Тёмный

KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 379 тыс.
50% 1

KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 482   
@jmc2196
@jmc2196 Год назад
Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri 😭😭😭 RIP baba
@ammyskills5588
@ammyskills5588 Год назад
Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa 😢
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Год назад
Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra
@user-ff9ft1pk2n
@user-ff9ft1pk2n Год назад
Likes kwa muha 🔥🔥🔥
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipua❤😂😂😂😂
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Год назад
Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah 🙏
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Год назад
Hatari sana 😂😂😂 anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa
@apollobupolo9884
@apollobupolo9884 Год назад
Hahahahaa
@kastusbonifas2674
@kastusbonifas2674 Год назад
❤❤waha wakipewa nchi tutakuwa salama sana😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Год назад
😁😁😁🤣🤣kabisaaa
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Год назад
Muha original amechomoa battery 😂😂😂😂😂
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Год назад
Huyu mwamba apewe 💐🌹💐 yake mapema
@luisojr3480
@luisojr3480 Год назад
Muha kavurugwa😂
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Год назад
Huyu kweli kigoma
@joelmwita3592
@joelmwita3592 Год назад
Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Год назад
Waha hatuna dogo😄
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Год назад
Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU
@allykimeru944
@allykimeru944 Год назад
Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe 🍀🌼🏵️🌺🌷💐yake
@bigdad1816
@bigdad1816 Год назад
Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.
@magembekisabo9632
@magembekisabo9632 Год назад
Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?
@zaharahassan-et7ui
@zaharahassan-et7ui Год назад
​@@magembekisabo9632 Kimekuumaeeee
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 Год назад
​@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 Год назад
Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani
@martintssoray5352
@martintssoray5352 Год назад
Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Год назад
Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Год назад
Uwanja wa ndege ni balaaa😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod 🥹🥹🥹
@richkinji2583
@richkinji2583 Год назад
R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 Год назад
Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 Год назад
Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 Год назад
Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Год назад
Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Год назад
Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee
@jacksonjamesndyabawe495
@jacksonjamesndyabawe495 Год назад
Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Год назад
MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Год назад
Maliza wewe bwegest
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Год назад
​@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto
@achsahcharles6728
@achsahcharles6728 Год назад
Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Год назад
@@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz Год назад
Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.
@rabwarab574
@rabwarab574 Год назад
Brother k noma sana😅😅
@partnersah8802
@partnersah8802 Год назад
Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali 😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Год назад
😁😁sure 😃
@zahramoo4760
@zahramoo4760 Год назад
Hawana adabu hataaaa chembeeee
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
😂😂😂😂 muha oyeee
@richardmuyango9157
@richardmuyango9157 Год назад
Oyeeeeeee
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 Год назад
Muha kafunguka duh
@salha6596
@salha6596 Год назад
Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo 😭😭😭😭
@addo1899
@addo1899 Год назад
Kweli kabisa
@soloartist_ivanvespalusind1609
Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Год назад
Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Год назад
Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Год назад
Inasikitisha sana
@fahminasser3855
@fahminasser3855 Год назад
Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi
@olomympwa4211
@olomympwa4211 Год назад
From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana
@fredymwinuka5133
@fredymwinuka5133 Год назад
Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwangu👍👍
@magokola2376
@magokola2376 Год назад
watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 Год назад
😂😂😂😂
@eminenceboy8386
@eminenceboy8386 Год назад
Huyu brother k au 👏👏👏👏
@victormneney1307
@victormneney1307 Год назад
Magufuli angekwepo simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine 🇹🇿 twende mbele
@addo1899
@addo1899 Год назад
Kweli kabisa
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo
@elishapaul9423
@elishapaul9423 Год назад
Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Год назад
Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao
@isayajustin
@isayajustin Год назад
Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo
@maherzain2555
@maherzain2555 Год назад
Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Год назад
P
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Год назад
Pp P
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Год назад
Force number
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Год назад
eti ikabidi niwape hela kidogo yaani mnatoa rushwa badae mnalalamika kwa nini utoe pesa wakati kila kitu unacho
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Год назад
​@@ikouwasi7644 unaongea tu kwakua hayajakukuta, we kaa kimya tu
@vumiliamtakati-zd3nc
@vumiliamtakati-zd3nc Год назад
Aiseeee inauma sanaaa
@bensonjr4879
@bensonjr4879 Год назад
Rest in Peace Magufuli we Missing you
@danielhumphreykileo1043
@danielhumphreykileo1043 Год назад
100% i miss him
@rosemongi5273
@rosemongi5273 Год назад
Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.😢😢
@nairathamad2584
@nairathamad2584 Год назад
Roho Imeniuma kwakwel 😙
@israelimjema4573
@israelimjema4573 Год назад
Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Год назад
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Год назад
Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana
@owoyesigirehannington6822
@owoyesigirehannington6822 Год назад
Uganda ni tambararee kweli
@SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd
Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Год назад
Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha
@aronjmabindo8544
@aronjmabindo8544 Год назад
Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa Год назад
Rushwa ni jipu kwa taifa!!
