@patridabernard9148
@patridabernard9148 5 месяцев назад
Mama samia namkubali vibaya makonda nakuomba usimwangushe mama upo makini kiongozi miaka tano ijayo ya mama
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 5 месяцев назад
Yupo radhi afe kuliko uwe tofauti na mawazo yake ..ni hatari sana
@augustinechitemo8207
@augustinechitemo8207 5 месяцев назад
Na huko nako utalikoroga muda si mrefu maana haukawii kukoroga mambo
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 5 месяцев назад
Mwamba ameingia Arusha. Piga kazi Baba.
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 4 месяца назад
Muheshimiwa Makonda. msaidie yule baba Dr. Billal watoto wake na mkewe wasinyongwe
@AntonyMbalamwezi-ld6tx
@AntonyMbalamwezi-ld6tx 5 месяцев назад
Piga kazi usiogope kufukuzwa mungu yupo
@AntonyMbalamwezi-ld6tx
@AntonyMbalamwezi-ld6tx 5 месяцев назад
Natamani ulivyo na moyo wakujitoa kama Mimi ninavyo pambana kufundisha watoto shuleni ila majungu hayakosi penye mafanikio:
@salimmwaisaka9164
@salimmwaisaka9164 5 месяцев назад
Nikuelewa sana nguvu moja
@geraldniyukuri7824
@geraldniyukuri7824 5 месяцев назад
Big up mheshimiwa
@farujohn_org
@farujohn_org 4 месяца назад
Mkuu umetisha sana
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 5 месяцев назад
Ok makonda hauwezi chuga,,,,utataga
@godlizennassari5525
@godlizennassari5525 5 месяцев назад
Makonda umekuwa mkuwa mkowa arusha bila kufika kibaha pwani kuna mingogoro mingi sana mkuu tunakupenda sana❤😂😊😅😅😅
@OmarOthman-w9k
@OmarOthman-w9k 24 дня назад
Mbonawamenuna makofi wanapiga viongozi wadini tu safisana mh. Makonda. Waambie ukweli
@mangaikwelamatengo8556
@mangaikwelamatengo8556 5 месяцев назад
Hapo kwenye Bypas umeongea makonda
@hassansouzha915
@hassansouzha915 5 месяцев назад
😂😂😂😂 mtu akiacha cm aikute 😂😂
@yohanakinyunyi
@yohanakinyunyi 5 месяцев назад
Simama na Mungu kaka atakuvusha VIONGOZI kama wewe ni wachache sana tusaidie BILA hofu Mungu akutetee sana
@kavyashortsleon
@kavyashortsleon 5 месяцев назад
😊😊😊
@user-zf5lk3gq2b
@user-zf5lk3gq2b 5 месяцев назад
Mh makonda nakuomba kama itakupendeza uanze kufikiria haja ya miyoyo ya watu wanyonge ambayo ni kuona ukisimama kama raisi baada mh dr samia kumaliza muda wake wa kikatiba
@asnathjoseph3539
@asnathjoseph3539 5 месяцев назад
Mungu ametupa jembe Wana Arusha ni jambo la kumshukiru mungu
@patridabernard9148
@patridabernard9148 5 месяцев назад
Iko kipaji chako wanyoshe
@BarackaSamweli
@BarackaSamweli 5 месяцев назад
Wambie wakora niwengi sana nauinevu
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 5 месяцев назад
Huyu anaongea kama mtu ila ni hatari kuliko maneno yake ..msihisi mmepata ...huyo ni msukuma ... hata huruma na kitu chochote wala adabu na kitu chochote anahitaji uwe sawa na mawazo yake je ... kuna binadamu wa hivyo anayeishi???
@user-mi3bi3fj3s
@user-mi3bi3fj3s 5 месяцев назад
Huwa najiuliza sana ndani ya ccm ,tupo wengi sanaa kwenye chama chetu pendwa ,lakin Kwann wenye moyo huu wachache ? Jaman wenye nafasi za juu hebu badiliken jifunzen Kwa makonda nchii mbona itakuwa Raha ,Dah Magu ,Mungu wainue wengine
@user-gg7ig1qc5o
@user-gg7ig1qc5o 5 месяцев назад
Na nyie mliojifanya mnaandamana kumpokea mkuu wa mkoa ni kujinafkisha ili asiwatumbue,makonda hapa arusha kuna ubabe wa hovyo sana,, Wanyooshe
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@mangaikwelamatengo8556
@mangaikwelamatengo8556 5 месяцев назад
Weka no yako upewe mchongo makonda
@RajabJuma-pe9ml
@RajabJuma-pe9ml 5 месяцев назад
Sawa mkuu tuna kuelewa sana
@abdillahiabdallah438
@abdillahiabdallah438 5 месяцев назад
Wewe jembe tunakuamini sana sana piga kazi hivo hivo LEMA acha kujamba Jamba acha mzalendo apige kazi
@alfredbyangwamu9821
@alfredbyangwamu9821 5 месяцев назад
MAKONDA VEMA KWA UONGOZI WAKO HUU!!! NCHI INGENYOOKA!!! LAKINI KAMA HUKUTAMBULIKANA KWA HUU! BASI KUNA SIKU UTAKAPOTAMBULIKA!!!
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 5 месяцев назад
Mimi naomba wewe mama tuletee makonda mkoa wa mologolo ajeatuzbitie wafugaji kuuwa nakupga wakulima ksa kulinda mazaoyao yasiliwe bang'mbe
@JosephKembe
@JosephKembe 5 месяцев назад
Unasema utatengene barabara unahera ? Warudishe wana ngorongoro ndiyo utuambie
Далее
АХХАХАХАХАХАХАХАХ
00:16
Просмотров 176 тыс.
Мой телеграмм: v1ann
00:14
Просмотров 51 тыс.