@vedastamalekela8711
@vedastamalekela8711 Год назад
Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi
@sekelamwasomola1864
@sekelamwasomola1864 Год назад
Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma
@fredrickmandia1741
@fredrickmandia1741 Год назад
Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Год назад
Wasafi bwana eti Muha 🤣🤣kwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha
@rahimadam662
@rahimadam662 Год назад
MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo
@reggezawady4994
@reggezawady4994 Год назад
Inauma sana nchi nzima TRA ni covid
@DealDeskPro
@DealDeskPro Год назад
TRA wamezidi sana, iko siku tutawatoa baruti kama wezi, kunyanyasana kumezidi sana yaani..
@danniellussendela4382
@danniellussendela4382 Год назад
Huyu muha kweli
@geladjuma6897
@geladjuma6897 Год назад
Mpeni mauwa yake muha og
@erickmsaki9383
@erickmsaki9383 Год назад
Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice
@andrewemanuel2213
@andrewemanuel2213 Год назад
Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Год назад
Nchi Ishakuwaa Shamba La Bibi Saiv R.I.P NGOSHA MAGUFURI
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Год назад
Watumwa wa magufuli mnakera kwa mini hammfuati huko aliko mkashitaki?
@brendajulius2995
@brendajulius2995 Год назад
​@@marcokaroje8980 wivu mpka kwa marehemu duh😅😅😅 ndo washamsifia ka hupendi Kanye boga Fala wewe
@dn.n4983
@dn.n4983 Год назад
Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 Год назад
Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa
@jumamavind7713
@jumamavind7713 Год назад
TRA tatizo katika nchi hii waalaniwe hawa watu
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Год назад
Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya
@user-es6wx3dh6z
@user-es6wx3dh6z Год назад
Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.
@husseinmagari3245
@husseinmagari3245 Год назад
sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Год назад
Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi
@mwaiphamkuruto1087
@mwaiphamkuruto1087 Год назад
Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254
@isaacphilemon5599
@isaacphilemon5599 Год назад
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,😭😭😭
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Год назад
Mzee kaamua kujilipua hawa wapemba ukikutana nao kwenye anga zao utakoma
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Год назад
Rest easy 💔🕊️ magu
@agnesssanga6544
@agnesssanga6544 Год назад
Police na mambo ya TRA wapi na wapi😂😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Год назад
Muha nimekupenda❤❤
@raymonddaud9835
@raymonddaud9835 Год назад
Ungechelewaa angeenda na maiki, Mha kachukia kwelii
@stevensimtowe
@stevensimtowe Год назад
Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani
@user-up1pp5is3z
@user-up1pp5is3z Год назад
Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba
@priscajackson240
@priscajackson240 Год назад
Hata mza tunasumbuliwa na asikari
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Год назад
Kipindi cha magufuri majibu yanatolewa papo kwa papo
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 Год назад
Ao dawa yao kichapo tu wapgwe visu matapel majambazi ao so kuwachekea wafilisi wapgwe washazoea mmbwa mm ao napga lisasi
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Год назад
Apew ulinz 💪💪💪👍👍
@danieldm92
@danieldm92 Год назад
Ahsante sana mdogo wake brother K.
@ezeedi871
@ezeedi871 Год назад
Mm huwa nashangaa sana kwann kwetu kodi ziwe kubwa Sana kuliko nchi nyingine wakat bandar asilimia kubwa wanatumia bandari yetu??
@donboscolunguya2936
@donboscolunguya2936 Год назад
Tutamkumbuka magufuli nchi ya sasa ni dhaifu remote control ipo msoga
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 Год назад
Sema baba
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Rushwa imetawala sana tra
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Год назад
Kasumba kutoka chato inaendelea kutesa maana nguvu zilikuwa zinatumika kuliko sheria kumbe wengi walitumikia matumbo yao SSH Rais wetu jaribu kupunguza safu chato mambo yaende vizuri wasomi wako wengi mitaani hawana/hapati nafasi hizi kuwatumikia wananchi
@user-bb3lf6sr3r
@user-bb3lf6sr3r Год назад
Nafikiri mama inabidi atengue kauli yake ya kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake..!
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Год назад
😜😂😂😂😂😜
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Год назад
Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu
@MosesKamba-tk3lp
@MosesKamba-tk3lp Год назад
Jamani Kwa hali tunafika
@iambaizo
@iambaizo Год назад
Wengi wapo vizuri lakini walio wengi wao ni wezi hahhaha 😂
@monicamtei5397
@monicamtei5397 Год назад
Ee Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania
@eliachalamila2259
@eliachalamila2259 Год назад
We miss jiwe
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Год назад
Huku america tunampango wakuhakikisha usa haisaidii tena Tanzania tutumie akili zetu sio kuomba msaada nakuwanyanyasa wananchi
Далее
🍁 Её дружище
0:20
Просмотров 1,3 млн
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Просмотров 11 млн
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
Просмотров 50 млн